< Jesajan 19 >

1 Ennustus Egyptistä. Katso, Herra ajaa nopealla pilvellä ja tulee Egyptiin. Silloin vapisevat Egyptin epäjumalat hänen edessään, ja sydän raukeaa Egyptin rinnassa.
Neno kuhusu Misri: Tazama, Bwana amepanda juu ya wingu liendalo kwa haraka naye anakuja Misri. Sanamu za Misri zinatetemeka mbele yake, nayo mioyo ya Wamisri inayeyuka ndani yao.
2 Minä kiihoitan Egyptin Egyptiä vastaan, niin että he keskenänsä sotivat, ystävä ystävää vastaan, kaupunki kaupunkia vastaan, valtakunta valtakuntaa vastaan.
“Nitamchochea Mmisri dhidi ya Mmisri, ndugu atapigana dhidi ya ndugu, jirani dhidi ya jirani, mji dhidi ya mji, ufalme dhidi ya ufalme.
3 Egyptiltä katoaa rohkeus rinnasta, ja minä hämmennän hänen neuvonsa; ja he kysyvät epäjumalilta, henkienmanaajilta, vainaja-ja tietäjähengiltä.
Wamisri watakufa moyo, na nitaibatilisha mipango yao. Watatafuta ushauri kwa sanamu na kwa roho za waliokufa, kwa waaguzi na kwa wale waongeao na mizimu.
4 Minä annan Egyptin tylyn herran käsiin, ja kova kuningas on hallitseva heitä, sanoo Herra, Herra Sebaot.
Nitawatia Wamisri mikononi mwa bwana mkatili na mfalme mkali atatawala juu yao,” asema Bwana, Bwana Mwenye Nguvu Zote.
5 Vedet virrasta loppuvat, joki ehtyy ja kuivuu.
Maji ya mito yatakauka, chini ya mto kutakauka kwa jua.
6 Joet levittävät löyhkää, Egyptin kanavat mataloituvat ja ehtyvät, ruoko ja kaisla lakastuvat.
Mifereji itanuka; vijito vya Misri vitapungua na kukauka. Mafunjo na nyasi vitanyauka,
7 Ruohostot Niilivirran varsilla, virran suussa, ja kaikki Niilivirran kylvömaat kuivuvat, kuihtuvat ja häviävät.
pia mimea iliyoko kando ya Mto Naili, pale mto unapomwaga maji baharini. Kila shamba lililopandwa kando ya Mto Naili litakauka, litapeperushwa na kutoweka kabisa.
8 Kalastajat valittavat ja murehtivat; kaikki, jotka heittävät onkea virtaan ja laskevat verkkoa veteen, nääntyvät.
Wavuvi watalia na kuomboleza, wale wote watupao ndoano katika Mto Naili, watadhoofika kwa majonzi.
9 Häpeään joutuvat, jotka häkilöityjä pellavia pitelevät ja jotka kutovat pellavakankaita.
Wale watu wafanyao kazi ya kitani kilichochambuliwa watakata tamaa, wafumaji wa kitani safi watavunjika moyo.
10 Maan peruspylväät murskataan, ja kaikki palkkalaiset ovat murheellisella mielellä.
Wafanyao kazi ya kufuma nguo watahuzunishwa, nao vibarua wataugua moyoni.
11 Hulluina ovat Sooanin päämiehet kaikki, viisaimmat faraon neuvonantajista ovat neuvossaan tyhmistyneet. Kuinka voitte sanoa faraolle: "Olen viisaitten poika, muinaisajan kuninkaitten jälkeläinen"?
Maafisa wa Soani ni wapumbavu kabisa, washauri wa Farao wenye busara wanatoa ushauri wa kijinga. Unawezaje kumwambia Farao, “Mimi ni mmojawapo wa watu wenye hekima, mwanafunzi wa wafalme wa zamani”?
12 Missä ovat viisaasi? Ilmoittakoot sinulle-hehän sen tietävät-mitä Herra Sebaot on Egyptin osalle päättänyt.
Wako wapi sasa watu wako wenye hekima? Wao wakuonyeshe na kukufahamisha ni nini Bwana Mwenye Nguvu Zote amepanga dhidi ya Misri.
13 Sooanin päämiehet ovat typertyneet, Noofin päämiehet ovat pettyneet. Egyptiä horjuttavat sen sukukuntain kulmakivet;
Maafisa wa Soani wamekuwa wapumbavu, viongozi wa Memfisi wamedanganyika, walio mawe ya pembe ya taifa lake wameipotosha Misri.
14 Herra on vuodattanut sen keskuuteen sekasorron hengen, ja niin he saattavat Egyptin horjumaan kaikissa menoissansa, niinkuin juopunut horjahtaa oksennukseensa.
Bwana amewamwagia roho ya kizunguzungu; wanaifanya Misri iyumbayumbe katika yale yote inayoyafanya, kama vile mlevi ayumbayumbavyo katika kutapika kwake.
15 Eikä menesty Egyptille mikään teko, tekipä sen pää tai häntä, palmunlehvä tai kaisla.
Misri haiwezi kufanya kitu chochote, cha kichwa wala cha mkia, cha tawi la mtende wala cha tete.
16 Sinä päivänä Egypti on oleva naisten kaltainen; se vapisee ja pelkää Herran Sebaotin käden heilutusta, kun hän heiluttaa kättään sitä vastaan.
Katika siku ile Wamisri watakuwa kama wanawake. Watatetemeka kwa hofu mbele ya mkono wa Bwana Mwenye Nguvu Zote anaoinua dhidi yao.
17 Ja Juudan maa on oleva Egyptille kauhuksi; niin usein kuin sitä sille mainitaan, pelkää se Herran Sebaotin päätöstä, jonka hän siitä on päättänyt.
Nayo nchi ya Yuda itawatia hofu Wamisri, kila mmoja atakayetajiwa Yuda ataingiwa na hofu, kwa sababu ya kile ambacho Bwana Mwenye Nguvu Zote anapanga dhidi yao.
18 Sinä päivänä on viisi kaupunkia Egyptin maassa puhuva Kanaanin kieltä ja vannova valan Herralle Sebaotille. Yhtä mainitaan nimellä Iir-Heres.
Katika siku hiyo miji mitano ya Misri, itazungumza lugha ya Kanaani, na kuapa kumtii Bwana Mwenye Nguvu Zote. Mji mmojawapo utaitwa Mji wa Uharibifu.
19 Sinä päivänä on oleva Herran alttari keskellä Egyptin maata ja sen rajalla Herran patsas.
Katika siku hiyo patakuwepo madhabahu ya Bwana katikati ya Misri na mnara wa kumbukumbu kwa Bwana kwenye mpaka wa Misri.
20 Ja se on oleva merkkinä ja todistuksena Herralle Sebaotille Egyptin maassa; sillä he huutavat Herraa sortajain tähden, ja hän lähettää heille vapauttajan ja puolustajan, joka pelastaa heidät.
Itakuwa alama na ushahidi kwa ajili ya Bwana Mwenye Nguvu Zote katika nchi ya Misri. Watakapomlilia Bwana kwa sababu ya watesi wao, Mungu atawapelekea mwokozi na mtetezi, naye atawaokoa.
21 Ja Herra tekee itsensä tunnetuksi egyptiläisille, ja egyptiläiset tuntevat Herran sinä päivänä ja palvelevat häntä teuras-ja ruokauhreilla, ja he tekevät Herralle lupauksia ja täyttävät ne.
Hivyo Bwana atajijulisha mwenyewe kwa Wamisri, nao katika siku hiyo watamkubali Bwana. Wataabudu kwa kumtolea dhabihu na sadaka za nafaka, watamwekea Bwana nadhiri na kuzitimiza.
22 Herra lyö egyptiläisiä, lyö ja parantaa; he palajavat Herran tykö, ja hän kuulee heidän rukouksensa ja parantaa heidät.
Bwana ataipiga Misri kwa tauni; atawapiga na kuwaponya. Watamgeukia Bwana, naye atayasikia maombi yao na kuwaponya.
23 Sinä päivänä on oleva valtatie Egyptistä Assuriin, ja Assur yhtyy Egyptiin ja Egypti Assuriin, ja he, Egypti ynnä Assur, palvelevat Herraa.
Katika siku hiyo kutakuwepo na njia kuu kutoka Misri hadi Ashuru. Waashuru watakwenda Misri, na Wamisri watakwenda Ashuru. Wamisri na Waashuru wataabudu pamoja.
24 Sinä päivänä on Israel oleva kolmantena Egyptin ja Assurin rinnalla, siunauksena keskellä maata,
Katika siku hiyo Israeli itakuwa ya tatu, pamoja na Misri na Ashuru, nao watakuwa baraka kwa dunia.
25 sillä Herra Sebaot siunaa sitä sanoen: "Siunattu olkoon Egypti, minun kansani, ja Assur, minun kätteni teko, ja Israel, minun perintöosani".
Bwana Mwenye Nguvu Zote atawabariki, akisema, “Baraka iwe kwa Misri watu wangu, kwa Ashuru kazi ya mikono yangu, na kwa Israeli urithi wangu.”

< Jesajan 19 >