< Psaumes 85 >

1 Jusqu'à la Fin; psaume des fils de Koré. Seigneur, tu as béni ta terre; tu as ramené Jacob de la captivité.
Yahwe, wewe umeonesha fadhilia kwenye nchi yako; umeurejesha ustawi wa Yakobo.
2 Tu as remis ses iniquités à ton peuple; tu as couvert sa face.
Umesamehe dhambi ya watu wako; umezisitiri dhambi zao zote. (Selah)
3 Tu as apaisé ta colère; tu as détourné la force de ton courroux.
Umeondoa ghadhabu yako yote; umeiacha hasira yako kali.
4 Convertis-nous, ô Dieu notre salut; détourne de nous ta colère.
Uturejeshe sisi, Ee Mungu wa wokovu wetu, na uikomeshe chuki yako juu yetu.
5 Seras-tu à jamais irrité contre nous; étendras-tu ta colère sur les générations des générations?
Je! Utaendelea kuwa na hasira juu yetu milele? utadumisha hasira kizazi chote kijacho?
6 O mon Dieu, en te tournant vers nous, tu nous vivifieras, et ton peuple se réjouira en toi.
Je, hautatuhuisha tena? Kisha watu wako watafurahia katika wewe.
7 Seigneur, montre-nous ta miséricorde, et accorde-nous ton salut.
Utuoneshe sisi uaminifu wa agano lako, Yahwe, utupe sisi wokovu wako.
8 J'écouterai ce que dira en moi le Seigneur Dieu; car il parlera de la paix à son peuple et à ses saints, et à ceux qui tournent leur cœur vers lui.
Nitasikiliza yale Yahwe Mungu asemayo, maana yeye atafanya amani pamoja na watu wake, wafuasi wake waminifu. Lakini lazima wasirudi tena katika njia za kipumbavu.
9 Son salut est près de ceux qui le craignent, et sur notre terre habite sa gloire.
Hakika wokovu wake u karibu na wale wanao mwabudu yeye; kisha utukufu utabaki katika nchi yetu.
10 La miséricorde et la vérité se sont rencontrées; la justice et la paix se sont embrassées.
Uaminifu wa agano na uaminifu vimekutana pamoja; haki na amani vimebusiana.
11 La vérité est née de la terre, et la justice a regardé du haut du ciel.
Uaminifu unatoa chemchem kutoka ardhini, na haki hutazama chini kutoka mawinguni.
12 Car le Seigneur nous donnera sa bienveillance, et notre terre donnera son fruit.
Ndiyo, Yahwe atatoa baraka zake njema, na nchi itatoa mazao yake.
13 La justice marchera devant le Seigneur, et mettra ses pieds dans la voie.
Haki itaenda mbele zake na kufanya njia kwa ajili ya nyayo zake.

< Psaumes 85 >