< Anden Kongebog 1 >

1 Efter Alkahs Død faldt Moab fra Israel.
Moabu aliasi dhidi ya Israeli baada ya kifo cha Ahabu.
2 Og Ahazja faldt ud gennem Vinduesgitteret for sin Stue på Taget i Samaria og blev syg; da sendte han Sendebud af Sted og sagde til dem: "Gå hen og spørg Ekrons Gud Ba'al-Zebub, om jeg kommer mig af min Sygdom!"
Baada hapo Ahazi akaanguka chini ya dirisha lenye waya zinazikinzana kwenye chumba chake juu katika Samaria, na alikuwa amejeruhiwa. Kwa hiyo alituma wajumbe na kuwaambia, “Nendeni, muulizeni Baal Zebubu, mungu wa Ekroni, kama nitapona hili jeraha.”
3 Men HERRENs Engel sagde til Tisjbiten Elias: "Gå Sendebudene fra Samarias Konge i Møde og sig til dem: Mon det er, fordi der ingen Gud er i Israel, at I drager hen for at rådspørge Ekrons Gud Ba'al-Zebub?
Lakini malaika wa Yahwe wakamwambia Eliya Mtishbi, “Inuka, nenda ukaonane na wajumbe wa mfalme wa Samaria, na uwaulize, 'Je ni kwasababu hakuna Mungu katika israeli ambaye mnayekwenda kuuliza pamoja na Zebebu, mungu wa Ekroni?
4 Derfor, så siger HERREN: Det Leje, du steg op på, kommer du ikke ned fra, thi du skal dø!" Dermed gik Elias bort.
Kwa hiyo Yahwe anasema, “Hutaweza kushuka chini kutoka kwenye kitanda ambacho ulichokipanda; badala yake, utakufa hakika."”” Baada ya hapo Eliya akaondoka.
5 Da Sendebudene kom tilbage til ham, spurgte han dem: "Hvorfor kommer I tilbage?"
wakati wale wajumbe waliporudi kwa Ahazia, akawaambia, “Kwa nini mmerudi?”
6 De svarede: "En Mand kom os i Møde og sagde til os: Vend tilbage til Kongen, som har sendt eder, og sig: Så siger HERREN: Mon det er, fordi der ingen Gud er i Israel, at du sender Bud for at rådspørge Ekrons Gud Ba'al-Zebub? Derfor: Det Leje, du steg op på, kommer du ikke ned fra, thi du skal dø!"
Wakamwambia, “mtu amekuja kuonana na sisi ambaye ametuambia, 'Turudi kwa mfalme ambaye aliyewatuma, na mkamwambie, Yahwe amesema hivi: 'Je ni kwa sababu hakuna Mungu katika Israeli mpaka mmewatuma watu kwenda kumuuliza kwa Baal Zabubu, mungu wa Ekron? Kwa hiyo hutashuka kutoka kitanda ulichokipanda; badala yake, utakufa hakika."””
7 Han spurgte dem da: "Hvorledes så den Mand ud, som kom eder i Møde og sagde disse Ord til eder?"
Ahazi akawaambia wajumbe wake, “'Alikuwa mtu wa aina gani, yule ambaye alikuja kuonana na ninyi na akasema haya maneno kwenu?”
8 De svarede: "Det var en Mand i en lådden Kappe med et Læderbælte om Lænderne." Da sagde han: "Det er Tisjbiten Elias."
Wakamjibu, “Alikuwa amevaa kanzu yenye manyaya na alikuwa na mkanda wa ngozi kiunanoni kwake.'” Hivyo mfalme akajibu, '“Yule alikuwa Eliya Mtishbi.”
9 Derpå sendte han en Halvhundredfører med hans halvtredsindstyve Mand ud efter ham; og da han kom op til ham på Bjergets Top, hvor han sad, sagde han til ham: "Du Guds Mand! Kongen byder: Kom ned!"
Ndipo mfalme akatuma nahodha wa askari hamsini kwa Elya. Nahodha akaenda mpaka kwa Eliya ambapo alipokuwa amekaa juu ya mlima. Nahodha akamwambia Eliya, “Wewe, mtu wa Mungu, mfalme amesema, 'shuka chini.'”
10 Men Elias svarede Halvhundredføreren: "Er jeg en Guds Mand, så fare Ild ned fra Himmelen og fortære dig og dine halvtredsindstyve Mand!" Da for Ild ned fra Himmelen og fortærede ham og hans halvtredsindstyve Mand.
Eliya akajibu na kusema kwa nahodha, “Kama mimi ni mtu wa Mungu, moto na ushuke chini kutoka mbinguni na kukula wewe na watu wako hamsini.” Kisha moto ukashuka chini kutoka mbinguni na kumla yeye na watu wake hamsini.
11 Atter sendte Kongen en Halvhundredfører med hans halvtredsindstyve Mand ud efter ham; og da han kom derop, sagde han til ham: "Du Guds Mand! Således siger Kongen: Kom straks ned!"
Tena Mfalme Ahazi akamtuma nahodha mwingine pamoja na maaskari wengine hamsini. Huyu nahodha pia akasema kwa Eliya, “Wewe, mtu wa Mungu, mfalme anasema, teremka chini haraka.”'
12 Men Elias svarede ham: "Er jeg en Guds Mand, så fare Ild ned fra Himmelen og fortære dig og dine halvtredsindstyve Mand!" Da for Guds Ild ned fra Himmelen og fortærede ham og hans halvtredsindstyve Mand.
Eliya akajibu na kuwaambia, “Kama mimi ni mtu wa Mungu, ngoja moto ushuke kutoka mbinguni na ukule wewe na watu wako hamsini.” Moto wa Mungu ukashuka chini tena kutoka mbinguni na kumla yeye na watu wake hamsini.
13 Atter sendte Kongen en Halvhundredfører ud efter ham: men da den tredje Halvhundredfører kom derop, kastede han sig på Knæ for Elias, bønfaldt ham og sagde: "du Guds Mand! Lad dog mit og disse dine halvtredsindstyve Trælles Liv være dyrebarl i dine Øjne!
Bado tena mfalme alituma kundi la tatu la wapiganaji hamsini. Huyu nahodha akaenda, akaanguka mbele ya miguu ya Eliya, na kumsihi na kumwambia, “Wewe, mtu wa Mungu, Nakuomba, acha uzima wangu na uzima wa hawa watumishi wako hamsini uwe na thamani machoni kwako.
14 Se, Ild for ned fra Himmelen og fortærede de to første Halvhundredførere og deres halvtredsindstyve Mand, men lad nu mit Liv være dyrebart i dine Øjne!"
Ndipo, moto ukashuka chini kutoka mbinguni na kuwala wale manahodha wawili wa kwanza pamoja na watu wao, bali sasa acha uzima wangu uwe na thamani machoni kwako.”
15 Da sagde HERRENs Engel til Elias: "Gå ned med ham, frygt ikke for ham!" Så gik han ned med ham og fulgte ham til Kongen.
Malaika wa Yahwe akamwambia Eliya, “'Nenda chini pamoja naye. Usimwogope.”' Hivyo Eliya akainuka na kwenda chini pamoja naye kwenda kwa mfalme.
16 Og han sagde til Kongen: "Så siger HERREN: Fordi du har sendt Sendebud hen at rådspørge Ekrons Gud Ba'al-Zebub - men det er, fordi der ingen Gud er i Israel, du kunde rådspørge? - derfor: Det Leje, du steg op på, kommer du ikke ned fra, thi du skal dø!"
Baadye Eliya akamwambia Ahazia, '“Hivi ndivyo Yahwe asemavyo, Umewatuma wajumbe kuzungumza pamoja na Baal-Zebubu, mungu wa Ekron. Je ni kwa sababu hakuna Mungu katika Israeli ambaye unayeweza kumuuliza habari? Kwa hiyo sasa, hutaweza kushuka chini kutoka kwenye kitanda ulichokipanda; utakufa hakika.'”
17 Og han døde efter det HERRENs Ord, som Elias havde talt. Og hans Broder Joram blev Konge i hans Sted i Josafats Søns, Kong Joram af Judas, andet Regeringsår; thi han havde ingen Søn.
Hivyo Mfalme Ahazia alikufa kulingana na neno la Yahwe ambalo Eliya alilisema. Yoramu alianza kutawala katika eneo lake, katika mwaka wa pili Yoramu mwana wa Yohoshafati mfalme wa Yuda, kwa sababu Ahazia hakuwa na mtoto.
18 Hvad der ellers er at fortælle om Ahazja, hvad han udførte, står jo optegnet i Israels Kongers Krønike.
Kama mambo mengine yanayomuhusu Ahazia, je hayakuandikwa katika kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli?

< Anden Kongebog 1 >