< Jonas 2 >

1 Et Jonas pria le Seigneur son Dieu, dans le ventre de la baleine.
Akiwa ndani ya tumbo la nyangumi, Yona alimwomba Bwana Mungu wake.
2 Et il dit: J'ai crié dans ma tribulation au Seigneur mon Dieu, et Il m'a exaucé; mon cri est parti des entrailles de l'enfer, et Tu as écouté ma voix; (Sheol h7585)
Akasema: “Katika shida yangu nalimwita Bwana, naye akanijibu. Kutoka kina cha kaburi niliomba msaada, nawe ukasikiliza kilio changu. (Sheol h7585)
3 Tu m'as précipité au plus profond du cœur de la mer; et les fleuves m'ont enveloppé, et toutes tes grandes vagues, tous Tes flots ont passé sur moi.
Ulinitupa kwenye kilindi, ndani kabisa ya moyo wa bahari, mikondo ya maji ilinizunguka, mawimbi yako yote na viwimbi vilipita juu yangu.
4 Et j'ai dit: C'est moi qui me suis éloigné de Tes yeux; me permettras-Tu de voir encore Ton saint temple?
Nikasema, ‘Nimefukuziwa mbali na uso wako, hata hivyo nitatazama tena kuelekea Hekalu lako takatifu.’
5 L'eau s'est répandue autour de moi, jusqu'à l'âme; l'abîme le plus profond m'a enclos, et ma tête a plongé
Maji yaliyonimeza yalinitisha, kilindi kilinizunguka; mwani ulijisokota kichwani pangu.
6 jusqu'aux racines des monts; je suis descendu sous la terre, dont les verrous sont des barrières éternelles. Seigneur mon Dieu, que la destruction de ma vie remonte à la surface des flots.
Nilizama chini sana mpaka pande za mwisho za milima, makomeo ya hiyo nchi yalinifungia hata milele. Lakini uliuleta uhai wangu kutoka shimoni, Ee Bwana Mungu wangu.
7 En la défaillance de mon âme, je me suis souvenu de Toi, Seigneur; que ma prière arrive à Toi dans Ton saint temple!
“Wakati uhai wangu ulipokuwa unatoka, nilikukumbuka wewe, Bwana, nayo maombi yangu yalikufikia wewe, katika Hekalu lako takatifu.
8 Ceux-là seuls qui s'attachent aux vanités et aux mensonges ont renoncé à Ta miséricorde.
“Wale watu wanaongʼangʼana na sanamu zisizofaa hupoteza neema ile ambayo ingekuwa yao.
9 Pour moi, je T'offrirai dans mes chants un sacrifice de louanges et d'admiration; je rendrai au Seigneur les vœux que je Lui ai faits pour mon salut.
Lakini mimi, kwa wimbo wa shukrani, nitakutolea dhabihu. Lile nililowekea nadhiri nitalitimiza. Wokovu watoka kwa Bwana.”
10 Et le Seigneur donna ordre à la baleine, et elle rejeta Jonas sur la terre ferme.
Basi Bwana akamwamuru yule nyangumi, naye akamtapika Yona katika nchi kavu.

< Jonas 2 >