< Ma:diu 18 >

1 Amo esoga, Yesu Ea fa: no bobogesu dunu ilia da Yesuma misini, amane sia: i, “Gode Ea Hinadafa Hou ganodini nowa da baligi bagadela: ?”
Muda huo huo wanafunzi wakaja kwa Yesu na kumwambia, “Ni nani aliye mkubwa katika ufalme wa mbinguni?”
2 Yesu da mano fonobahadi Ema misa: ne sia: i. E da amo mano fonobahadi ilia gilisisu ganodini ilia midadi aligila misa: ne sia: i.
Yesu akamwita mtoto mdogo, akamweka katikati yao,
3 Amalalu, E da amane sia: i, “Na da dafawane sia: sa! Dilia da hame sinidigili, dilia hou amo mano ea hou agoane bu hame hamosea, dilia da Gode Ea Hinadafa hou ganodini masunu hamedei ba: mu.
na kusema, “Kweli nawaambieni, msipotubu na kuwa kama watoto wadogo hamtaweza kuingia katika ufalme wa Mungu.
4 Amaiba: le, nowa dunu da ea hou fonobosea, goe mano fonobahadi ea hou agoane bu hamosea, amo dunu fawane da Gode Ea Hinadafa Hou ganodini baligi bagade ba: mu.
Hivyo yeyote ajishushaye kama mtoto mdogo, mtu kama huyo ni mkuu katika ufalme wa mbinguni.
5 Nowa da Na Dioba: le, mano fonobahadi goe mano agoane amo hahawane yosia: sea, e da Na amola hahawane yosia: sa.
Na yeyote ampokeaye mtoto mdogo kwa jina langu anipokea mimi.
6 Nowa dunu da mano fonobahadi afae ea Nama dafawaneyale dawa: su hou yolesima: ne ado ba: sea, amo dunu ea se iasu dabe lamu da dunu amo ea galogoaga igi bagadedafa la: gili, hano wayabo bagadega galadigi dagoi ba: i, amo ea se iasu bagadewane baligimu.
Lakini yeyote asababishaye mmoja kati ya wadogo hawa wanaoniamini kuasi, itakuwa vizuri kwa mtu huyo jiwe kuu la kusagia likafungwa shingoni mwake, na kuzamishwa kilindini mwa bahari.
7 Be eno dunu ilia hou hamobeba: le, dunu eno da dafamu. Amaiba: le osobo bagade fi da se bagade nabimu. Amo hou da doaga: mu. Be dafama: ne ado ba: su dunu da se iasu bagadedafa ba: mu.
Ole kwa dunia kwa sababu ya wakati wa kukwazwa! kwa kuwa haina budi kwa nyakati hizo kuja, lakini ole kwake kwa mtu yule nyakati hizo zitakuja kwa ajili yake!
8 Dia lobo ea hou o dia emo ea hou hamobeba: le, di da wadela: le hamosea, di da eso huluane mae haba: dole nenanebe lalu ganodini, dia lobo adunawane amola emo adunawane ahoasa: besa: le, dia emo o lobo damuni fasima. Di da Fifi Ahoanusu ganodini lobo o emo afaewane masunu da defea. (aiōnios g166)
kama mkono wako au mguu wako ukikusababishia kukwazika, ukate na uutupe mbali na wewe. Ni vizuri zaidi kwako wewe kuingia kwenye uzima ukiwa bila mkono au kilema, kuliko kutupwa kwenye moto wa milele ukiwa na mikono yote au miguu yote. (aiōnios g166)
9 Dia siga ba: beba: le dafamu galea, defea, dia si duga: le fasima. Di da si afadafa fawane Fifi Ahoanusu amo ganodini masunu da defea. Be si adunawane gala amo Helo laluga ha: digi dagoi ba: mu da defea hame. (Geenna g1067)
Kama jicho lako likikukwaza, uling`oe na ulitupe mbali na wewe. Ni vizuri zaidi kwako wewe uingie kwenye uzima na jicho moja, kuliko kutupwa kwenye moto wa milele ukiwa na macho yote. (Geenna g1067)
10 “Mano fonobahadi afae ea hou da hamedei, amo maedafa dawa: ma! Na da dilima sia: sa! Eso huluane Hebene ganodini, ilia a: igele fidisu dunu da Na Ada ea odagi ba: lala.
Tazameni kwamba msije mkamdharau mmoja wa wadogo hawa. Kwa maana nawambieni kuwa mbinguni kuna malaika wao siku zote wakiutazama uso wa Baba yangu aliye mbinguni.
11 Dunu Egefe da fisi liligi bu lamusa: misi dagoi.
(Zingatia: Maneno yanayoonekana kama ya msitari wa 11, “Kwa kuwa Mwana wa Adamu alikuja kuokoa kile kilichokuwa kimepotea” hayakuonekana katika nakala bora za kale).
12 Dilia adi dawa: bela: ? Sibi ouligisu da sibi 100 agoane ouligibiba: le, afadafa fisisia, e da eno 99 yolesili, amo sibi fisi afae hogoma: bela: ?
Mnafikiri nini? Ikiwa mtu ana kondoo mia moja, na mmoja wao akapotea, je hatawaacha tisini na tisa ya mlimani na kwenda kumtafuta mmoja aliyepotea?
13 Dafawane! E da hogomu! Bu ba: sea, e da nodone bagade sia: mu. Ea hahawane hou amo sibi ba: beba: le, sibi hame fisi99ilima hahawane hou, da bagadewane baligimu
Na akiisha kumpata, kweli nawaambieni, anamfurahia kuliko wale tisini na tisa wasiopotea.
14 Amaiba: le, mano fonobahadi afadafa fawane da fisili udigili bogomu, Gode Ea higa: i hodosa.
Vivyo hivyo, siyo mapenzi ya Baba yenu wa mbinguni kuwa mmoja wa wadogo hawa aangamie.
15 Dia fi dunu da dima wadela: le hamoi galea, di ema asili, wamowane hima hidadea nabima. E da dia sia: nabasea, e da dia fi dunu bu esalumu.
Kama ndugu yako akikukosea, nenda, kamwonyeshe dosari iliyopo kati yako na yeye akiwa pekee yake. Kama akikusikiliza, utakuwa umemrejesha ndugu yako.
16 Be e da dia sia: hame nabasea, dunu afadafa o aduna eno lale, ema bu fofada: ma! Dunu aduna o udiana ilia da ba: su hou hamosea, dia sia: da dafawane, dunu eno ilia da ba: mu.
Lakini kama hatakusikiliza, mchukue ndugu mmoja au wawili zaidi pamoja nawe, kwa kuwa kwa vinywa vya mashahidi wawili au watatu kila neno linaweza kuthibitishwa.
17 Be wadela: i hamosu dunu da ilia sia: hame nabasea, Gode Ea Fa: no Bobogesu Fi dunu huluane ilima adoma. E da ilia sia: amola hame nabasea, dilia amo dunu fadegama. Dilia da amo dunu ga fi wadela: i hamosu dunu defele ba: mu da defea.
Na kama akipuuza kuwasikiliza, liambie kanisa jambo hilo, kama akipuuza vilevile kulisikiliza kanisa, basi na awe kama mtu wa mataifa na mtoza ushuru.
18 Na da dafawane sia: sa! Dilia osobo bagadega logo ga: sisia, amo logo da Hebene ganodini ga: si dagoi ba: mu. Dilia da osobo bagadega amo logo bu doasisia, amo logo da Hebene ganodini doasi dagoi ba: mu.
Kweli nawaambieni, chochote kile mtakachokifunga duniani na mbinguni kitafungwa. na chochote mtakachokifungua duniani na mbinguni kitafunguliwa.
19 Na da eno dilima olelesa. Dunu aduna da gilisili hou afadafa hamomusa: sia: ne gadosea, Na Ada Hebene ganodini esala da amo hou hamomu.
Tena nawaambieni kwamba kama watu wawili kati yenu wakikubaliana juu ya jambo lolote duniani waliombalo, hilo Baba yangu wa mbinguni atalifanya.
20 Bai dunu aduna o udiana da Na Dioba: le gilisisia, Na amola da ilima gilisi dagoi ba: mu.
Kwa kuwa wawili au watatu wakikusanyika pamoja kwa jina langu, Mimi niko katikati yao.
21 Bida da Yesuma misini, amane sia: i, “Hina! Na ola o na eya nama wadela: le hamonanea, na da eso habodayane ea wadela: i hou gogolema: ne olofoma: bela: ? Fesuale agoane gogolema: ne olofoma: bela: ?”
Tena Petro akaja na kumwambia Yesu, “Bwana, ni mara ngapi ndugu yangu akinikosea nami nimsamehe? Hata mara saba?”
22 Yesu E bu adole i, “Fesuale agoane hame, be 77 agoane osia: idafa amo ea wadela: i hou gogolema: ne olofoma.
Yesu akamwambia, “Sikuambii mara saba, lakini hata sabini mara saba.
23 Bai Gode Ea Hinadafa hou da agoaiwane gala. Osobo bagade hina bagade dunu afae da ea hawa: hamosu dunuma ilia bidi lasu hou abodemusa: dawa: i galu.
Kwa sababu hiyo ufalme wa mbinguni ni sawa na mfalme fulani aliyetaka kusahihisha hesabu kutoka kwa watumwa wake.
24 Hawa: hamosu dunu afadafa ema, e da muni bagadedafa dabe lamu galu.
Alipoanza kusahihisha hesabu, mtumwa moja akaletwa kwake ambaye alikuwa anamdai talanta elfu kumi.
25 Be amo hawa: hamosu dunu da dabe imunu hamedeiba: le, hina bagade da amo dunu, ea uda, ea mano amola ea liligi huluane bidi lale, amo muni ema ima: ne sia: i.
Kwa kuwa hakuwa na njia ya kulipa, bwana wake aliagiza auzwe, mke wake pamoja na watoto wake na kila kitu alichokuwa nacho, na malipo yafanyike.
26 Amo sia: nababeba: le, hawa: hamosu dunu da muguni bugili, ea hinama amane sia: i, ‘Nama asigiba: le ouesaloma! Na da huluane imunu.’
Hivyo mtumwa alianguka, akapiga magoti mbele yake, akisema, 'Bwana, uwe na uvumilivu pamoja nami, na nitakulipa kila kitu.'
27 Amalalu, hina bagade da ema asigiba: le, amane sia: i, ‘Defea! Yolema! Dabe huluane yolele, mae ima.’
Hivyo bwana wa yule mtumwa, kwa kuwa alisukumwa sana na huruma, alimwachilia na kumsamehe deni hilo
28 Be amo hawa: hamosu dunu da asili, eno hawa: hamosu dunu ba: i. Amo hawa: hamosu dunu da ema dabe fonobahadi fawane imunu galu. E da ea galogoa gaguli, gasawane sia: i, ‘Na dabe wahadafa nagili ima!’
Lakini mtumwa yule alitoka na kumpata mmoja kati ya watumwa wenzake, aliyekuwa anamdai denari mia. Alimvuta, akamkaba kooni, na kumwambia, 'Nilipe kile ninachokudai.'
29 Amalalu, ea na: iyado da diasa: ili, muguni bugili amane sia: i, ‘Nama asigiba: le, ouesaloma! Na da imunu!’
Lakini yule mtumwa mwenzake alianguka na kumsihi sana, akisema, 'Uwe na uvumilivu nami, na nitakulipa.'
30 Be e da hame asigi. E da amo dunu se iasu diasuga galadigili, bidi huluane iabeba: le fawane se iasu diasu logo bu doasima: ne sia: i.
Lakini mtumwa yule wa kwanza alikataa. Badala yake, alienda na kumtupa gerezani, mpaka atakapo mlipa kile anachomdai.
31 Eno hawa: hamosu dunu huluane da amo hou ba: beba: le, se nabi. Ilia da hina bagadema asili, amo hou huluane ema olelei.
Na walipoona watumwa wenzake kile kilichotokea. Walisikitishwa sana. Walikuja na kumwambia bwana wao kila kitu kilichotokea.
32 Amalalu, hina bagade da amo dunu ema misa: ne sia: i. E da ema amane sia: i, ‘Di wadela: i hawa: hamosu dunu! Di da nama fofada: iba: le, na da dia dabe imunu huluane gogolema: ne olofoi dagoi.
Ndipo yule bwana wa mtumwa yule alimwita, na kumwambia, 'Ewe mtumwa mwovu, nilikusamehe wewe deni langu lote kwa sababu ulinisihi sana.
33 Di da na asigi hou defele, dia na: iyadoma asigimu da defea galu!’
Je! Haukutakiwa kuwa na huruma kwa mtumwa mwenzio, kama mimi nilivyokuhurumia wewe?
34 Hina bagade da ougiba: le, amo hawa: hamosu dunu se iasu diasu ouligisu dunuma asunasi. Se iasu ianu, dabe huluane ia dagoiba: le fawane yolema, e sia: i.
Bwana wake alikasirika na kumkabidhi kwa wale watesaji mpaka atakapolipa kiasi chote alichokuwa anadaiwa.
35 Amo hou defele, dilia da dilia na: iyado ilia hou hame gogolema: ne olofosea, Na Ada da amo hou dilima hamomu.”
Hivyo ndivyo Baba yangu wa Mbinguni atakavyowafanyia, kama kila mmoja wenu hatamsamehe ndugu yake kutoka moyoni mwenu.”

< Ma:diu 18 >