< איוב 26 >

ויען איוב ויאמר 1
Kisha Ayubu akajibu na kusema,
מה-עזרת ללא-כח הושעת זרוע לא-עז 2
“Mmemsaidiaje aliyedhaifu!
מה-יעצת ללא חכמה ותשיה לרב הודעת 3
Jinsi gani mmemshauri asiye na hekima na kutamka maneno yenye maarifa kwake!
את-מי הגדת מלין ונשמת-מי יצאה ממך 4
Kwa msaada wa nani mmesema maneno haya? Ni roho ya nani iliyotoka ndani yenu?
הרפאים יחוללו-- מתחת מים ושכניהם 5
Maiti inatetemeka chini ya maji, na vyote wilivyomo ndani yake.
ערום שאול נגדו ואין כסות לאבדון (Sheol h7585) 6
Kuzimu kuko wazi mbele ya Mungu; uharibifu hauna kizuizi dhidi yake. (Sheol h7585)
נטה צפון על-תהו תלה ארץ על-בלימה 7
Huitandaza kaskazi juu ya nafasi wazi na kuining'iniza dunia hewani.
צרר-מים בעביו ולא-נבקע ענן תחתם 8
Huyafunga maji katika mawingu yake mazito, lakini hayagawanyiki chini yake.
מאחז פני-כסה פרשז עליו עננו 9
Huufunika uso wa mwezi na kueneza mawingu yake juu yake.
חק-חג על-פני-מים-- עד-תכלית אור עם-חשך 10
Amechora ukingo wa duara juu ya maji kama mpaka kati ya nuru na giza.
עמודי שמים ירופפו ויתמהו מגערתו 11
Nguzo za mbinguni zinatikisika na zimestushwa na kukemea kwake.
בכחו רגע הים ובתובנתו (ובתבונתו) מחץ רהב 12
Aliituliza bahari kwa uwezo wake; kwa ufahamu wake alimwaribu Rahab
ברוחו שמים שפרה חללה ידו נחש ברח 13
Kwa pumzi yake, aliziondoa mbingu kwa dhorubu; mbingu ziliondolewa kwa dhorubu; mkono wake ulimchoma nyoka anayekimbia.
הן-אלה קצות דרכו-- ומה-שמץ דבר נשמע-בו ורעם גבורתו מי יתבונן 14
Tazama, hizi si zaidi ya madogo ya njia zake; Jinsi gani tunasikia akitunong'oneza! Ni nani awezaye kufahamu uwezo wake.

< איוב 26 >