< תהילים 41 >
למנצח מזמור לדוד ב אשרי משכיל אל-דל ביום רעה ימלטהו יהוה | 1 |
Amebarikiwa mtu yule amkumbukaye mnyonge; katika siku ya taabu, Yahwe atamuokoa.
יהוה ישמרהו ויחיהו--יאשר (ואשר) בארץ ואל-תתנהו בנפש איביו | 2 |
Yahwe atamuhifadhi na kumuweka hai, naye atabarikiwa duniani; Yahwe hata mrudisha kwenye mapenzi ya adui zake.
יהוה--יסעדנו על-ערש דוי כל-משכבו הפכת בחליו | 3 |
Awapo kwenye kitanda cha mateso Yahwe atamsaidia; nawe utakifanya kitanda cha ugonjwa kuwa kitanda cha uponyaji.
אני-אמרתי יהוה חנני רפאה נפשי כי-חטאתי לך | 4 |
Nami nilisema, “Yahwe unihurumie! Uniponye, kwa maana nimekutenda dhambi wewe.”
אויבי--יאמרו רע לי מתי ימות ואבד שמו | 5 |
Adui zangu huongea maovu dhidi yangu, wakisema, 'Atakufa lini na jina lake lipotee?'
ואם-בא לראות שוא ידבר--לבו יקבץ-און לו יצא לחוץ ידבר | 6 |
Adui yangu ajapo kuniona, huongea mambo yasiyo na maana; moyo wake hukusanya maafa yangu kwa ajili yake mwenyewe; na aondokapo kwangu, yeye huwaambia watu wengine kuhusu hayo.
יחד--עלי יתלחשו כל-שנאי עלי--יחשבו רעה לי | 7 |
Wale wote wanaonichukia kwa pamoja hunon'gona dhidi yangu; nao wanafarijika kwa ajili ya maumivu yangu.
דבר-בליעל יצוק בו ואשר שכב לא-יוסיף לקום | 8 |
Wakisema, “Gonjwa baya limemshikilia yeye haswa; na sasa kuwa amelala kitandani, hatainuka kamwe.”
גם-איש שלומי אשר-בטחתי בו-- אוכל לחמי הגדיל עלי עקב | 9 |
Kweli, hata rafiki yangu wa karibu, ambae nilimuamini, aliye kula mkate wangu, ameinua kisigino chake dhidi yangu.
ואתה יהוה חנני והקימני ואשלמה להם | 10 |
Bali wewe, Yahwe, unihurumie na uniinue ili kwamba niwalipizie kisasi.
בזאת ידעתי כי-חפצת בי כי לא-יריע איבי עלי | 11 |
Na hivi nitajua kuwa unafurahishwa nami, kwa kuwa adui yangu hatafurahia kunishinda.
ואני--בתמי תמכת בי ותציבני לפניך לעולם | 12 |
Kwangu mimi, wewe unanisaidia katika uadilifu wangu na utaniweka mbele ya uso wako milele.
ברוך יהוה אלהי ישראל--מהעולם ועד העולם אמן ואמן | 13 |
Yahwe, Mungu wa Israeli asifiwe milele na milele. Amen na Amen. Kitabu ya Pili