< प्रेरितों के काम 24 >

1 पंच़े दिहैड़ना बाद हनन्याह महायाजके किछ बुज़ुर्ग ते तिरतुल्लुस नंव्वेरो वकील साथी कैसरिया नगरे मां पुज़े, ते गवर्नरे कां पैश भोइतां पौलुसेरां खलाफ फरयाद कमाई।
Baada ya siku tano, Kuhani Mkuu Anania aliwasili Kaisarea pamoja na wazee kadhaa na wakili mmoja wa sheria aitwaye Tertulo. Walimwendea yule mkuu wa mkoa wakamweleza mashtaka yao juu ya Paulo.
2 ज़ैखन पौलुस पैश कियो त तिरतुल्लुस इलज़ाम लेइतां ज़ोने लाव, “हे महान फेलिक्स, तेरे वजाई सेइं अस बड़े खुशी सेइं रातम, ते तेरे ज़िरिये सेइं इस कौमरी केत्री बुरैई सुधैरी गैतिन।
Paulo aliitwa na Tertulo akafungua mashtaka hivi: “Mheshimiwa Felisi, uongozi wako bora umeleta amani kubwa na marekebisho ya lazima yanafanywa kwa manufaa ya taifa letu.
3 एन अस हर ठैरी हर किसमे सेइं मन्तम।
Tunalipokea jambo hili kwa furaha daima na kutoa shukrani nyingi kwako kila mahali.
4 पन हुनी अवं तेरो जादे वक्त नेनो न चैईं, अवं तेरी मिनत केरताईं कि इश्शी अक दूई गल शुन।
Lakini, bila kupoteza wakati wako zaidi, tunakusihi kwa wema wako, usikilize taarifa yetu fupi.
5 असेईं लाहेरूए कि ई मैन्हु बड़ो फसाद केरनेबालोए, ई दुनियारे सारे यहूदन मां फितनाबाज़े, ते नासरी कुपंथेरो प्रधान आए।
Tumegundua kwamba mtu huyu ni wa hatari mno. Yeye huanzisha ghasia kati ya Wayahudi kila mahali duniani na pia ni kiongozi wa kile chama cha Wanazareti.
6 एनी त मन्दरे भी अशुद्ध केरनेरी कोशिश की, ते एल्हेरेलेइ असेईं ए ट्लेइतां एस पुड़ अस अपने कानूनेरे मुताबिक मुकदमो च़लानो चाते थिये।
Tena alijaribu kulikufuru Hekalu nasi tukamtia nguvuni. Kama ukimhoji wewe mwenyewe, utaweza kubainisha mambo haya yote tunayomshtaki kwayo.” Tulitaka kumhukumu kufuatana na Sheria yetu.
7 पन फौजी पलटनरो सरदार लूसियास असन करां ज़बरदस्ती नेही जेव।
Lakini Lusia, mkuu wa jeshi, aliingilia kati, akamchukua kwa nguvu kutoka mikononi mwetu.
8 ते इस पुड़ दोष लाने बाले तीं कां हाज़र भोनेरो हुक्म दे। इन सेब्भी गल्लां केरे बारे मां अस एस पुड़ दोष लातम, तू एप्पू सच़ ज़ान।”
Kisha akaamuru washtaki wake waje mbele yako.
9 यहूदी लोकेईं भी तैस सेइं साथी भोइतां ज़ोवं, कि एना गल्लां केन्च़ां भोइ सेकतिन।
Nao Wayahudi waliunga mkono mashtaka hayo wakisema kwamba hayo yote yalikuwa kweli.
10 ज़ैखन गवर्नरे पौलुसे बियांन देनेरे लेइ इशारो कियो, त पौलुसे जुवाब दित्तो, “अवं ज़ानताईं कि तू केही सालां केरो देंतो इस कौमरो इन्साफ केरनेबालो आस, एल्हेरेलेइ अवं अपनि सफाई तीं कां पैश केरताईं।
Basi, mkuu wa mkoa alimwashiria Paulo aseme. Naye Paulo akasema, “Nafurahi kujitetea mbele yako nikijua kwamba umekuwa hakimu wa taifa hili kwa miaka mingi.
11 तू एप्पू पतो केरि सखत्स कि अवं 12 दिहाड़े पेइले यरूशलेम नगरेरे मन्दरे मां आराधना केरनेरे लेइ जोरो थियो।
Unaweza kujihakikishia kwamba si zaidi ya siku kumi na mbili tu zimepita tangu nilipokwenda kuabudu Yerusalemu.
12 मेरे मुदेइयेइं अवं मन्दरे मां केन्ची सेइं भी बेंस केरतो नईं लाहोरो, ते प्रार्थना घरे मां ते नगर मां इरां उरां लड़ाई केरतो भी नईं लाहोरो।
Wayahudi hawakunikuta nikijadiliana na mtu yeyote. Hawakunikuta nikichochea watu Hekaluni wala katika masunagogi yao, wala mahali pengine popote katika mji huo.
13 हुनी एना इलज़ाम ज़ैना मीं पुड़ लांने लोरेन, ते तेरे सामने साबत न केरि सखे।
Wala hawawezi kuthibitisha mashtaka waliyotoa juu yangu.
14 हाँ अवं इकरार ज़रूर केरताईं कि ज़ैस पंथे एना कुपंथ ज़ोतन, अवं तैसेरे मुताबिक अपने दादे-पड़दादां केरे परमेशरेरी आराधना केरताईं, ते ज़ैन किछ मूसेरे कानूने ते नेबी केरि किताबी मां लिखोरूए, तैन सेब्भन पुड़ मेरो विश्वास आए।
Ninachokubali mbele yako ni hiki: Mimi ninamwabudu Mungu na wazee wetu nikiishi kufuatana na Njia ile ambayo wao wanaiita chama cha uzushi. Ninaamini mambo yote yaliyoandikwa katika vitabu vya Sheria na manabii.
15 अवं परमेशरे पुड़ तैए भरोसो रखताईं, ज़ै तैना रखतन कि धर्मी लोकन ते पापी लोकन परमेशर मुड़दन मरां ज़ींतो केरेलो।
Mimi namtumainia Mungu, na wao wanalo tumaini hilo, kwamba watu, wema na wabaya, watafufuka.
16 ते एल्हेरेलेइ मेरो ज़मीर परमेशरे कां भी ते इन्साने कां भी बेइलज़ाम राए।
Kwa hiyo ninajitahidi daima kuwa na dhamiri njema mbele ya Mungu na mbele ya watu.
17 केही सालां केरे बाद अवं अपने गरीब लोकन दान पुज़ाने, ते च़ढ़तल च़ाढ़ने ओरो थियो।
“Baada ya kukaa mbali kwa miaka kadhaa, nilirudi Yerusalemu ili kuwapelekea wananchi wenzangu msaada na kutoa dhabihu.
18 तैखन एनेईं अवं मन्दरे मां लाव, त अवं शुद्ध भोनेरी रीत पूरी केरने लोरो थियो, बगैर लोक अकोट्ठे केरतां ते बगैर कोन्ची हंगामे इन कम केरतो लाव। पन तैना आसिया इलाकेरे किछ यहूदी थी, ते तैन जाईज थियूं।
Wakati nilipokuwa nikifanya hayo ndipo waliponikuta Hekaluni, nilipokuwa nimekwisha fanya ile ibada ya kujitakasa. Hakukuwako kundi la watu wala ghasia.
19 अगर मीं किछ गलत कियोरू भोथू त तैनेईं इड़ी तेरे सामने मीं पुड़ दोष लोरो लोड़तो थियो, किजोकि तैनेईं एप्पू लावरूए कि मीं मन्दरे मां कुन कियूं।
Lakini kulikuwa na Wayahudi wengine kutoka mkoa wa Asia; hao ndio wangepaswa kuwa hapa mbele yako na kutoa mashtaka yao kama wana chochote cha kusema dhidi yangu.
20 इना लोक ज़ैना इड़ी ओरेन, एना ज़ोन कि ज़ैखन अवं महासभा मां पैश भोरो थियो, त एनेईं मीं मां कुन कसूर लाहोरो थियो?
Au, waache hawa walio hapa waseme kosa waliloliona kwangu wakati niliposimama mbele ya Baraza lao kuu,
21 सुवाए इस गल्लरे कि ज़ै मीं बड़े ज़ोरे सेइं आवाज़ देइतां ज़ोरी थी, कि अवं ई विश्वास केरताईं परमेशरे मुड़दन ज़ींते केरते, एल्हेरेलेइ मीं पुड़ मुकदमो च़लाने लगोरेंन।”
isipokuwa tu maneno haya niliyosema niliposimama mbele yao: Mnanihukumu leo hii kwa sababu ya kushikilia kwamba wafu watafufuliwa!”
22 फेलिक्स ज़ै इस पंथेरे बारे मां ठीक-ठीक ज़ानतो थियो, एन ज़ोइतां मुकदमो बंद कियो, “ज़ैखन फौजी पलटनरो सरदारे लूसियास इड़ी एज्जेलो त अवं तुश्शे सामने इस मुकदमेरो फैसलो केरेलो।”
Hapo, Felisi, ambaye mwenyewe alikuwa anaifahamu hiyo Njia vizuri, aliahirisha kesi hiyo. Akawaambia, “Nitatoa hukumu juu ya kesi hiyo wakati Luisa, mkuu wa jeshi, atakapokuja hapa.”
23 तैनी सूबेदारे हुक्म दित्तो, कि पौलुसे पेरहे मां रख्खा, ते तैसेरे दोस्तन मरां केन्ची भी तैसेरी सेवा केरनेरे लेइ न रोकथ।
Kisha akamwamuru yule jemadari amweke Paulo kizuizini, lakini awe na uhuru kiasi, na rafiki zake wasizuiwe kumpatia mahitaji yake.
24 केही दिहैड़ना बाद गवर्नर फेलिक्स अपनि कुआन्श द्रुसिल्ला ज़ै यहूदी थी, तै तैस सेइं साथी कैसरिया मां अव, तैनी पौलुसे जो समाद भेज़ो ते यीशु मसीह पुड़ विश्वास केरनेरे बारे मां गल्लां शुनाए।
Baada ya siku chache, Felisi alifika pamoja na mkewe Drusila ambaye alikuwa Myahudi. Aliamuru Paulo aletwe, akamsikiliza akiongea juu ya kumwamini Yesu Kristo.
25 ज़ैखन पौलुस एन ज़ोवं, कि परमेशरेरी नज़री मां कुन रोड़ूए ते अपने इच्छा कैबू केरनेरे बारे मां ते एजनेबाले परमेशरेरे इन्साफेरे बारे मां भी ज़ोवं, त फेलिक्स डेरि जेव, ते ज़ोने लगो, “हुनी तू गा, अगर फुर्सत मैलेली त अवं तीं फिरी तीं कुजेइलो।”
Lakini wakati Paulo alipoanza kuongea juu ya uadilifu, juu ya kuwa na kiasi na juu ya siku ya hukumu inayokuja, Felisi aliogopa, akasema, “Kwa sasa unaweza kwenda; nitakuita tena nitakapopata nafasi.”
26 तैस पौलुसे करां किछ मैलनेरी उमीद थी, एल्हेरेलेइ तै तैस बार-बार कुजातो थियो, ते तैस सेइं गल्लां केरतो थियो।
Wakati huohuo alikuwa anatumaini kwamba Paulo angempa fedha. Kwa sababu hii alimwita Paulo mara kwa mara na kuzungumza naye.
27 पूरे दूई सालना बाद पुरकियुस फेस्तुस, फेलिक्सेरे ठैरी गवर्नर बनो, ते फेलिक्से यहूदी खुश केरनेरे लेइ पौलुस कैदखाने मां रख्खो।
Baada ya miaka miwili, Porkio Festo alichukua nafasi ya Felisi, akawa mkuu wa Mkoa. Kwa kuwa alitaka kujipendekeza kwa Wayahudi, Felisi alimwacha Paulo kizuizini.

< प्रेरितों के काम 24 >