< Katwa Nono Katwa 7 >

1 Nin nanin ku prist kudawe tirino Istifanu ku,”ilemone na ant alele din belu kite fe kiden are?
Ndipo kuhani mkuu akamuuliza Stefano, “Je, mashtaka haya ni ya kweli?”
2 Istifanus nin kawa, “Nua nanin a Yahudawa nin na didawe, lanzannin! Kutelle kudewe na tidin ruugye, wa zuru nin cifi bite Ibrahim na wa dutu nanya kusarin Mesopotamia, kafin adak kusarin ka gwirin Haran.
Stefano akajibu, “Ndugu zangu na baba zangu, nisikilizeni! Mungu wa utukufu alimtokea baba yetu Abrahamu, alipokuwa bado yuko Mesopotamia, kabla hajaishi Harani,
3 Kutelle nin woeo gye, cino mmin mone na uduku nan na iyayife, duku, udu mmin mona ima dursu fi.
akamwambia, ‘Ondoka kutoka nchi yako na kutoka kwa jamii yako, uende hadi nchi nitakayokuonyesha.’
4 Amini Abrahem tina acino mmim mone, na Chaldia, amini wa dak Uharan anin soo kikane. Nin kidung ucif me kuu, Kutelle nin belingye anuzu mmimn mone na sosinku.
“Hivyo aliondoka katika nchi ya Wakaldayo akaenda kukaa Harani. Baada ya kifo cha baba yake, Mungu akamtoa huko akamleta katika nchi hii ambayo mnaishi sasa.
5 Kubi kone Kutelle wadi asa naa Abraham mmin lisosin me ba. Vat nin nanin Kutelle su gye likawali ama nigye mming mona amasoku nin nisudu me, sa ligan. Nin nanin ma Abraham kubu kone awa dinin nin gono kana ama su ugadu me ba.
Mungu hakumpa urithi wowote katika nchi hii, hakumpa hata mahali pa kuweka wayo mmoja. Bali Mungu alimwahidi kuwa yeye na uzao wake baada yake wangeirithi hii nchi, ingawa wakati huo Abrahamu hakuwa na mtoto.
6 Nin bung Kutelle belle Abraham, 'Isudu fe masuo kipin limara. ima suo kikane udu akus akalin anas, lisosin mine kikane lin ma yitu licin ari.
Mungu akasema naye hivi: ‘Wazao wako watakuwa wageni kwenye nchi ambayo si yao, nao watafanywa watumwa na kuteswa kwa miaka mia nne.’
7 Men ba nani ulada umugunta mine na itaa nono nin son, mba nin nutun min, nin kidun isudu fe madak ida usujaida [lidurun] nan mmin mone.
Mungu akasema, ‘Lakini mimi nitaliadhibu taifa watakalolitumikia kama watumwa, na baadaye watatoka katika nchi hiyo na wataniabudu mahali hapa.’
8 Kutelle nin dokace Abraham, asu nono ni lime me[mboo] ukaciya, nanin anit ma yinu inin nono Kutelle ari, Nin mbung ame Abraham se gono lisame Ishaku, kube na Ishaku wa tii ayira kulir, [8days] Abraham su gye ubo[ukaciya] nin mbung ame Ishaku mara gono me lisame Yakubu, Yakubu yita ucif nono likure, alena aYahudawe din yici nanin akune na cif bit.
Ndipo akampa Abrahamu Agano la tohara. Naye Abrahamu akamzaa Isaki na kumtahiri siku ya nane. Baadaye Isaki akamzaa Yakobo, naye Yakobo akawazaa wale wazee wetu kumi na wawili.
9 Iyiru gono ki kune Yakube laza ayi bara ucifime wa yiru Yusufuku ataa gye kinnayi me. Inanin wa lewu gye nacara nanan kasau, inanin wa yiru gye udu Umasar, kikane amini suo unan licin. Vat nanin Kutelle mini na bung Yusufu ku.
“Kwa sababu wazee wetu walimwonea wivu Yosefu ndugu yao, walimuuza kama mtumwa huko Misri. Lakini Mungu alikuwa pamoja naye.
10 Amini wasugye ukariya kikana anit wani uwahala. Amini wa nigye uhikima kan, amini watii Firaun, ogo Masar, asu umong icine kitenen Yusufu. Nin nanin Firauna nin nin yira gye asu umulki nanya Masar nin yenju kuturan Firauna.
Akamwokoa kutoka mateso yote yaliyompata, tena akampa kibali na hekima aliposimama mbele ya Farao, mfalme wa Misri, ambaye alimweka kuwa mtawala juu ya Misri na juu ya jumba lote la kifalme.
11 Dana Yusufu wadin su kata kane, iduru kon kubi na umonli wasali nanya mmin Masar nin Kaana, Anit wa di tikanci kan. Kubi kone Yakubu nin nonome na iwa dinin ni mmonli ba
“Basi kukawa na njaa katika nchi yote ya Misri na Kanaani, ikasababisha dhiki kubwa, nao baba zetu wakawa hawana chakula.
12 Dana Yakubu lanza imonli lesu din Masar, amini wa tuu nuono me udu Umasarinan di seru imonli li, inanin wa duo idi seru imonli kitin Yusufu, inanin wa yinin Yusufu ku b, inanin wa kpilin kilari.
Lakini Yakobo aliposikia kwamba kuna nafaka huko Misri, aliwatuma baba zetu, wakaenda huko kwa mara yao ya kwanza.
13 Kubi kona nuona Yusufu duo iseri ni monli unbe kikanere, anin benle nanin ame ari. Nin nanere Firauna nin yino an Yusufu a Yahudaweri, nin anit ale na idaa unuzu Kaana nuona mere.
Walipokwenda mara ya pili, Yosefu alijitambulisha kwa ndugu zake, nao ndugu zake Yosefu wakajulishwa kwa Farao.
14 Nanin nin kidun na Yusufu tuo nuona me kilari, inin benle ucif mine Yakubu Yusuf dinin us me nin iyalime idak Umasar ida suo k. Kubi kone Yakube nin nono me wadi akut kuzor nin kutochin
Ndipo Yosefu akawatuma kumleta Yakobo baba yake pamoja na jamaa yake yote, jumla yao walikuwa watu sabini na watano.
15 Dana Yakubu lanza nani, ame nin lilari me yga udu Umasar. Nin kidun Yakube kuu kikane, nin na mong akune bit, nin nono me kuu kikane
Hivyo Yakobo akaenda Misri ambako yeye na baba zetu walifia.
16 Inanin wa yiru abi niwo mine idamu kutin bit kikane ikasa nanin kikana ucif bit Abraham naseru nanya kagbirin Shechem.
Miili yao ilirudishwa Shekemu na kuzikwa katika kaburi ambalo Abrahamu alinunua kutoka kwa wana wa Hamori kwa kiasi fulani cha fedha.
17 Akune bite taa gbardan kubi kona Kutelle wa dinin su utucu mine kiti na Msrawe, nafo na ana su Abraham ku ualkawali.
“Lakini wakati ulipokuwa unakaribia wa kutimizwa kwa ile ahadi ambayo Mungu alikuwa amempa Abrahamu, watu wetu walizidi kuongezeka sana huko Misri.
18 Umong ugo da a suumulki Umasar, na ame yiru Yusufu ku ba na amere wabun nanin kubikona awadi mulkeba,
Ndipo mfalme mwingine ambaye hakujua lolote kuhusu Yosefu akatawala Misri.
19 Ugo ne rusuzonanin kurun asu uzalamci kit na kune bite ana nin uwahalakang. Amini wa tii nanin itusu nono nibebene mine idas ni lari mine inan kuzu.
Huyu mfalme akawatendea watu wetu hila na kuwatesa baba zetu kwa kuwalazimisha wawatupe watoto wao wachanga ili wafe.
20 Kubi konere iwa maru Musa k, Kutelle, nin yene gye gono ki gigimeri kan. Nin nanin acif me nashe gye nanya kilai nanya tipui ti tat
“Wakati huo Mose alizaliwa, naye hakuwa mtoto wa kawaida. Akalelewa nyumbani kwa baba yake kwa muda wa miezi mitatu.
21 Inanin wa ce ghe idas kilare, bara ushonon Ifirauna nan nin seghe ibiu kigawa, amini wa minghe nafo gono mere.
Waliposhindwa kumficha zaidi, wakamweka nje mtoni na binti Farao akamchukua akamtunza kama mtoto wake mwenyewe.
22 Iwa dursuza Muse ku vat ukoyo na ani Masarawe yiru mu, amini wa gunjo asu imong ezikiki kan
Mose akafundishwa hekima yote ya Wamisri, akawa mtu hodari kwa maneno na matendo.
23 In lonliri kubi kona Musa wa di akus akut kutochin, amini yina kibinai me ama di lisu anit me, a Israila
“Mose alipokuwa na umri wa miaka arobaini aliamua kuwatembelea ndugu zake Waisraeli.
24 Amini wa yene ku Masarawa di fuo ku Israila. Bara nanin amini wa tinin adi buno ku Israila, atina amolo ku Masarawe.
Aliona mmoja wao akidhulumiwa na Mmisri, akamtetea yule aliyeonewa, akampiga yule Mmisri akamuua kulipiza kisasi.
25 Muse wa suso ku Israila maynnu Kutelle na tuu ghe ada bolu nanin nanya lichin Masaraware. Bara nani ne inin wa yinin ba.
Mose alidhani kuwa ndugu zake wangetambua kwamba Mungu anamtumia ili kuwaokoa, lakini wao hawakuelewa.
26 Nin kuiy, Muse yene ku Israila din fuo atimine. Amini wa cina ukosu nani, Anit, anin na biye li nwana a Israila! Bara yanghari idin fuo ani mine?
Siku iliyofuata Mose aliwakuta Waisraeli wawili wakigombana, akajaribu kuwapatanisha kwa kuwaambia, ‘Enyi watu, ninyi ni ndugu, mbona mnataka kudhulumiana?’
27 Ame ulena awa lanza gwana me ukule turno Museku kusari ani benle ''aa ghari taa fi kulauya kiti bit!
“Lakini yule mtu aliyekuwa akimdhulumu mwenzake akamsukuma Mose kando, akamuuliza, ‘Ni nani aliyekufanya mtawala na mwamuzi juu yetu?
28 Udinin suu umoli nafo na una molu ku Masarawe ilenghe?
Je, unataka kuniua kama ulivyomuua yule Mmisri jana?’
29 Dana Musa lanza nanin atin na achino u Masarawe acoo udu mmin Midiniawa. Amini wa ti akus kikane. amini wa suu ilima kikan iwane mara ghe nono niba.
Mose aliposikia maneno haya, alikimbilia huko Midiani alikokaa kama mgeni, naye akapata watoto wawili wa kiume.
30 lon lir akus akuta nas nin kidun, Kutelle seeghe nanya gono kadura me udu kiti Musa. Ani see Musa ku nanya galtun kushoo kona kuwandin jujuki dawo nanya kushoo kukau ku popo likup.
“Basi baada ya miaka arobaini kupita, malaika wa Mungu akamtokea Mose jangwani karibu na Mlima Sinai katika kichaka kilichokuwa kinawaka moto.
31 Dana Musa yene nanin asu umamaki, bara ula wadin lii kushe amana kushoo juju kidawo ba, dana ada kupopo kushoo anan yen, amini wa tini alanaza liwui Kutelle yichu ghe,
Alipoona mambo haya, alishangaa yale maono. Aliposogea ili aangalie kwa karibu, akaisikia sauti ya Bwana, ikisema:
32 'Men Kutelleri ulena akunefe na zazu. Men Kutelle Abraham, Ishaku, nin Yakubu na ina zazu. Musa lanza fiu kan atina ketuzu. Alanza fiu yeju kushoo tutun.
‘Mimi ndimi Mungu wa baba zako, Mungu wa Abrahamu, Isaki na Yakobo.’ Mose alitetemeka kwa hofu na hakuthubutu kutazama.
33 Nanin Kutelle woroghe akala akwatak me auro sa udin daukaki. Bara kika na uduku kiti kilauwari kinaniari.
“Ndipo Bwana akamwambia, ‘Vua viatu vyako kwa maana mahali unaposimama ni patakatifu.
34 Imali yenu elemon na ann Masarawa di ni anit nin ti kanci. Ilanza aniti nin kubi kona idin ghilu. men daa ida bolu nanin nachara na Marawa. Nene fita, bara idin chinu utufi nanya Masar,
Hakika nimeona mateso ya watu wangu huko Misri. Nimesikia kilio chao cha uchungu, nami nimeshuka ili niwaokoe. Basi sasa njoo, nami nitakutuma Misri.’
35 Musa amere wa bung nono Israila, ulena iwa narighe, inin woro, aa ahri na tifi un kulau kitibit! Musare Kutelle na tuu ghe asu umulki mine ani bolu nanin nanyaa lichin amere ule na gono kadura gye kushe walin ghe suu imene.
“Huyu ndiye Mose yule waliyemkataa wakisema, ‘Ni nani aliyekufanya mtawala na mwamuzi juu yetu?’ Alikuwa ametumwa na Mungu mwenyewe kuwa mtawala na mkombozi wao, kwa njia ya yule malaika aliyemtokea katika kile kichaka.
36 Musa amere wa nutun akunebite in Masar. aamini wa wasu imong eziki gbardan, nanya Masar bara ana dura Kutelle wa di nin ghe, kurawa kku shine nin akus akuta nas anit Israila nadi nanya kushoo.
Aliwaongoza wana wa Israeli kutoka Misri, baada ya kufanya ishara na maajabu mengi huko Misri, katika Bahari ya Shamu, na katika jangwa kwa muda wa miaka arobaini.
37 Ule Musare na awa benli anit Israila, 'Ktelle maa dani nin mong nanya na nit mine asuo kuannabit nafo men.
“Huyu ndiye yule Mose aliyewaambia Waisraeli, ‘Mungu atawainulia nabii kama mimi kutoka miongoni mwa ndugu zenu wenyewe.’
38 Ule unitere Musa na awadi nanya na Israila na awadi nanghinu nannya kushoo; amere gono kadure Kutelle wadi nin ghe likup Sinai. Amere Musa na Kutelle na nighetidokoki bite, amere ulena abelin akune bite tipipin tona unan kadure wa belin. Amere ulena ana seru tipipin Kutelle udu kiti bite dana tidin belu nari tusu lisosin linsali ligan udu kusari bit.
Huyu ndiye yule Mose aliyekuwa katika kusanyiko huko jangwani, ambaye malaika alisema naye pamoja na baba zetu kwenye Mlima Sinai, naye akapokea maneno yaliyo hai ili atupatie.
39 Vat nin nani akune bite wa nari lanzu Muse k, inani wa nari asuo nani udia mine, inani wa dinin suu i kpilin udu Masarawa.
“Lakini baba zetu walikataa kumtii Mose, badala yake wakamkataa na kuielekeza mioyo yao Misri tena.
40 Bara nani inani wa beli yayame Haruna, 'kele nari kudodo kono kuma suo nari kutelle ayiru nari udu Umasar. Bara ame Muse na tiyiru yeri se ghe ba.
Wakamwambia Aroni, ‘Tufanyie miungu watakaotuongoza, kwa maana mtu huyu Mose aliyetutoa nchi ya Misri, hatujui yaliyompata.’
41 Inani wa kee kutelle kaluka. inani wa nakpiza tihadayu mine mbung kaluke inan zazin kudode, inani wa suu afu nin niwawa bara ilemong na inin kele.
Huu ni ule wakati walitengeneza sanamu katika umbo la ndama, wakailetea sadaka kufanya maadhimisho kwa ajili ya kile kitu walichokitengeneza kwa mikono yao wenyewe.
42 Bara nani Kutelle tina chino ukelu nani. Amini chino nani isuu uwui, upoi nin niyin, kitene kitene kane usujaida. ulele di daidai nin tipipi too umong ku uan liru nuu Kutelle n yertin: Kutelle na belin, Anun anit Israila, kubi kona na iwa libun molsu ina nin nakpizu tihadaya mine nanya akus akut anas na iwadi nanya kushoo, inani wa nakpiza meghari ku tihadaye?
Ndipo Mungu akageuka, akawaacha waabudu jeshi lote la mbinguni, kama ilivyoandikwa katika Kitabu cha Manabii: “‘Je, mliniletea dhabihu na sadaka kwa miaka arobaini kule jangwani, ee nyumba ya Israeli?
43 Bada nanin iwayiru kudaga udu niniti kona kuwa di nin aloli kutelle Molech inani wa suu ghe usujaida. Inan tutun iwa yiru usufa fiyin ulena iwa yichu ghe Rephan. alelere akunki alena iwa kiye inani wa suu manin usujaida na menba. bara nani ima tii ida yiru nilari pii udu kankagbiri dana kadi pii dana ka ta Ubabila.
La, ninyi mliinua madhabahu ya Moleki, na nyota ya mungu wenu Refani, vinyago mlivyotengeneza ili kuviabudu. Kwa hiyo nitawapeleka mbali’ kuliko Babeli.
44 Kube na achif biteiwa di nanya kushoo, inani wa suu Kutelle ku usujaida nanya kudaga nafo awadi nanghinu. Inani wa kiye kudaga nafo na Kutelle na belin Muse ku. kuwa di nafo kona Muse wa yene kitene likupe.
“Baba zetu walikuwa na lile Hema la Ushuhuda huko jangwani. Lilikuwa limetengenezwa kama Mungu alivyokuwa amemwelekeza Mose, kulingana na kielelezo alichoona.
45 Udak kidun, ukon kunebit ayira kutent kone kubi kona Joshua wa dak nin ghinu nanya mminghe. Kubi konere iwa bolu mmin mone, kubi kona Kutelle wa nutun anite alena iwa di nanya mminmone, att nain inuzu. Bara nani Israila kifo mmin moneiman taa min mine, Kudanaghe wadi nanya mine ni duu ayiri ugo Dauda.
Baba zetu wakiisha kulipokea hema kwa kupokezana wakiongozwa na Yoshua katika milki ya nchi kutoka kwa yale mataifa ambayo Mungu aliyafukuza mbele yao, nalo likadumu katika nchi mpaka wakati wa Daudi,
46 Duda taa ayi Kutelle man amini wa tirin Kutelle ku sa akeeghe kilari kika na ame nin vat anit Israila ima suu ghe sujaida.
ambaye alipata kibali kwa Mungu, naye akaomba kwamba ampatie Mungu wa Yakobo maskani.
47 Bara nani Kutelle nin woro Dauda ku uson fere Sulaimanu ma keyi kilari kika na anit ma suu usujaida.
Lakini alikuwa Solomoni ndiye alimjengea Mungu nyumba.
48 ''Bara nani, iyiru kitele katin likara koyan. Na awngya asuo kilari kana ani kiye ba. nafo na Ishaya una liru nuu Kutelle wa nyertin:
“Hata hivyo, Yeye Aliye Juu Sana hakai kwenye nyumba zilizojengwa kwa mikono ya wanadamu. Kama nabii alivyosema:
49 Kutelle woro ''kitene ukursiyi nighari, kutin tutun kiti patilu nin ghari musu kiyapin kilari imaa keyi mugha? Men litini ina kie imong vat kitene nin kutin.
“‘Mbingu ni kiti changu cha enzi, nayo dunia ni mahali pa kuweka miguu yangu. Mtanijengea nyumba ya namna gani? asema Bwana. Au mahali pangu pa kupumzikia patakuwa wapi?
50 Bara anun anit ari iwaya kelai kilari kana men wanya isuu nanya kinin ba?
Je, mkono wangu haukufanya vitu hivi vyote?’
51 Anun anit atimine di gagan kitime! idi nafo akune minere! iani naru Ufunu lauwe, nafo na ini suu!
“Enyi watu wenye shingo ngumu, msiotahiriwa mioyo wala masikio, daima hamwachi kumpinga Roho Mtakatifu, kama walivyofanya baba zenu.
52 akune mine watii anan liru nuu Kutelle ti kanchi kan. Inani wa molu alena iwa beli ubelen dakin Kristi, amere ma chas ana nonko kibinai Kutelle man. Kristi une na malin dak! Amere ule na na ina kpilin nanan ni vira meinani na yisi imolughe!
Je, kuna nabii gani ambaye baba zenu hawakumtesa? Waliwaua wale waliotabiri habari za kuja kwake yule Mwenye Haki. Nanyi sasa mmekuwa wasaliti wake na wauaji.
53 Anughere anite na ina seru tidokoki Kutelle. Too tidokore Kutelle nani gono kadura me ani acif bite, vat nanma na ina durtu ti dokokeba.
Ninyi ndio mlipokea sheria zilizoletwa kwenu na malaika, lakini hamkuzitii.”
54 Kube na anan ma wucuwucu na Yahudawe nin saure lanza vat elemon na Istifanus benle, inani wa lanza ayii ka. Inani wa din talu na yini mine bara ilemong na Istifanu benle nanin!
Waliposikia haya wakaghadhibika, wakamsagia meno.
55 bara nani Ufunu ulau tin nonko kibinai Istifanus. Amini tii iyizime kitene kane atina ayene ikanan laa Kutelle. Amini wa yene Yesu ku yisin mbung chara ulime Kutelle.
Lakini yeye Stefano, akiwa amejaa Roho Mtakatifu, alikaza macho mbinguni, akaona utukufu wa Mungu, na Yesu akiwa amesimama mkono wa kuume wa Mungu.
56 ''Yene,''aworo'' iyene kutenle puno, imini yene gono nit yisin kusari chara ulime Kutelle
Akasema, “Tazameni! Naona mbingu zimefunguka, na Mwana wa Adamu amesimama upande wa kuume wa Mungu.”
57 Dana anan ma wucuwucu na Yahudawe nin usaura mine lanza. inani watii inteed kan. Inani wa tursu atuf mine ninna chara bara na iwa lanza ghe ba, sa umolukubi itinna imuna tii kiti me.
Lakini wao wakapiga kelele kwa sauti kubwa, wakaziba masikio yao, wakamrukia kwa nia moja.
58 Inani iwa wunun gh udu udas kagbire Urshalima tina tauzu ghe nin na tala. Anit alena iwa suu kinu kitene me itina kala alituk mine ichau kupopo ko kunyana lisamw Shawulu amini wa suu uhaa nalituk ke.
Wakamtupa nje ya mji, wakampiga kwa mawe. Nao mashahidi wakaweka mavazi yao miguuni mwa kijana mmoja ambaye jina lake aliitwa Sauli.
59 Dana ilau ubun tauzu ghe nin natale, Stifanus taa nlira,''Ucikilari nin Yesu sere ifip nighe!
Walipokuwa wakimpiga mawe, Stefano aliomba, “Bwana Yesu, pokea roho yangu.”
60 Nin nani Stifanus tin na adeu kitin ani jartin, Cikilari, na uwa kifo nani kulapi kona ba! Nin kidun na benle nani, atina kuu.
Kisha akapiga magoti, akalia kwa sauti kubwa akasema, “Bwana usiwahesabie dhambi hii.” Baada ya kusema hayo, akalala.

< Katwa Nono Katwa 7 >