< Sie Chronicle 1 >

1 Adam pa papa tumal Seth, ac Seth pa papa tumal Enosh, ac Enosh pa papa tumal Kenan.
Adamu, Sethi, Enoshi,
2 Kenan pa papa tumal Mahalalel, ac Mahalalel pa papa tumal Jared.
Kenani, Mahalaleli, Yaredi,
3 Jared pa papa tumal Enoch, su papa tumal Methuselah. Methuselah pa papa tumal Lamech,
Henoko, Methusela, Lameki.
4 su papa tumal Noah. Oasr wen tolu natul Noah: Shem, Ham, ac Japheth.
Wana wa Nuhu walikuwa ni Shemu, Hamu, na Yafethi.
5 Wen natul Japheth pa Gomer, Magog, Madai, Javan, Tubal, Meshech, ac Tiras. Tulik natulos kais sie ac fwil nukewa tokolos elos ekin papa matu tumalos ingan.
Wana wa Yafethi walikuwa ni Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki, na Tirasi.
6 Fwil natul Gomer pa mwet in acn Ashkenaz, Riphath, ac Togarmah.
Wana wa Gomeri walikuwa Ashkenazi, Rifathi na Togama.
7 Fwil natul Javan pa mwet in acn Elishah, Spain, Cyprus, ac Rhodes.
Wana wa Yavani walikuwa ni Elisha, Tarshishi, Kitimu, na Warodani.
8 Wen natul Ham pa Cush, Egypt, Libya, ac Canaan. Tulik natulos kais sie, ac fwil nukewa tokolos elos ekin papa matu tumalos ingan.
Wana wa Hamu walikuwa ni Kushi, Misri, Putu, na Kanaani.
9 Fwil natul Cush pa mwet in acn Seba, Havilah, Sabtah, Raamah, ac Sabteca. Fwil natul Raamah pa mwet in acn Sheba ac Dedan.
Wana wa Kushi walikuwa ni Seba, Havila, Sabta, Raama, na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa ni Sheba na Dedani.
10 (Oasr wen se natul Cush su pangpang Nimrod, ac el pa mwet se emeet su watwen ke mweun fin fahlu.)
Kushi akawa baba wa Nimrodi, aliyekuwa shujaa wa Kwanza katika dunia.
11 Fwil natul Egypt pa mwet in acn Lydia, Anam, Lehab, Naphtuh,
Misri akawa babu wa Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
12 Pathrus, Casluh, ac Crete. (Mwet in acn Crete pa papa tumun mwet Philistia.)
Wapathrusi, Wakasluhi (Wafilisti walipotoka), na Wakaftori.
13 Wen se meet natul Canaan pa Sidon, ac wen se akluo pa Heth. Tulik natultal kais sie, ac fwil nukewa tokoltal, elos ekin papa matu tumaltal ingan.
Kanaani akawa baba wa Sidoni, mwanae wa kwanza, na wa Hethi.
14 Fwil natul Canaan pa mwet Jebus, mwet Amor, mwet Girgash,
Pia akawa babu wa Myebusi, Mwamori, Mgirgashi,
15 mwet Hiv, mwet Ark, mwet Sin,
Mhivi, Mwarki, Msini,
16 mwet Arvad, mwet Zemar, ac mwet Hamath.
Mwarvadi, Msemari, na Mhamathi.
17 Wen natul Shem pa Elam, Asshur, Arpachshad, Lud, Aram, Uz, Hul, Gether, ac Meshek. Tulik natulos kais sie, ac fwil nukewa tokolos, elos ekin papa matu tumalos ingan.
Wana wa Shemu walikuwa Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi, Aramu, Usi, Huli, Getheri, na Mashi.
18 Arpachshad pa papa tumal Shelah, su papa tumal Eber.
Arfaksadi akawa baba wa Sala, na Sala akawa baba wa Eberi.
19 Oasr wen luo natul Eber: inen sie pa Peleg, ke sripen in pacl lal ah mwet fin faclu tuh fahsrelik. Inen tulik se wial ah pa Joktan.
Eberi alikuwa na wana wawili wa kiume. Jina la wa kwanza lilikuwa Pelegi, kwa kuwa katika siku zake dunia ilikuwa imegawanyika. Jina la kaka yake lilikuwa Yoktani.
20 Fwil natul Joktan pa mwet in acn Almodad, Sheleph, Hazarmaveth, Jerah,
Yoktani akawa baba wa Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
21 Hadoram, Uzal, Diklah,
Hadoramu, Uzali, Dikla,
22 Ebal, Abimael, Sheba,
Obali, Abimaeli, Sheba,
23 Ophir, Havilah, ac Jobab.
Ofiri, Havila, na Yobabu; wote hawa walikuwa uzao wa Yoktani.
24 Pa inge fwil natul Shem fahla nwe kacl Abram: Shem, Arpachshad, Shelah,
Shemu, Arfaksadi, Sala,
25 Eber, Peleg, Reu
Eberi, Pelegi, Reu,
26 Serug, Nahor, Terah,
Serugi, Nahori, Tera,
27 ac Abram (su oayapa pangpang Abraham).
Abramu, aliye kuwa Ibrahimu.
28 Oasr wen luo natul Abraham: elos pa Isaac ac Ishmael.
Wana wa Ibrahimu walikuwa Isaka na Ishmaeli.
29 Wen natul Ishmael elos sifen sruf singoul luo inge: Nebaioth (el pa wounse se), Kedar, Adbeel, Mibsam,
Hawa ndio wanao: mzaliwa wa kwanza alikuwa ni Nebayothi, kisha Kedari, Abdeeli, Mibsamu,
30 Mishma, Dumah, Massa, Hadad, Tema,
Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema,
31 Jetur, Naphish, ac Kedemah.
Yeturi, Nafishi, na Kedama. Hawa ndio wana wa Ishamaeli.
32 Oasr mutan kulansap se kial Abraham su inel pa Keturah, ac el oswela wen onkosr natul Abraham: elos pa Zimran, Jokshan, Medan, Midian, Ishbak, ac Shuah. Oasr wen luo natul Jokshan: elos pa Sheba ac Dedan.
Wana wa Ketura, suria wa Ibrahimu, walikuwa Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki, na Shua. Wana wa Yokshani walikuwa Sheba na Dedani.
33 Oasr wen limekosr natul Midian: elos pa Ephah, Epher, Hanoch, Abida, ac Eldaah.
Wana wa Midiani walikuwa Efa, Eferi, Hanoki, Abida, na Eldaa. Wote hawa walikuwa uzaowa Ketura.
34 Abraham pa papa tumal Isaac. Oasr wen luo natul Isaac: elos pa Esau ac Jacob.
Ibrahimu akawa baba wa Isaka. Wana wa Isaka walikuwa Esau na Israeli.
35 Wen natul Esau pa Eliphaz, Reuel, Jeush, Jalam, ac Korah.
Wana wa Esau walikuwa ni Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu, na Kora.
36 Eliphaz pa papa tumun sruf inge: Teman, Omar, Zephi, Gatam, Kenaz, Timna, ac Amalek.
Wana wa Elifazi walikuwa ni Temani, Omari, Sefo, Gatamu, Kenazi, Timna, na Amaleki.
37 Reuel pa papa tumun sruf inge: Nahath, Zerah, Shammah, ac Mizzah.
Wana wa Reueli walikuwa ni Nahathi, Zera, Shama, na Miza.
38 Wen natul Seir pa Lotan, Shobal, Zibeon, Anah, Dishon, Ezer, ac Dishan.
Wana wa Seiri walikuwa ni Lotani, Shobali, Sebioni, Ana, Dishoni, Eseri, na Dishani.
39 Wen natul Lotan pa Hori ac Homam. Tamtael lal Lotan pa Timna.
Wana wa Lotani walikuwa ni Hori na Hemamu, na Timna alikuwa dada yake Lotani.
40 Wen natul Shobal pa Alvan, Manahath, Ebal, Shephi, ac Onam. Wen natul Zibeon pa Aiah ac Anah.
Wana wa Shobali walikuwa ni Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo, na Onamu. Wana wa Sebeoni walikuwa ni Aya na Ana.
41 Wen natul Anah pa Dishon, ac wen natul Dishon pa Hamran, Eshban, Ithran, ac Cheran.
Mwana wa Ana alikuwa ni Dishoni. Wana wa Dishoni walikuwa Hemdani, Eshbani, Ithrani, na Kerani.
42 Wen natul Ezer pa Bilhan, Zaavan, ac Jaakan. Ac wen natul Dishan pa Uz ac Aran.
Wana wa Eseri walikuwa Bilhani, Zaawani, na Akani. Wana wa Dishani walikuwa Usi na Arani.
43 Pa inge inen tokosra su leum fin acn Edom meet liki oasr tokosra lun mwet Israel: Bela, wen natul Beor, su siti sel uh pa Dinhabah.
Hawa ndio wafalme walio tawala katika nchi ya Edomu kabla ya mfalme yeyote kuwatawala Waisraeli: Bela mwana wa Beori; na jina la mji wake ulikuwa Dinhaba.
44 Ke Bela el misa, Jobab wen natul Zerah in acn Bozrah el aolul.
Bela alipo kufa, Yohabu mwana wa Zera wa Bosra akatawala badala yake.
45 Ke Jobab el misa, Husham, sie mwet in acn Teman, el aolul.
Yohabu alipo kufa, Hushamu wa nchi ya Watemani akatawala badala yake.
46 Ke Husham el misa, Hadad wen natul Bedad, su kutangla mwet Midian in facl Moab, el aolul. Inen siti sel pa Avith.
Hushamu alipo kufa, Hadadi mwana wa Bedadi, aliye washinda Wamidiani katika uwanja wa Moabu, akatawa badala yake. Jina la mji wake ulikuwa Avithi.
47 Ke Hadad el misa, Samlah, sie mwet in acn Masrekah, el aolul.
Hadadi alipo kufa, Samla wa Masreka akatawala badala yake.
48 Ke Samlah el misa, Shaul, sie mwet in acn Rehoboth sisken Infacl Euphrates, el aolul.
Samla alipo kufa, Shauli wa Rehobothi Hanahari akatawala badala yake.
49 Ke Shaul el misa, Baal Hanan wen natul Achbor el aolul.
Shauli alipo kufa, Baal-Hanani mwana wa Akbori akatawala badala yake.
50 Ke Baal Hanan el misa, Hadad el aolul. Inen siti sel pa Pau, ac inen mutan kial pa Mehetabel acn natul Matred, ac Matred acn natul Mezahab.
Baal-Hanani mwana wa Akbori alipo kufa, Hadari akatawala badala yake. Jina la mji wake ni Pau. Jina la mke wake lilikuwa ni Mehetabeli binti wa Matredi binti wa Mezahabu.
51 Na Hadad el misa. Inen sruf in acn Edom pa Timna, Alvah, Jetheth,
Hadadi akafa. Wajumbe wa ukoo wa Edomu walikuwa Timna, Alva, Yethethi,
52 Oholibamah, Elah, Pinon,
Oholibama, Ela, Pinoni,
53 Kenaz, Teman, Mibzar,
Kenazi, Temani, Mibsari,
54 Magdiel, ac Iram.
Magdieli, na Iramu. Hawa ndio walikuwa wajumbe wa ukoo wa Edomu.

< Sie Chronicle 1 >