< Luo Tokosra 25 >

1 Zedekiah el tuyak lainul Tokosra Nebuchadnezzar lun acn Babylonia. Ke ma inge Nebuchadnezzar el tuku wi mwet mweun lal nukewa in mweuni acn Jerusalem ke len aksingoul ke malem aksingoul ke yac akeu ke pacl Zedekiah el leum. Elos orala nien aktuktuk lalos likin siti uh, ac musaela mwe fan raunela pot ah.
Ilitokea kwamba katika mwaka wa tisa wa utawala wa mfalme Sedekia, katika mwezi wa kumi, na siku ya kumi ya huo mwezi, Nebukadreza mfalme wa Babeli alikuja pamoja na jeshi lake lote kwa ajili ya kupigana dhidi ya Yerusalemu. Akaweka kambi kuelekeana nayo, na wakajenga ukuta kuizunguka.
2 Elos kuhlusya nwe ke yac aksingoul sie ma Zedekiah el tokosra.
Hivyo mji huo ulizungukwa mpaka miaka kumi na moja ya utawala wa Sedekia.
3 In len akeu ke malem akakosr ke yac sacna, ke sracl sac srakna upa ac wanginla mongo nun mwet uh,
Katika siku ya tisa ya mwezi wa nne wa huo mwaka, njaa ilikuwa kali sana kwenye huo mji kwamba hapakuwa na chakula kwa ajili ya watu wa nchi.
4 mwet Babylonia elos fukulya pot uh. Elos nwe raunela siti sac, a mwet mweun nukewa in siti uh kaingla in fong sac. Elos ut yen ima lun tokosra oan we, ac sasla ke mutunpot se ma pot luo fahsreni we, na elos kaingla ut layen nu ke Infahlfal Jordan.
Wakati huo ule mji ulikuwa umebomoka ndani, na wapiganaji wote wakakimbia usiku kwa njia ya lango kati ya kuta mbili, karibu na bustani ya mfalme, ingawa Wakaldayo walikuwa wote wameuzunguka mji. Mfalme akaenda kuelekea upande wa Araba.
5 Tusruktu mwet mweun Babylonia elos ukwal Tokosra Zedekiah nwe sruokilya in acn tupasrpasr apkuran nu Jericho, ac mwet mweun lal ah nukewa sisella kaingelik.
Lakini jeshi la Wakaldayo likamfuata mfalme Sedekia na kumchukua katika tambarare ya bonde la Mto Yoradani karibu na Yeriko. Jeshi lake lote lilitawanyika wakamwacha.
6 Utukla Tokosra Zedekiah nu yorol Tokosra Nebuchadnezzar, su muta in siti Riblah, acn su Nebuchadnezzar el wotela ma ac orek nu sel.
Wakamkamata mfalme na kumleta mpaka kwa mfalme wa Babeli huko Ribla, ambapo walipitisha hukumu juu yake.
7 Elos uniya kewa wen natul Zedekiah ye mutal, ac tipalla atronmutal, na elos kaprilya ke sein, ac usalla nu Babylon.
Kama kwa watoto wa Sedekia, wakawachinja mbele ya macho yake. Kisha akamtoa macho Sedekia, wakamfunga pingu, na kumpeleka hadi Babeli.
8 In len akitkosr ke malem aklimekosr in yac aksingoul eu ke pacl Tokosra Nebuchadnezzar el leum lun Babylonia, Nebuzaradan su mwet kasru lal tokosra ac oayapa el mwet kol fulat lun un mwet mweun lal, el utyak nu Jerusalem.
Basi katika mwezi wa tano, katika siku ya saba ya mwezi, ambapo ulikuwa mwaka wa kumi na tisa wa utawala wa Nebukadreza mfalme wa Babeli, Nebuzaradani, mtumishi wa mfalme wa Babeli na amrijeshi wa walinzi wake, wakaja hadi Yerusalemu.
9 El esukak Tempul, inkul sin tokosra, ac lohm sin mwet fulat nukewa in Jerusalem,
Akaichoma moto nyumba ya Yahwe, nyumba ya mfalme, na nyumba zote za Yeruselemu; pia kila jengo la muhimu katika mji akayachoma.
10 ac mwet lal elos rakinya pot in siti ah.
Kama kwa kuta zote zilizoizunguka Yerusalemu, jeshi lote la Wababeli ambao walikuwa chini ya amrishi wa walinzi wakaziharibu.
11 Na Nebuzaradan el usla nu Babylonia mwet ma lula in siti sac, elos su usrnguk ke orekma ac oayapa elos su sifacna kaingla nu yurin mwet Babylonia.
Basi watu waliokuwa wamebaki ambao walikuwa wameondoka katika mji, wale waliokuwa wameasi kwa mfalme wa Babeli, na mabaki ya watu-Nebuzadani, amiri jeshi wa mlinzi, wakachukuliwa kwenda utumwani.
12 Tusruktu el filiya kutu sin mwet ma arulana sukasrup, ac sang tuh mwet inge in orekma ke ima in grape, ac imaela acn Judah.
Lakini amiri jeshi wa mlinzi aliwaacha baadhi ya maskini wa nchi ili wafanye kazi kwenye shamba la mizabibu na kulima.
13 Mwet Babylonia elos kunausya sru bronze lukwa nu ke ip srisrik, ac mwe wiwa ma oan in Tempul, weang pac tacng bronze lulap sac, ac elos usla bronze inge nukewa nu Babylon.
Na zile nguzo za shaba ambazo zilikuwa kwenye nyumba ya Yahwe, na misimamio na bahari ya chuma ambayo ilikuwa kwenye nyumba ya Yahwe, Wakaldayo wakazivunja vipande vipande na kubeba shaba kuirudisha Babeli.
14 Elos oayapa usla saful ac mwe neinyuk apat, ma orekmakinyuk in aknasnasye loang uh, kufwa in akwoye lam ah, ac pol mwe nein srah ma sororla ke pacl in kisa, ac pol in isis mwe keng, ac ma nukewa saya ma orekla ke bronze su orekmakinyuk in Tempul.
Masufuria, mabeleshi, makasi, vijiko, na vyombo vyote vya shaba ambavyo kuhani alivyokuwa amevitunza kwenye hekalu-Wakaldayo wakavichukua vyote.
15 Elos usla nufon ma su orekla ke gold ku silver, weang pac pol srisrik ac pan ma sang us mulut firir.
Masufuria ya kuhamisha majivu na mabakuli ambayo yalikuwa yametengenezwa kwa dhahabu, na yale yaliyotengenezwa kwa fedha-yule nahodha wa mlinzi wa mfalme akavichukua pia.
16 Ma orekla ke bronze nukewa ma Tokosra Solomon el sap in orekla nu ke Tempul — sru lukwa, mwe wiwa, ac tacng lulap sac — ma inge arulana toasrla in pauniyuk.
Zile nguzo mbili, ile bahari, na vile vitako ambavyo Suleimani alivitengeneza kwa ajili ya nyumba ya Yahwe shaba ya vyombo hivyo vyote haikuwa na uzani.
17 Sru lukwa ah oana sie lumah: kais soko oasr ke fit longoul itkosr fulata, wi sifen sru se ma orekla oan fac su oasr fit akosr tafu fulata, ac oasr pac yun sang rauneak sifen sru inge su orekla in luman sein pirakla, naweyuk ke fokinsak pomegranate, ac ma inge nukewa orekla ke bronze.
Urefu wa ile nguzo ya kwanza ulikuwa ridhaa kumi na nane, na kichwa cha shaba kilikuwa juu yake. Na urefu wa kichwa ulikuwa ridhaa tatu, pamoja na mapambo ya wavu na makomamanga yote yakizunguka kwenye hicho kichwa, vyote vilikuwa vimetengenezwa kwa shaba. Na ile nguzo nyingine ilikuwa vivyo hivyo kama ile ya kwanza pamoja na wavu wake.
18 Sayen ma inge, Nebuzaradan mwet kol fulat lun un mwet mweun lun Babylonia, el usalla Mwet Tol Fulat Seraiah, ac Zephaniah su mwet tol akluo yal, ac mwet tolu pac saya su mwet kol in Tempul.
Yule amiri jeshi wa mlinzi akamchukua Seraya kuhani mkuu, pamoja za Sefania, yule kuhani wa pili, na walinzi watatu wa kwenye lango.
19 Ac sin mwet in siti uh el usla mwet se ma tuh kol un mwet mweun, ac limekosr sin mwet kasru lun tokosra su srakna muta in siti uh, ac mwet kasru se lun mwet kol fulat su liyaung ma simla lun mwet mweun, ac mwet fulat onngoul pac saya.
Kutoka mjini akamchukua mlinzi, afisa mmoja ambaye aliyekuwa msimamizi wa maaskari, na watu watano ambao walikuwa wakimshauri mfalme, ambao walikuwa bado katika mji. Pia alimchukua mfungwa wa afisa jeshi la mfalme, kwa ajili ya kuandika watu kwenye jeshi, pamoja na watu sitini muhimu kutoka hiyo nchi ambao walikuwa katika mji.
20 Nebuzaradan el usalosla nu yurin tokosra lun Babylonia, su oasr in siti Riblah
Kisha Nebuzaradani, amiri wa mlinzi, akawachukua na kuwapeleka kwa mfalme Babeli huko Ribla.
21 ke acn Hamath. Tokosra el sap in sringsring ac anwuki elos we. Ouinge met Judah elos utukla liki acn selos nu in srou.
Mfalme wa Babeli akawaua huko Ribla katika nchi ya Hamathi. Kwa njia hii, Yuda akaiacha nchi yake kwenda utumwani.
22 Tokosra Nebuchadnezzar lun acn Babylon el oru Gedaliah wen natul Ahikam ac nutin natul Shaphan, elan governor lun acn Judah, ac oru elan kol mwet nukewa ma tia utukla nu Babylonia.
Na wale watu waliokuwa wamebakia katika nchi ya Yuda, wale ambao Nebukadreza mfalme wa Babeli aliwaacha, akamuweka Gedalia mwana wa Ahikamu, mwana wa Shafani, msimamizi wao.
23 Ke mwet kol lun un mwet mweun lun Judah, ac mwet mweun lalos su tuh tiana srasrapo, elos lohng ke ma se inge, na elos som welulang Gedaliah in acn Mizpah. Mwet kol inge pa Ishmael wen natul Nethaniah, Johanan wen natul Kareah, Seraiah wen natul Tanhumeth sie mwet in siti srisrik Netophah, ac Jezaniah mwet Maacah.
Kisha wakati maamiri wote wa majeshi, wao na watu wao, waliposikia kwamba mfalme wa Babeli amemfanya Gedalia kuwa liwali, wakaenda kwa Gedalia huko Mispa. Hawa watu walikuwa Ishmaeli mwana wa Nethania, Yohanani mwana wa Karea, Seraya mwana wa Tanhumethi Mnetofa, na Yezania mwana wa Mmaaka-wao na watu wao.
24 Gedaliah el fahk nu selos, “Nga fulahk nu suwos, kowos tia enenu in sangeng sin mwet kol lun mwet Babylonia. Kowos oakwuki in facl se inge ac kulansupu tokosra lun Babylonia, na ma nukewa ac fah wo nu suwos.”
Gedalia akafanya kiapo kwa watu wake na kuwaambia, “Msiwaogope Wakaldayo. Muishi katika nchi na kumtumikia mfalme wa Babeli, na itakuwa vema kwenu.”
25 Tusruktu ke malem akitkosr in yac sac, Ishmael wen natul Nethaniah su wen natul Elishama, sie sin mwet in sou in leum uh, el us mwet singoul som nu Mizpah, onel Gedaliah nwe unilya. El oayapa uniya mwet Israel ac mwet Babylonia su welul muta in acn sac.
Lakini ilitokea kwamba katika mwezi wa saba Ishmaeli mwana wa Nethania mwana wa Elishama, kutoka familia ya kifalme, wakaja na watu kumi na kumshambulia Gedalia. Gedalia akafa, pamoja na watu wa Yuda na Wababeli ambao walikuwa pamoja nae huko Mizpa.
26 Na mwet Israel nukewa — mwet fulat ac mwet pusisel oana sie — weang pac mwet kol lun mwet mweun, elos fahsr liki acn we ac som nu Egypt, ke sripen sangeng lalos sin mwet Babylonia.
Kisha wale watu wote, kutoka chini kwenda juu, na maamiri wa jeshi, wakainuka na kwenda Misri, kwasababu walikuwa wanawaogopa Wababeli.
27 Ke yac se ma Evilmerodach el tokosrala lun Babylonia, el kulang nu sel Tokosra Jehoiachin lun acn Judah ac ikasulla liki kapir. Ma se inge sikyak ke len aklongoul itkosr ke malem aksingoul luo ke yac aktolngoul itkosr tukun utukla Jehoiachin nu in sruoh.
Ilitokea baadaye katika mwaka wa thelathini na saba wa utumwa wa Yekonia mfalme wa Yuda, katika mwezi wa kumi na mbili, siku ya ishirini na saba ya mwezi, Evil-merodaki mfalme wa Babeli akamtoa Yekonia mfalme wa Yuda kutoka gerezani. Hii ilitokea katika mwaka ambao Evil-Merodaki alipoanza kutawala.
28 Evilmerodach el kaskas kulang nu sel, ac akfulatyal liki tokosra nukewa su welul sruoh in acn Babylonia.
Akaongea naye kwa ukarimu na kumpatia kiti kizuri zaidi kuliko kile cha wafalme wengine ambao walikuwa pamoja naye Babeli.
29 Ouinge, filfilla nu sel Jehoiachin elan ku in ayaolla liki nuknuk in kapir lal ah, ac in welul tokosra mongo ke tepu lal ke lusenna moul lal.
Evil-Merodaki akamvua Yekonia nguo za gerezani,
30 Kais sie len, itukyang nu sel lupan mwe kasru ma fal in kasrel ke enenu lal, nwe ke el misa.
na Yekinia akala siku zote kwenye meza ya mfalme katika maisha yake yote yaliyokuwa yamebakia.

< Luo Tokosra 25 >