< Isaiah 12 >

1 Tekah khohnin ah, “BOEIPA namah ni kang uem eh?, kai taengah na thintoek dae na thintoek khaw mael coeng tih kai nan hloep.
Katika siku ile utasema: “Nitakusifu wewe, Ee Bwana. Ingawa ulinikasirikia, hasira yako imegeukia mbali nawe umenifariji.
2 Kamah kah khangnah Khohni te ka pangtung vetih ka sarhi ham khaw ka birhih mahpawh. BOEIPA Yahweh laa he khaw kai ham khangnah la om,” na ti ni.
Hakika Mungu ni wokovu wangu; nitamtumaini wala sitaogopa. Bwana, Bwana, ni nguvu zangu na wimbo wangu; amekuwa wokovu wangu.”
3 Khangnah tuisih lamkah omngaihnah neh tui na than uh van bitni.
Kwa furaha mtachota maji kutoka visima vya wokovu.
4 Tekah khohnin ah, “BOEIPA te uem uh lah, amah ming te khue uh lah, a khoboe te pilnam taengah ming sak uh lah, a ming a sang te thoelh uh lah.
Katika siku hiyo mtasema: “Mshukuruni Bwana, mliitie jina lake; julisheni miongoni mwa mataifa yale aliyoyafanya, tangazeni kuwa jina lake limetukuka.
5 Rhimomnah a saii te diklai pum loh a ming coeng dongah BOEIPA te tingtoeng uh lah.
Mwimbieni Bwana, kwa kuwa ametenda mambo makuu, hili na lijulikane duniani kote.
6 Israel kah Hlangcim te na lakli ah a tanglue coeng dongah Zion nu rhoek loh hlampan uh lamtah tamhoe uh laeh,” na ti uh van bitni.
Pazeni sauti mwimbe kwa furaha, watu wa Sayuni, kwa maana mkuu ni yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli miongoni mwenu.”

< Isaiah 12 >