< Juges 20 >

1 Tous les fils d'Israël sortirent, depuis Dan jusqu'à Bersabée, y compris la terre de Galaad; la synagogue se réunit comme un seul homme devant le Seigneur à Massépha.
Ndipo watu wote wa Israeli wakatoka kama mtu mmoja, toka Dani mpaka Beer-sheba, pamoja na nchi ya Gileadi; nao wakakusanyika mbele za Bwana huko Mispa.
2 Toutes les tribus d'Israël se formèrent devant le Seigneur, en assemblée du peuple de Dieu, au nombre de quatre cent mille hommes à pied, en état de porter les armes.
Viongozi wa watu wote, wa kabila zote za Israeli, wakachukua nafasi zao kwenye kusanyiko la watu wa Mungu-watu 400, 000 waendao kwa miguu, ambao walikuwa tayari kupigana na upanga.
3 Or, les fils de Benjamin apprirent que les fils d'Israël étaient allés en Massépha; ils y vinrent, et les fils d'Israël leur dirent: Expliquez-vous: où ce crime a-t-il été commis?
Basi wana wa Benyamini waliposikia kwamba watu wa Israeli walikuwa wamepanda Mispa. Wana wa Israeli wakasema, “Tuambieni ni kwa namna gani huu uovu umefanyika.”
4 Le lévite, le mari de la femme tuée répondit et il dit: J'étais entré avec ma femme à Gabaa en Benjamin, pour y passer la nuit.
Mlawi, mume wa mwanamke aliyeuawa, akajibu, Nilikuja Gibea katika nchi ya Benyamini, mimi na suria wangu, ili tulale.
5 Quand les hommes de Gabaa se levèrent contre moi; ils m'entourèrent dans la maison ou j'étais logé, voulant me mettre à mort, et ils ont outragé ma femme, et elle en est morte.
Wakati wa usiku, viongozi wa Gibea walinishambulia, wakizunguka nyumba na wakakusudia kuniua. Walimkamata na kumbaka suria wangu, naye akafa.
6 Je l'ai saisie, je l'ai couple en morceaux, et je l'ai envoyée sur toute l'étendue de l'héritage des fils d'Israël, parce qu'une souillure et une abomination ont été commises en Israël.
Nilimchukua suria wangu na kumkata mwili wake vipande vipande, na kuweka katika kila nchi ya urithi wa Israeli, kwa sababu wamefanya uovu huo na upumbavu katika Israeli.
7 Voyez donc, ô vous tous fils d'Israël, tenez ici conseil, et parlez.
Sasa, ninyi Waisraeli wote, toeni maneno na ushauri wenu hapa.”
8 Et tout le peuple se leva comme un seul homme, disant: Nul de nous ne retournera en sa ville, nul de nous ne rentrera dans sa maison.
Watu wote wakaondoka pamoja kama mtu mmoja, wakasema, Hakuna hata mmoja wetu atakayeenda hemani kwake, wala hakuna hata mmoja wetu atakayerudi nyumbani kwake.
9 Dès maintenant, voilà ce qu'il faut faire contre Gabaa. Ceux que le sort va désigner marcheront sur cette ville.
Lakini sasa hivi ndivyo tutakavyoifanyia Gibea tutaishambulia kama kura inavyotuongoza.
10 Nous prendrons dix hommes sur cent de toutes les tribus d'Israël, cent sur mille, mille sur dix mille; nous les approvisionnerons de vivres, et nous les ferons partir pour Gabaa en Benjamin, afin qu'ils la traitent comme le mérite l'abomination qu'elle a commise en Israël.
Tutachukua watu kumi katika mia moja katika makabila yote ya Israeli, na mia moja katika elfu, na elfu moja katika elfu kumi, kuwapa chakula kwa ajili ya watu hawa, ili waweze kufika Gibea katika Benyamini, watawaadhibu kwa uovu wao waliofanya katika Israeli.
11 Et tout Israël s'était assemblé contre la ville comme un seul homme,
Basi askari wote wa Israeli wakakusanyika juu ya mji, kama mtu mmoja.
12 Et les tribus d'Israël envoyèrent, dans toute la tribu de Benjamin, des hommes qui dirent: Quel est le forfait qui a été commis parmi vous?
Makabila ya Israeli waliwatuma watu kwa kabila lote la Benyamini, wakisema, “Uovu huu uliofanywa kati yenu ni nini?
13 Maintenant, livrez-nous ces hommes, fils de pervers, qui se trouvent en Gabaa; nous les mettrons à mort, et nous purifierons Israël de ce crime. Mais, les fils de Benjamin ne voulurent point écouter la voix de leurs frères les fils d'Israël.
Kwa hiyo, tupeni watu hao waovu wa Gibea, tupate kuwaua, na hivyo tutaondoa kabisa uovu huu kutoka kwa Israeli.” Lakini Wabenyamini hawakusikiliza sauti ya ndugu zao, watu wa Israeli,
14 Les fils de Benjamin de toutes les villes se rassemblèrent à Gabaa, pour sortir à la rencontre des fils d'Israël.
Ndipo wana wa Benyamini wakakusanyika kutoka mijini kwenda Gibea, wakajiandaa kupigana na wana wa Israeli.
15 Et, ce jour-là, les fils de Benjamin, venus de leurs villes, furent recensés au nombre de vingt-trois mille combattants, outre les habitants de Gabaa,
Watu wa Benyamini wakakusanya kutoka miji yao ili kupigana siku ile, askari elfu ishirini na sita waliopangwa kupigana na upanga. Walakini, kuna watu mia saba waliochaguliwa kutoka kwa wenyeji wa Gibea.
16 Qui furent recensés au nombre de sept cents hommes d'élite, tous ambidextres et frondeurs habiles, lançant des pierres sans s'écarter du but de l'épaisseur d'un cheveu.
Miongoni mwa askari wote hawa walikuwa watu mia saba waliochaguliwa ambao walikuwa wenye shoto. Kila mmoja wao angeweza kupiga unywele kwa mawe na asikose.
17 Et d'Israël, hormis Benjamin, il se trouva quatre cent mille hommes portant l'épée, tous exercé aux combats.
Watu wa Israeli, bila kuhesabu namba kutoka kwa Benyamini, walikuwa na watu 400, 000 waliokuwa wamejifunza kupigana na upanga. Wote hawa walikuwa watu wa vita.
18 Ceux-ci se levèrent, montèrent à Béthel, consultèrent Dieu, et dirent: Qui de nous sera élevé au commandement pour livrer bataille aux fils de Benjamin? Le Seigneur répondit; Juda sera votre chef.
Watu wa Israeli waliondoka, wakaenda Betheli, wakaomba ushauri kutoka kwa Mungu. Wakauliza, “Ni nani kwanza atakayewaangamiza watu wa Benyamini kwa ajili yetu?” Bwana akasema, “Yuda atashambulia kwanza.”
19 Les fils d'Israël se levèrent de grand matin, et ils campèrent devant Gabaa.
Watu wa Israeli waliamka asubuhi na wakahamisha kambi yao karibu na Gibea.
20 Et tout Israël sortit du camp pour attaquer Benjamin, et ils en vinrent aux mains avec Gabaa.
Watu wa Israeli walikwenda kupigana na Benyamini. Wakaweka nafasi zao za vita dhidi yao huko Gibea.
21 Les fils de Benjamin sortirent de Gabaa, et détruisirent ce jour-là vingt-deux mille hommes d'Israël.
Watu wa Benyamini wakatoka Gibea, nao wakawaua watu elfu ishirini na mbili wa jeshi la Israeli siku ile.
22 Mais, Israël reprit courage, et il recommença le combat au lieu même où la veille on s'était rencontré.
Wana wa Israeli walijitia nguvu wenyewe, na wakaunda mstari wa vita mahali pale walipokwisha kuchukua nafasi siku ya kwanza.
23 Or, les fils d'Israël étaient montés devant le Seigneur, et ils avaient pleuré jusqu'au soir, et ils avaient consulté le Seigneur, disant: Continuerons-nous d'approcher pour combattre nos frères les fils de Benjamin? Et le Seigneur leur avait répondu: Marchez contre eux.
Na wana wa Israeli wakaenda, wakalia mbele za Bwana hata jioni. Walitaka mwongozo kutoka kwa Bwana “Je, tunapaswa kwenda tena kupigana na ndugu zetu, watu wa Benyamini?” Naye Bwana akasema, “Wapigeni!”
24 En cette seconde journée les fils d'Israël marchèrent contre les fils de Benjamin;
Basi watu wa Israeli wakapigana na askari wa Benyamini siku ya pili.
25 En cette seconde journée, les fils de Benjamin sortirent de Gabaa à leur rencontre, et dix-huit mille des fils d'Israël, tous portant l'épée, périrent encore sur le champ de bataille.
Siku ya pili, Benyamini alitoka kupigana nao kutoka Gibea, nao wakawaua watu wa Israeli elfu kumi na nane. Wote walikuwa watu ambao walijifunza kupigana na upanga.
26 Alors, tous les fils d'Israël, tout le peuple, montèrent en Béthel, et ils pleurèrent, et ils s'assirent devant le Seigneur, et ils jeûnèrent tout le jour jusqu'au soir, et ils offrirent en holocauste des victimes sans tache,
Basi askari wote wa Israeli na watu wote wakaenda Betheli, wakalia, wakakaa mbele za Bwana; nao wakafunga siku hiyo hata jioni, wakatoa sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani mbele za Bwana.
27 Devant le Seigneur, car, en ce temps-là, l'arche de l' alliance du Seigneur Dieu était à Béthel;
Wana wa Israeli wakamwomba Bwana, - kwa sababu ya sanduku la agano la Mungu lilikuwapo siku hizo;
28 Et Phinées, fils d'Eléazar, fils d'Aaron, en ces jours-là, se tenait devant l'arche. Les fils d'Israël consultèrent donc le Seigneur, disant: Continuerons-nous de sortir pour combattre nos frères les fils de Benjamin? Et le Seigneur leur dit: Partez, demain je vous les livrerai.
na Finehasi, mwana wa Eleazari, mwana wa Haruni, aliyekuwa akihudumia mbele ya sanduku siku hizo. “Je twende vitani tena dhidi ya watu wa Benyamini, ndugu zetu, au tuache?” Bwana akasema, “Wapigeni, kwa maana kesho nitawasaidia kuwashinda.
29 Et les fils d'Israël dressèrent des embuscades autour de Gabaa,
Basi Israeli akaweka watu mahali pa siri karibu na Gibea.
30 Et les fils d'Israël marchèrent, le troisième jour, contre les fils de Benjamin, et ils en vinrent aux mains, comme les deux autres fois, devant Gabaa.
Watu wa Israeli wakapigana na wana wa Benyamini kwa siku ya tatu, nao wakajenga vita vyao juu ya Gibea, kama walivyotangulia.
31 Car les fils de Benjamin marchèrent à la rencontre du peuple; ils sortirent tous de la ville; ils commencèrent à faire tomber des morts dans les rangs du peuple, comme les deux autres fois, sur les chemins qui conduisent l'un à Béthel, l'autre aux champs de Gabaa. Trente hommes environ d'Israël furent atteints.
Watu wa Benyamini wakaenda kupigana na watu, nao wakachukuliwa mbali na mji. Walianza kuua baadhi ya watu. Kulikuwa na watu thelathini wa Israeli ambao walikufa katika mashamba na barabara. Njia moja ilienda Betheli, na nyingine ikaenda Gibea.
32 Et les fils de Benjamin dirent: Ils tombent devant nous comme auparavant. Et les fils d'Israël dirent: Fuyons, attirons-les sur les chemins loin de la ville. Ainsi firent-ils.
Ndipo wana wa Benyamini wakasema, “Wameshindwa na wanatukimbia, kama hapo awali.” Lakini askari wa Israeli wakasema, “Hebu tukimbie na kuwavuta mbali na mji hadi barabarani.”
33 Chacun quitta son poste pour reculer jusqu'à Baal-Thamar; cependant l'embuscade d'Israël survint de Maraagabé, où elle se tenait.
Watu wote wa Israeli waliondoka kutoka mahali pao na wakajipanga kwa vita huko Baal-Tamari. Basi askari wa Israeli waliokuwa wakijificha mahali pa siri walikimbia kutoka Maare-Geba.
34 Dix mille hommes d'élite, pris parmi tout Israël, arrivèrent en face de Gabaa, et la bataille fut terrible, et les fils de Benjamin ne s'aperçurent pas que le mal fondait sur eux.
Wakatoka juu ya Gibea watu kumi elfu waliochaguliwa kutoka Israeli yote, na vita vilikuwa kali, lakini Wabenjamini hawakujua kwamba msiba ulikuwa karibu nao.
35 Et, ce jour-là, le Seigneur frappa Benjamin devant les fils d'Israël, et les fils d'Israël détruisirent de Benjamin vingt-cinq mille cent hommes, tous portant l'épée.
Bwana akamshinda Benyamini mbele ya Israeli. Siku hiyo, askari wa Israeli waliwauawa watu wa Benyamini 25, 100. Wote hawa waliokufa walikuwa wale waliokuwa wamejifunza kupigana na upanga.
36 Et les fils de Benjamin se virent accablés; car les fils d'Israël leur avaient fait place, comptant sur l'embuscade préparée contre Gabaa.
Basi askari wa Benyamini waliona wameshindwa. Wana wa Israeli walikuwa wametoa ardhi kwa Benyamini, kwa kuwa walikuwa wakihesabu watu waliowaweka katika nafasi zilizofichwa nje ya Gibea.
37 Or, pendant qu'ils avaient reculé, l'embuscade s'était ébranlée, elle s'était déployée autour de la ville, elle s'y était répandue, et elle avait passé tout au fil de l'épée.
Ndipo watu waliokuwa wameficha wakainuka na haraka na wakamkimbia Gibea. Nao wakauawa kila mtu aliyeishi mjini kwa upanga wao.
38 Les fils d'Israël étaient convenus d'un signal; l'embuscade devait faire monter au-dessus de la ville une colonne de fumée.
Ishara iliyopangwa kati ya askari wa Israeli na watu waliojificha kwa siri itakuwa wingu kubwa la moshi litatokea nje ya mji.
39 Les fils d'Israël avaient ainsi reconnu que l'embuscade venait de prendre Gabaa; c'est alors qu'ils avaient engagé la bataille; d'abord Benjamin leur avait tué cent trente hommes, et il avait dit: Les voilà qui tombent encore devant nous comme à la première bataille.
Ishara ilipokuja askari wa Israeli wakageuka kutoka kwenye vita. Basi Benyamini wakaanza kushambulia na wakawaua watu wa Israeli thelathini, wakasema, “Hakika wanapigwa mbele yetu, kama katika vita vya kwanza.”
40 Et le signal se montrait plus évident encore au-dessus de la ville, comme une colonne de fumée. Benjamin, ayant regardé derrière lui, vit la ruine de la ville et la fumée s'élevant jusqu'au ciel.
Lakini wakati nguzo ya moshi ilipoanza kuinuka nje ya mji, Wabenjamini waligeuka na kuona moshi ukitanda mbinguni kutoka mji mzima.
41 C'est alors qu'Israël fit volte-face, et que Benjamin s'enfuit, quand il reconnut que le mal fondait sur lui
Ndipo watu wa Israeli wakawageuka. Wana wa Benyamini waliogopa, kwa sababu waliona kwamba maafa yaliwajia.
42 Devant les fils d'Israël; et il tourna les yeux sur le chemin du désert et il prit la fuite; mais le combat l'atteignit, et ceux des autres villes le détruisirent pendant qu'il passait au milieu d'eux.
Basi wakakimbia kutoka kwa wana wa Israeli, kuelekea njia ya jangwani. Lakini vita viliwapata. Askari wa Israeli walitoka mijini na wakawaua pale waliposimama.
43 Ils frappèrent Benjamin, ils le poursuivirent, pied à pied, depuis Nua, jusqu'aux monts qui regardent Gabaa du côté de l'orient.
Waliwalzungukia wana wa Benjamini na wakawafuata. Nao wakawakanyaga huko Noha, wakawaua mpaka upande wa mashariki wa Gibea.
44 La, dix-huit mille hommes de Benjamin périrent, tous dans la force de l'âge.
Kutoka kabila la Benyamini, watu kumi na nane elfu walikufa, wote walikuwa wanaume waliojulikana katika vita.
45 Et les débris de cette armée, regardant autour d'eux, s'enfuirent au désert, du côté du rocher de Rhemmon; mais, chemin faisant, les fils d'Israël en moissonnèrent encore cinq mille; puis, les poursuivant jusqu'à Gedan, ils tuèrent en outre deux mille hommes.
Wakageuka na kukimbia kuelekea jangwani hadi mwamba wa Rimoni. Waisraeli waliuawa zaidi ya elfu tano kati yao barabarani. Waliendelea kuwafuata, wakifuata kwa njia kuu kwenda Gidomu, na huko waliuawa elfu mbili zaidi.
46 Tous ceux de Benjamin qui ce jour-là périrent, montèrent à vingt-cinq mille hommes portant l'épée, tous dans la force de l'âge.
Askari wote wa Benyamini walioshuka siku hiyo walikuwa watu ishirini na tano waliokuwa wamejifunza kupigana kwa upanga; wote walikuwa wanajulikana katika vita.
47 Et les débris de cette armée, ayant regardé autour d'eux, s'enfuirent dans le désert vers le rocher de Rhemmon, au nombre de six cents hommes; ils campèrent en ce lieu pendant quatre mois.
Lakini watu mia sita wakageuka na kukimbilia jangwani, kuelekea mwamba wa Rimoni. Wakakaa katika mwamba wa Rimoni kwa muda wa miezi minne.
48 Et les fils d'Israël parcourant la tribu de Benjamin passèrent tout au fil de l'épée, gens et troupeaux; tout ce qu'ils rencontrèrent périt; et les villes qui se trouvèrent sur leur route furent livrées aux flammes.
Askari wa Israeli waliwarudia watu wa Benyamini na wakawashinda na kuwaua-mji mzima, ng'ombe, na kila kitu walichopata. Pia walichoma moto kila mji katika njia yao.

< Juges 20 >