< 2 Khokhuen 22 >

1 Jerusalem khosa rhoek loh Jehoram capa a noe Ahaziah te anih yueng la a manghai sakuh. Lamhma rhoek te tah rhaehhmuen la Arab rhoek neh aka kun caem loh boeih a ngawn. Te dongah Judah manghai Jehoram capa Ahaziah te manghai.
Watu wa Yerusalemu wakamfanya Ahazia, mdogo wa wote wa wana wa Yerohamu, kuwa mfalme mahali pa baba yake, kwa sababu washambuliaji wa ghafula waliokuwa wameingia kambini pamoja na Waarabu, walikuwa wamewaua wana wakubwa wote wa Yehoramu. Kwa hiyo Ahazia mwana wa Yehoramu mfalme wa Yuda akaanza kutawala.
2 Ahaziah te sawmli kum nit a lo ca vaengah manghai tih Jerusalem ah kum at manghai. A manu ming tah Omri canu Athaliah ni.
Ahazia alikuwa na umri wa miaka ishirini na miwili alipoanza kutawala, naye akatawala katika Yerusalemu kwa mwaka mmoja. Mama yake aliitwa Athalia, mjukuu wa Omri.
3 A manu tah anih poehlip sak ham aka uenkung la a om dongah anih khaw Ahab imkhui kah longpuei ah ni a pongpa.
Ahazia naye akaenenda katika njia za nyumba ya Ahabu, kwa sababu mama yake alimshawishi katika kutenda maovu.
4 Ahab imkhui bangla BOEIPA mikhmuh ah boethae a saii. Amih te a napa a dueknah hnukah tah anih te kutcaihnah ham anih aka uenkung la om uh.
Akafanya yaliyo maovu machoni pa Bwana kama walivyokuwa wamefanya nyumba ya Ahabu, kwa kuwa baada ya kufa kwa baba yake nyumba ya Ahabu ndio waliokuwa washauri wake, kwa uangamivu wake.
5 Amih kah cilsuep te a vai van dongah Ramothgilead kah Aram manghai Hazael taengah caemtloek hamla Israel manghai Ahab capa Jehoram te a caeh puei dae Arammi rhoek loh Joram te a ngawn uh.
Pia akafuata shauri lao alipokwenda pamoja na Yoramu mwana wa Ahabu mfalme wa Israeli kupigana na Hazaeli mfalme wa Aramu huko Ramoth-Gileadi. Waaramu wakamjeruhi Yoramu.
6 Te dongah hmasoe lamloh hoeih hamla Jezreel la mael. Te khaw Aram manghai Hazael te a vathoh vaengah ni anih te Ramah ah a ngawn uh. Te dongah Judah manghai Jehoram capa Azariah tah Ahab capa Jehoram a tloh te sawt hamla Jezreel la suntla.
Hivyo akarudi Yezreeli ili apate kuuguza majeraha aliyojeruhiwa huko Ramothi alipopigana na Hazaeli mfalme wa Aramu. Ndipo Ahazia mwana wa Yehoramu, mfalme wa Yuda, akashuka kwenda Yezreeli kumtazama Yoramu mwana wa Ahabu, kwa sababu alikuwa amejeruhiwa.
7 Joram taengla a pawk te Pathen taeng lamloh Ahaziah kah cungkunah a om pah tih a pha neh Nimshi capa Jehu taengla Jehoram te a khuen. Anih te Ahab imkhui saii sak hamla BOEIPA loh a koelh.
Mungu alikuwa ameamuru kwamba kuanguka kwa Ahazia kungetokea atakapokwenda kumwona Yoramu. Ahazia alipowasili, wakatoka pamoja na Yoramu ili kwenda kukutana na Yehu mwana wa Nimshi, ambaye Bwana alikuwa amemtia mafuta kuangamiza nyumba ya Ahabu.
8 Jehu loh Ahab imkhui ah lai a tloek van vaengah tah Judah mangpa rhoek neh Ahaziah taengla aka thotat Ahaziah kah paca boeina te a hmuh uh tih amih te a ngawn.
Yehu alipokuwa anatekeleza hukumu juu ya nyumba ya Ahabu, akawakuta wakuu wa Yuda na wana wa jamaa ya Ahazia waliokuwa wanamhudumia Ahazia, naye akawaua.
9 Ahaziah te a tlap uh dae Samaria ah a thuh vaengah anih te a tuuk uh. Te phoeiah anih te Jehu taengla a khuen tih a duek sak uh phoeiah a up uh. Te vaengah, “Anih he a thinko boeih neh BOEIPA aka toem Jehoshaphat capa ni,” a ti uh. Te dongah Ahaziah imkhui kah thadueng pakhat khaw ram hamla a nuen moenih.
Ndipo akaenda kumsaka Ahazia, nao watu wake wakamkamata alipokuwa amejificha huko Samaria. Akaletwa kwa Yehu, naye Yehu akamuua. Wakamzika kwani walisema, “Alikuwa mwana wa Yehoshafati, ambaye alimtafuta Bwana kwa moyo wake wote.” Hivyo hapakuwa na mtu mwenye uwezo katika nyumba ya Ahazia aliyeweza kushika ufalme.
10 Ahaziah manu Athaliah loh a capa a duek te a hmuh vaengah tah thoo tih ram kah tiingan boeih te Judah imkhui ah a thui.
Wakati Athalia mamaye Ahazia alipoona kuwa mwanawe amekufa, akainuka na kuiangamiza jamaa yote ya mfalme ya nyumba ya Yuda.
11 Tedae Joash capa Ahaziah te manghai canu Jehoshabeath loh a loh. Anih te a ngawn uh manghai koca rhoek lakli lamloh a huen tih baiphaih imkhui ah a cakhoem neh anih te a khueh. Anih te khosoih Jehoiada yuu, manghai Jehoram canu Jehoshabeath loh a thuh. Anih te Athaliah mikhmuh lamkah tah Ahaziah ngannu la a om dongah anih te duek sak pawh.
Lakini Yehosheba, binti wa Mfalme Yehoramu, akamtwaa Yoashi mwana wa Ahazia kwa siri kutoka miongoni mwa wana wa mfalme waliokuwa karibu kuuawa. Akamweka Yoashi pamoja na yaya wake ndani ya chumba cha kulala. Kwa kuwa Yehosheba, aliyekuwa binti wa Mfalme Yehoramu, na pia alikuwa mke wa kuhani Yehoyada, alikuwa dada yake Ahazia, akamficha huyo mtoto ili Athalia asimuue.
12 Athaliah loh khohmuen a manghai thil vaengah amih neh Pathen im ah om tih kum rhuk thuh uh.
Alibaki amefichwa pamoja nao katika Hekalu la Mungu kwa muda wa miaka sita wakati Athalia alikuwa akitawala nchi.

< 2 Khokhuen 22 >