< Nehemiah 2 >

1 Siangpahrang Artaxerxes bawi kum 20, Nisan thapa nah misurtui ka la teh, siangpahrang hah ka poe. Ha hoehnahlan teh, a hmalah ka minhmai mathout boihoeh.
Katika mwezi wa Nisani mwaka wa ishirini wa utawala wa Mfalme Artashasta, wakati divai ilipoletwa kwake, niliichukua na kumpa mfalme. Sikuwahi kuonekana mwenye huzuni mbele yake kabla ya hapo.
2 Siangpahrang ni bangkongmaw na minhmai a mathoe. Patawnae hai na tawn hoeh. Alouke bang mahoeh, na lungthung hoi lungmathoe e doeh kaawm telah na ti pouh.
Basi mfalme akaniuliza, “Kwa nini uso wako unaonekana una huzuni wakati wewe si mgonjwa? Jambo hili si kitu kingine bali ni huzuni ya moyo.” Niliogopa sana,
3 Kai ni hai siangpahrang na hringsaw seh. Ka mintoenaw onae khopui a rawk teh longkhanaw hmai koung a kak navah, minhmai mathout laipalah bangtelamaw ka o thai han telah ka ti pouh.
lakini nikamwambia mfalme, “Mfalme na aishi milele! Kwa nini uso wangu usiwe na huzuni wakati mji walipozikwa baba zangu umebaki magofu, na malango yake yameteketezwa kwa moto?”
4 Siangpahrang ni bangmaw hei han na ngai telah na pacei. Hahoi, kalvan kaawm e Cathut koe ka ratoum.
Mfalme akaniambia, “Je, haja yako ni gani?” Ndipo nikaomba kwa Mungu wa mbinguni,
5 Siangpahrang koevah, siangpahrang na lungkuep boilah, na san ni minhmai kahawi kahmawt pawiteh, ka mintoenaw onae khopui bout ka pathout thai nahanelah, Judah kho ka cei thai nahanlah ka kâhei telah ka ti pouh.
na nikamjibu mfalme, “Kama ikimpendeza mfalme, na kama mtumishi wako amepata kibali machoni pake, anitume kule mji wa Yuda, mahali baba zangu walipozikwa, ili niweze kuujenga upya.”
6 Siangpahrangnu hai ateng vah a tahung teh, siangpahrang ni nâyittouh maw na ro han. Nâtuek maw bout na ban han telah na pacei. Hahoi kai ni atueng ka khoe teh, siangpahrang ni lunghawicalah na cei sak.
Kisha mfalme, na malkia akiwa ameketi karibu naye, akaniuliza, “Safari yako itachukua muda gani, nawe utarudi lini?” Ilimpendeza mfalme kunituma, kwa hiyo nikapanga muda.
7 Hahoi siangpahrang koevah, siangpahrang na lungkuep pawiteh tui namran lah kaawm e lawkcengkungnaw ka kâhmo nah Judah ram totouh ka cei thai nahanlah ca na thun pouh haw.
Pia nikamwambia, “Kama ikimpendeza mfalme, naomba nipewe barua kwa watawala wa Ngʼambo ya Frati, ili wanipe ulinzi mpaka nifike Yuda.
8 Siangpahrang e ratu ka ring e Asaph koe, Bawkim longkha hoi longkha khomnaw hane, khorapan hoi ka o nahane im han lah thing na poe nahane hoi kâpoenae ca hai na poe nahanelah ka hei e patetlah, Cathut pahren lahoi Siangpahrang ni kai koe na poe.
Naomba nipewe barua nipeleke kwa Asafu, mtunzaji wa msitu wa mfalme, ili anipe miti ya kutengeneza boriti kwa ajili ya malango ya ngome ya Hekalu, na ukuta wa mji, na makao yangu nitakapoishi.” Kwa kuwa mkono wenye neema wa Mungu wangu ulikuwa juu yangu, mfalme akanijalia ombi langu.
9 Hahoi tui namran lah kaawm e khobawinaw koe ka pha teh siangpahrang koe e ca hah ka poe. Hahoi siangpahrang ni kai koevah ransabawi hoi marangransanaw hah a tha.
Basi nilienda kwa watawala wa Ngʼambo ya Frati na kuwapa barua za mfalme. Pia mfalme alikuwa ametuma maafisa wa jeshi na askari wapanda farasi pamoja nami.
10 Isarel miphunnaw hanlah hnokahawi ka sak hane tami buet touh a tho tie Horon tami Sanballat hoi Ammon tami san lah kaawm e Tobiahnaw ni a thai awh navah puenghoi a lungkhuek awh.
Sanbalati Mhoroni na Tobia afisa Mwamoni waliposikia juu ya jambo hili, waliudhika sana kwamba amekuja mtu kuinua ustawi wa Waisraeli.
11 Hahoi Jerusalem vah ka pha teh hnin thum touh hawvah ka o.
Nilienda Yerusalemu, na baada ya kukaa huko siku tatu,
12 Tangmin vah ka thaw teh kama koe ka hrawi e tami tangawn hoi Jerusalem hanelah Cathut ni ka lungthin dawk na poe e hah alouke tami api koehai ka dei pouh hoeh. Ka kâcuie marang hloilah saring alouke banghai ka sin hoeh.
nikaondoka wakati wa usiku pamoja na watu wachache. Sikuwa nimemwambia mtu yeyote kile ambacho Mungu wangu alikuwa ameweka moyoni mwangu kufanya kwa ajili ya Yerusalemu. Hapakuwepo na mnyama yeyote pamoja nami isipokuwa yule niliyekuwa nimempanda.
13 Hat hnin tangmin vah, ayawn longkha koehoi ka tâco teh khorui longkha hoi vaipuen longkha koe lah ka cei. Jerusalem rapan ka rawk e hoi longkha ka kang e naw hah ka khet.
Nikatoka nje usiku kupitia Lango la Bondeni, kuelekea Kisima cha Joka na Lango la Samadi, nikikagua kuta za Yerusalemu zilizokuwa zimebomolewa, na malango yake yaliyokuwa yameteketezwa kwa moto.
14 Tuikhu longkha koehoi siangpahrang tuiim totouh ka cei hatei, ka kâcuie marang a cei nahan lamthung awmhoeh.
Kisha nikaelekea mpaka Lango la Chemchemi na Bwawa la Mfalme, lakini hapakuwepo nafasi ya kutosha kwa ajili ya mnyama wangu kupita,
15 Hahoi tangmin vah palang kahrawng teh rapannaw ka khet. Hahoi bout ka ban teh ayawn longkha dawk hoi bout ka kâen.
kwa hiyo nikapandia bondeni usiku nikikagua ukuta. Mwishoni nikarudi na kuingia tena kupitia Lango la Bondeni.
16 Ka lawkcengkungnaw ni nâmaw ka cei tie hoi bangmaw ka sak tie panuek awh hoeh. Judahnaw, vaihmabawinaw, lawkcengkungnaw, hoi alouke thaw katawkkungnaw koe banghai ka dei pouh hoeh rah.
Maafisa hawakujua nilikokwenda wala nilichokuwa nikifanya, kwa sababu mpaka sasa nilikuwa bado sijasema lolote kwa Wayahudi, wala makuhani, wala wakuu, wala maafisa, wala mtu yeyote ambaye angefanya kazi.
17 Hahoi teh ahnimouh koevah maimouh ni khang e roedengnae Jerusalem a rawk e, kho longkha hmai kakangnaw hai na hmu awh toe tho awh haw pathoenae dawk hoi hlout nahanelah Jerusalem khopui teh bout sak lei sei telah ka dei pouh.
Ndipo nilipowaambia, “Mnaona taabu tuliyo nayo: Yerusalemu imebaki magofu na malango yake yameteketezwa kwa moto. Njooni tujenge upya ukuta wa Yerusalemu, nasi hatutakuwa tena katika aibu hii.”
18 Hahoi lathueng Cathut ahawinae hoi siangpahrang ni ca a thut e naw hah ka dei pouh teh, ahnimouh ni thâw awh vaiteh sak awh leih sei telah ati awh. Hahoi teh hote thaw kahawi tawk hanelah a kuttha ao sak awh.
Pia niliwaambia kuhusu mkono wenye neema wa Mungu wangu uliokuwa juu yangu, na kile mfalme alichokuwa ameniambia. Wakajibu, “Haya! Tuanze kujenga tena.” Kwa hiyo wakaanza kazi hii njema.
19 Hatnavah, Horon tami Sanballat san lah kaawm e Ammon miphun Tobiah, Arab tami Geshem tinaw ni a thai awh toteh na panuikhai awh teh na hnephnap awh. Hno na sak e naw heh bangmaw. Siangpahrang na taran awh e doeh khe telah na ti pouh awh.
Lakini Sanbalati Mhoroni, Tobia afisa Mwamoni, na Geshemu Mwarabu waliposikia kuhusu jambo hili, walitudhihaki na kutucheka. Wakauliza, “Ni nini hiki mnachokifanya? Je, mnaasi dhidi ya mfalme?”
20 Hatnavah ahnimae lawk teh ka pathung; kalvan e Cathut ni kaimouh hanelah a kuep sak han. Hatdawkvah, Cathut e san lah kaawm e kaimouh ni ka thaw awh vaiteh ka sak awh han. Hatei, nangmouh teh Jerusalem e coe hane thoseh, kâtawn hane hai thoseh, pâkuem hane hai thoseh na tawn awh hoeh telah ka ti pouh.
Nikawajibu kwa kusema, “Mungu wa mbinguni atatufanikisha. Sisi watumishi wake tutaanza kujenga upya, lakini kwenu ninyi, hamna sehemu wala dai lolote wala kumbukumbu la haki katika Yerusalemu.”

< Nehemiah 2 >