< Brojevi 1 >

1 U Sinajskoj pustinji, u Šatoru sastanka, reče Jahve Mojsiju prvoga dana drugoga mjeseca, druge godine po izlasku iz zemlje egipatske:
Bwana alisema na Mose katika Jangwa la Sinai, katika Hema la Kukutania, siku ya kwanza ya mwezi wa pili, katika mwaka wa pili baada ya Waisraeli kutoka nchi ya Misri. Akamwambia,
2 “Obavite popis sve zajednice izraelske po rodovima i porodicama, navodeći imena svih muškaraca, glavu po glavu.
“Hesabu watu wa jumuiya yote ya Waisraeli kwa kufuata koo zao na jamaa zao, ukiorodhesha kila mwanaume kwa jina lake, mmoja mmoja.
3 Od dvadeset godina naviše, za borbu sposobne u Izraelu, ti i Aron pobilježite prema njihovim jedinicama.
Wewe na Aroni mtawahesabu kwa migawanyo yao wanaume wote katika Israeli wenye miaka ishirini na kuendelea ambao wanaweza kutumika katika jeshi.
4 Neka s vama bude po jedan čovjek od svakoga plemena, glavari svoga pradjedovskog doma.
Mwanaume mmoja kutoka kila kabila, kila aliye kiongozi wa jamaa yake, atawasaidia.
5 Ovo su imena ljudi koji će vam pomagati: Elisur, sin Šedeurov, za pleme Rubenovo;
Haya ndiyo majina ya wanaume watakaowasaidia: “kutoka Reubeni, ni Elisuri mwana wa Shedeuri;
6 Šelumiel, sin Surišadajev, za pleme Šimunovo;
kutoka Simeoni, ni Shelumieli mwana wa Surishadai;
7 Nahšon, sin Aminadabov, za pleme Judino;
kutoka Yuda, ni Nashoni mwana wa Aminadabu;
8 Netanel, sin Suarov, za pleme Jisakarovo;
kutoka Isakari, ni Nethaneli mwana wa Suari;
9 Eliab, sin Helonov, za pleme Zebulunovo.
kutoka Zabuloni, ni Eliabu mwana wa Heloni;
10 Za Josipove sinove: Elišama, sin Amihudov, za pleme Efrajimovo; Gamliel, sin Pedahsurov, za pleme Manašeovo;
kutoka wana wa Yosefu: kutoka Efraimu, ni Elishama mwana wa Amihudi; kutoka Manase, ni Gamalieli mwana wa Pedasuri;
11 Abidan, sin Gidonijev, za pleme Benjaminovo;
kutoka Benyamini, ni Abidani mwana wa Gideoni;
12 Ahiezer, sin Amišadajev, za pleme Danovo;
kutoka Dani, ni Ahiezeri mwana wa Amishadai;
13 Pagiel, sin Okranov, za pleme Ašerovo;
kutoka Asheri, ni Pagieli mwana wa Okrani;
14 Elijasaf, sin Deuelov, za pleme Gadovo;
kutoka Gadi, ni Eliasafu mwana wa Deueli;
15 Ahira, sin Enanov, za pleme Naftalijevo.”
kutoka Naftali, ni Ahira mwana wa Enani.”
16 To bijahu sazivači zajednice, knezovi pradjedovskih plemena i glavari rodova izraelskih.
Hawa walikuwa wanaume walioteuliwa kutoka jumuiya, viongozi wa makabila ya baba zao. Walikuwa wakuu wa koo za Israeli.
17 Mojsije i Aron onda uzmu one ljude što su po imenu bili određeni
Mose na Aroni wakawachukua wanaume hao waliokuwa wamepewa majina yao,
18 te prvoga dana drugoga mjeseca sazovu svu zajednicu. Tada se u popis prema rodovima i porodicama po redu unosio broj osoba starijih od dvadeset godina.
wakaita jumuiya yote pamoja katika siku ya kwanza ya mwezi wa pili. Watu wakaonyesha nasaba zao kwa koo zao na jamaa zao, nao wanaume waliokuwa na miaka ishirini au zaidi waliorodheshwa kwa majina, mmoja mmoja,
19 Kako je Jahve naredio Mojsiju, tako ih je on pobilježio u Sinajskoj pustinji.
kama Bwana alivyomwagiza Mose. Hivyo aliwahesabu katika Jangwa la Sinai:
20 Kad se utvrdi potomstvo Rubena, Izraelova prvorođenca, prema njegovim rodovima i porodicama, pribilježiše, glavu po glavu, imena svih muškaraca od dvadeset godina naviše, svih za borbu sposobnih.
Kutoka wazao wa Reubeni, mzaliwa wa kwanza wa kiume wa Israeli: Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi waliorodheshwa kwa majina, mmoja mmoja, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao.
21 Popisanih od Rubenova plemena bilo je četrdeset i šest tisuća i pet stotina.
Idadi kutoka kabila la Reubeni ilikuwa watu 46,500.
22 Bili su popisani Šimunovi potomci prema njihovim rodovima i porodicama: pribilježiše se, glava po glava, imena svih muškaraca od dvadeset godina naviše, svih za borbu sposobnih.
Kutoka wazao wa Simeoni: Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi walihesabiwa na kuorodheshwa kwa majina, mmoja mmoja, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao.
23 Popisanih od Šimunova plemena bilo je pedeset i devet tisuća i tri stotine.
Idadi kutoka kabila la Simeoni walikuwa watu 59,300.
24 Kad se utvrdi potomstvo sinova Gadovih prema njihovim rodovima i porodicama, pribilježiše se, glava po glava, imena onih od dvadeset godina i više, svih za borbu sposobnih.
Kutoka wazao wa Gadi: Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi waliorodheshwa kwa majina, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao.
25 Popisanih od Gadova plemena bilo je četrdeset i pet tisuća i šest stotina i pedeset.
Idadi kutoka kabila la Gadi walikuwa watu 45,650.
26 Kad se utvrdi potomstvo sinova Judinih prema njihovim rodovima i porodicama, pribilježiše se, glava po glava, imena onih od dvadeset godina i više, svih za borbu sposobnih.
Kutoka wazao wa Yuda: Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi waliorodheshwa kwa majina, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao.
27 Popisanih od Judina plemena bilo je sedamdeset i četiri tisuće i šest stotina.
Idadi kutoka kabila la Yuda walikuwa watu 74,600.
28 Kad se utvrdi potomstvo sinova Jisakarovih prema njihovim rodovima i porodicama, pribilježiše se, glava po glava, imena onih od dvadeset godina i više, svih za borbu sposobnih.
Kutoka wazao wa Isakari: Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi waliorodheshwa kwa majina, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao.
29 Popisanih od Jisakarova plemena bilo je pedeset i četiri tisuće i četiri stotine.
Idadi kutoka kabila la Isakari walikuwa watu 54,400.
30 Kad se utvrdi potomstvo sinova Zebulunovih prema njihovim rodovima i porodicama, pribilježiše se, glava po glava, imena onih od dvadeset godina i više, svih za borbu sposobnih.
Kutoka wazao wa Zabuloni: Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi waliorodheshwa kwa majina, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao.
31 Popisanih od Zebulunova plemena bilo je pedeset i sedam tisuća i četiri stotine.
Idadi kutoka kabila la Zabuloni walikuwa watu 57,400.
32 Josipovi sinovi: Kad se utvrdi potomstvo sinova Efrajimovih, prema njihovim rodovima i porodicama, pribilježiše se, glava po glava, imena onih od dvadeset godina i više, svih za borbu sposobnih.
Kutoka wana wa Yosefu: Kutoka wazao wa Efraimu: Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi waliorodheshwa kwa majina, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao.
33 Popisanih od Efrajimova plemena bilo je četrdeset tisuća i pet stotina.
Idadi kutoka kabila la Efraimu walikuwa watu 40,500.
34 Kad se utvrdi potomstvo sinova Manašeovih, prema njihovim rodovima i porodicama, pribilježiše se, glava po glava, imena onih od dvadeset godina i više, svih za borbu sposobnih.
Kutoka wazao wa Manase: Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi waliorodheshwa kwa majina, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao.
35 Popisanih od Manašeova plemena bilo je trideset i dvije tisuće i dvjesta.
Idadi kutoka kabila la Manase walikuwa watu 32,200.
36 Kad se utvrdi potomstvo sinova Benjaminovih, prema njihovim rodovima i porodicama, pribilježiše se, glava po glava, imena onih od dvadeset godina i više, svih za borbu sposobnih.
Kutoka wazao wa Benyamini: Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi waliorodheshwa kwa majina, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao.
37 Popisanih od Benjaminova plemena bilo je trideset i pet tisuća i četiri stotine.
Idadi kutoka kabila la Benyamini walikuwa watu 35,400.
38 Kad se utvrdi potomstvo sinova Danovih, prema njihovim rodovima i porodicama, pribilježiše se, glava po glava, imena onih od dvadeset godina i više, svih za borbu sposobnih.
Kutoka wazao wa Dani: Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi waliorodheshwa kwa majina, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao.
39 Popisanih od Danova plemena bilo je šezdeset i dvije tisuće i sedam stotina.
Idadi kutoka kabila la Dani walikuwa watu 62,700.
40 Kad se utvrdi potomstvo sinova Ašerovih, prema njihovim rodovima i porodicama, pribilježiše se, glava po glava, imena onih od dvadeset godina i više, svih za borbu sposobnih.
Kutoka wazao wa Asheri: Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi waliorodheshwa kwa majina, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao.
41 Popisanih od Ašerova plemena bila je četrdeset i jedna tisuća i pet stotina.
Idadi kutoka kabila la Asheri walikuwa watu 41,500.
42 Kad se utvrdi potomstvo sinova Naftalijevih, prema njihovim rodovima i porodicama, pribilježiše se, glava po glava, imena onih od dvadeset godina i više, svih za borbu sposobnih.
Kutoka wazao wa Naftali: Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi waliorodheshwa kwa majina, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao.
43 Popisanih od Naftalijeva plemena bilo je pedeset i tri tisuće i četiri stotine.
Idadi kutoka kabila la Naftali walikuwa watu 53,400.
44 To su oni koje popisaše Mojsije i Aron sa dvanaest knezova izraelskih, po jedan na svaki pradjedovski dom.
Hawa walikuwa wanaume waliohesabiwa na Mose, Aroni na viongozi kumi na wawili wa Israeli, kila mmoja akiwakilisha jamaa yake.
45 Bili su popisani svi Izraelci, prema pradjedovskim domovima, od dvadeset godina i više, svi za borbu sposobni u Izraelu.
Wanaume wote Waisraeli waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi la Israeli walihesabiwa kufuatana na jamaa zao.
46 Bilo je, dakle, svih popisanih šest stotina i tri tisuće i pet stotina i pedeset.
Jumla ya hesabu yao ilikuwa watu 603,550.
47 Među te nisu se ubrojili Levijevci prema svojem pradjedovskom plemenu.
Hata hivyo, jamaa ya kabila la Lawi hawakuhesabiwa pamoja na wengine.
48 Jahve je, naime, rekao Mojsiju:
Bwana alikuwa amemwambia Mose:
49 “Nipošto nemoj popisivati Levijeva plemena niti ga unosi u popis Izraelaca.
“Kamwe usihesabu kabila la Lawi wala kuwaweka pamoja katika hesabu ya Waisraeli wengine.
50 Nego ti sam odredi Levijevce za službu u Prebivalištu svjedočanstva; za sav njegov namještaj i sve što na nj spada; neka oni nose Prebivalište i sav njegov namještaj; neka oni u njemu poslužuju i oko njega tabore.
Badala yake, waweke Walawi kuwa viongozi wa Maskani ya Ushuhuda, juu ya samani zake na kila kitu kilichomo ndani yake. Wao watabeba Maskani na samani zake zote; wataitunza na kupiga kambi kuizunguka.
51 Kad se Prebivalište mora premještati, neka ga Levijevci rastave; a kad se s Prebivalištem treba utaboriti, neka ga Levijevci opet podignu. Svjetovnjak koji bi mu se primakao neka se pogubi.
Wakati wowote Maskani inapohamishwa, Walawi wataifungua, na wakati wowote maskani inapotakiwa kusimamishwa, Walawi watafanya kazi hiyo. Mtu yeyote mwingine ambaye atasogea karibu nayo atauawa.
52 Neka Izraelci logoruju svatko u svome taboru; svatko kod svoje zastave, po četama.
Waisraeli watapiga mahema yao kwa makundi makundi, kila mwanaume katika kambi yake mwenyewe chini ya bendera yake.
53 Levijevci neka borave oko Prebivališta svjedočanstva, da se gnjev ne obori na izraelsku zajednicu. Neka tako Levijevci stražu straže oko Prebivališta svjedočanstva.”
Hata hivyo, Walawi watapiga mahema yao kuzunguka Maskani ya Ushuhuda ili ghadhabu isiipate jumuiya ya Waisraeli. Walawi watawajibika kwa utunzaji wa Maskani ya Ushuhuda.”
54 Izraelci učine kako je Jahve Mojsiju naredio. U svemu tako urade.
Waisraeli walifanya yote haya sawasawa kama Bwana alivyomwamuru Mose.

< Brojevi 1 >