< Genesis 20 >

1 And Abraham departed thence towarde the southcontre and dwelled betwene Cades and Sur ad sogeorned in Gerar.
Abraham akasafiri kutoka pale hadi nchi ya Negebu, na akakaa kati ya Kadeshi na Shuri. Akawa mgeni akiishi Gerari.
2 And Abraham sayde of Sara his wyfe that she was his sister. Than Abimelech kynge of Gerar sent and fett Sara awaye.
Abraham akasema kususu mkewe Sara, “ni dada yangu.” Kwa hiyo Abimeleki mfalme wa Gerari akatuma watu wake kumchukua Sara.
3 And God came to Abimelech by nyghte in a dreame and sayde to him: Se thou art but a deed man for the womas sake which thou hast taken awaye for she is a mans wyfe.
Lakini Mungu akamtokea Abimeleki usiku katika ndoto, akamwambia, “Tazama, wewe ni mfu kutokana na mwanamke uliye mchukua, kwa kuwa ni mke wa mtu.”
4 But Abimelech had not yet come nye her and therfore sayde: lorde wilt thou sley rightewes people?
Basi Abimeleki alikuwa bado hajamkaribia hivyo akasema, “Bwana, Je utaua hata taifa lenye haki?
5 sayde not he vnto me that she was hys sister? yee and sayde not she herself that he was hir brother? wyth a pure herte and innocent handes haue I done this.
Je si yeye mwenyewe aliye niambia, 'Sara ni dada yangu?' Hata Sara mwenyewe alisema, 'ni kaka yangu.' Nimefanya hili katika uadilifu wa moyo wangu na katika mikono isiyo na hatia.”
6 And God sayde vnto him in a dreame. I wot it well that thou dydest it in the purenesse of thi herte. And therfore I kepte ye that thou shuldest not synne agenst me nether suffred I the to come nygh her.
Kisha Mungu akasema naye katika ndoto, “Kweli, ninajua pia kwamba umefanya hili katika uadilifu wa moyo wako, na pia nilikuzuia usitende dhambi dhidi yangu mimi. Ndiyo maana sikuruhusu umshike.
7 Now therfore delyuer the ma his wyfe ageyne for he is a prophete. And let him praye for the that thou mayst lyue. But and yf thou delyuer her not agayne be sure that thou shalt dye the deth with all that thou hast.
Kwa hiyo, mrudishe huyo mke wa mtu, kwa kuwa ni nabii. Atakuombea, na utaishi. Lakini usipo mrudisha, ujuwe kwamba wewe pamoja na wote walio wa kwako mtakufa hakika.
8 Than Abimelech rose vp be tymes in the mornynge and called all his servauntes and tolde all these thinges in their eares and the men were sore a frayde.
Abimeleki akaamka asubuhi na mapema akawaita watumishi wake wote waje kwake. Akawasimulia mambo haya yote, na watu wale wakaogopa sana.
9 And Abimelech called Abraham and sayde vnto him: What hast thou done vnto vs and what haue I offended the that thou shuldest brynge on me and on my kyngdome so greate a synne? thou hast done dedes vnto me that ought not to be done.
Kisha Abimeleki akamwita Abraham na kumwambia, “Umetufanyia jambo gani? Ni kwa jinsi gani nimekutenda dhambi kwamba umeniletea mimi na ufalme wangu dhambi hii kubwa? Umenifanyia mimi jambo ambalo halipaswi kufanywa.”
10 And Abimelech sayde morouer vnto Abraham: What sawest thou that moved the to do this thinge?
Abimeleki akamwambia Abraham, “Nini kilikushawishi wewe kutenda jambo hili?”
11 And Abraham Answered. I thought that peradveture the feare of God was not in this place and that they shulde sley me for my wyfes sake:
Abraham akasema, “Ni kwasababu nilifikiri hakika hakuna hofu ya Mungu katika sehemu hii, na kwamba wataniua kwa ajili ya mke wangu.'
12 yet in very dede she is my sister the doughter of my father but not of my mother: and became my wyfe.
Licha ya kwamba kweli ni dada yangu, binti wa baba yangu, ingawa si binti wa mama yangu; na ndiye alifanyika kuwa mke wangu.
13 And after God caused me to wandre out of my fathers house I sayde vnto her: This kyndnesse shalt thou shewe vnto me in all places where we come that thou saye of me how that I am thy brother.
Wakati Mungu aliponiondoa katika nyumba ya baba yangu na kusafiri kutoka mahali kwenda mahali pengine, nilimwambia mke wangu, kwa kila sehemu tutakayo kwenda, unioneshe uaminifu wako kama mke wangu: Kila mahali tutakapo kwenda, useme juu yangu kuwa, “Ni kaka yangu.”'''
14 Than toke Abimelech shepe and oxen menservauntes and wemenseruauntes and gaue them vnto Abraham and delyvered him Sara his wyfe agayne.
Ndipo Abimeleki akatwaa kondoo, maksai, watumwa wa kiume na wa kike akampatia Abraham. Basi Abimeleki akamrudisha Sara, mke wa Abraham.
15 And Abimelech sayde: beholde the lande lyeth be fore the dwell where it pleaseth ye best.
Abimeleki akasema, Tazama, Nchi yangu i mbele yako. Kaa mahali utakapopendezewa.”
16 And vnto Sara he sayde: Se I haue geuen thy brother a thousande peeces of syluer beholde he shall be a couerynge to thyne eyes vnto all that ar with the and vnto all men and an excuse.
Na kwa Sara akasema, Tazama, nimempatia kaka yako vipande elfu vya fedha. Navyo ni kwa ajili ya kufunika kosa lolote dhidi yako machoni pa wote walio pamoja na wewe, na mbele ya kila mtu ambaye umemfanya kuwa na haki.”
17 And so Abraham prayde vnto God and God healed Abimeleh and his wyfe and hys maydens so that they bare.
Kisha Abraham akaomba kwa Mungu, Na Mungu akamponya Abimeleki, mkewe, na watumwa wake wa kike kiasi kwamba wakaweza kupata watoto.
18 For the LORde had closed to all the matryces of the house of Abimelech because of Sara Abrahams wyfe.
Kwa kuwa Yahwe alikuwa amewafanya wanawake wote wa nyumaba ya Abimeleki kuwa tasa kabisa, kwa sababu ya Sara, mke wa Abraham.

< Genesis 20 >