< Job 41 >

1 Wilt thou draw out the leviathan with the hook, and press down his tongue with a cord?
Je waweza kumvua mamba kwa ndoano ya samaki? Au kumfunga taya zake kwa kamba?
2 Wilt thou put a rush-rope into his nose, and pierce his jaw with a spike?
Je waweza kuweka kamba katika pua zake, au kumtoboa taya yake kwa ndoano?
3 Will he make many supplications unto thee? or will he speak softly unto thee?
Je atafanya maombi mengi kwako? Je atazungumza na wewe kwa maneno laini?
4 Will he make a covenant with thee? wilt thou take him as a bondman for ever?
Je atafanya agano na wewe, ili kwamba umchukue kwa ajili ya mtumishi milele?
5 Wilt thou play with him as with a bird, and wilt thou bind him for thy maidens?
Je utacheza pamoja naye kama ambavyo ungecheza na ndege? Je utamfunga kwa ajili ya mtumishi wako wa kike?
6 Shall partners make traffic of him, will they divide him among merchants?
Je makundi ya wavuvi waweza kumfanyia biashara? Je watamgawanya ili kufanya biashara miongoni mwa wafanya biashara?
7 Wilt thou fill his skin with darts, and his head with fish-spears?
Je waweza kuijaza ngozi yake kwa vyusa au kichwa chake kwa mikuki ya kuvulia?
8 Lay thy hand upon him; remember the battle, — do no more!
Weka mkono wako juu yake mara moja, nawe utaikumbuka vita na hautaendelea kufanya hivyo tena.
9 Lo, hope as to him is belied: is not one cast down even at the sight of him?
Tazama, matumaini ya kila mtu ambaye hufanya hivyo ni uongo; je si kila mmoja atatupwa chini katika nchi mbele yake?
10 None is so bold as to stir him up; and who is he that will stand before me?
Hakuna aliye mkali ambaye aweza kuthubutu kumtikisa mamba; Ni nani basi awezaye kusimama mbele yake?
11 Who hath first given to me, that I should repay [him]? [Whatsoever is] under the whole heaven is mine.
Ni nani kwanza aliyenipa kitu chochote ili kwamba niweze kumlipa? Chochote kilicho chini ya anga ni changu.
12 I will not be silent as to his parts, the story of his power, and the beauty of his structure.
Sitanyamaza kimya kuhusu miguu ya mamba, wala kuhusu jambo linalohusu nguvu zake, wala kuhusu umbo lake zuri.
13 Who can uncover the surface of his garment? who can come within his double jaws?
Nani awezaye kuiondoa ngozi yake? Nani anaweza kumchoma kwa silaha mara mbili?
14 Who can open the doors of his face? Round about his teeth is terror.
Nani awezaye kuifungua milango ya uso wake, imezungukwa na meno yake ambayo yanaogofya?
15 The rows of his shields are a pride, shut up together [as with] a close seal.
Mgongo wake umefanywa kwa magamba yenye mistari, yamefungwa kwa pamoja kama chapa.
16 One is so near to another that no air can come between them;
Moja li karibu na jingine na ya kuwa hakuna hewa inaweza kupita katikati yake.
17 They are joined each to its fellow; they stick together, and cannot be sundered.
Yameunganishwa moja kwa jingine; yamegandamana kwa pamoja, ili kwamba hayawezi kutenganishwa.
18 His sneezings flash light, and his eyes are like the eyelids of the morning.
Mwanga hung'ara kutoka katika kupumua kwake; macho yake ni kama kope za mapambazuko ya asubuhi.
19 Out of his mouth go forth flames; sparks of fire leap out:
Ndani ya mdomo wake hutoka miali ya mwanga, chembe za moto huruka nje.
20 Out of his nostrils goeth smoke, as out of a boiling pot and cauldron.
Katika pua zake hutoka moshi kama chungu kinachotokota juu ya moto ambao umechochewa ili uwe na joto sana.
21 His breath kindleth coals, and a flame goeth out of his mouth.
Pumzi yake huwasha mkaa na kuwa mwali; moto hutoka katika mdomo wake.
22 In his neck lodgeth strength, and terror danceth before him.
Katika shingo yake kuna nguvu, na kitisho hucheza mbele yake.
23 The flakes of his flesh are joined together: they are fused upon him, they cannot be moved.
Nofu za mwili wake zimeunganishwa pamoja; ziko imara katika yeye; wala haziwezi kuondolewa.
24 His heart is firm as a stone, yea, firm as the nether [millstone].
Moyo wake ni mgumu kama jiwe - hakika, ni mgumu kama jiwe la chini la kusagia.
25 When he raiseth himself up, the mighty are afraid: they are beside themselves with consternation.
Na anaposimama mwenyewe, hata miungu huogopa; hurudi nyuma kwasababu ya hofu.
26 If any reach him with a sword, it cannot hold; neither spear, nor dart, nor harpoon.
Na ikiwa atapigwa kwa upanga, hauwezi kumfanya kitu chochote, wala mkuki, wala mshale, wala aina yoyote ya silaha iliyochongoka.
27 He esteemeth iron as straw, bronze as rotten wood.
Yeye hufikiri juu ya chuma kana kwamba ni majani makavu na hufikiri juu ya fedha kana kwamba ni ubao uliooza.
28 The arrow will not make him flee; slingstones are turned with him into stubble.
Mshale hauwezi akamfanya akimbie; kwake yeye mawe ya kombeo huwa kama makapi.
29 Clubs are counted as stubble; he laugheth at the shaking of a javelin.
Marungu huyaangalia kama majani makavu; yeye hucheka juu ya mkuki unaovuma.
30 His under parts are sharp potsherds: he spreadeth a threshing-sledge upon the mire.
Sehemu zake za chini zi kama vipande vilivyochongoka vya vyungu; huacha alama zilizosambaa katika udongo kana kwamba alikuwa ni chombo cha kusagia.
31 He maketh the deep to boil like a pot; he maketh the sea like a pot of ointment;
Yeye hukifanya kilindi kichemke kama chungu cha maji ya moto; huifanya bahari kama chungu cha lihamu.
32 He maketh the path to shine after him: one would think the deep to be hoary.
Yeye huifanya njia ing'are nyuma yake; mtu mmoja angedhani kilindi kuwa cheupe.
33 Upon earth there is not his like, who is made without fear.
Hakuna cha kumlinganisha juu ya dunia, ambaye yeye alikuwa ameumbwa kuishi pasipo hofu.
34 He beholdeth all high things; he is king over all the proud beasts.
Hukiona kila kitu chenye kiburi; yeye ni mfalme juu ya wana wote wa kiburi.”

< Job 41 >