< Deuteronomy 19 >

1 When Yahweh thy God, shall cut off the nations whose land Yahweh thy God is giving thee, —and thou shalt dispossess them, and dwell in their cities and in their houses,
Wakati Yahwe Mungu wenu anayafutilia mbali mataifa, yale ambayo Yahwe Mungu wenu anawapa nchi yao, na wakati mnakuja kwao na kuishi katika miji yao na nyumba,
2 three cities, shalt thou set apart for thee, —in the midst of thy land which Yahweh thy God is giving thee to possess.
mnapaswa kuchagua miji mitatu kwa ajili yenu katikati mwa nchi yenu ambayo Yahwe Mungu anawapa kuimiliki.
3 Thou shalt prepare for thee a way, and shalt divide into three parts the boundary of thy land which Yahweh thy God shall cause thee to inherit, —and it shall be that every manslayer shall flee thither.
Mnapaswa kujenga barabara na kugawa mipaka ya nchi yenu katika maeneo matatu, nchi ambayo Yahwe Mungu wenu anafanya kuimiliki, ili kwamba kila mmoja anayeua mtu mwingine apate kukimbia hapo.
4 And, this, is the case of the manslayer, who shall flee thither and live, —Whoso shall smite his neighbour unwittingly, he, not having hated him aforetime;
Hii ni sheria kwa ajili ya mtu anayeua mwingine na anayekimbilia huko kuishi: yeyote auae jirani yake bila kujua, na hapo awali hakumchukia-
5 as when one entereth with his neighbour into a forest, to fell trees, and his hand fetcheth a stroke with the axe, to cut down the tree, and the head flieth off from the handle, and lighteth upon his neighbour, that he die, he, shall flee into one of these cities, and live;
kama wakati mtu aingiapo katika msitu pamoja na jirani yake kukata kuni, na mkono wake ukata mti chini kwa shoka, na kichwa uteleza kutoka kwenye mpini na kumpiga jirani yake mpaka akafa- basi mtu huyu anapaswa kukimbilia katika moja ya miji hii na kuishi.
6 lest the blood redeemer pursue the manslayer because his heart is hot, and overtake him because the way is long, and he smite him so as to take away his life, —he not being worthy of death, seeing that he had not been hating him aforetime.
Vinginevyo damu ya mlipiza kisasi atamfuata yeye aliyetoa uhai, na kwa hasira kali anampita kwa sababu ilikuwa safari ndefu. Na anampiga na kumuua, ijapokuwa mtu huyo akustahili kufa; na hata akustahili adhabu ya kifo kwa sababu hakumchukia jirani yake kabla hili halijatokea.
7 For this cause, am I commanding thee saying, —Three cities, shalt thou set apart for thee.
Basi sasa ninakuamuru kuchagua miji mitatu kwa ajili yako.
8 But, if Yahweh thy God should enlarge thy bounds, as he sware unto thy fathers, —and should give thee all the land, which he spake of giving unto thy fathers;
Kama Yahwe Mungu wenu apanua mipaka yenu, kama alivyoapa kwa mababu zenu kufanya, na kuwapa nchi yote ambayo amewaahadia kuwapa mababu zenu;
9 because thou dost observe all this commandment to do it which I am commanding thee to-day, to love Yahweh thy God and to walk in his paths all the days, then shalt thou add unto thee yet three cities, unto these three;
kama mnazishika amri hizi zote kuzifanya, ambazo ninakuamuru leo- amri za kumpenda Yahwe Mungu wenu na daima kutembea katika njia zake, basi mnapaswa kuongeza miji mitatu zaidi kwa ajili yenu, isipokuwa ile mitatu.
10 that innocent blood may not be shed in the midst of thy land, which Yahweh thy God is giving unto thee as an inheritance, —and so shed-blood be upon thee.
Fanya hivi ili kwamba damu isiyo na hatia isimwangwe katikati ya nchi ambayo Yahwe Mungu wenu anawapa kwa ajili ya urithi, ili kwamba pasiwepo hatia ya damu kwenu.
11 But, when any man shall be hating his neighbour, and shall lie in wait for him and rise up against him, and smite him so as to take away his life that he dieth, —and shall then flee into one of these cities,
Lakini kama yeyote anamchukia jirani yake, uongo unamsubiri, uinuka dhidi yake, na majeraha ya kufa kwake ili kwamba anakufa, na kama basi anakimbia katika moja ya miji hii-
12 then shall the elders of his city send and fetch him from thence, —and deliver him into the hand of the blood redeemer that he die;
basi wazee wa mji wake wanapaswa kumtoa na kumrudisha toka huko, na kumkabizi katika mkono wa ndugu mhusika, ili kwamba amuue.
13 thine eye shall not look with pity upon him, —so shall thou consume the shedding of innocent blood out of Israel and it shall go well with thee.
Jicho lako halipaswi kumuonea huruma; badala yake; unapaswa kuondoa hatia ya damu kutoka Israel, ili kwamba iwe vizuri kwako.
14 Thou shalt not move back the boundary of thy neighbour, by which they set bounds at first, —in thine inheritance which thou shall receive in the land which Yahweh thy God is giving thee to possess.
Haupaswi kuondoa alama ya jirani yako ambayo wameweka katika eneo muda mrefu, katika urithi wako ambao utarithi, katika nchi ambayo Yahwe Mungu wako anakupa kumiliki.
15 One witness, shall not rise up, against a man for any iniquity, or for any sin, with regard to any sin that he may commit, —at the mouth of two witnesses or at the mouth of three witnesses, must a matter be establish.
Shahidi moja peke hapaswi kuinuka dhidi ya mtu kwa ajili ya uovu wowote, au kwa ajili ya dhambi yoyote, katika jambo lolote ambalo amefanya dhambi; kwa kinywa cha mashahidi wawili, au kwa kinywa cha mashahidi watatu, kunapaswa jambo lolote lilithibitishwe.
16 When there shall rise up a wrongful witness against a man, —to answer against him perversely,
Kama ushuhuda wa mtu asiye na haki anainua dhidi ya mtu yeyote kushuhudia dhidi yake kwa mambo mabaya.
17 then shall the two men who are at variance stand before Yahweh, —before the priests and the judges who shall be in those days;
Basi watu wote wawili, mmoja kati ya yule utata upo, anapaswa kusimama mbele ya Yahwe, mbele ya makuhani na waamuzi ambao wanatumika siku hizo.
18 and the judges shall make diligent inquisition, —and lo! if the witness be, a false witness and, falsely, have answered against his brother,
Waamuzi wanapaswa kuchunguza kwa uangalifu; ona, kama ushahidi ni ushahidi wa uongo na umeshuhudiwa kwa uongo dhidi ya ndugu yake,
19 then shall ye do unto him as he had thought to de unto his brother, —so shalt thou consume the wicked thing out of thy midst;
basi unapaswa kufanya kwake, kama alivyokusudia kufanya kwa ndugu yake, na utaondoa uovu kutoka miongoni mwenu.
20 and, they who remain shall hear and fear, —and not go on to do again according to this wicked thing, in thy midst:
Basi wale wanaobaki watasikia na kuogopa, na kuanzia hapo na kuendelea hawatafanya tena aina ya ouvu miongoni mwao.
21 neither shall thine eye pity, —life for life, eye for eye, tooth for tooth, hand for hand, foot for foot.
Macho yako hapaswi kuona huruma; maisha yatalipa kwa maisha, jicho kwa jicho, jino kwa jino, mkono kwa mkono, mguu kwa mguu.

< Deuteronomy 19 >