< Jesajan 63 >

1 Kuka tuolla tulee Edomista, tulipunaisissa vaatteissa Bosrasta, tuo puvultansa komea, joka uljaana astelee suuressa voimassansa? "Minä, joka puhun vanhurskautta, joka olen voimallinen auttamaan."
Ni nani ajaye kutoka Edomu, aliyevaa mavazi rangi nyekundu kutoka Bozra? Ni nani aliye katika mavazi ya kifahari, anayetembea kwa kujiamini kwa sababu ya ukuu wa nguvu zake? Ndiye mimi, nizungumzae haki na uwezo mkubwa wa kuokoa.
2 Miksi on punaa sinun puvussasi, miksi ovat vaatteesi kuin viinikuurnan polkijan?
Kwa nini umevaa mavazi ya rangi nyekundu, na kwan nini wanaonekana kama akanyagae mizabibu katika vyombo vyake.
3 "Kuurnan minä poljin, minä yksinäni, ei ketään kansojen joukosta ollut minun kanssani; minä poljin heidät vihassani, tallasin heidät kiivaudessani, ja niin pirskui heidän vertansa vaatteilleni, ja minä tahrasin koko pukuni.
Nimekanyaga zabibu lililoko katika vyombo vyenyewe, na hakuna hata mmoja kutoka mataifa aliyeungana na mimi. Niliwakanyaga kwa hasira yangu na niliwakanyaga wao kwa hasira yangu. Damu zao zimeruka katika nguo zangu na kuweka madoa nguo zangu zote.
4 Sillä koston päivä oli minun mielessäni ja minun lunastettujeni vuosi oli tullut.
Maana niliangalia mbele katika siku ya kisasi, na mwaka wa ukombozi ulikwishawadia.
5 Ja minä katselin, mutta ei ollut auttajaa, ja minä ihmettelin, kun ei kukaan tueksi tullut. Silloin minun oma käsivarteni minua auttoi, ja minun vihani minua tuki.
Mimi nilitazama, na hapo hapakuwa na mtu mmoja hata wa kutoa msaada, lakini mkono wangu mwenywe uliniletea ushindi mimi, na hasira yangu kubwa iliniongoza mimi.
6 Ja minä tallasin kansat vihassani ja juovutin heidät kiivaudellani; minä vuodatin maahan heidän verensä."
Niliwakanyaga watu wangu chini kwa hasira yangu na kuwafanya wao wanywe laana yangu, na nilimwaga damu zao juu ya nchi.
7 Herran armotöitä minä julistan, Herran ylistettäviä tekoja, kaikkea, mitä Herra on meille tehnyt, suurta hyvyyttä Israelin heimoa kohtaan, mitä hän on heille osoittanut laupeudessansa ja suuressa armossansa.
Nitakusimulia matendo ya agano la Yahwe lenye kuaminika, matendo ya kusifu ya Yahwe. Nitawasimulia yote ambayo Yahwe ametutendea sisi, na ukuu wa uzuri wake katika nyumba ya Israeli. Huruma hii aliyetuonyesha sisi kwa sababu ya rehema zake na matendo ya agano lake la kuaminika.
8 Ja hän sanoi: "Ovathan he minun kansani, he ovat lapsia, joissa ei ole vilppiä"; ja niin hän tuli heille vapahtajaksi.
Maana alisema, ''Baadhi yao ni watu wangu, watoto ambao sio waaminifu.'' Amekuwa mwokozi wao.
9 Kaikissa heidän ahdistuksissansa oli hänelläkin ahdistus, ja hänen kasvojensa enkeli vapahti heidät. Rakkaudessaan ja sääliväisyydessään hän lunasti heidät, nosti heitä ja kantoi heitä kaikkina muinaisina päivinä.
Kupitia mateso yao yote, aliteseka pia, na malaika kutoka mbele yake aliwaokoa wao. Katika upendo wake na rehema aliwakomboa wao, na aliwanyanyua juu na aliwabeba wote katika kipindi chote cha kale.
10 Mutta he niskoittelivat ja saattoivat murheelliseksi hänen Pyhän Henkensä; ja niin hän muuttui heidän viholliseksensa, hän itse soti heitä vastaan.
Lakini walimuasi na kumuuzunisha roho mtakatifu. Hivyo basi akkawa adui wao na kupigana dhidi yao.
11 Silloin hänen kansansa muisti muinaisia päiviä, muisti Moosesta: Missä on hän, joka toi heidät ylös merestä, heidät ynnä hänen laumansa paimenen? Missä on hän, joka pani tämän sydämeen Pyhän Henkensä;
Watu wake walifikiri kuhushu nyakati za kale za Musa. Walisema, ''Yuko wapi Mungu, aliyewaleta juu nje ya bahari pamoja na mchungaji wa kundi lake? Yuko wapi Mungu, ambaye aliyeweka roho mtakatifu mwiongoni mwenu?
12 hän, joka antoi kunniansa käsivarren kulkea Mooseksen oikealla puolella, joka halkaisi vedet heidän edestänsä tehdäkseen itsellensä iankaikkisen nimen;
Yuko wapi Mungu, aliyeufanya wingi wa utukufu wake kwenda katika mkono wa kuume wa Musa, na ukaganya maji mbele yao, kulifanya jina lake milele yeye mwenyewe?
13 hän, joka kuljetti heitä syvyyksissä niinkuin hevosia erämaassa, eivätkä he kompastelleet?
Yuko wapi Mungu, aliyewaongoza katika maji mengi? Kama farasi anayekimbia kwenye aridhi ambayo ni tambarare, hawakua na mashaka.
14 Niinkuin karja astuu alas laaksoon, niin vei Herran Henki heidät lepoon. Niin sinä olet kansaasi johdattanut, tehdäksesi itsellesi kunniallisen nimen.
Kama ng'ombe anayeshuka chini kwenye bonde, Roho ya Yahwe imewapa punziko. Hivyo umewaongoza watu wako, kufanya wewe mwenyewe jina la kusifu.
15 Katsele taivaasta, katso pyhyytesi ja kirkkautesi asunnosta. Missä on sinun kiivautesi ja voimalliset tekosi? Sinun sydämesi sääli ja sinun armahtavaisuutesi ovat minulta sulkeutuneet.
Tazama chini kutoka mbinguni na pata taarifa kutoka kwenye makao ya utukufu wako. Iko wapi bidii yenu na matendo makuu? Uruatendo yako ya uruma yamezuiliwaa kutoka kwetu.
16 Sinähän olet meidän isämme, sillä Aabraham ei meistä tiedä eikä Israel meitä tunne: sinä, Herra, olet meidän isämme; "meidän Lunastajamme" on ikiajoista sinun nimesi.
Maana wewe n baba yetu, Japokuwa Ibrahimu hatujui sisi, na Israeli haitutambui sisi, wewe, Yahwe, wewe ni baba yetu. Mkombozi wetu limekuwa jina lako kutoka nyakati za kale.
17 Miksi sallit meidän eksyä pois sinun teiltäsi, Herra, ja annoit meidän sydämemme paatua, niin ettemme sinua pelkää? Palaja takaisin palvelijaisi tähden, perintöosasi sukukuntain tähden.
Yahwe, kwa nini unatufanya tangetange na kuifanya mioyo yetu kuwa migumu, hivyo hatukukuheshimu wewe? Rudi kwa niaba ya watumishi wako, kabila la urithi wako.
18 Vähän aikaa vain sinun pyhä kansasi sai pitää perintönsä; meidän ahdistajamme ovat tallanneet sinun pyhäkkösi.
Watu wako walirithi mahali patakatifu kwa mda mfupi, halafu maadui zetu waliwakanyaga.
19 Me olemme niinkuin ne, joita sinä et ole ikinä hallinnut, olemme, niinkuin ei meitä olisi otettu sinun nimiisi.
Tumekuwa kama juu ya wale ambao hawajawai kuongoza, kama wale ambao hawajaitwa kwa jina lako.

< Jesajan 63 >