< Ayub 3 >

1 Kemudian Ayub mulai berbicara dan mengutuki hari kelahirannya, katanya,
Baada ya hayo, Ayubu akafunua kinywa chake na kuilani siku aliyozaliwa.
2 "Ya Allah, kutukilah hari kelahiranku, dan malam aku mulai dikandung ibuku!
Akasema,
3
“Na ipotelee mbali siku niliyozaliwa mimi, usiku uliosema, 'Mimba ya mtoto wa kiume imetungwa.'
4 Ya Allah, jadikanlah hari itu gelap, hapuskan dari ingatan-Mu hingga lenyap; janganlah Engkau biarkan pula cahaya cerah menyinarinya.
Siku hiyo na iwe giza; Mungu toka juu asiifikilie, wala mwanga usiiangazie.
5 Jadikanlah hari itu hitam kelam, gelap gulita, kabur dan suram; liputilah dengan awan dan mega, tudungilah dari sinar sang surya.
Ishikwe na giza na giza la mauti liwe lake. Wingu na likae juu yake; kila kitu kiifanyacho siku kuwa giza kweli na kiitishe.
6 Hendaknya malam itu dihilangkan dari hitungan tahun dan bulan; jangan lagi dikenang, jangan pula dibilang.
Usiku huo, na ukamatwe na giza tororo. Usihesabiwe miongoni mwa siku za mwaka; na usiwekwe katika hesabu ya miezi.
7 Biarlah malam itu penuh kegelapan tiada kemesraan, tiada kegembiraan.
Tazama, usiku huo na uwe tasa; na sauti ya shangwe isiwe ndani yake.
8 Hai orang perdukunan dan pengendali Lewiatan, timpalah hari itu dengan sumpah dan kutukan;
Na wailani siku hiyo, hao wafahamuo namna ya kumuamsha lewiathani.
9 jangan sampai bintang kejora bersinar, jangan biarkan sinar fajar memancar! Biarlah malam itu percuma menunggu datangnya hari dan harapan yang baru.
Nyota za mapambazuko yake zitiwe giza. Siku hiyo iutafute mwanga, lakini isiupate; wala makope ya mapambazuko isiyaone,
10 Terkutuklah malam celaka ketika aku dilahirkan bunda, dan dibiarkan menanggung sengsara.
kwasababu haikuifunga milango ya tumbo la mama yangu, na kwasababu haikunifichia taabu machoni pangu.
11 Mengapa aku tidak mati dalam rahim ibu, atau putus nyawa pada saat kelahiranku?
Kwanini si-kufa wakati lipotokeza katika tumbo la uzazi? Kwanini sikuitoa roho yangu hapo mama aliponizaa?
12 Mengapa aku dipeluk ibuku dan dipangkunya, serta disusuinya pada buah dadanya?
kwanini magoti yake yalinipokea? Kwanini maziwa yake yanipokee hata ninyonye?
13 Sekiranya pada saat itu aku berpulang, maka aku tidur dan mengaso dengan tenang,
Kwa sasa ningelikuwa nimelala chini kimya kimya. Ningelala usingizi na kupata pumziko
14 seperti para raja dan penguasa dahulu kala, yang membangun kembali istana zaman purba.
pamoja na wafalme na washauri wa dunia, ambao walijijengea makaburi ambayo sasa ni magofu.
15 Aku tertidur seperti putra raja, yang mengisi rumahnya dengan perak kencana.
Au Ningelikuwa nimelala pamoja na wakuu wenye dhahabu, waliozijaza nyumba zao fedha.
16 Mengapa aku tidak lahir tanpa nyawa supaya tidurku lelap dan terlena?
Au pengine ningekuwa sijazaliwa, kama watoto wachanga wasio uona mwanga kabisa.
17 Di sana, di dalam kuburan, penjahat tidak melakukan kejahatan, dan buruh yang habis tenaga dapat melepaskan lelahnya.
Huko waovu huacha kusumbua; huko waliochoka hupumzika.
18 Juga tawanan merasa lega, bebas dari hardik para penjaga.
Huko wafungwa kwa pamoja hupata amani; hawaisikii sauti ya msimamizi wa watumwa.
19 Di sana semua orang sama: yang tenar dan yang tidak ternama. Dan para budak bebas akhirnya.
Wote wadogo na watu maarufu wako huko; mtumishi yuko huru kwa bwana wake huko.
20 Mengapa manusia dibiarkan terus hidup sengsara? Mengapa terang diberi kepada yang duka?
Kwa nini yeye aliye mashakani kupewa mwanga? Kwa nini hao wenye uchungu moyoni kupewa uhai,
21 Mereka lebih suka kuburan daripada harta, menanti maut, tapi tak kunjung tiba.
ambao hutamani mauti lakini hawapati; ambao huyachimbulia mauti zaidi ya kutafuta hazina iliyofichika?
22 Kebahagiaan baru dapat dirasakan bila mereka mati dan dikuburkan.
Kwa nini kupewa mwanga ambao hushangilia mno na kufurahi walionapo kaburi?
23 Masa depan mereka diselubungi oleh Allah, mereka dikepung olehnya dari segala arah.
Kwanini kupewa mwanga mtu ambaye njia zake zimefichika, mtu ambaye Mungu amemzungushia uwa?
24 Gantinya makan aku mengeluh, tiada hentinya aku mengaduh.
Kwa kuwa kushusha kwangu pumzi kwatokea badala ya kula; kuugua kwangu kumemiminika kama maji.
25 Segala yang kucemaskan, menimpa aku, segala yang kutakuti, melanda aku.
Maana jambo lile niliogopalo limenipata; nalo linitialo hofu limenijilia.
26 Bagiku tiada ketentraman, aku menderita tanpa kesudahan."
Mimi sioni raha, sipati utulivu, na sipati pumziko; badala yake huja taabu.”

< Ayub 3 >