< 詩篇 37 >

1 ダビデの歌 悪をなす者のゆえに、心を悩ますな。不義を行う者のゆえに、ねたみを起すな。
Usikereshwe na wafanyao maovu; usiwaonee wivu wale watendao yasiyo haki.
2 彼らはやがて草のように衰え、青菜のようにしおれるからである。
Kwa kuwa muda mfupi watakauka kama nyasi na kukauka kama vile mimea ya kijani ikaukavyo wakati wa kiangazi.
3 主に信頼して善を行え。そうすればあなたはこの国に住んで、安きを得る。
Uwamini Mungu na kufanya yaliyo mema; uishi katika nchi na uongezeke katika imani.
4 主によって喜びをなせ。主はあなたの心の願いをかなえられる。
Kisha ufurahi mwenyewe katika Yahwe, naye atakupa matamanio ya moyo wako.
5 あなたの道を主にゆだねよ。主に信頼せよ、主はそれをなしとげ、
Umkabidhi njia zako Yahwe; uamini katika yeye, naye atatenda kwa niaba yako.
6 あなたの義を光のように明らかにし、あなたの正しいことを真昼のように明らかにされる。
Yeye ataidhihilisha haki yako kama mchana na usafi wako kama mwangaza wa mchana.
7 主の前にもだし、耐え忍びて主を待ち望め。おのが道を歩んで栄える者のゆえに、悪いはかりごとを遂げる人のゆえに、心を悩ますな。
Uwe kumya mbele za Yahwe na umsubiri yeye kwa uvumilivu. Usikasirike ikiwa kuna mtu anafanikiwa kwa kile afanyacho, au afanyapo njama za uovu.
8 怒りをやめ、憤りを捨てよ。心を悩ますな、これはただ悪を行うに至るのみだ。
Usikasilile na kugadhabika. Usiogope. Hii huleta matatizo tu.
9 悪を行う者は断ち滅ぼされ、主を待ち望む者は国を継ぐからである。
Watendao maovu watafutiliwa mbali, bali wale wamngojao Yahwe watairithi nchi.
10 悪しき者はただしばらくで、うせ去る。あなたは彼の所をつぶさに尋ねても彼はいない。
Katika muda mfupi mtu mwovu atatoweka; wewe utatazama mahali pake, wala hautamuona.
11 しかし柔和な者は国を継ぎ、豊かな繁栄をたのしむことができる。
Lakini wapole watairithi nchi nao watafurahia katika mafanikio makubwa.
12 悪しき者は正しい者にむかってはかりごとをめぐらし、これにむかって歯がみする。
Mtu mwovu hupanga njama kinyume na mwenye haki na kumsagia meno.
13 しかし主は悪しき者を笑われる、彼の日の来るのを見られるからである。
Bwana humcheka, kwa maana anaona siku yake inakuja.
14 悪しき者はつるぎを抜き、弓を張って、貧しい者と乏しい者とを倒し、直く歩む者を殺そうとする。
Waovu wametoa nje panga zao na wametayarisha pinde zao ili kuwaangamiza wanyonge na wahitaji, na kuwaua wenye haki.
15 しかしそのつるぎはおのが胸を刺し、その弓は折られる。
Panga zao zitawaua wenyewe, na pinde zao zitavunjika.
16 正しい人の持ち物の少ないのは、多くの悪しきの者の豊かなのにまさる。
Ni bora kuwa mwenye haki maskini kuliko tajiri mwenye mali nyingi.
17 悪しき者の腕は折られるが、主は正しい者を助けささえられるからである。
Kwa maana mikono ya watu waovu itavunjika, bali Yahwe huwasaidia watu wenye haki.
18 主は全き者のもろもろの日を知られる。彼らの嗣業はとこしえに続く。
Yahwe huwalinda watu wasio na lawama siku hadi siku, na urithi wao utakuwa wa milele.
19 彼らは災の時にも恥をこうむらず、ききんの日にも飽き足りる。
Hawata aibika siku mbaya zijapo. Wakati wa njaa ufikapo wao watakuwa na chakula cha kutosha.
20 しかし、悪しき者は滅び、主の敵は牧場の栄えの枯れるように消え、煙のように消えうせる。
Bali waovu wataangamia. Maadui wa Yahwe watakuwa kama vile utukufu wa malisho; watamalizwa na kupotezwa katika moshi.
21 悪しき者は物を借りて返すことをしない。しかし正しい人は寛大で、施し与える。
Mtu mwovu hukopa lakini halipi, bali mtu mwenye haki ni mkarimu na hutoa.
22 主に祝福された者は国を継ぎ、主にのろわれた者は断ち滅ぼされる。
Wale walio barikiwa na Mungu watairithi nchi; wale aliowalaani watafutiliwa mbali.
23 人の歩みは主によって定められる。主はその行く道を喜ばれる。
Hatua za mwanadamu zinaimarishwa na Yahwe, mtu ambaye njia zake zinakubalika machoni pa Mungu.
24 たといその人が倒れても、全く打ち伏せられることはない、主がその手を助けささえられるからである。
Ajapojikwaa, hataanguka chini, kwa kuwa Yahwe anamshikilia kwa mkono wake.
25 わたしは、むかし年若かった時も、年老いた今も、正しい人が捨てられ、あるいはその子孫が食物を請いあるくのを見たことがない。
Nilikuwa kijana na sasa ni mzee; sijawahi kumuona mtu mwenye haki ametelekezwa wala watoto wake kuombaomba mkate.
26 正しい人は常に寛大で、物を貸し与え、その子孫は祝福を得る。
Wakati wote yeye ni mkarimu na hukopesha, nao watoto wake hufanyika baraka.
27 悪をさけて、善を行え。そうすれば、あなたはとこしえに住むことができる。
Acha uovu na ufanye yaliyo mema; ndipo utakapokuwa salama milele.
28 主は公義を愛し、その聖徒を見捨てられないからである。正しい者はとこしえに助け守られる。しかし、悪しき者の子孫は断ち滅ぼされる。
Kwa maana Yahwe hupenda haki naye hawaachi wafuasi waaminifu. Wao hutunzwa milele, lakini uzao wa waovu utafutiliwa mabli.
29 正しい者は国を継ぎ、とこしえにその中に住むことができる。
Wenye haki watairithi nchi na kuaa huko milele.
30 正しい者の口は知恵を語り、その舌は公義を述べる。
Mdomo wa mwenye haki huongea hekima na huongeza haki.
31 その心には神のおきてがあり、その歩みはすべることがない。
Sheria ya Mungu wake imo moyoni mwake; miguu yake haitelezi.
32 悪しき者は正しい人をうかがい、これを殺そうとはかる。
Mtu mwovu humvizia mwenye haki na kutafuta kumuua.
33 主は正しい人を悪しき者の手にゆだねられない、またさばかれる時、これを罪に定められることはない。
Yahwe hatamuacha yeye kwenye mkono wa mtu mwovu wala kumlaumu atakapohukumiwa.
34 主を待ち望め、その道を守れ。そうすれば、主はあなたを上げて、国を継がせられる。あなたは悪しき者の断ち滅ぼされるのを見るであろう。
Umngoje Yahwe na uishike njia yake, naye atakuinua uimiliki nchi. Atakapo waondosha waovu wewe utaona.
35 わたしは悪しき者が勝ち誇って、レバノンの香柏のようにそびえたつのを見た。
Nimewaona waovu na mtu wa kutisha akienea kama mti wa kijani katika udongo wa asili.
36 しかし、わたしが通り過ぎると、見よ、彼はいなかった。わたしは彼を尋ねたけれども見つからなかった。
Lakini nilipopita tana mara nyingine, hakuwepo pale. nilimtafuta, lakini sikumpata.
37 全き人に目をそそぎ、直き人を見よ。おだやかな人には子孫がある。
Uwachunguze watu waadilifu, na uwatambue wenye haki; kuna hatima nzuri kwa ajili ya mtu wa amani.
38 しかし罪を犯す者どもは共に滅ぼされ、悪しき者の子孫は断たれる。
Mwenye dhambi wataharibiwa kabisa; hatima ya mtu mwovu ni kuondoshwa.
39 正しい人の救は主から出る。主は彼らの悩みの時の避け所である。
Wokovu wa haki unatoka kwa Yahwe; yeye huwalinda wao nyakati za shida.
40 主は彼らを助け、彼らを解き放ち、彼らを悪しき者どもから解き放って救われる。彼らは主に寄り頼むからである。
Yahwe huwasaidia na kuwaokoa. Yeye huwaokoa dhidi ya watu waovu na kuwanusuru wao kwa sababu wao wamemkimbilia yeye kwa ajili ya usalama.

< 詩篇 37 >