< 2 Timotawus 3 >

1 Ama yinno ilenge imone: kubi nimalin ayiri nijasi mayitu.
Lakini yakupasa ufahamu jambo hili, kwamba siku za mwisho kutakuwa na nyakati za hatari.
2 Bara anit yitu anan suu natimine, anan suu nikurfun, anan fonigiri, ufiu nati, anan liru Kutelle nanzang, anan salin lanzun liru narika na ina maru nani, na ima yitu nin godo ba, nin dirun lau.
Kwa maana watu watakuwa wenye kujipenda wenyewe, wenye kupenda fedha, wenye kujisifu, wenye kiburi, wenye kumkufuru Mungu, wasiotii wazazi wao, wasio na shukrani, wasio watakatifu,
3 Ima yitu sa unlazung kunekune, anan salin shauzu nin nalapi, anan nanzu tissa, na idinnin minu nati ulau ba, anan nun, na idinin suu nimon icine ba.
wasio na upendo, wasiopenda kupatanishwa, wasingiziaji, wasiozuia tamaa zao, wakatili, wasiopenda mema,
4 Ima yitu anan lessu nati, anan gbas, anan lanzu nin nati, anan suun lanzun mang ubun nin suu Kutelle.
wasaliti, wakaidi, waliojaa majivuno, wapendao anasa zaidi kuliko kumpenda Mungu:
5 Ima yitu nin kulap Kutelle, ama ima nari likara nnin. Kpila usun anit alele.
wakiwa na mfano wa utauwa kwa nje, lakini wakizikana nguvu za Mungu. Jiepushe na watu wa namna hiyo.
6 Bara among mine anitari na asa ipira nanya kilari iwunno awani alala. Alengene awaniari ale na ikulun nanya nalapi inin din wunu nani nin vat nimon nsuu nibinayi mine.
Miongoni mwao wamo wale wajiingizao katika nyumba za watu na kuwachukua mateka wanawake wajinga, waliolemewa na dhambi zao na kuyumbishwa na aina zote za tamaa mbaya.
7 Ale awane kolo liri idin pizurun yinnu, ama na isa yinno udak kitin yinnu kidegene ba.
Wakijifunza siku zote lakini kamwe wasiweze kufikia ujuzi wa kweli.
8 Libau lirume na Jannis ni Jambiris wa yissin nivira ni Musa. Libau lole tutung ale anan dursuzu kinu kane yissin nivira nin kidegen. Inung anitari nan imal kuzu nibinai, na iyinna ninghinu ba kusarin yinnu sa uyenu.
Kama vile Yane na Yambre walivyopingana na Mose, vivyo hivyo watu hawa hupingana na ile kweli. Hawa ni watu wenye akili zilizopotoka, ambao wamekataliwa kwa mambo ya imani.
9 Ama na iba du piit ba. Bara tilalan mine mayitu kanang kiti kogha, nafo una naleli anite.
Lakini hawataendelea sana, kwa sababu upumbavu wao utakuwa dhahiri kwa watu wote, kama ulivyokuwa dhahiri upumbavu wa hao watu wawili.
10 Ama kitife, una dortu udusuzu ning, adu, ukpilizu, uyinnu sa uyenu, uteru nayi ning, usuu, lissosin ncaa,
Lakini wewe umeyajua mafundisho yangu, mwenendo, makusudi, imani, uvumilivu, upendo, ustahimilivu,
11 utizin niu ning, uniu, nin nimon ile na iwa sei in Antiyok, in Ikoniyom, a in Listra. Nna teru kibinayi nin tizun niu. Nanya nani vat, Cikilare wa nutuni ucine.
mateso na taabu, yaani mambo yote yaliyonipata huko Antiokia, Ikonio na Listra, mateso yote niliyostahimili, lakini Bwana aliniokoa katika hayo yote.
12 Vat nalenge na idi ninsuu iso lissosin Kutelle ima tizu nani iniu.
Naam, yeyote anayetaka kuishi maisha ya utauwa ndani ya Kristo Yesu atateswa.
13 Anitin magunta nin nanan tizu nafo among ina rusuzo anit ba su kang. Ima wultunu among. Inung wang ina wultung naneri.
Lakini watu waovu na wadanganyaji watazidi kuwa waovu, wakidanganya na kudanganyika.
14 Ama bari fe, soo nanya nimong ilenge na una massu nin nile na umal yinnu mung. Uyiru kitin lenge na una massu ku.
Bali wewe, udumu katika yale uliyojifunza na kuyaamini kwa uthabiti, ukitambua ya kuwa ulijifunza hayo kutoka kwa nani,
15 Uyiru nwo tun tinono una yinnin iyert ilau. Ilengene wasa itafi jijin bara utucufe nanyan yinnu sa uyenu in Kristi Yesu.
na jinsi ambavyo tangu utoto umeyajua Maandiko matakatifu, ambayo yanaweza kukuhekimisha upate wokovu kwa njia ya imani katika Kristo Yesu.
16 Vat ulirun tucu Kutelleri na kyele unin. Ucau bara ukye libau lissosin, bara uyinnu nkpiliu, bara kyelu ntanu, nin dursuzu lidu lilau.
Kila Andiko limevuviwa na Mungu na lafaa kwa mafundisho, kwa kuwaonya watu makosa yao, kwa kuwaongoza na kwa kuwafundisha katika haki,
17 Udi nene bara unit Kutelle nan yita ning yirru, uceu nimon katwa kacine kibanayi.
ili mtu wa Mungu awe amekamilishwa, apate kutenda kila kazi njema.

< 2 Timotawus 3 >