< 2 Khokhuen 21 >

1 Jehoshaphat te a napa rhoek taengla a khoem uh vaengah David khopuei ah a napa rhoek neh a up uh. Te phoeiah a capa Jehoram te anih yueng la manghai.
Yehoshafati akalala pamoja na babu zake na akizikwa pamoaja nao katika mji wa Daudi;
2 A boeinaphung ah Jehoshaphat koca rhoek la Azariah, Jehiel, Zekhariah, Azariah, Michael, Shephatiah. He boeih he Israel manghai, Jehoshaphat koca rhoek ni.
Yehoramu, mwanaye, akawa mfalme katika nafasi yake. Yehoramu alikuwa na ndugu, wana wa Yehoshafati: Azaria, Yerieli, Zekaria, Azaria, Mikaeli, na Shefatia. Wote hawa walikuwa wana wa Yehoshafati, mfalme wa Israeli.
3 A napa loh amih te kutdoe la cak, sui, kawnthen neh Judah khuiah kasam khopuei rhoek khaw muep a paek. Tedae Jehoram te tah a caming dongah ram a paek.
Baba yao alikuwa amewapa zawadi kubwa ya fedha, dhahabu, na vitu vingine vya thamani, na miji yenye ngome katika Yuda, lakini kiti cha enzi alimpa Yehoramu, kwa sababu alikuwa mzaliwa wake wa kwanza.
4 Jehoram loh a napa kah ram te a thoh tih a moem. Tedae a manuca boeih neh Israel mangpa rhoek te khaw cunghang neh a ngawn.
Sasa Yehoramu alipokuwa ameinuka katika ufalme wa baba yake na kujiimarisha mwenyewe kama mfalme, akawaua ndugu zake wote kwa upanga, na pia viongizi wengine mbali mbali wa Israeli.
5 Jehoram te sawmthum kum nit a lo ca vaengah manghai tih Jerusalem ah kum rhet manghai.
Yehoramu alikuwa na umri wa mika thelathini na mbili alipoanza kutawala, na akatawala kwa miaka minane katika Yerusalemu.
6 Ahab imkhui kah a saii bangla Israel manghai rhoek kah longpuei ah pongpa. Ahab canu te anih yuu la a om dongah BOEIPA mikhmuh ah boethae a saii.
Akatembea katika njia za wafalme wa Israeli, kama nyumba ya Ahabu ilivyokuwa ikifanya, kwa maana alikuwa na binti Ahabu kama mke wake, na akafanya yaliyo maovu katika macho ya Yahwe.
7 David taengah paipi a saii coeng dongah David imkhui te phae ham tah BOEIPA loh ngaih pawh. Te dongah amah ham neh a ca rhoek ham khaw hnin takuem hmaithoi khueh pah ham khaw a thui coeng.
Vile vile, Yahwe hakutaka kuiangamiza nyumba ya Daudi, kwa sababu ya agano ambalo alikuwa amefanya na Daudi; alikuwa ameahidi kwamba siku zote angetoa uzima kwa ajili yake na kwa ajili ya vizazi vyake.
8 Anih tue vaengah Judah kut hmui lamkah Edom loh boe a koek tih amih soah manghai te a manghai sakuh.
Katika siku za Yehoramu, Edomu wakaasi wasiwe chini ya Yuda, na wakajisimamishia mfalme juu yao.
9 Te dongah Jehoram loh amah kah mangpa rhoek neh a taengkah leng boeih khaw a khuen. Khoyin ah thoo tih Edom khaw, a kaepvai ah aka vael neh leng mangpa rhoek te khaw a ngawn.
Kisha Yeroboamu akavuka ng'ambo pamoja na maakida na magari yake yote. Ilikuwa usiku aliposimama na kupigana dhidi ya Waedomu ambao walikuwa wamemzunguka na maakida wa magari yake.
10 Edom loh tahae khohnin hil Judah kut hmui lamloh boe a koek. A napa rhoek kah Pathen BOEIPA te a hnawt dongah, amah te kah tue ah Libnah loh anih kut hmui lamkah boe a koek.
Kwa hiyo Edomu iliasi kutoka kuwa chini ya Yuda mpaka leo. Libna pia aliasi wakati ule ule wasiwe chini yake. Kwa sababu Yehoramu alikuwa amemsahau Yahwe, Mungu wa babu zake.
11 Anih long khaw Judah tlang ah hmuensang a sak. Jerusalem khosa rhoek te a cukhalh sak tih Judah te a heh.
Zaidi ya hayo, Yehoramu pia alikuwa amezijenga sehemu zake za juu katika milma ya Yuda na akawafanya wakaaji wa Yuda kuishi kama makahaba, na akawaongoza Yuda katika upotevu.
12 Te dongah tonghma Elijah taeng lamkah cadaek te anih taengla pawk tih, “Na pa David kah Pathen BOEIPA loh he ni a thui. Na pa Jehoshaphat kah longpuei ah khaw, Judah manghai Asa kah longpuei ah na pongpa moenih.
Barua kutoka kwa nabii Eliya ikaja kwa Yerohamu. Ilisema, “Hivi ndivyo Yahwe, Mungu wa Daudi, babu yako, anasema: Kwa sababu hujatembea katika njia za Yehoshafafati, baba yako, wala katika njia za Asa, mfalme wa Yuda,
13 Israel manghai kah longpuei ah na pongpa. Judah neh Jerusalem khosa rhoek te Ahab imkhui kah a cukhalh bangla na cukhalh sak. Na pa imkhui kah na manuca rhoek khaw namah lakah then dae na ngawn.
bali umetembea katika njia za wafalme wa Israeli, na umewafanya Yuda na wakaaji wa Yerusalemu kuenenda kama kahaba, kama nyumba ya Ahabu walivyofanya—na kwa sababu pia umewaua ndugu zako katika familia ya baba yako kwa upanga, watu waliokuwa bora kuliko wewe mwenyewe—
14 BOEIPA loh na pilnam soah khaw, na ca rhoek soah khaw, na yuu rhoek soah khaw, na khuehtawn boeih soah khaw lucik neh mat a vuek coeng ke.
ona, Yahwe atawapiga watu wako na pigo kubwa, watoto wako, wake zako, na mali zako zote.
15 Nang te tlohtat a yet neh, na ko khuikah tlohtat neh, hnin at phoeiah hnin at tlohtat lamloh na bung a vawh hil,” a ti nah.
Wewe mwenyewe utakuwa na ugonjwa mwingi kwa sababu ya ugonjwa kataika katika utumbo wako, mpaka utumbo wako uanguke nje kwa sababu ya ugonjwa, siku baada ya siku.
16 BOEIPA loh Jehoram soah Philisti kah mueihla neh Kushi kut dongah Arab te a haeng thil.
Yahwe akaichochea roho ya Wafilisiti dhidi ya Yuda na ya Waarabu waliokuwa karibu na Waethipia.
17 Te dongah Judah te a muk uh tih a rhek sakuh. Manghai im kah a hmuh khuehtawn cungkuem neh a ca rhoek khaw a yuu rhoek khaw a sol pauh. Anih ham ca pakhat khaw paih pah pawt tih a ca canoi Jehoahaz bueng a paih pah.
Wakaivamia Yuda, wakavamia katika nyumba ya mfalme. Pia wakawachukua wanaye na wake zake. Hakuna mwana aliyebakizwa kwa ajili yake ispokuwa, Yehoshafati, mwanaye mdogo.
18 BOEIPA loh anih te a cungkuem neh a vuek tih a ko khuikah tlohtat neh hoeihnah om pawh.
Baada ya haya yote, Yahwe akampiga katika utumbo wake kwa ugonjwa usiopona.
19 Hnin at phoeiah hnin at ah om tih a tue loh kum nit a thoknah a pha. Te vaengah tah a tlohtat dongah a bung a vawh pah tih tloh thae neh duek. Tedae anih ham tah a pilnam loh a napa rhoek kah hmai bangla hmai toih pawh.
Ikawa wakati ulipofika, katika mwisho wa miaka miwili, kwamba utumbo wake ukaaanguka nje kwa sababu ya ugonjwa wake, na kwamba akafa kwa ugonjwa mkali. Watu wake hawakutengeneza moto kwa ajili ya heshima yake kama walivyokuwa wamefanyia babu zake.
20 Anih te sawmthum kum nit a lo ca vaengah manghai tih Jerusalem ah kum rhet manghai. Anih a caeh akhaw a sahnaih om pawh. Anih te David khopuei ah tah a up uh dae manghai phuel ah moenih.
Alikuwa ameanza kutawala alipokuwa na umrai wa miaka thelatahini na mbaili; akatawala katika Israeli kwa miaka minane, na alikufa bila kuaombolezwa. Wakamzika katika mji wa Daudi, lakini siyo katika makaburi ya kifalme.

< 2 Khokhuen 21 >