< 1 Chronicles 7 >

1 Of the sons of Issachar: Tola, and Puah, Jashub, and Shimron, four.
Wana wa Isakari walikuwa: Tola, Pua, Yashubu na Shimroni; wote ni wanne.
2 The sons of Tola: Uzzi, and Rephaiah, and Jeriel, and Jahmai, and Ibsam, and Shemuel, heads of their fathers' houses of Tola; mighty men of valor in their generations: their number in the days of David was twenty-two thousand six hundred.
Wana wa Tola walikuwa: Uzi, Refaya, Yerieli, Yahmai, Ibsamu na Shemueli waliokuwa viongozi wa jamaa zao. Wakati wa utawala wa Mfalme Daudi, wazao wa Tola walioorodheshwa kama wapiganaji katika ukoo wao walikuwa watu 22,600.
3 The sons of Uzzi: Izrahiah. The sons of Izrahiah: Michael, and Obadiah, and Joel, and Isshiah. All five of them leaders.
Mwana wa Uzi alikuwa: Izrahia. Wana wa Izrahia walikuwa: Mikaeli, Obadia, Yoeli na Ishia. Wote hawa watano walikuwa wakuu wao.
4 With them, by their generations, after their fathers' houses, were bands of the army for war, thirty-six thousand; for they had many wives and sons.
Kulingana na ukoo wa jamaa zao, walikuwa na watu hodari wa vita wapatao 36,000, kwa sababu walikuwa na wanawake na watoto wengi.
5 Their brothers among all the families of Issachar, mighty men of valor, reckoned in all by genealogy, were eighty-seven thousand.
Jamaa ya watu waliokuwa wapiganaji hodari kutoka koo zote za Isakari, kama ilivyoorodheshwa katika ukoo wao, jumla yao walikuwa 87,000.
6 The sons of Benjamin: Bela, and Beker, and Jediael, three.
Wana watatu wa Benyamini walikuwa: Bela, Bekeri na Yediaeli.
7 The sons of Bela: Ezbon, and Uzzi, and Uzziel, and Jerimoth, and Iri, five; heads of ancestral houses, mighty men of valor; and they were reckoned by genealogy twenty-two thousand thirty-four.
Wana wa Bela walikuwa: Esboni, Uzi, Uzieli, Yeremothi na Iri; walikuwa viongozi wa jamaa zao; wote ni watano. Watu wapiganaji walioorodheshwa katika ukoo wao walikuwa 22,034.
8 The sons of Beker: Zemirah, and Joash, and Eliezer, and Elioenai, and Omri, and Jeremoth, and Abijah, and Anathoth, and Alemeth. All these were the sons of Beker.
Wana wa Bekeri walikuwa: Zemira, Yoashi, Eliezeri, Elioenai, Omri, Yeremothi, Abiya, Anathothi na Alemethi. Hawa wote walikuwa wana wa Bekeri.
9 They were reckoned by genealogy, after their generations, heads of their fathers' houses, mighty men of valor, twenty thousand two hundred.
Orodha ya ukoo wao iliyoandikwa viongozi wa jamaa zao walikuwa wapiganaji 20,200.
10 The sons of Jediael: Bilhan. The sons of Bilhan: Jeush, and Benjamin, and Ehud, and Kenaanah, and Zethan, and Tarshish, and Ahishahar.
Mwana wa Yediaeli alikuwa: Bilhani. Wana wa Bilhani walikuwa: Yeushi, Benyamini, Ehudi, Kenaana, Zethani, Tarshishi na Ahishahari.
11 All these were sons of Jediael, heads of their fathers' houses, mighty men of valor, seventeen thousand and two hundred, who were able to go forth in the army for war.
Hawa wana wote wa Yediaeli walikuwa viongozi wa jamaa zao. Kulikuwako wanaume wapiganaji 17,200 waliokuwa tayari kwenda vitani.
12 And Shuppim and Huppim were the sons of Ir, Hushim the son of Aher.
Washupimu na Wahupimu walikuwa wazao wa Iri. Wahushimu walikuwa wazao wa Aheri.
13 The sons of Naphtali: Jahzeel, and Guni, and Jezer, and Shillem, the sons of Bilhah.
Wana wa Naftali walikuwa: Yahzieli, Guni, Yeseri na Shalumu; hao walikuwa wazao wa Bilha.
14 The sons of Manasseh: Asriel, whom his Aramean secondary wife bore; she bore Makir the father of Gilead.
Wana wa Manase walikuwa: Asirieli alikuwa mzao wake kutokana na suria wake wa Kiaramu. Huyu suria akamzaa Makiri baba wa Gileadi.
15 And Makir took a wife of Huppim and Shuppim, whose sister's name was Maacah; and the name of the second was Zelophehad: and Zelophehad had daughters.
Makiri akatwaa mke kutoka miongoni mwa Wahupimu na Washupimu. Jina la dada yake aliitwa Maaka. Mwana wa pili wa Makiri aliitwa Selofehadi, ambaye alikuwa na wasichana tu.
16 Maacah the wife of Makir bore a son, and she named him Parash; and the name of his brother was Sheresh; and his sons were Ulam and Rekem.
Maaka mkewe Makiri akamzaa mwana aliyemwita Pereshi. Jina la nduguye lilikuwa Shereshi. Wana wa Pereshi walikuwa Ulamu na Rakemu.
17 The son of Ulam: Bedan. These were the sons of Gilead the son of Makir, the son of Manasseh.
Mwana wa Ulamu alikuwa: Bedani. Hawa ndio waliokuwa wana wa Gileadi mwana wa Makiri, mwana wa Manase.
18 His sister Hammoleketh bore Ishhod, and Abiezer, and Mahlah.
Dada yake aliyeitwa Hamolekethi aliwazaa Ish-Hodi, Abiezeri na Mahla.
19 The sons of Shemida were Ahian, and Shechem, and Likhi, and Aniam.
Wana wa Shemida walikuwa: Ahiani, Shekemu, Liki na Aniamu.
20 The sons of Ephraim: Shuthelah, and Bered his son, and Tahath his son, and Eleadah his son, and Tahath his son,
Wana wa Efraimu walikuwa: Shuthela, ambaye alimzaa Beredi, Beredi akamzaa Tahathi, Tahathi akazaa Eleada, Eleada akamzaa Tahathi,
21 and Zabad his son, and Shuthelah his son, and Ezer, and Elead, whom the men of Gath who were born in the land killed, because they came down to take away their livestock.
Tahathi akamzaa Zabadi, na Zabadi akamzaa Shuthela. Ezeri na Eleadi waliuawa na wenyeji wa Gathi walipokuwa wamekwenda huko kuwanyangʼanya mifugo yao.
22 Ephraim their father mourned many days, and his brothers came to comfort him.
Baba yao Efraimu akawaombolezea kwa siku nyingi, na jamaa zake wakaja kumfariji.
23 He went in to his wife, and she conceived, and bore a son, and he named him Beriah, because tragedy had come to his house.
Kisha akakutana kimwili na mke wake tena, naye akachukua mimba, akamzalia mwana. Akamwita Beria, kwa sababu ya misiba iliyoipata nyumba yake.
24 His daughter was Sheerah, who built Lower and Upper Beth Horon, and Uzzen Sheerah.
Beria alikuwa na binti jina lake Sheera. Huyu ndiye aliijenga miji ya Beth-Horoni ya Juu na Beth-Horoni ya Chini, pamoja na Uzen-Sheera.
25 Rephah was his son, and Resheph his son, and Telah his son, and Tahan his son,
Beria akamzaa pia Refa, naye Refa akamzaa Reshefu, Reshefu akamzaa Tela, Tela akamzaa Tahani,
26 Ladan his son, Ammihud his son, Elishama his son,
Tahani akamzaa Ladani, Ladani akamzaa Amihudi, Amihudi akamzaa Elishama,
27 Nun his son, Joshua his son.
Elishama akamzaa Nuni, Nuni akamzaa Yoshua.
28 Their possessions and habitations were Bethel and its towns, and eastward Naaran, and westward Gezer, with its towns; Shechem also and its towns, to Aiah and its towns;
Nchi zao na makazi yao yalijumuisha Betheli na vijiji vilivyouzunguka, Naarani ilikuwa upande wa mashariki, Gezeri pamoja na vijiji vyake upande wa magharibi, pia Shekemu na vijiji vyake hadi kufikia Aya na vijiji vyake.
29 and by the borders of the people of Manasseh, Beth Shean and its towns, Taanach and its towns, Ibleam and its towns, Megiddo and its towns, Dor and its towns. In these lived the people of Joseph the son of Israel.
Katika mipaka ya Manase walikuwepo Beth-Shani, Taanaki, Megido na Dori pamoja na vijiji vyake. Wana wa Yosefu mwana wa Israeli waliishi katika miji hii.
30 The sons of Asher: Jimnah, and Jishvah, and Jishvi, and Beriah, and Serah their sister.
Wana wa Asheri walikuwa: Imna, Ishva, Ishvi na Beria. Dada yao alikuwa Sera.
31 The sons of Beriah: Heber, and Malkiel, who was the father of Birzaith.
Wana wa Beria walikuwa: Heberi na Malkieli, aliyekuwa baba yake Birzaithi.
32 Heber became the father of Japhlet, and Shemer, and Helem, and Shua their sister.
Heberi akawazaa Yafleti, Shomeri na Hothamu, na Shua dada yao.
33 The sons of Japhlet: Pasach, and Bimhal, and Ashvath. These are the sons of Japhlet.
Wana wa Yafleti walikuwa: Pasaki, Bimhali na Ashvathi. Hawa walikuwa wana wa Yafleti.
34 The sons of Shemer his brother: Rohgah, and Hubbah, and Aram.
Wana wa Shemeri walikuwa: Ahi, Roga, Yehuba na Aramu.
35 The sons of Helem his brother: Zophah, and Imna, and Shelesh, and Amal.
Wana wa Helemu ndugu yake walikuwa: Sofa, Imna, Sheleshi na Amali.
36 The sons of Zophah: Suah, and Harnepher, and Shual. And the sons of Imna:
Wana wa Sofa walikuwa: Sua, Harneferi, Shuali, Beri, Imra,
37 Bezer, and Hod, and Shamma, and Shilshah, and Jether, and Beera.
Bezeri, Hodu, Shama, Shilsha, Ithrani na Beera.
38 The sons of Jether: Jephunneh, and Pispa, and Ara.
Wana wa Yetheri walikuwa: Yefune, Pispa na Ara.
39 The sons of Ulla: Arah, and Hanniel, and Rizia.
Wana wa Ula walikuwa: Ara, Hanieli na Risia.
40 All these were the people of Asher, heads of ancestral houses, choice and mighty men of valor, chief of the princes. The number of them reckoned by genealogy for service in war was twenty-six thousand men.
Hawa wote ndio waliokuwa wazao wa Asheri, viongozi wa jamaa zao, watu bora, mashujaa walio hodari na viongozi maarufu. Idadi ya watu waliokuwa tayari kwa vita, kama ilivyoorodheshwa katika ukoo wao, walikuwa 26,000.

< 1 Chronicles 7 >