< Jeremiah 45 >

1 In yac se akakosr ma Jehoiakim, wen natul Josiah, el tuh tokosra lun Judah, Baruch el simusla kas nukewa nga fahkang nu sel. Na nga fahk nu sel,
Hili ni neno ambalo Yeremia nabii alimwambia Baruku mwana wa Neria. Hii ilitokea wakati alipoandika kwenye kitabu maneno haya kwa imla ya Yeremia - hii ilikuwa katika mwaka wa nne wa Yehoyakimu mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda, na alisema,
2 “Pa inge kas lun LEUM GOD lun Israel nu sum: ‘Baruch,
“Yahwe, Mungu wa Israel, asema hivi kwako, Baruku:
3 kom fahk mu “Nga fuhleak finsrak! LEUM GOD El ase mwe asor in laesla mwe lokoalok luk. Nga totola ke sao luk, ac nga tia ku in konauk mongla!’”
Umesema, Ole mimi, kwa kuwa Yahwe ameongeza uchungu wa maumivu. Kuugua kwangu kumenichosha; sipati pumziko.'
4 “Tusruktu nga, LEUM GOD, nga ikruiya ma nga musaela, ac nga fusak ma nga yukwiya. Nga ac oru ouinge nu ke faclu nufon.
Hivi ndivyo unapaswa kusema kwake: “Yahwe asema hivi: Ona, nilichojenga, sasa ninararua chini. Nilichopanda, sasa ninangoa. Hii ni kweli juu ya dunia.
5 Ya kom suk in orek nu sum wo liki mwet ngia? Nimet nunku ouingan. Nga ac sang mwe ongoiya nu fin mwet nukewa, tusruktu kom sifacna ac fah moulla in kutena acn kom ac som nu we. Nga, LEUM GOD, pa fahk ma inge.”
Lakini unategema mambo makubwa kwa ajili yako? Usitegemee hayo. Uone, maafa yanakuja kwa binadamu wote - hii ni tamko la Yahwe - lakini ninakupa maisha yangu kama nyara popote utakakoenda.”

< Jeremiah 45 >