< 2 Samuel 23 >

1 Hetnaw teh a hnukteng Devit ni lawk a dei e naw doeh. Jesi capa Devit a rasangnae koe tawmrasang e lah ao teh, Jakop Cathut ni satui a awi e, Isarel hanelah la kahawi ka phuengkung ni hettelah a dei.
Haya ni maneno ya mwisho ya Daudi-Daudi mwana wa Yese, mtu aliyeheshimiwa sana, aliyetiwa mafuta na Mungu wa Yakobo, mwandishi mzuri wa zaburi wa Israeli.
2 BAWIPA e Muitha ni kai hno lahoi a dei. A lawk teh ka lai dawk ao.
“Roho ya Yahwe alisema nami, na neno lake lilikuwa ulimini mwangu.
3 Isarel Cathut Isarel lungsong ni, kai koevah a dei. Taminaw kaukkung teh, a lan roeroe vaiteh, Cathut taki nalaihoi a uk han.
Mungu wa Israeli alinena, Mwamba wa Israeli aliniambia, “Atawalaye kwa haki juu yangu, atawalaye katika hofu ya Mungu.
4 Khopâui hoeh, kanî ka tâcawt e amom e angnae patetlah thoseh, khorak hnukkhu, kanî a tâco teh talai dawk hoi phokahring ka cawn e patetlah thoseh ao han.
Atakuwa kama nuru ya asubuhi jua linapochomoza, asubuhi isiyo na mawingu, wakati mche mwororo unapochipua kutoka ardhini kupitia mwangaza wa mng'ao wa jua baada ya mvua.
5 Ka imthung teh Cathut hoeh laipalah nakunghai, a yungyoe lawkkamnae kai hoi ka sak roi toe. Hote lawkkam teh tangka kuep hoeh nakunghai, kaie rungngangnae hoi kai ni ka ngainae lah ao.
Hakika, je familia yangu haiko hivi mbele za Mungu? Je hajafanya nami agano la milele, taratibu la uhakika kwa kila njia? Je yeye haongezi wokovu wangu na kutimiza kila hitaji langu?
6 Kai cungkeihoehe taminaw teh, tâkhawng e pâkhig patetlah ao. Bangkongtetpawiteh kut hoi la thai lah awm hoeh.
Lakini yasiyofaa yote yatakuwa kama miiba na kutupwa mbali, kwa maana haiwezekani kukusanywa kwa mikono.
7 Ka tek e tami ni sum hoi tahroe hah hno han a ngai. Hahoi teh, amamae hmuen dawk hmai hoi koung sawi lah ao han telah na pato a ti.
Ayagusaye ni lazima atumie chombo cha chuma au au fumo la mkuki. Ni lazima yachomwe mahali yalipo.
8 Hetnaw heh Devit e athakaawme taminaw doeh. Takhemon tami Joshebbashebeth teh ransa kacuenaw thung dawk kacuepoung e lah ao. Ahni teh tahroe hah a sin teh, tami 800 touh vaitalahoi a thei.
Haya ni majina ya askari wa Daudi: Yashobeamu Mhakmoni alikuwa kiongozi wa mashujaa. Aliua watu mia nne wakati mmoja.
9 Ahni hnuk vah, Aho capa Dodo, Dodo capa Eleazar doeh. Ahni teh taran ka tuk hanelah kamkhueng e Filistinnaw hoi a kâtâ awh lahun hah, Isarelnaw koung a yawng navah, Devit koe e athakaawme taminaw kathum touh thung dawk e buet touh lah ao.
Baada yake alikuwa Elieza mwana wa Dodo, mwana wa mwahohi, mmoja wa mashujaa watatu wa Daudi. Alikuwepo walipowashinda Wafilisti waliokuwa wamekusanyika kwa vita, na wakati watu wa Israeli walipokuwa wamekimbia.
10 Ahni teh a thaw teh, Filistinnaw koe a kut a pho teh a kut nget a tawn totouh Filistinnaw hah a bouk. Hot hnin vah BAWIPA ni lentoenae lahoi a tâ pouh. Ahnimanaw teh tarannaw e hnopai hah a la hanelah doeh a ban awh toe.
Elieza akasimama na kuwapiga Wafilisti mpaka mkono wake ukachoka, mpaka mkono wake ukang'ang'ania mpini wa upanga wake. Siku hiyo Yahwe akatoa ushindi mkuu. Jeshi likarejea kwa ajili ya kuteka tu nyara za waliouawa na Elieza.
11 Ahni hnuk vah, Hararite tami Agee capa Shammah doeh. Baphoungkung a thanae hmuen koe Filistinnaw a kamkhueng awh teh, taminaw ni Filistinnaw a yawng takhai awh.
Baada yake alikuwa Shama mwana wa Agee, Mharari. Wafilisti wakajikusanya pamoja palipokuwa na shamba la dengu, na jeshi likawakimbia.
12 Ahni teh hote hmuen koe a kangdue teh a ring. Filistin tami hah a thei teh, BAWIPA ni kalenpounge tânae a poe.
Lakini Shama akasimama katikati ya shamba na kulitetea. Aliwauwa Wafilisti, na Yahwe akaleta ushindi mkuu.
13 Ransa tarankahawi e thung dawk 30 touh a cathuk awh teh, canganae tueng dawk, Devit aonae koe Adullam talungkhu dawk a cei awh teh, Filistin ransanaw teh Rephaim yawn dawk a tungpup awh.
Watatu kati ya askari thelathini walishuka kwa Daudi nyakati za mavuno, katika pango la Adulamu. Jeshi la Wafilisti lilikuwa limepiga kambi katika bonde la Mrefai.
14 Hatnae tueng navah, Devit teh rapan dawk ao teh, Filistinnaw teh Bethlehem kho vah ao awh.
Wakati huo Daudi alikuwa katika ngome yake, pangoni, wakati Wafilisti walikuwa wanaimilk Bethlehemu.
15 Devit ni dik a doun nalaihoi Bethlehem e tuikhu tui rapan teng e hah nei hane na kapoekung awm haw pawiteh aw telah a ti.
Daudi alitamani maji na akasema, “Kama ingekuwa mtu mmoja angenipa maji ya kunywa kutoka kisima kilichopo Bethlehemu, kisima kilichopo langoni!”
16 Athakaawme taminaw kathum touh ni Filistin ransahu pat a raka teh rapan teng e Bethlehem kho e tuikhu tui hah a do awh. Devit koe a ceikhai awh teh, ahni ni net ngai hoeh. BAWIPA e hmaitung vah a rabawk.
Hivyo mashujaa hawa watatu wakapita kati ya jeshi la Wafilisti na kuchota maji katika kisima cha Bethlehemu, kilichopo langoni. Wakachukua maji na kuyaleta kwa Daudi, lakini yeye akakataa kuyanywa. Badala yake akayamwaga mbele za Yahwe.
17 Oe BAWIPA hete tui heh kai ni ka net mahoeh. Due hane hai taket laipalah kacetnaw e thi phu hah ka nei han namaw, telah ati. Net laipalah ao. Athakaawme taminaw kathum touh e ni a sak awh e doeh.
Kisha akasema, “Iwe mbali nami, Yahwe, kwamba niyanywe haya. Je ninywe damu ya watu waliohatarisha maisha yao?” Hivyo akakataa kuyanywa. Haya ni mambo yaliyofanywa na mashujaa watatu.
18 Zeruiah capa Joab e a hmaunawngha Abshai teh kathum touh thung dawk kacuepoung lah ao. A tahroe hoi tami 300 touh a thei dawkvah, kathum touh thung dawk minhawinae a hmu.
Abishai, nduguye Yoabu na mwana wa Seruya, alikuwa akida wa watatu. Alipigana kwa mkuki wake na watu mia tatu na akawauwa wote mara. Mara kwa mara alitajwa kati ya mashujaa watatu.
19 Kathum touh thung dawkvah, oup hane nahoehmaw. Hatdawkvah, kacue e lah ao. Hateiteh, a hmaloe e tarankahawi e ransanaw phat hoeh.
Hakuwa maarufu kuliko wale watatu? Alifanywa akida wao. Lakini, umaarufu wake haukulingana na umaarufu wa wale mashujaa watatu.
20 Kebzeel tami tarankahawi capa Jehoiada capa Binaiah ni thaonae hno moikapap a sak. Moab tami a min kamthang sendek patet e tami kahni touh a thei. Kasik thapa dawk hai alouk lae lungngoum thung kaawm e sendek hah a thei.
Benaya kutoka Kabseeli mwana wa Yehoyada; alikuwa mtu hodari aliyefanya matendo makuu. Aliwauwa wana wawili wa Arieli wa Moabu. Pia alishuka shimoni na kuuwa simba wakati wa theruji.
21 Tami kalenpounge Izip tami hah a thei. Izip tami ni tahroe a sin eiteh, Benaiah ni sonron dueng hah a sin teh, a cei. Izip tami e a kut dawk e tahroe a lawp teh hot e tahroe hoi ama hah a thei.
Na alimwua Mmisri aliyekuwa mtu mnene sana. Mmisri alikuwa na mkuki mkononi, lakini Benaya alipigana naye kwa fimbo tu. Aliuchukua mkuki mkononi mwa Mmisri na kisha kumwua nao.
22 Jehoiada capa Benaiah niteh, hot patet lae hno hah a sak dawkvah, athakaawme taminaw kathum touh thung dawk minhawinae a hmu.
Benaya mwana wa Yehoyada alifanya matendo haya, naye alitajwa kati ya mashujaa watatu.
23 Tami 30 touh hlak bari hane kawi lah ao. Hateiteh, ahmaloe e kathum touh phat hoeh. Devit ni ama karingkungnaw e kacue lah a hruek.
Alikuwa na heshima kuliko mashujaa thelathini kwa ujumla wao, lakini hakuwa na heshima kama wale mashujaa watatu. Hata hivyo Daudi alimweka kuwa mlinzi wake.
24 Joab e nawngha Ashahel teh, tami 30 touh thung dawk buet touh lah ao. Bethlehem kho e Dodo capa Elhanan,
Wafuatao ni wale watu thelathini: Asaheli nduguye Yoabu, Elhanani mwana wa Dodo kutoka Bethlehemu,
25 Harod tami Shammah, Harod tami Elika,
Shama Mharodi, Elika Mharodi,
26 Palti tami Helez hoi Tekoa tami Ikkesh capa Ira,
Helesi Mpeloni, Ira mwana wa Ikeshi Mtekoi,
27 Anathoth tami Abiezer hoi Khushathi tami Mebunnai,
Abi Ezeri Mwanathothi, Mebunai Mhushathi,
28 Aho tami Zalmon hoi Netophah tami Maharai,
Salmoni Mhahoi, Maharai Mnetofathi;
29 Netophah tami Baanah capa Heleb, Benjamin casaknaw Gibeah tami Ribai capa Ittai,
Helebu mwana wa Baana, Mnetofathi, Itai mwana wa Rabai kutoka Gibea ya Wabenjamini,
30 Pirathon capa Benaiah, Gaash yawn dawk e Hiddai,
Benaya Mpirathoni, Hidai wa mabonde ya Gaashi.
31 Arbath tami Abialbon hoi Barhum tami Azmaveth,
Abieliboni Mwarbathi, Azmawethi Mbarhumi,
32 Shaalbon tami Eliahba hoi Jashen casaknaw thung dawk e Jonathan,
Eliaba Mshalboni, wana wa Yasheni, Yonathani mwana wa Shama Mharari;
33 Hararite tami Shammah, Hararite tami Sharar capa Ahiam,
Ahiamu mwana wa Sharari Mharari,
34 Maakath casak Ahasbai capa Eliphelet, Giloh tami Ahithophel capa Eliam,
Elifeleti mwana wa Ahasbai Mmaakathi, Eliamu mwana wa Ahithofeli Mgiloni,
35 Karmel tami Hezro hoi Arab tami Paarai,
Hezro Mkarmeli, Parai Mwarbi,
36 Zobah tami Nathan capa Igal, Gad tami Bani,
Igali mwana wa Nathani kutoka Soba, Bani kutoka kabila la Gadi,
37 Ammon tami Zelek, Zeruiah capa Joab e senehmaica kaphawtkung Beeroth tami Naharai,
Zeleki Mwamoni, Naharai Mbeerothi, mbeba silaha wa Yoabu mwana wa Seruya,
38 Ithrite tami Ira hoi Ithrite tami Gareb,
Ira Mwithri, Garebu Mwithri,
39 Hit tami Uriah, abuemlahoi 37 touh a pha awh.
Uria Mhiti - jumla yao thelathini na wanane.

< 2 Samuel 23 >