< Psalms 56 >

1 For the Chief Musician. To the tune of “Silent Dove in Distant Lands.” A poem by David, when the Philistines seized him in Gath. Be merciful to me, God, for man wants to swallow me up. All day long, he attacks and oppresses me.
Uwe na huruma nami, Mungu, kwa maana watu wananishambulia! Muda wote wale wanao pigana nami hunikaribia zaidi ili wanishambulie.
2 My enemies want to swallow me up all day long, for they are many who fight proudly against me.
Adui zangu hunikanyaga muda wote; maana ni wengi ambao kwa kiburi hupigana dhidi yangu.
3 When I am afraid, I will put my trust in you.
Wakati nina woga, nitaweka imani yangu katika wewe.
4 In God, I praise his word. In God, I put my trust. I will not be afraid. What can flesh do to me?
Katika Mungu, ambaye neno lake ninalisifu - nimeweka imani yangu katika Mungu; sitaogopa; mtu wa kawaida atanifanya nini?
5 All day long they twist my words. All their thoughts are against me for evil.
Muda wote wanayageuza maneno yangu; mawazo yao yote yako kinyume na mimi kwa ajili ya uovu.
6 They conspire and lurk, watching my steps. They are eager to take my life.
Wanajikusanya kwa pamoja, wanajificha wenyewe, na kuzifuatilia hatua zangu, wakisubiri kuniua.
7 Shall they escape by iniquity? In anger cast down the peoples, God.
Usiwaache waikimbie adhabu yako kwa ajili ya uovu wao. Uwaangushe watu chini katika hasira yako, Mungu.
8 You count my wanderings. You put my tears into your container. Are not they in your book?
Wewe unahesabu kutangatanga kwangu na kuweka machozi yangu kwenye chupa yako; je, hayako kitabuni mwako?
9 Then my enemies shall turn back in the day that I call. I know this: that God is for me.
Ndipo maadui zangu watakimbia katika siku ile nikuitapo wewe; hili najua, kwamba Mungu yupo kwa ajili yangu.
10 In God, I will praise his word. In the LORD, I will praise his word.
Katika Mungu ambaye neno lake ninalisifu, katika Yahwe ambaye neno lake ninalisifu,
11 I have put my trust in God. I will not be afraid. What can man do to me?
katika Mungu ninaamini, sitaogopa. Yeyote atanifanya nini?
12 Your vows are on me, God. I will give thank offerings to you.
Wajibu wa kutimiza viapo vyangu kwako uko juu yangu, Mungu; nitatoa sadaka ya shukurani.
13 For you have delivered my soul from death, and prevented my feet from falling, that I may walk before God in the light of the living.
Kwa kuwa umeokoa uhai wangu na mauti; umezuia miguu yangu isianguke, ili kwamba niweze kutembea mbele ya Mungu katika nuru ya uhai.

< Psalms 56 >