< Psalms 64 >

1 For the Chief Musician. A Psalm by David. Hear my voice, God, in my complaint. Preserve my life from fear of the enemy.
Sikia sauti yangu, Mungu, usikilize malalamiko yangu; unilinde dhidi ya hofu ya adui zangu.
2 Hide me from the conspiracy of the wicked, from the noisy crowd of the ones doing evil;
Unifiche dhidi ya mipango ya siri ya wafanyao maovu, unifiche dhidi ya watendao vurugu ya udhalimu.
3 who sharpen their tongue like a sword, and aim their arrows, deadly words,
Wao wamenoa ndimi zao kama panga; wamelenga mishale yao, maneno machungu,
4 to shoot innocent men from ambushes. They shoot at him suddenly and fearlessly.
ili kwamba waweze kupiga kutoka mahali pa siri kwenda kwa mtu asiye na hatia; wampige yeye kwa ghafla nao wasihofu lolote.
5 They encourage themselves in evil plans. They talk about laying snares secretly. They say, “Who will see them?”
Wao wanahamasishana wenyewe katika kupanga uovu; wanashauriana pamoja wao binafsi ili kuweka mitego; nao husema, “Ni nani atakayetuona?”
6 They plot injustice, saying, “We have made a perfect plan!” Surely man’s mind and heart are cunning.
Wanabuni mipango ya dhambi; “Tumemaliza,” wanasema, “ni mpango makini.” Mawazo ya ndani na mioyo ya watu ni ya kina.
7 But God will shoot at them. They will be suddenly struck down with an arrow.
Lakini Mungu atawapiga wao; ghafla watajeruhiwa kwa mishale yake.
8 Their own tongues shall ruin them. All who see them will shake their heads.
Watafanywa kuwa mashakani, kwa kuwa ndimi zao wenyewe ziko kinyume nao; wote wawaonao watatikisa vichwa vyao.
9 All mankind shall be afraid. They shall declare the work of God, and shall wisely ponder what he has done.
Watu wote wataogopa na kutangaza matendo ya Mungu. Kwa hekima watafikiria kuhusu kile yeye ametenda.
10 The righteous shall be glad in the LORD, and shall take refuge in him. All the upright in heart shall praise him!
Wenye haki watakuwa na furaha kuhusu Yahwe nao watakimbilia kwake; wote wenye haki moyoni watajivuna katika yeye.

< Psalms 64 >