< 1 Cronache 1 >

1 Adamo, Seth, Enosh;
Adamu, Sethi, Enoshi,
2 Kenan, Mahalaleel, Jared;
Kenani, Mahalaleli, Yaredi,
3 Enoc, Methushelah, Lamec;
Henoko, Methusela, Lameki.
4 Noè, Sem, Cam, e Jafet.
Wana wa Nuhu walikuwa ni Shemu, Hamu, na Yafethi.
5 Figliuoli di Jafet: Gomer, Magog, Madai, Javan, Tubal, Mescec e Tiras.
Wana wa Yafethi walikuwa ni Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki, na Tirasi.
6 Figliuoli di Gomer: Ashkenaz, Rifat Togarma.
Wana wa Gomeri walikuwa Ashkenazi, Rifathi na Togama.
7 Figliuoli di Javan: Elisha, Tarsis, Kittim e Rodanim.
Wana wa Yavani walikuwa ni Elisha, Tarshishi, Kitimu, na Warodani.
8 Figliuoli di Cam: Cush, Mitsraim, Put e Canaan.
Wana wa Hamu walikuwa ni Kushi, Misri, Putu, na Kanaani.
9 Figliuoli di Cush: Seba, Havila, Sabta, Raama e Sabteca. Figliuoli di Raama: Sceba e Dedan.
Wana wa Kushi walikuwa ni Seba, Havila, Sabta, Raama, na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa ni Sheba na Dedani.
10 Cush generò Nimrod, che cominciò ad esser potente sulla terra.
Kushi akawa baba wa Nimrodi, aliyekuwa shujaa wa Kwanza katika dunia.
11 Mitsraim generò i Ludim, gli Anamim, i Lehabim, i Naftuhim,
Misri akawa babu wa Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
12 i Pathrusim, i Casluhim (donde uscirono i Filistei) e i Caftorim.
Wapathrusi, Wakasluhi (Wafilisti walipotoka), na Wakaftori.
13 Canaan generò Sidon, suo primogenito, e Heth,
Kanaani akawa baba wa Sidoni, mwanae wa kwanza, na wa Hethi.
14 e i Gebusei, gli Amorei, i Ghirgasei,
Pia akawa babu wa Myebusi, Mwamori, Mgirgashi,
15 gli Hivvei, gli Archei, i Sinei,
Mhivi, Mwarki, Msini,
16 gli Arvadei, i Tsemarei e gli Hamathei.
Mwarvadi, Msemari, na Mhamathi.
17 Figliuoli di Sem: Elam, Assur, Arpacshad, Lud e Aram; Uz, Hul, Ghether e Mescec.
Wana wa Shemu walikuwa Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi, Aramu, Usi, Huli, Getheri, na Mashi.
18 Arpacshad generò Scelah, e Scelah generò Eber.
Arfaksadi akawa baba wa Sala, na Sala akawa baba wa Eberi.
19 Ad Eber nacquero due figliuoli: il nome dell’uno fu Peleg, perché ai suoi giorni la terra fu spartita; e il nome del suo fratello fu Joktan.
Eberi alikuwa na wana wawili wa kiume. Jina la wa kwanza lilikuwa Pelegi, kwa kuwa katika siku zake dunia ilikuwa imegawanyika. Jina la kaka yake lilikuwa Yoktani.
20 Joktan generò Almodad, Scelef, Hatsarmaveth, Jerah,
Yoktani akawa baba wa Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
21 Hadoram, Uzal, Diklah,
Hadoramu, Uzali, Dikla,
22 Ebal, Abimael, Sceba, Ofir, Havila e Jobab.
Obali, Abimaeli, Sheba,
23 Tutti questi furono figliuoli di Joktan.
Ofiri, Havila, na Yobabu; wote hawa walikuwa uzao wa Yoktani.
24 Sem, Arpacshad, Scelah,
Shemu, Arfaksadi, Sala,
25 Eber, Peleg, Reu,
Eberi, Pelegi, Reu,
26 Serug, Nahor, Terah,
Serugi, Nahori, Tera,
27 Abramo, che è Abrahamo.
Abramu, aliye kuwa Ibrahimu.
28 Figliuoli di Abrahamo: Isacco e Ismaele.
Wana wa Ibrahimu walikuwa Isaka na Ishmaeli.
29 Questi sono i loro discendenti: il primogenito d’Ismaele fu Nebaioth; poi, Kedar, Adbeel, Mibsam,
Hawa ndio wanao: mzaliwa wa kwanza alikuwa ni Nebayothi, kisha Kedari, Abdeeli, Mibsamu,
30 Mishma, Duma, Massa, Hadad, Tema,
Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema,
31 Jetur, Nafish e Kedma. Questi furono i figliuoli d’Ismaele.
Yeturi, Nafishi, na Kedama. Hawa ndio wana wa Ishamaeli.
32 Figliuoli di Ketura, concubina d’Abrahamo: essa partorì Zimran, Jokshan, Medan, Madian, Jishbak e Shuach. Figliuoli di Jokshan: Sceba e Dedan.
Wana wa Ketura, suria wa Ibrahimu, walikuwa Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki, na Shua. Wana wa Yokshani walikuwa Sheba na Dedani.
33 Figliuoli di Madian: Efa, Efer, Hanoch, Abida ed Eldaa. Tutti questi furono i figliuoli di Ketura.
Wana wa Midiani walikuwa Efa, Eferi, Hanoki, Abida, na Eldaa. Wote hawa walikuwa uzaowa Ketura.
34 Abrahamo generò Isacco. Figliuoli d’Isacco: Esaù e Israele.
Ibrahimu akawa baba wa Isaka. Wana wa Isaka walikuwa Esau na Israeli.
35 Figliuoli di Esaù: Elifaz, Reuel, Ieush, Ialam e Korah.
Wana wa Esau walikuwa ni Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu, na Kora.
36 Figliuoli di Elifaz: Teman, Omar, Tsefi, Gatam, Kenaz, Timna ed Amalek.
Wana wa Elifazi walikuwa ni Temani, Omari, Sefo, Gatamu, Kenazi, Timna, na Amaleki.
37 Figliuoli di Reuel: Nahath, Zerach, Shammah e Mizza.
Wana wa Reueli walikuwa ni Nahathi, Zera, Shama, na Miza.
38 Figliuoli di Seir: Lotan, Shobal, Tsibeon, Ana, Dishon, Etser e Dishan.
Wana wa Seiri walikuwa ni Lotani, Shobali, Sebioni, Ana, Dishoni, Eseri, na Dishani.
39 Figliuoli di Lotan: Hori e Homam; e la sorella di Lotan fu Timna.
Wana wa Lotani walikuwa ni Hori na Hemamu, na Timna alikuwa dada yake Lotani.
40 Figliuoli di Shobal: Alian, Manahath, Ebal, Scefi e Onam. Figliuoli di Tsibeon: Aiah e Ana.
Wana wa Shobali walikuwa ni Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo, na Onamu. Wana wa Sebeoni walikuwa ni Aya na Ana.
41 Figliuoli di Ana: Dishon. Figliuoli di Dishon: Hamran, Eshban, Jthran e Keran.
Mwana wa Ana alikuwa ni Dishoni. Wana wa Dishoni walikuwa Hemdani, Eshbani, Ithrani, na Kerani.
42 Figliuoli di Etser: Bilhan, Zaavan, Jaakan. Figliuoli di Dishon: Uts e Aran.
Wana wa Eseri walikuwa Bilhani, Zaawani, na Akani. Wana wa Dishani walikuwa Usi na Arani.
43 Questi sono i re che regnarono nel paese di Edom prima che alcun re regnasse sui figliuoli d’Israele: Bela, figliuolo di Beor; e il nome della sua città fu Dinhaba.
Hawa ndio wafalme walio tawala katika nchi ya Edomu kabla ya mfalme yeyote kuwatawala Waisraeli: Bela mwana wa Beori; na jina la mji wake ulikuwa Dinhaba.
44 Bela morì e Jobab, figliuolo di Zerach, di Botsra, regnò in luogo suo.
Bela alipo kufa, Yohabu mwana wa Zera wa Bosra akatawala badala yake.
45 Jobab morì, e Husham, del paese de’ Temaniti, regnò in luogo suo.
Yohabu alipo kufa, Hushamu wa nchi ya Watemani akatawala badala yake.
46 Husham morì, e Hadad, figliuolo di Bedad, che sconfisse i Madianiti ne’ campi di Moab, regnò in luogo suo; e il nome della sua città era Avith.
Hushamu alipo kufa, Hadadi mwana wa Bedadi, aliye washinda Wamidiani katika uwanja wa Moabu, akatawa badala yake. Jina la mji wake ulikuwa Avithi.
47 Hadad morì, e Samla, di Masreka, regnò in luogo suo.
Hadadi alipo kufa, Samla wa Masreka akatawala badala yake.
48 Samla morì, e Saul di Rehoboth sul Fiume, regnò in luogo suo.
Samla alipo kufa, Shauli wa Rehobothi Hanahari akatawala badala yake.
49 Saul morì, e Baal-Hanan, figliuolo di Acbor, regnò in luogo suo.
Shauli alipo kufa, Baal-Hanani mwana wa Akbori akatawala badala yake.
50 Baal-Hanan morì, e Hadad regnò in luogo suo. Il nome della sua città fu Pai, e il nome della sua moglie, Mehetabeel, figliuola di Matred, figliuola di Mezahab.
Baal-Hanani mwana wa Akbori alipo kufa, Hadari akatawala badala yake. Jina la mji wake ni Pau. Jina la mke wake lilikuwa ni Mehetabeli binti wa Matredi binti wa Mezahabu.
51 E Hadad morì. I capi di Edom furono: il capo Timna, il capo Alva, il capo Ietheth,
Hadadi akafa. Wajumbe wa ukoo wa Edomu walikuwa Timna, Alva, Yethethi,
52 il capo Oholibama, il capo Ela, il capo Pinon,
Oholibama, Ela, Pinoni,
53 il capo Kenaz, il capo Teman, il capo Mibtsar,
Kenazi, Temani, Mibsari,
54 il capo Magdiel, il capo Iram. Questi sono i capi di Edom.
Magdieli, na Iramu. Hawa ndio walikuwa wajumbe wa ukoo wa Edomu.

< 1 Cronache 1 >