< 詩篇 114 >

1 イスラエルがエジプトをいで、ヤコブの家が異言の民を離れたとき、
Israeli ilipotoka Misri, na nyumba ya Yakobo toka kutoka katika wale watu wa kigeni,
2 ユダは主の聖所となり、イスラエルは主の所領となった。
Yuda ilifanyika kuwa mahali pake patakatifu, Ufalme wa Israeli.
3 海はこれを見て逃げ、ヨルダンはうしろに退き、
Bahari iliona ikakimbia; Yordani ilirudi nyuma.
4 山は雄羊のように踊り、小山は小羊のように踊った。
Milima iliruka kama kondoo waume, vilima viliruka kama wana-kondoo.
5 海よ、おまえはどうして逃げるのか、ヨルダンよ、おまえはどうしてうしろに退くのか。
Ewe Bahari kwa nini ulikimbia? Yordani kwa nini ulirudi nyuma?
6 山よ、おまえたちはどうして雄羊のように踊るのか、小山よ、おまえたちはどうして小羊のように踊るのか。
Milima, kwa nini uliruka kama kondoo waume? Enyi vilima wadogo, kwa nini mliruka kama wana-kondoo?
7 地よ、主のみ前におののけ、ヤコブの神のみ前におののけ。
Tetemeka, ee nchi, mbele za Bwana, uweponi mwa Mungu wa Yakobo.
8 主は岩を池に変らせ、石を泉に変らせられた。
Aligeuza mwamba kuwa ziwa la maji, jiwe gumu kuwa chemchem.

< 詩篇 114 >