< דברי הימים א 7 >

ולבני יששכר תולע ופואה ישיב (ישוב) ושמרון--ארבעה 1
Isiakari alikuwa na wana wanne Tola, Pua, Yashubi, na Shimironi.
ובני תולע עזי ורפיה ויריאל ויחמי ויבשם ושמואל ראשים לבית אבותם לתולע גבורי חיל לתלדותם--מספרם בימי דויד עשרים ושנים אלף ושש מאות 2
Wana wa Tola walikuwa Uzi, Refaia, Yerie, Yamai, Ibisami, Shemueli. Walikua vichwa katika nyumba za baba yao, toka uzao wa Tola na waliorodheshwa kama mashujaa hodari miongoni mwa kizazi chao. Katika siku za Daudi walikua na idadi ya 22, 600.
ובני עזי יזרחיה ובני יזרחיה מיכאל ועבדיה ויואל ישיה חמשה--ראשים כלם 3
Mwana wa Uzi alikua Izrahia. Mwana wake alikua Michaeli, Obadia, Yoeli, na Ishia, wote watano walikua viongozi wa ukoo
ועליהם לתלדותם לבית אבותם גדודי צבא מלחמה שלשים וששה אלף כי הרבו נשים ובנים 4
Pamoja nao walikua na jeshi la watu elfu thelathini na sita kwa mapambano, Kwa mujibu wa orodha zilizomilikiwa na koo za mababu zao, kwa kuwa walikuwa na wake wengi pamoja na wana.
ואחיהם לכל משפחות יששכר גבורי חילים שמונים ושבעה אלף התיחשם לכל 5
Kaka zao, kabila la Isakari, walikua na wanaume wa vita themanini na saba, kwa mujibu wa orodha zilizomilikiwa na koo za mababu zao.
בנימן בלע ובכר וידיעאל--שלשה 6
Wana watatu wa Benjamini walikuwa Bela, Beka, na Yediaeli.
ובני בלע אצבון ועזי ועזיאל וירימות ועירי חמשה ראשי בית אבות גבורי חילים והתיחשם עשרים ושנים אלף ושלשים וארבעה 7
Wana watano wa Bela walikuwa Ezibono, Uzi, Uzieli, Yerimoti, na Iri. Walikua ni wanajeshi na waanzilishi wa koo. Watu wao walikuwa na idadi ya wanaume wa vita 22, 034, kwa mujibu wa orodha zilizomilikiwa na koo za mababu zao.
ובני בכר זמירה ויועש ואליעזר ואליועיני ועמרי וירמות ואביה וענתות ועלמת כל אלה בני בכר 8
Wana wa Beka walikuwa Zemira, Yoashi, Elieza, Elionai, Omri, Yeremoti, Abiya, Anatoti, na Alemeti. Wote hawa walikuwa wana wake.
והתיחשם לתלדותם ראשי בית אבותם גבורי חיל--עשרים אלף ומאתים 9
Orodha ya koo zao ilikua na idadi ya 20, 200 viongozi wa familia na wanaume wa vita.
ובני ידיעאל בלהן ובני בלהן יעיש (יעוש) ובנימן ואהוד וכנענה וזיתן ותרשיש ואחישחר 10
Mwana wa Yediaeli alikuwa Bilhani. Wana wa Bilhani walikuwa Yeushi, Benjamini, Ehudi, Kenaana, Zetani, Tarishishi, na Ahishahari.
כל אלה בני ידיעאל לראשי האבות גבורי חילים--שבעה עשר אלף ומאתים יצאי צבא למלחמה 11
Wote hawa waikuwa wana wa Yediaeli. Waliorodheshwa katika ukoo orodha ilikuwa 17, 200 viongozi na wanaume wa vita imara kwa kazi ya jeshi.
ושפם וחפם בני עיר חשם בני אחר 12
(Shupimu na Hupimu walikuwa wana wa Iri, na Hushimu alikuwa mwana wa Aheri.)
בני נפתלי יחציאל וגוני ויצר ושלום--בני בלהה 13
Wana wa Naftali walikuwa Yazieli, Guni, Yezeri, na Shalumu. Hawa walikuwa wajukuu wa Bilhahi.
בני מנשה אשריאל אשר ילדה פילגשו הארמיה ילדה את מכיר אבי גלעד 14
Manasse alikua na mtoto wa kiume aliitwa Asrieli, Ambaye suria wake wa Kiaramia alimzalia. Pia alimzaa na Makiri, baba wa Gileadi.
ומכיר לקח אשה לחפים ולשפים ושם אחתו מעכה ושם השני צלפחד ותהינה לצלפחד בנות 15
Makiri alimchukua mke wake kutoka Hupite na Shupite. Jina la dada yake lilikuwa Maaka. Mwingine wa uzao wa Manasse alikuwa Zalofehadi, ambaye alikuwa na mabinti pekee.
ותלד מעכה אשת מכיר בן ותקרא שמו פרש ושם אחיו שרש ובניו אולם ורקם 16
Maaka mke wa Makiri, alimzaa mwana na alimuita Pereshi. Kaka yake aliitwa Shereshi, na wana wake walikuwa Ulamu na Rakemu.
ובני אולם בדן אלה בני גלעד בן מכיר בן מנשה 17
Mwana wa Ulami alikuwa Bedani. Hawa walikuwa uzao wa Gileadi mwana wa Makiri mwana wa Manase.
ואחתו המלכת--ילדה את אישהוד ואת אביעזר ואת מחלה 18
Dada wa Gileadi Hamoleketi alimzaa Ishihodi, Abi Ezeri, na Mahila.
ויהיו בני שמידע--אחין ושכם ולקחי ואניעם 19
Wana wa Shemida walikuwa Ahiana, Shekemu, Liki, na Aniamu.
ובני אפרים שותלח וברד בנו ותחת בנו ואלעדה בנו ותחת בנו 20
Uzao wa Efraimu ulikuwa kama ifuatavyo: Efraimu mwana wa Shutela. Shutela mwana wa Beredi. Beredi mwana wa Tahati.
וזבד בנו ושותלח בנו ועזר ואלעד והרגום אנשי גת הנולדים בארץ כי ירדו לקחת את מקניהם 21
Tahati mwana wa Eleada. Eleada mwana wa Shutela. (Eza na Eleadi waliuawa na wanaume wa Gati, wenyeji wa nchi, walipoenda kuiba mifugo yao.
ויתאבל אפרים אביהם ימים רבים ויבאו אחיו לנחמו 22
Efraimu baba yao aliomboleza kwa siku nyingi, na kaka zake walikuja kumfariji.
ויבא אל אשתו ותהר ותלד בן ויקרא את שמו בריעה כי ברעה היתה בביתו 23
Alilala na mkewe. Akapata mimba akamzaa mwana. Efraimu akamuita Beria, kwa sababu maafa yalishakuja nyumbani mwake.
ובתו שארה ותבן את בית חורון התחתון ואת העליון ואת אזן שארה 24
Binti yake alikuwa Sheera, ambaye alijenga miji juu na chini Beth Horon na Uzzen Sheerah.)
ורפח בנו ורשף ותלח בנו--ותחן בנו 25
Mwana wake alikuwa Rafa. Mwana wa Rafa alikuwa Reshefi. Mwana wa Reshafi alikuwa Tela. Mwana wa Tela alikuwa Tahani.
לעדן בנו עמיהוד בנו אלישמע בנו 26
Mwana wa Tahani alikuwa Ladani. Mwana wa Ladani alikuwa Amihudi. Mwana wa Amihudi alikuwa Elishama.
נון בנו יהושע בנו 27
Mwana wa Elishama alikuwa Nuni. Mwana wa Nuni alikuwa Joshua.
ואחזתם ומשבותם--בית אל ובנתיה ולמזרח נערן--ולמערב גזר ובנתיה ושכם ובנתיה עד עיה ובנתיה 28
Mali zao na makazi yao yalikuwa Betheli na yalizungukwa na vijiji. Waliongeza upande wa mashariki hadi Naarani na upande wa magharibi hadi Gezeri na vijiji vyake, na Shekemu na vijiji vyake hadi Aya na vijiji vyake.
ועל ידי בני מנשה בית שאן ובנתיה תענך ובנתיה מגדו ובנותיה דור ובנותיה באלה ישבו בני יוסף בן ישראל 29
Katika mipaka pamoja na Manasse kulikuwa na Beti shani na vijiji vyake, Taanaki na vijiji vyake, Megido na vijiji vyake, na Dori na vijiji vyake. Katika huu mji waliishi uzao wa Josefu mwana wa Israeli.
בני אשר ימנה וישוה וישוי ובריעה--ושרח אחותם 30
Wana wa Asha walikuwa Imna, Ishiva, Ishivi, na Beria. Sera alikuwa dada yao.
ובני בריעה חבר ומלכיאל הוא אבי ברזות (ברזית) 31
Wana wa Beria walikuwa Heberi na Malchieli, Ambaye alikuwa baba wa Birzaiti.
וחבר הוליד את יפלט ואת שומר ואת חותם ואת שועא אחותם 32
Wana wa Heberi walikuwa Yafeti, Shomer, na Hotamu. dada yao alikuwa Shua.
ובני יפלט פסך ובמהל ועשות אלה בני יפלט 33
Wana wa Yafeti walikuwa Pasach, Bimhali, na Ashivati. hawa walikuwa watoto wa yafeti.
ובני שמר--אחי ורוהגה (ורהגה) יחבה (וחבה) וארם 34
shoma, kaka wa Yafeti alikuwa na wana hawa: Roga, Yehuba, Aram.
ובן הלם אחיו צופח וימנע ושלש ועמל 35
Kaka yake Shema, Helemu, alikuwa na wana hawa: Zofa, Imna, Sheleshi na Amali.
בני צופח--סוח וחרנפר ושועל וברי וימרה 36
Wana wa Zofa walikuwa Sua, Harinefa, Shua, Beri, IMra,
בצר והוד ושמא ושלשה ויתרן--ובארא 37
Beza, Hodi, Shamma, Shilsha, Ithrani, na Beera.
ובני יתר--יפנה ופספה וארא 38
Wana wa Yeta walikuwa Jefune, Pispa, na Ara.
ובני עלא--ארח וחניאל ורציא 39
Wana wa Ulla walikwa Ara, Hannieli, na Rizia.
כל אלה בני אשר ראשי בית האבות ברורים גבורי חילים ראשי הנשיאים והתיחשם בצבא במלחמה מספרם אנשים עשרים וששה אלף 40
Hawa wote walikuwa uzao wa Asha. Walikua mababu wa ukoo, viongozi wa familia, wananume wa kipekee, wanaume wa vita, na machifu kati ya viongozi. Kulikuwa na wanaume elfu ishirini na sita walioorodheshwa waliokuwa imara kwa kazi ya jeshi, kwa mujibu wa idadi iliyo orodheshwa.

< דברי הימים א 7 >