< Proverbs 27 >

1 Haue thou not glorie on the morewe, `not knowynge what thing the dai to comynge schal bringe forth.
Usijisifu kwa ajili ya kesho, maana hujui siku italeta nini.
2 Another man, and not thi mouth preise thee; a straunger, and not thi lippis `preise thee.
Mtu mwingine akusifu na wala si kinywa chako mwenyewe, mgeni na wala si midomo yako mwenyewe.
3 A stoon is heuy, and grauel is chariouse; but the ire of a fool is heuyere than euer eithir.
Fikiria uzito wa jiwe na uzito wa mchanga- uchokozi wa mpumbavu ni mzito zaidi kuliko hivyo vyote.
4 Ire hath no merci, and woodnesse brekynge out `hath no merci; and who mai suffre the fersnesse of a spirit stirid?
Kuna ukatili wenye ghadhabu kali na mafuriko ya hasira, lakini ni nani anayeweza kusimama mbele ya wivu?
5 Betere is opyn repreuyng, than loue hid.
Ni bora karipio la wazi kuliko upendo uliofichwa.
6 Betere ben the woundis of hym that loueth, than the gileful cossis of hym that hatith.
Mwaminifu ni jeraha zilizosababishwa na rafiki, lakini adui anaweza kukubusu kwa kuomba radhi mno.
7 A man fillid schal dispise an hony coomb; but an hungri man schal take, yhe, bittir thing for swete.
Mtu aliyekula na kushiba hulikataa hata sega la asali, bali kwa mtu mwenye njaa, kila kitu kichungu ni kitamu.
8 As a brid passinge ouer fro his nest, so is a man that forsakith his place.
Ndege anayezurura kutoka kwenye kiota chake ni kama mtu anayepotea sehemu ambayo anaishi.
9 The herte delitith in oynement, and dyuerse odours; and a soule is maad swete bi the good counsels of a frend.
Pafumu na manukato huufanya moyo ufurahi, lakini utamu wa rafiki ni bora kuliko ushauri wake.
10 Forsake thou not thi frend, and the frend of thi fadir; and entre thou not in to the hous of thi brothir, in the dai of thi turment. Betere is a neiybore nyy, than a brothir afer.
Usimwache rafiki yako na rafiki wa baba yako, na usiende kwenye nyumba ya ndugu yako katika siku ya msiba wako. Ni bora rafiki ambaye yupo karibu kuliko ndugu ambaye yupo mbali.
11 Mi sone, studie thou a boute wisdom, and make thou glad myn herte; that thou maist answere a word to a dispisere.
Mwanangu, uwe na busara, moyo wangu ufurahi; kisha nitamjibu yule anayenidhihaki.
12 A fel man seynge yuel was hid; litle men of wit passinge forth suffriden harmes.
Mtu mwenye busara huiona taabu na kujificha mwenyewe, lakini mjinga huendelea mbele na kuteseka kwa ajili ya taabu.
13 Take thou awei his clooth, that bihiyte for a straunger; and take thou awei a wed fro hym for an alien man.
vazi kama mwenyewe anaweka pesa kama dhamana kwa deni la mgeni; lichukue kama anaweka dhamana kwa malaya.
14 He that blessith his neiybore with greet vois; and risith bi niyt, schal be lijk hym that cursith.
Anayempa jirani yake baraka kwa sauti ya juu mapema asubuhi, baraka hiyo itafikiriwa kuwa laana!
15 Roouys droppynge in the dai of coold, and a womman ful of chidyng ben comparisond.
Mke mgomvi ni kama siku ya manyunyu ya mvua ya daima;
16 He that withholdith hir, as if he holdith wynd; and auoidith the oile of his riyt hond.
kumzuia ni kama kuuzuia upepo, au kujaribu kushika mafuta kwa mkono wako wa kulia.
17 Yrun is whettid bi irun; and a man whettith the face of his frend.
Chuma hunoa chuma; kwa njia ile ile; mtu humnoa rafiki yake.
18 He that kepith a fige tre, schal ete the fruytis therof; and he that is a kepere of his lord, schal be glorified.
Yule anayeutunza mtini atakula matunda yake, na yule mwenye kumlinda bwana wake ataheshimiwa.
19 As the cheris of men biholdinge schynen in watris; so the hertis of men ben opyn to prudent men.
Kama maji yanavyoakisi taswira ya sura ya mtu, ndivyo hivyo moyo wa mtu humwaksi mtu.
20 Helle and perdicioun schulen not be fillid; so and the iyen of men moun not be fillid. (Sheol h7585)
Kama kuzimu na Uharibifu havitosheki, ndivyo yalivyo macho ya mtu hayawezi kutosheka. (Sheol h7585)
21 As siluer is preuyd in a wellyng place, and gold `is preued in a furneys; so a man is preued bi the mouth of preyseris. The herte of a wickid man sekith out yuels; but a riytful herte sekith out kunnyng.
Kalibu ni kwa fedha na tanuru ni kwa dhahabu; na mtu hujaribiwa anaposifiwa.
22 Thouy thou beetist a fool in a morter, as with a pestel smytynge aboue dried barli; his foli schal not be don awei fro him.
Hata kama utamponda mpumbavu kwa mchI- pamoja na nafaka- bado upumbavu wake hautatoka.
23 Knowe thou diligentli the cheere of thi beeste; and biholde thou thi flockis.
Hakikisha unajua hali ya makundi yako na ujishughulishe juu ya makundi yako,
24 For thou schalt not haue power contynueli; but a coroun schal be youun to thee in generacioun and in to generacioun.
maana utajiri haudumu daima. Je taji hudumu kwa vizazi vyote?
25 Medewis ben openyd, and greene eerbis apperiden; and hey is gaderid fro hillis.
Majani huondoka na ukuaji mpya huonekana na milima ya chakula cha mifugo hukusanywa ndani.
26 Lambren be to thi clothing; and kidis be to the prijs of feeld.
Wanakondoo watakupatia mavazi yako na mbuzi watakupatia gharama ya shamba.
27 The mylke of geete suffice to thee for thi meetis; in to the necessarie thingis of thin hous, and to lijflode to thin handmaidis.
Kutakuwa na maziwa ya mbuzi kwa chakula chako- chakula kwa kaya yako- na chakula kwa watumishi wako wasichana.

< Proverbs 27 >