< Psaumes 113 >

1 Louez l'Eternel. Louez, vous serviteurs de l'Eternel, louez le Nom de l’Eternel.
Msifuni Bwana. Enyi watumishi wa Bwana msifuni, lisifuni jina la Bwana.
2 Le Nom de l’Eternel soit béni dès maintenant et à toujours.
Jina la Bwana na lisifiwe, sasa na hata milele.
3 Le Nom de l’Eternel est digne de louange depuis le soleil levant jusqu’au soleil couchant.
Kuanzia mawio ya jua hadi machweo yake, jina la Bwana linapaswa kusifiwa.
4 L'Eternel est élevé par-dessus toutes les nations, sa gloire est par-dessus les cieux.
Bwana ametukuka juu ya mataifa yote, utukufu wake juu ya mbingu.
5 Qui est semblable à l'Eternel notre Dieu, lequel habite aux lieux très-hauts?
Ni nani aliye kama Bwana Mungu wetu, Yeye ambaye ameketi juu kwenye kiti cha enzi,
6 Lequel s'abaisse pour regarder aux cieux, et en la terre.
ambaye huinama atazame chini aone mbingu na nchi?
7 Lequel relève l'affligé de la poudre, et retire le pauvre de dessus le fumier,
Huwainua maskini kutoka mavumbini, na kuwanyanyua wahitaji kutoka kwenye jalala,
8 Pour le faire asseoir avec les principaux, avec les principaux, [dis-je], de son peuple;
huwaketisha pamoja na wakuu, pamoja na wakuu wa watu wake.
9 Lequel donne une famille à la femme qui était stérile, [la rendant] mère d'enfants, [et] joyeuse. Louez l'Eternel.
Humjalia mwanamke tasa kutulia nyumbani mwake, akiwa mama watoto mwenye furaha. Msifuni Bwana.

< Psaumes 113 >