< Habakkuk 1 >

1 The burden that Habakkuk the prophet saw.
Ujumbe ambao habakuki nabii alipokea,
2 How long, O Lord, shall I cry out, and you will not heed? Shall I shout to you while suffering violence, and you will not save?
Yahwe, kwa muda gani nitalilia msaada, na hutasikia? Nimekulilia wewe katika kitisho, 'vurugu' lakini hutaniokoa.
3 Why have you revealed to me iniquity and hardship, to see plunder and injustice opposite me? And there has been judgment, but the opposition is more powerful.
Kwanini unanifanya nione mabaya na kuangalia matendo mabaya. Uharibifu na vurugu uko mbele yangu; kuna mapambano, na ushindani unainuka.
4 Because of this, the law has been torn apart, and judgment does not persevere to its conclusion. For the impious prevail against the just. Because of this, a perverse judgment is issued.
Walakini sheria ni dhaifu, na haki haiishi kwa wakati wowote. Sababu uovu umezunguka haki; walakini haki ya uongo inatoweka. “Yahwe” anamjibu habakuki
5 Gaze among the nations, and see. Admire, and be astounded. For a work has been done in your days, which no one will believe when it is told.
“Angalia mataifa na uwajaribu; stajaabishwa na shangazwa! Sababu nina uhakika kuhusu kufanya kitu katika siku zako kwamba hutaamini itakapotaarifiwa kwenu.
6 For behold, I will raise up the Chaldeans, a bitter and swift people, marching across the width of the earth, to possess tabernacles not their own.
Sababu angalia! nakaribia kuwainua Wakaldayo - taifa katili na lenye kishindo - wanatembea kupitia upana wa nchi kuteka nyumba zisizo za kwao.
7 It is dreadful and terrible. From themselves, judgment and their burden will issue.
Wanahofu na kuogopa; hukumu yao na uzuri kutoka kwao unaendelea.
8 Their horses are more nimble than leopards and swifter than wolves in the evening; their horsemen will spread out. And then their horsemen will approach from far away; they will fly like the eagle, hurrying to devour.
Farasi wao pia wanambio sana kuliko chui, wepesi sana kuliko mbwa mwitu wa jioni. Farasi wao huwaseta, na wapanda farasi wao wanakuja kutoka mbali - wanapaa kama tai anayewahi kula.
9 They will all approach towards the prey; their face is like a burning wind. And they will gather captives together like sand.
Wote wanakuja kwa vurugu; makundi yao yanakwenda kama upepo wa jangwani, na wanakusanya mateka kama mchanga.
10 And concerning kings, he will triumph, and sovereign rulers will be his laughingstock, and he will laugh over every fortress, and he will transport a rampart and seize it.
Wanawadhihaki wafalme, na viongozi ni dhihaka kwaajili yao. Huicheka kila ngome, maana hurundika mavumbi na kuyaondoa.
11 Then his spirit will be altered, and he will cross over and fall. Such is his strength from his god.
Ndipo upepo utapita; itaendelea kupita - watu wenye hatia, ambao uwezo wao ni katika mungu.” Habakuki anamuuliza Yahwe swali lingine
12 Have you not existed from the beginning, Lord my God, my holy one, and so we shall not die? Lord, you have stationed him for judgment, and you have established that his strength will be swept away.
“Wewe si wa tangu nyakati za zamani, Yahwe Mungu wangu, uliye Mtakatifu? Sisi hatutakufa. Yahwe aliwatenga kwaajili ya hukumu, na ninyi, Mwamba, mmeimarisha kwaajili ya kusahihisha.
13 Your eyes are pure, you do not behold evil, and you cannot look towards iniquity. Why do you look upon the agents of iniquity, and remain silent, while the impious is devouring one who is more just than himself?
Macho yenu ni safi kuangaza juu ya uovu, lakini hamuwezi kuangalia matendo mabaya kwa fadhila; kwa nini mnaangalia kwa upendeleo hivyo juu ambao wanasaliti? Kwanini kunyamaza wakati uovu unameza sana wenye haki zaidi yao?
14 And you will make men like the fish of the sea and like the creeping things that have no ruler.
unawafanya watu kama samaki baharini, kama vitu vitambaavyo bila kiongozi juu yao.
15 He lifted up everything with his hook. He drew them in with his dragnet, and gathered them into his netting. Over this, he will rejoice and exult.
Wao wanawaleta wote kwa ndoano; wanawakokota watu kutoka kwenye nyavu za samaki na kuwakusanya kwenye wavu wao. Hii ndiyo sababu wanafurahi na kupiga kelele kwa uchangamfu sana.
16 For this reason, he will offer victims to his dragnet, and he will sacrifice to his netting. For through them, his portion has been made fat, and his meals elite.
Walakini wanatoa sadaka kwenye nyavu zao za kuvulia na kuchoma ubani kwenye nyavu zao, sababu wanyama wanene ni sehemu yao, na nyama iliyonona ni chakula chao.
17 Because of this, therefore, he expands his dragnet and will not be lenient in continually putting to death the peoples.
Kwa sababu hiyo watamaliza nyavu zao za kuvulia na kuendelea kuchicha mataifa, bila kuhisi huruma”?

< Habakkuk 1 >