< Luk'as Dooshishiyo 10 >

1 Maniyere okoon doonzo, shabe git ashuwotsi galbdek'i, bí amoosh b́gawts kitonat beyok jamok shin shino bo ametuwok'o git gito woshdek't b́woshi.
Baada ya mambo hayo, Bwana akachagua sabini wengine, na kuwatuma wawili wawili wamtangulie katika kila mji na eneo alilotarajia kwenda.
2 Hank'o boosh bíeti, «Hamb, kakwet mááyo aye, mááy kakuwi fintswotsmo kos'nee, mansh mááy katso doonz mááy kakwitwotsi mááyko'iyosh b́woshitwok'o k'onwere.
Akawaambia, “Mavuno ni mengi, lakini wafanyakazi ni wachache. Hivyo basi muombeni Bwana wa mavuno, ili kwamba atume haraka wafanyakazi katika mavuno yake.
3 Eshe ameree, hamb, mereerikok'o iti elahi dagots twoshiri,
Enendeni katika miji. Angalieni, ninawatuma kama kondoo katikati ya mbwa mwitu.
4 It werindosh eegor deshdek'k'ayere, gizi borsonor, k'arc'itonor, c'amonor b́ wotiyal deshdek'o k'ayere, ashonton jam aateyoke weerindatse need'ar aawo ili k'ayere.
Msibebe mfuko wa pesa, wala mikoba ya wasafiri, wala viatu, wala msimsalimie yeyote njiani.
5 It kindts maa jamotse shin shino ‹Jeeno mansh wotowe, › erere,
Katika nyumba yeyote mtakayo ingia, kwanza semeni, 'Amani iwe katika nyumba hii.'
6 Jeen shunts asho maa manitse fa'e wotiyal it jeeno bísh bodetwe, maniyalbako it jeeno it maants k'ay aanitwe.
kama mtu wa amani yupo pale, amani yenu itabaki juu yake, lakini kama sivyo, itarudi kwenu.
7 Finiru ashosh damozo bísh geyife, mansha it kindts mootse itsh t'íntsetso mafetsr uyfetsr beewere, ik mootse keer k'osh moots gúúŕ k'ayere.
Bakini katika nyumba hiyo, kuleni na mnywe watakachokitoa, kwa maana mfanyakazi anastahili mshahara wake. Msihame kutoka nyumba hii kwenda nyingine.
8 Aaknor wotowa kitots it kindor ashuwots itn bo dek'or itsh bo t'intstso moore.
Mji wowote muuingiao, na wakawapokea, kuleni chochote kitakachowekwa mbele yenu,
9 Kit manitsi daatset shodetswotsnowere kashiwore, ash jamoosho were, ‹Ik'i mengstu it maantsan t'inraniye, › err keewwere.
na ponyeni wagonjwa waliomo humo. Semeni kwao, 'Ufalme wa Mungu umekuja karibu yanu'
10 Ernmó kit aawitsor it kindor ash ashuwots itn dek'o bok'azetka wotiyal kit man jebats keder boosh hank'o erere,
Lakini katika mji wowote mtakaoingia, na wasiwapokee, nendeni nje katika barabara na semeni,
11 ‹Hambe, dab notufatse fa'a it kitutsi k'undo itsh tebk'rirwone, ernmó Ik'i mengsto it maants b́ t'intsok'o dan de'ere.›
'Hata vumbi katika mji wenu lililonata miguu mwetu tunalikung'uta dhidi yenu! Lakini tambueni hili, Ufalme wa Mungu umekaribia.'
12 Angshi aawots kit maniyere Sedom kituats weet fayo ketefe etirwe itsha.»
Ninawambieni kwamba siku ya hukumu itakuwa ni usitahamilivu zaidi kwa Sodoma kuliko mji huo.
13 Manats dabt Iyesus hank'owo bíet, «Indowe neesha Korazine! indowe neena Betesayido! ititse finets aditswots, T'irositsnat Sidoniytse finere wotink'e manoke fa'a ashuwots shiyani taho tahde'er tuulats bede, naandrone etank'ne.
Ole kwako Korazini, Ole kwako Bethsaida! Kama kazi kuu zilizo fanyika ndani yako ingalifanyika Tiro na Sidoni, Wangelitubu zamani sana, wakikaa ndani ya nguo za gunia na majivu.
14 Manshe angshi aawots itiyere T'irosnat Sidonats fayet fayo ketefee.
Lakini itakuwa usitahamilivu zaidi siku ya hukumu kwa Tiro na Sidoni zaidi yenu.
15 Neewere K'frnahome, darots n borfetso dambaan tuwo geefneyá? Beree si'olits oot'etune.» (Hadēs g86)
Wewe Kapernaumu, Unafikiri utainuliwa mpaka Mbinguni? Hapana, utashushwa chini mpaka kuzimu (Hadēs g86)
16 Aaninwere Iyesus b́ danifwotssh, «Iti k'ebetwoniye taano k'ebetwe, itsh k'aztso taano k'azre, taan k'aztso taan woshtsoniye b́ k'aziri, » bí eti.
Atakaye wasikiliza ninyi anisikiliza mimi, na yeyote atakaye wakataa anikataa mimi, na yeyote anikataaye mimi anmtakaa aliyenituma”
17 Shabe git wosheets b́danifwots boon woshetsoke aydek't gene'uwat bo aani, Iyesusokowere t'int́, «Doonzono! n shúútson dab Fo'erawwots noosh alernee» bo et.
Wale sabini walirudi kwa furaha, wakisema, “Bwana, hata mapepo wanatutii katika jina lako.”
18 Iyesuswere boosh hank'owo bíet, «Shed'ano darotse guumok'o shap'eyat b́ fed'efere bek're,
Yesu akawaambia, “Nilimwona Shetani akianguka kutoka mbinguni kama radi.
19 Eshe hamb! dawuzonat ok'olshon it net'etwok'o, balangari ang jamo it da'itwok'o itsh alo imre, itats gondo bets falitwo ik jago aaliye.
Tazama, nimewapa mamlaka ya kukanyaga nyoka na nge, na nguvu zote za adui, na hapana chochote kwa njia yoyote kitakachowadhuru.
20 Ernomó it shútso darotsi mezgebíyats guut'etsosh gene'ore bako Fo'erawo itsh b́ aletsosh gene'úk'ayere.»
Hata hivyo msifurahi tu katika hili, kwamba roho zinawatii, lakini furahini zaidi kwamba majina yenu yameandikwa mbinguni.”
21 Manór Iyesus S'ayn shayiron gene'uwat hank'o bí et, «Daronat datsonsh doonz wotts Nihono! keewhan s'ekwotsnat dantswotssh aatsat danawwotssh nkitstsotse neen údere, ee, Nihono! han k'alo n shuno wotere.
Katika mda uleule alifurahi sana katika Roho Mtakatifu, na kusema, “Ninakusifu wewe, Baba, Bwana wa mbingu na dunia, kwa sababu umeyaficha mambo haya kutoka kwa wenye hekima na akili, na kuyafunua kwa wasio fundishwa, kama watoto wadogo. Ndio, Baba, kwa kuwa ilipendeza katika machoni pako.”
22 «Jam keewo t nihoke taash imere, naayo koni b́woto nihoniyere okoon konwor dantso aaliye, mank'owa niho koni b́ woto naayo niye okoon wee naayo kitsosh b́ geyirw ashoniye okoon k'osho konwor danetwo aaliye.»
“Kila kitu kimekabidhiwa kwangu na Baba yangu, na hakuna afahamuye Mwana ni nani ila Baba, na hakuna afahamuye Baba ni nani ila Mwana, na ye yote ambaye Mwana hutamani kujifunua kwake.”
23 Maniye okoon Iyesus b́ danifwots maants wongr ett aanat bo aalsh hank'o bí eti, «It it bek'irwan bek'irowots derekne.
Akawageukia wanafunzi, akasema faraghani, “Wamebarikiwa wayaonayo haya ambayo ninyi mnayaona.
24 Arikon ay nebiyiwotsnat naashwotsn it bek'irwan bek'osh tewntni bo teshi, ernmó be'aatsno, it k'ebirwanor k'ebosh tewntniye botesh, ernmó shiyatsne.»
Ninawambia ninyi, kwamba manabii wengi na wafalme walitamani kuona mambo myaonayo, na hawakuyaona, na kusikia kusikia mnayoyaikia, na hawakuyasikia.”
25 Ik aaw Muse nemo daniyf iko Iyesusok b́weyi, bín fadosh geeyat «Danifono! dúre dúri kasho daatsosh eeg k'alo taash geyfa?» ett bíaati. (aiōnios g166)
Tazama, mwalimu fulani wa sheria ya Kiyahudi alisimama na kumjaribu, akisema, “Mwalimu, nifanye nini niurithi izima wa milele?” (aiōnios g166)
26 Iyesuswere «Nemotse guut'etso eebi? n nababor bítse aak'owe n t'iwintsi?» bí et.
Yesu akamwambia, “Kimeandikwa nini katika sheria? Unaisoma je?”
27 Ashmanwere «Nemonmo ‹Doonzo Izar Izewernehe n maac'i s'eenon, n kashok'o, ni ang s'eenon, n nib s'eenon, shune, › ando mank'owa k'osh asho n tokok'o wosh de'er shune» etfe bí et.
Akajibu akasema, “Utampenda Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, kwa roho yako yote, kwa nguvu zako zote, na kwa akili zako zote, na jirani yako kama nafsi yako mwenyewe.”
28 Iyesuswere «Arikon aniyirne, eshe nee man k'aluwe! dúre dúri kashone daatsitune» bí eti.
Yesu akasema, “Umejibu kwa usahihi. Fanya hivi na utaishi.”
29 Muse nemo daniyfonmó b́ tooko kááw asho woshosh geyat́, «Wotowa eré t mashmó kone bí?» ett bíaati.
Lakini mwalimu, akitamani kujihesabia haki mwenyewe, Akamwambia Yesu, “Na jirani yangu ni nani?”
30 Iyesuswere hank'o ett bísh bíaaniy, «Ash iko Iyerusalemitse kesht Iyariko maants oot't bí'amfere weerindatse bik'fwots daatsdek't b́ taho bí'atse kishdek't, jot' isht k'irosh kasho b́ k'as'fere juuk'rat k'az boami.
Yesu akijibu akasema, “Mtu fulani alikuwa akitelemka kutoka Yerusalem kwenda Yeriko. Akaangukia kati ya wanyang'anyi, waliomnyang'anya mali yake, na kumpiga na kumuacha karibu akiwa nusu mfu.
31 Kahhini iko dingatoń werind mann bí'amfera b́ teshi, jot' dek't juuk'rets ashman b́ bek'tsok'on eegor bísh b́k'alrawon ashman nad't k'azbiami.
Kwa bahati kuhani fulani alikuwa akishuka katika njia hiyo, alipo muona alipita upande mwingine.
32 Mank'o Lewawiyo werindmann b́ beshefera b́tesh, bíwere ashman b́ bek'tsok'on eegor bísh b́ k'alrawon k'osh werindon beshat k'azbí'am.
Vivyo hivyo Mlawi pia, alipofika mahali pale na kumuona, akapita upande mwingine.
33 Semriya eteets dats ashonmó man weeron b́ beshefere ashman maants wáát, bín b́ bek'tsok'on bísh maac'o b́ k'ewi,
Lakini Msamaria mmoja, alipokuwa akisafiri, alipita pale alipokuwa mtu huyo. alipomuona, alisukumwa kwa huruma.
34 B́maand t'int zeyitonat weyiniwon dutsets biro b́ gaawmanats b́ kuut'i, tahonowere bíats s'as'dek't tipb́k'ri, maniye il b́ took dazats bezdek't ib ibuwots k'eef mook dek' bíami, manoknowere sheengshdek't b́ duguní.
Alimkaribia na kumfunga vidonda vyake, akimwiga mafuta na divai juu yake. Alimpandisha juu ya mnyama wake, na kumpeleka katika nyumba ya wageni na kumhudumia.
35 Yatsok'on git dinariwotsi kishdek't ibi k'ey maa man doonzsh imt ‹Ashaan sheengshde dugunowe, k'osh gizo nkishiyalowere ti aanor neesh dashetwe, › bí eti.
Siku ilyofuata alichukua dinari mbili, na akampatia mmiliki wa nyumba ya wageni na kumwambia, 'Muhudumie na chochote cha ziada utakacho tumia, nitakulipa nitakaporudi.'
36 «Eshe, keez ashaanotsitse, biik'tswotsn togeyat dihts ashmansh b́ mashi bísh wottso aawi arefa neesha?»
Ni yupi kati ya hawa watatu, unafikiri, alikuwa ni jirani kwake yeye aliyeangukia kati ya wanyang'anyi?”
37 Muse nemo daiyfonwere, «Bísh maac' k'ewat bín tep'tsmaniye, » ett bí'aaniy. Iyesuswere «Eshe amee, neewor mank'o k'alwe!» bí eti.
Mwalimu alisema, “Ni yule aliyeonesha huruma kwake.” Yesu akamwambia, “Nenda na ukafanye vivyo hivyo”
38 Iyesus b́ danifwotsnton weerindo amfetst gál ikuts bodb́wtsi, manokno Martay eteets mááts iku bgal s'eegbdek'i,
Sasa walipokuwa wakisafiri, waliingia katika kijiji fulani, na mwanamke mmoja jina lake Martha alimkaribisha nyumbani kwake.
39 Biwere Mariyami eteets mishu detsfa btesh, Mariyami eteetsman Iyesus tufi shirots bedek'at b́ danirw dano bk'ebiri.
Alikuwa na dada aliyeitwa Mariamu, aliekaa miguuni pa Bwana na kusikiliza neno lake.
40 Martamó mish k'ac'on aydek't bmawufera btesh, mansh Iyesus maants t'iinat, «Doonzono! t mishhan fin jamo tiats k'azbk'rere bek'fetsat s'k niet eegishe? Oona neesha taash b dabitwok'o bish keewwe!» bi'eti.
Lakini Martha alijipa shughuli nyingi za kuandaa mlo. Alikwenda kwa Yesu, na kusema, “Bwana, haujali kwamba dada yangu ameniacha nihudumu peke yangu? Hivyo basi mwambie anisaidie.”
41 Doonzo Iyesusmó hank'o ett bish bí'aaniy, «Marta Martaye, nee ay keewone n kic'iri, ay keewonowere gondo nbek'iri,
Lakini Bwana alimjibu na kumwambia, “Martha, Martha, una sumbuka juu ya mambo mengi,
42 Ernmó geytwoniye ik s'uzee, Mariyamwere k'ants keewo galdek'raniye, bínowere biyatse konwor k'a'udek'etwo aaliye.»
lakini ni kitu kimoja tu cha muhimu. Mariamu amechagua kilicho chema, ambacho hakitaondolewa kutoka kwake.”

< Luk'as Dooshishiyo 10 >