< Joshua 15 >

1 and to be [the] allotted to/for tribe son: descendant/people Judah to/for family their to(wards) border: boundary Edom wilderness Zin south [to] from end south
Ugawanaji wa nchi kwa kabila la watu wa Yuda, walipewa kwa kufuatana na koo zao, kutoka upande wa kusini hadi mpaka wa Edomu, pamoja na nyika ya Sini iliyokuwa mbali sana kuelekea kusini.
2 and to be to/for them border: boundary south from end sea [the] Salt (Sea) from [the] tongue: bar [the] to turn south [to]
Mpaka wao wa upande wa kusini ulianzia mwisho wa Bahari ya Chumvi, kutoka ghuba iliyokabili upande wa kusini.
3 and to come out: extends to(wards) from south to/for ascent Akrabbim and to pass Zin [to] and to ascend: rise from south to/for Kadesh-barnea Kadesh-barnea and to pass Hezron and to ascend: rise Addar [to] and to turn: turn [the] Karka [to]
Mpaka wao mwingine ulielekea upande wa kusini wa mlima wa Akrabimu na kupita kuelekea Sini, na kupanda upande wa Kadeshi Barnea, karibu na Hezroni, hadi Addari mahali ambapo ulipinda kuelekea Karika.
4 and to pass Azmon [to] and to come out: extends Brook (Brook of) Egypt (and to be *QK) outgoing [the] border: boundary sea [to] this to be to/for you border: boundary south
Ulipita katika Azimoni, kuelekea kijito cha Misri, na mwisho ulikuwa katika bahari. Huu ulikuwa ni mpaka wa kusini.
5 and border: boundary east [to] sea [the] Salt (Sea) till end [the] Jordan and border: boundary to/for side north [to] from tongue: bar [the] sea from end [the] Jordan
Mpaka wa mashariki ulikuwa ni Bahari ya Chumvi, katika mdomo wa Yordani. Mpaka wa upande wa kasikazini ulianzia katika ghuba ya bahari katika mdomo wa Yordani.
6 and to ascend: rise [the] border: boundary Beth-hoglah Beth-hoglah and to pass from north to/for Beth-arabah [the] Beth-arabah and to ascend: rise [the] border: boundary stone Bohan son: child Reuben
Ulielekea mpaka Bethi Hogla na ulipita kaskazini mwa Bethi Araba. Kisha ulipanda hata JIwe la Bohani mwana wa Rubeni.
7 and to ascend: rise [the] border: boundary Debir [to] from Valley (of Achor) (Valley of) Achor and north [to] to turn to(wards) [the] Gilgal which before to/for ascent Adummim which from south to/for torrent: valley and to pass [the] border: boundary to(wards) water En-shemesh En-shemesh and to be outgoing his to(wards) En-rogel En-rogel
Basi mpaka ule ulienda hadi Debiri kutoka katika bonde la Akori, kuelekea upande wa kasikazini, kuendelea hadi Giligali, ambayo iko mkabala na mlima Adumimu, iliyo upande wa kusini wa bonde. Kisha mpaka uliendelea hata katika chemichemi za Eni Shemeshi na kufika Eni Rogeli.
8 and to ascend: rise [the] border: boundary Valley son: child (Topheth of son of) Hinnom to(wards) shoulder [the] Jebus from south he/she/it Jerusalem and to ascend: rise [the] border: boundary to(wards) head: top [the] mountain: mount which upon face: before Valley (Topheth of son of) Hinnom sea: west [to] which in/on/with end Valley (of Rephaim) (Valley of) Rephaim north [to]
kisha mpaka ulishuka hadi bonde la Beni Hinomu kuelekea upande wa kusini wa mji wa Wayebusi ( ambao ni Yerusalemu). Kisha ulipanda hata katika mlima ulio juu ya bonde la Hinomu, katika upande wa magharibi, ulio mwishoni mwa bonde la Refaimu katika upande wa kasikazini.
9 and to border [the] border: boundary from head: top [the] mountain: mount to(wards) spring water Nephtoah and to come out: extends to(wards) city mountain: mount (Mount) Ephron and to border [the] border: boundary Baalah he/she/it Kiriath-jearim Kiriath-jearim
Kisha mpaka ulitanuka kutoka katika kilele cha milima hata chemichemi ya Nefutoa, na ulipanda kutoka hapo kuelekea miji ya Mlima Efroni. Kisha mpaka ulipiga kona kuelekea Baala ( ambao ndio Kiriathi Yearimu).
10 and to turn: surround [the] border: boundary from Baalah sea: west [to] to(wards) mountain: mount (Mount) Seir and to pass to(wards) shoulder mountain: mount (Mount) Jearim from north [to] he/she/it Chesalon and to go down Beth-shemesh Beth-shemesh and to pass Timnah
Baadaye mpaka ulizunguka kuelekea magharibi mwa Baala kukabili Mlima Seiri, na kupita kufuata upande wa Mlima wa Yearimu katika upande wa kasikazini (ambao ndio Kesaloni), ulienda chini hadi Bethi Shemeshi na kuvuka hata ng'ambo ya Timna.
11 and to come out: extends [the] border: boundary to(wards) shoulder Ekron north [to] and to border [the] border: boundary Shikkeron [to] and to pass mountain: mount [the] (Mount) Baalah and to come out: extends Jabneel and to be outgoing [the] border: boundary sea [to]
Mpaka uliendelea karibu na mlima wa kasikazini mwa mlima wa Ekroni, na kisha ukakata kona kuzunguka Shikeroni na kupita kuelekea sambasamba na Mlima Baala, kutoka hapo uliendelea hadi Yabneeli. Mpaka ule ulikomea katika bahari.
12 and border: boundary sea: west [the] sea [to] [the] Great (Sea) and border: boundary this border: boundary son: descendant/people Judah around to/for family their
Mpaka wa magharibi ulikuwa Bahari Kuu na katika ukanda wa pwani yake. Huu ndio mpaka uliozunguka kabila la Yuda, ukoo kwa ukoo.
13 and to/for Caleb son: child Jephunneh to give: give portion in/on/with midst son: descendant/people Judah to(wards) lip: word LORD to/for Joshua [obj] Kiriath-arba Kiriath-arba father [the] Anak he/she/it Hebron
Katika kulitunza agizo la Yahweh kwa Yoshua, Yoshua alimpa Kalebu mwana wa Yefune mgao wa nchi ya. miongoni mwa kabila la Yuda, alimgawia nchi Kiriathi Arba, ambayo ndio Hebroni (Arba alikuwa ni baba wa Anaki).
14 and to possess: take from there Caleb [obj] three son: descendant/people [the] Anak [obj] Sheshai and [obj] Ahiman and [obj] Talmai born [the] Anak
Kalebu aliwafukuzia mbali wana watatu wa Anaki: Sheshai, Ahimani na Talmai, wazawa wa Anaki.
15 and to ascend: rise from there to(wards) to dwell Debir and name Debir to/for face: before Kiriath-sannah Kiriath-sannah
Alipanda kutoka pale kinyume cha wenyeji wa Debiri (Debiri hapo mwanzo iliitwa Kiriathi Seferi).
16 and to say Caleb which to smite [obj] Kiriath-sannah Kiriath-sannah and to capture her and to give: give(marriage) to/for him [obj] Achsah daughter my to/for woman: wife
Kalebu akasema, “Mtu atakayeishambulia Kiriathi Seferi na kuiteka, nitampa binti yangau, Akisa, awe mke wake.
17 and to capture her Othniel son: child Kenaz brother: male-sibling Caleb and to give: give(marriage) to/for him [obj] Achsah daughter his to/for woman: wife
Wakati huo Othinieli mwana wa Kenazi, kaka yake na Kalebu, aliuteka mji, na Kalebu alimpatia Akisa, binti yake awe mke wake.
18 and to be in/on/with to come (in): come she and to incite him to/for to ask from with father her land: country and to descend from upon [the] donkey and to say to/for her Caleb what? to/for you
Mara baada ya hayo, Akisa alienda kwa Othinieli na alimsihi amwombe baba yake shamba. Na mara aliposhuka kutoka katika punda wake, Kalebu alimwambia Akisa, “Unataka nini?”
19 and to say to give: give [emph?] to/for me blessing for land: country/planet [the] Negeb to give: give me and to give: give to/for me bowl water and to give: give to/for her [obj] bowl upper and [obj] bowl lower
Akisa akamjibu, “Nifanyie neema. Kwa kuwa umeshanipa nchi ya Negevu, nipe pia baadhi ya chemichemi za maji.” Na Kalebu alimpa chemichemi ya juu na chemichemi ya chini.
20 this inheritance tribe son: descendant/people Judah to/for family their
Huu ulikuwa ndio urithi wa kabila la Yuda, waliopewa kufuatana na koo zao.
21 and to be [the] city from end to/for tribe son: descendant/people Judah to(wards) border: boundary Edom in/on/with Negeb [to] Kabzeel and Eder and Jagur
Miji iliyo mali ya kabila la Yuda katika upande wa kusini, kuelekea mpaka wa Edomu, ilikuwa ni Kabzeeli, Eda, Yaguri,
22 and Kinah and Dimonah and Adadah
Kina, Dimona, Adada,
23 and Kedesh and Hazor and Ithnan
Kadeshi, Hazor, Ithinani,
24 Ziph and Telem and Bealoth
Zifu, Telemu, Bealothi.
25 and Hazor-hadattah Hazor-hadattah and Kerioth (Kerioth)-hezron he/she/it Hazor
Hazori Hadata, Keriothi Hezroni (mji huu ulijulikana kama Hazori),
26 Amam and Shema and Moladah
Amamu, shema, Molada,
27 and Hazar-gaddah Hazar-gaddah and Heshmon and Beth-pelet Beth-pelet
Hazari Gada, Heshimoni, Bethi Peleti,
28 and Hazar-shual Hazar-shual and Beersheba Beersheba and Biziothiah
Hazari Shuali, Beerisheba, Biziothia.
29 Baalah and Iim and Ezem
Baala, Limu, Ezemu,
30 and Eltolad and Chesil and Hormah
Eltoladi, Kesili, Horma,
31 and Ziklag and Madmannah and Sansannah
Ziklagi, Madimana, Sansana,
32 and Lebaoth and Shilhim and Ain and Rimmon all city twenty and nine and village their
Lebaothi, Shilihimu, Aini, na Rimoni. Miji hii ilikuwa ishirini na tisa kwa ujumla, kujumlisha na vijiji vyake.
33 in/on/with Shephelah Eshtaol and Zorah and Ashnah
Katika nchi iliyo chini ya mlima upande wa magharibi, kulikuwa na miji ya Eshtaoli, Zora, Ashina,
34 and Zanoah and En-gannim En-gannim Tappuah and [the] Enam
Zanaoa, Eni Ganimu, Tapua, Enamu,
35 Jarmuth and Adullam Socoh and Azekah
Yarmuthi, Adulamu, Soko, Azeka,
36 and Shaaraim and Adithaim and [the] Gederah and Gederothaim city four ten and village their
Shaaraimu, Adithaimu, na Gedera ( ambayo ndio Gederothaimu). Hesabu ya miji hii ilikuwa ni kumi na nne, pamoja na vijiji vyao.
37 Zenan and Hadashah and Migdal-gad Migdal-gad
Zena, Hadasha, Migidagadi,
38 and Dilean and [the] Mizpeh and Joktheel
Dileani, Mizipa, Yokitheeli,
39 Lachish and Bozkath and Eglon
Lakishi, Bozikathi, Egloni.
40 and Cabbon and Lahmam and Chitlish
Kaboni, Lahmamu, Kitilishi,
41 and Gederoth Beth-dagon Beth-dagon and Naamah and Makkedah city six ten and village their
Gederothi, Bethi Dagoni, Naama, Makeda. Hesabu ya miji hii ilikuwa kumi na sita, kujumlisha na vijiji vyao.
42 Libnah and Ether and Ashan
Libna, Etheri, Ashani,
43 and Iphtah and Ashnah and Nezib
Ifuta, Ashina, Nezibu,
44 and Keilah and Achzib and Mareshah city nine and village their
Keila, Akizibu, na Maresha. Hii ilikuwa ni miji tisa, kujumlisha na vijiji vyao.
45 Ekron and daughter: village her and village her
Ekroni, pamoja na miji na vijiji vyake vinavyoizunguka;
46 from Ekron and sea [to] all which upon hand: to Ashdod and village their
kutoka Ekroni kuelekea Bahari Kuu, makazi yote ambayo yalikuwa karibu na Ashidodi, pamoja na vijiji vyake.
47 Ashdod daughter: village her and village her Gaza daughter: village her and village her till Brook (Brook of) Egypt and [the] sea ([the] Great (Sea) *QK) and border: boundary
Ashidodi, na miji na vijiji vyake vinavyoizunguka; Gaza na miji na vijiji vyake vinavyoizunguka; hata kufika kijito cha Misri, na kuelekea Bahari Kuu pamoja na ukanda wake wa pwani.
48 and in/on/with mountain: hill country Shamir and Jattir and Socoh
Katika nchi ya milima, kuna miji ya Shamiri, Yatiri, Soko,
49 and Dannah and Kiriath-sannah Kiriath-sannah he/she/it Debir
Dana, Kiriathi Sana (ambayo ndio Debiri),
50 and Anab and Eshtemoa and Anim
Anabu, Eshitemo, Animu,
51 and Goshen and Holon and Giloh city one ten and village their
Gosheni, Holoni, na Gilo. Hii ilikuwa ni miji kumi na moja, kujumuisha na vijiji vyake.
52 Arab and Dumah and Eshan
Arabu, Duma, Ehani,
53 (and Janim *QK) and Beth-tappuah Beth-tappuah and Aphekah
Yanimu, Bethi Tapua, Afeka,
54 and Humtah and Kiriath-arba Kiriath-arba he/she/it Hebron and Zior city nine and village their
Humta, Kiriathi Arba (ambayo ndio Hebroni), na Ziori. Hii ilikuwa miji tisa, pamoja na vijiji vyake.
55 Maon Carmel and Ziph and Juttah
Maoni, Karmeli, Zifu, Yuta,
56 and Jezreel and Jokdeam and Zanoah
Yezreeli, Yokdeamu, Zanoa,
57 [the] Kain Gibeah and Timnah city ten and village their
Kaini, Gibea, na Timna. Hii ilikuwa ni miji kumi, kujumuisha na vijiji vyake.
58 Halhul Beth-zur Beth-zur and Gedor
Halhuli, Bethi Zuri, Gedori,
59 and Maarath and Beth-anoth Beth-anoth and Eltekon city six and village their
Maarathi, Bethi Anothi, na Elitekoni. Hii ilikuwa miji sita, pamoja na vijiji vyake.
60 Kiriath-baal Kiriath-baal he/she/it Kiriath-jearim Kiriath-jearim and [the] Rabbah city two and village their
Kiriathi Baali (ambayo ndio Kiriathi Yearimu), na Raba. Hii ilikuwa ni miji miwili, pamoja na vijiji vyake.
61 in/on/with wilderness Beth-arabah Beth-arabah Middin and Secacah
Katika nyika, kulikuwa na miji ya Bethi Araba, Midini, Sekaka,
62 and [the] Nibshan and City of Salt [the] City of Salt and Engedi Engedi city six and village their
Nibushani, mji wa chumvi, na Eni Gedi. Hii ilikuwa miji, pamoja na vijiji vyao.
63 and with [the] Jebusite to dwell Jerusalem not (be able *QK) son: descendant/people Judah to/for to possess: take them and to dwell [the] Jebusite with son: descendant/people Judah in/on/with Jerusalem till [the] day: today [the] this
Lakini kwa Wayebusi, wenyeji wa Yerusalemu, kabila la Yuda halikuweza kuwafukuza, na hivyo, Wayebusi wanaishi pamoja na kabila la Yuda hadi leo hii.

< Joshua 15 >