< Joshua 4 >

1 And whanne thei weren passid ouer, the Lord seide to Josue,
Watu wote walipokwisha kuvuka Yordani, Yahweh akamwambia Yoshua,
2 Chese thou twelue men,
“Chagueni wenyewe watu waume kumi na wawili, mmoja katika kila kabila.
3 by ech lynage o man, and comaunde thou to hem, that thei take fro the myddis of the trow of Jordan, where the `feet of preestis stoden, twelue hardiste stoonys; whiche thou schalt sette in the place of castels, where ye schulen sette tentis in this nyyt.
Wape agizo hilo: 'Chukueni mawe kumi na mbili kutoka katikati ya Yordani mahali wanaposimama makuhani katika nchi kavu, na wayalete na kuyaweka chini katika sehemu ambapo mtalala usiku wa leo.
4 And Josue clepide twelue men, whiche he hadde chose of the sones of Israel, of ech lynage o man;
Kisha Yoshua akawaita wanaume kumi na wawili ambao aliwachagua kutoka katika makabila ya Israeli, mmoja kutoka kila kabila.
5 and he seide to hem, Go ye bifore the arke of youre Lord God to the myddis of Jordan, and bere ye fro thennus in youre schuldris ech man o stoon, bi the noumbre of the sones of Israel,
Yoshua akawaambia, “Nendeni mbele za sanduku la Yahweh Mungu wenu katikati ya Yordani. Kila mmoja wenu achukue jiwe moja mabegani mwake, kulingana na hesabu ya makabila ya watu wa Israeli.
6 that it be a signe bitwixe you. And whanne youre sones schulen axe you to morewe, that is, in tyme `to comynge, and schulen seie, What wolen these stonus `to hem silf?
Hii itakuwa ni ishara miongoni mwenu kwa ajili yenu wakati watoto wenu watakapowauliza katika siku zijazo, 'Nini maana ya mawe haya kwenu?'
7 ye schulen answere to hem, The watris of Jordan failiden bifor the arke of boond of pees of the Lord, whanne the arke passide Jordan; therfor these stoonus ben set in to mynde of the sones of Israel, til in to withouten ende.
Ndipo mtakapowaambia, 'Maji ya Yordani yalitengwa mbele ya sanduku la Yahweh. Lililpopitishwa katika Yordani, maji ya Yordani yalisimamishwa. Hivyo, mawe haya yatakuwa kumbukumbu kwa watu wa Israeli milele.'”
8 Therfor the sones of Israel diden as Josue comaundide to hem, and baren fro the myddis of the trow of Jordan twelue stoonys, as the Lord comaundide to hem, bi the noumbre of the sones of Israel, `til to the place in which thei settiden tentis; and there thei puttiden tho stonys.
Watu waisraeli walifanya kama Yoshua alivyowaagiza, na walichukua mawe kumi na mbili kutoka katikati ya Yordani, kama Yahweh alivyomwambia Yoshua, walipangwa sawa sawa na hesabu ya makabila ya watu wa Israeli. Waliyachukua mawe mpaka mahali walipolala na wakayaweka chini huko.
9 Also Josue puttide othire twelue stoonys in the myddis of the trow of Jordan, where the preestis stoden, that baren the arke of boond of pees of the Lord; and tho stoonys ben there `til in to present dai.
Kisha Yoshua akayapanga mawe kumi na mbili katikati ya Yordani, katika sehemu ambapo ilisimama miguu ya makuhani waliolichukua sanduku la agano. Na kumbukumbu hiyo ipo hadi leo.
10 Forsothe the preestis, that baren the arke, stoden in the myddis of Jordan, til alle thingis weren fillid, whiche the Lord comaundide, that Josue schulde speke to the puple, as Moises hadde seide to hym. And the puple hastide, and passide.
Makuhani waliolichukua sanduku walisimama katikati ya Yordani mpaka pale kila kitu ambacho Yahweh alimwamuru Yoshua kuwaambia watu kilipokamilika, sawa sawa na yote ambayo Musa alimwagiza Yoshua. Watu walifanya haraka na wakavuka.
11 And whanne alle men hadden passid, also the arke of the Lord passide, and the preestis yeden bifor the puple.
Wakati watu wote walipokwisha kuvuka, sanduku la Yahweh pamoja na makuhani walivuka mbele za watu.
12 Also the sones of Ruben, and of Gad, and half the lynage of Manasse, yeden armed bifor the sones of Israel, as Moyses comaundide to hem.
Kabila la Rubeni, kabila la Gadi, na nusu ya kabila la Manase walipita kama jeshi mbele ya watu wa Israeli, kama ambavyo Musa alivyowaambia.
13 And fourti thousynde of fiyters yeden bi her cumpanyes and gaderyngis on the pleyn and feeldi places of the citee of Jerico.
Yapata watu watu elfu arobaini walioandaliwa kwa vita walipita mbele za Yahweh, kwa ajili ya vita katika uwanda wa Yeriko.
14 In that day the Lord magnyfiede Josue bifor al Israel, that thei schulden drede hym, as thei dreden Moises, while he lyuede yit.
Katika siku hiyo Yahweh alimfanya Yoshua kuwa mkuu katika macho ya watu wote wa Israeli. Walimheshimu - kama walivyomheshimu Musa - siku zake zote.
15 And the Lord seide to Josue,
Kisha Yahweh akamwambia Yoshua,
16 Comaunde thou to the preestis that beren the arke of boond of pees, that thei stie fro Jordan.
“Waamuru makuhani wanaolibeba sanduku la ushuhuda watoke katika Yordani.”
17 And Josue comaundide to hem, and seide, Stie ye fro Jordan.
Hivyo Yoshua akawaamuru makuhani, '' pandeni mtoke Yordani.”
18 And whanne thei hadden stied, berynge the arke of boond of pees of the Lord, and hadde bigunne to trede on the drie erthe, the watris turneden ayen in to her trowe, and flowiden, as tho weren wont before.
Wakati makuhani wenye kulibeba sanduku la agano la Yahweh walitoka katikati ya Yordani, na nyayo za miguu yao ilikuwa imeinuliwa katika nchi kavu, kisha maji ya Yordani yalirudi katika sehemu zake na kujaa hadi katika kingo zake kama ilivyokuwa siku nne zilizopita.
19 Forsothe the puple stiede fro Jordan in the tenthe dai of the firste monethe, and thei settiden tentis in Galgalis, ayens the eest coost of the citee of Jerico.
Katika siku ya kumi ya mwezi wa kwanza, watu walikwea kutoka Yordani. Wakakaa huko Gilgali, mashariki mwa Yeriko.
20 Also Josue puttide in Galgalis the twelue stonys, whiche thei hadden take fro the trow of Jordan.
Mawe kumi na mawili ambayo yalichukuliwa katika Yordani, Yoshuua aliyasimamisha hapo Gilgali.
21 And he seide to the sones of Israel, Whanne youre sones schulen axe to morewe her fadris, and schulen seie to hem, What wolen these stoonys `to hem silf?
Aliwaambia watu wa Israeli, “wakati watoto wenu watakapowauliza baba zao katika wakai ujao, 'Mawe haya ni ya nini?'
22 ye schulen teche hem, and ye schulen seie, We passiden this Jordan bi the drie botme,
Waambieni watoto wenu, 'Hapa ndipo Waisraeli walivuka Yordani katika nchi kavu.
23 for oure Lord God driede the watris therof in oure siyt, til we passiden, as he dide bifore in the Reed See, which he driede while we passiden,
Yahweh Mungu wenu aliyakausha maji ya Yordani, mpaka hapo Yahweh Mungu wako aliyoyafanya katika bahari ya mianzi, ambayo aliikausha kwa ajili yetu ili tupite juu yakes,
24 that alle the puplis of londis lurne the strongeste hond of the Lord, that also ye drede youre Lord God in al tyme.
ili kwamba watu wote wa nchi wajue kwamba mkono wa Yahweh ni nguvu, na kwamba mtamweshimu Yahweh Mungu wenu milele.''

< Joshua 4 >