< प्रेरितों के काम 28 >

1 जेबे आसे सब यात्री कनारे पाँदे ठीक-ठाक पऊँछी गे, तेबे आसा खे पता लगेया कि एस टापूओ खे माल्टा बोलोए।
Tulipofikishwa salama, tulitambua kwamba kisiwa kinaitwa Malta.
2 तेथो रे रणे वाल़े लोके आसा पाँदे नऊखा प्यार दखाया, कऊँकि बादल़ बरसणे री बजअ ते ठण्ड थी, तेबे तिने आग सुल़गाई की आसे सब ठराए।
Watu wenyeji wa pale si tu kwamba walitupa ukarimu wa kawaida, bali waliwasha moto na kutukaribisha sote, kwa sababu ya mvua na baridi iliyokuwa ikiendelea.
3 जेबे पौलुसे लकड़ुआ रा पारा (गट्ठा) कट्ठा करी की आगी पाँदे राखेया, तेबे एक साप आगी रे सेको रे निकल़ेया और तेसरे आथो रे लिपटी गा।
Lakini Paulo alipokuwa amekusanya mzigo wa kuni na kuuweka motoni, nyoka mdogo mwenye sumu akatoka kwenye zile kuni kwa sababu ya lile joto, na akajizungusha kwenye mkono wake.
4 जेबे तेथो रे रणे वाल़ेया साप तेसरे आथो रे लटकेया रा देखेया, तेबे आपू बीचे बोलेया, “सच्ची ये मांणू अत्यारा ए, हालाँकि समुद्रो ते बची गा, पर तेबे बी न्यायी देविए जिऊँदा नि रणे दित्तेया।”
Watu wenyeji wa pale walipoona mnyama ananing'inia kutoka kwenye mkono wake, wakasemezana wao kwa wao, “Mtu huyu hakika ni muuaji ambaye ametoroka baharini, lakini haki haimuruhusu kuishi.”
5 पौलुसे साप आगी रे चड़ाकी ता और तेसखे कोई नुकशाण नि ऊआ।
Lakini yeye akamtupia huyo mnyama katika moto na hakupata madhara yoyote.
6 पर सेयो लोक न्याल़दे रये कि तेसरे सोजा आयी जाणा या एकदम रूड़ी की मरी जाणा, पर जेबे सेयो बऊत देर तक देखदे रये कि एसरा कुछ नि बिगड़ेया, तेबे तिने ओर ई बिचार कित्तेया और बोलेया, “ये तो कोई देवता ए।”
Wao walimngojea avimbe kwa homa au aanguke ghafla na kufa. Lakini baada ya kumwangalia kwa muda mrefu na kuona kwamba hakuna jambo ambalo si la kawaida kwake, walibadilisha mawazo yao na kusema alikuwa mungu.
7 तेसा जगा रे नेड़े-तेड़े तेस टापूओ रे प्रदान पुबलियुसो री जमीन थी। तिने आसे आपणे कअरे दोस्ता जेड़े निए और तीन दिन तक प्यारो साथे पराऊणचारी कित्ती।
Basi mahali pale karibu palikuwa na ardhi ambayo ilikuwa mali ya mkuu wa kisiwa, mtu aliyeitwa Pablio. Alitukaribisha na kutukarimu kwa siku tatu.
8 पुबलियुसो रा पिता बुखार और खूनो री आंवा रा रोगी था, तेबे पौलुसे तेसरे कमरे रे जाई की तेसखे प्रार्थना कित्ती और तेस पाँदे आथ राखी की से ठीक कित्तेया।
Ilitokea kwamba baba wa Pablio alishikwa na homa na ugonjwa wa kuhara. Na Paulo alipomwendea, aliomba, akaweka mikono juu yake, na kumponya.
9 जेबे एड़ा ऊआ, तेबे तेस टापूओ रे बाकी बमार बी पौलुसो गे आईगे और तिने सेयो ठीक कित्ते।
Baada ya hili kutokea, watu wengine pale kisiwani waliokuwa wanaumwa pia walikwenda na waliponywa.
10 तिने आसा री बऊत आओ-बैठ कित्ती और जेबे आसे तेथा ते तीन मीन्ने बाद चलणे लगे, तेबे जो कुछ आसा खे जरूरी था, से जाह्जो पाँदे राखी ता।
Watu wakatuheshimu kwa heshima nyingi. Tulipokuwa tunajiandaa kusafiri, walitupa vile tulivyovihitaji.
11 तीन मीन्ने ते बाद आसे सिकन्दरिया रे एक जाह्जो पाँदे चली पड़े, जो तेस टापूओ पाँदे ठण्ड पड़ने री बजअ ते रूकेया रा था। तेते जाह्जो रे आगले इस्से पाँदे एक जोड़ी देवतेया री मूरत दियुसकूरी गढ़ी री थी।
Baada ya miezi mitatu, tulisafiri ndani ya meli ya Iskanda ambayo ilikuwa imepigwa baridi hapo kisiwani, ambayo viongozi wake walikuwa ndugu wawili mapacha.
12 सुरकूसा नगरो रे लंगर पाई की आसे तेती तीन दिन तक रये।
Baada ya kuwa tumetua katika mji wa Sirakusa, tulikaa pale siku tatu.
13 तेथा ते आसे कूमी की रेगियुम नगरो रे आए और एक दिन बाद दक्खणो ते अवा चली, तेबे आसे दूजे दिने पुतियुले नगरो रे आए।
Kutokea pale tulisafiri tukafika katika mji wa Regio. Baada ya siku moja upepo wa kusini ulitokea ghafla, na baada ya siku mbili tukafika katika mji wa Putoli.
14 तेती आसा खे विश्वासी पाई मिले और तिना रे बोलणे पाँदे आसे तिना रे कअरे सात दिन तक रये और तेबे रोमो खे चली गे।
Huko tuliwakuta baadhi ya ndugu na tulikaribishwa kukaa nao kwa siku saba. Kwa njia hii tukaja Rumi.
15 रोमो ते कुछ विश्वासी पाई आसा रा समाचार सुणी की कि आसे तेती आऊणे लगी रे सेयो अप्पियुसो रे चौको रे और तीन सराँए तक आसा खे मिलणे खे आए, जिना खे देखी की पौलुसे परमेशरो रा धन्यवाद कित्तेया और इम्मत बानी।
Kutoka huko wale ndugu, baada ya kuwa wamesikia habari zetu, walikuja kutupokea huko soko la Apias na Hotel tatu. Paulo alipowaona wale ndugu alimshukuru Mungu akajitia ujasiri.
16 जेबे आसे रोम नगरो रे पऊँछे, तेबे पौलुसो खे एक सिपाईए साथे, जो तेसरी रखवाल़ी करो था, कल्ले रणे री आज्ञा मिली।
Tulipoingia Roma, Paulo aliruhusiwa kuishi peke yake pamoja na yule askari aliyekuwa akimlinda.
17 तीन दिना ते बाद तिने यहूदिया रे खास लोक बुलाए और जेबे सेयो कट्ठे ऊए तो तिना खे बोलेया, “ओ पाईयो, मैं आपणे लोका रे या आपणे बाप-दादेया रे व्यवहारो रे बिरोदो रे कुछ नि बोलेया, तेबे बी कैदी बणाई की यरूशलेमो ते रोमी सरकारा रे आथो रे सम्बाल़ी ता।
Basi ilikuwa baada ya siku tatu Paulo aliwaita pamoja wale wanume waliokuwa viongozi kati ya Wayahudi. Walipokuja pamoja, alisema kwao, “Ndugu, pamoja na kwamba sijafanya kosa lolote kwa watu hawa au kufanya kinyume na taratibu za mababa zetu waliotutangulia, nilitolewa kama mfungwa kutoka Yerusalemu hadi kwenye mikono ya Warumi.
18 तिने आऊँ परखी की छाडणा चाया, कऊँकि मांदे मृत्यु-दण्डो जोगा कोई दोष नि था।
Baada ya kunihoji, walitamani kuniacha huru, kwa sababu kulikuwa hakuna sababu kwangu mimi ya kustahili adhabu ya kifo.
19 पर जेबे यहूदी अगुवे इजी रे बिरोदो रे बोलणे लगे, तेबे माखे कैसरो ते विनती करनी पड़ी, ये सोची की नि कि मां आपणे लोका पाँदे कोई दोष लगाणा था।
Lakini wale Wayahudi walipoongea kinyume cha shauku yao, nililazimika kukata rufaa kwa Kaisaria, japokuwa haikuwa kana kwamba naleta mashtaka juu ya taifa langu.
20 इजी री खातर मैं तुसे बुलाई राखे ताकि तुसा साथे मिलूँ और बातचीत करुँ, कऊँकि इस्राएलो री उम्मीदा खे आऊँ इना जंजीरा रे जकड़ी रा।”
Kwa sababu ya kukata kwangu rufaa, hivyo, niliomba kuwaona na kuongea nanyi. Ni kwa sababu ya kile ambacho Israel anaujasiri kwacho, nimefungwa na kifungo hiki.
21 तिने तेसखे बोलेया, “ना आसा खे तेरे बारे रे यहूदिया प्रदेशो ते चिट्ठिया मिलिया और ना ई विश्वासी पाईया बीचा ते आयी की किने तेरे बारे रे कुछ बताया और ना ई बुरा बोलेया।
Kisha wakamwambia, “Hatujawahi kupokea barua kutoka Yudea kukuhusu wewe, wala hakuna ndugu aliyekuja na kutoa taarifa au kusema neno lolote baya kuhusu wewe.
22 पर तेरा बिचार क्या ए? सेई आसा तांते सुणना चाऊँए, कऊँकि आसे जाणूंए कि हर जगा रे एस मतो रे बिरोदो रे लोक गल्ला करोए।”
Lakini tunataka kusikia kutoka kwako unafikiri nini kuhusu hili kundi la watu hawa, kwa sababu inajulikana kwetu kwamba linaongea kinyume kila mahali.”
23 तेबे तिने पौलुसो खे एक दिन ठराया और बऊत लोक तेसरे गे कट्ठे ऊए और से परमेशरो रे राज्य री गवाई देंदा ऊआ और मूसे रा बिधान और भविष्यबक्तेया री कताबा ते प्रभु यीशुए रे बारे रे समजयाई-समजयाई की प्यागा ते साँजा तक बोलदा रया।
Walipokuwa wametenga siku kwa ajili yake, watu wengi zaidi walimwijia mahali alipokuwa anaishi. Alisema lile jambo kwao na kushuhudia kuhusu ufalme wa Mungu. Alijaribu kuwashawishi kuhusu Yesu, kwa namna zote mbili kutoka katika sheria za Musa na kutoka kwa manabii, kuanzia asubuhi hadi jioni.
24 तेबे कुछ जणेया सेयो गल्ला मानी लईया और कुछ जणेया विश्वास नि कित्तेया जो पौलुसे बोलिया थिया।
Baadhi yao walishawishika kuhusu mambo yale yaliyosemwa, wakati wengine hawakuamini.
25 जेबे सेयो आपू बीचे एक मत नि ऊए, तेबे पौलुसो री एसा एक गल्ला बोलणे पाँदे चली गे, “पवित्र आत्मे यशायाह भविष्यबक्ते रे जरिए तुसा रे बाप-दादेया खे ठीक ई बोलेया,
Waliposhindwa kukubaliana wao kwa wao, waliondoka baada ya Paulo kulisema jambo hili moja, “Roho Mtakatifu alisema vyema kupitia Isaya nabii kwa baba zenu.
26 “जाई की इना लोका खे बोल कि सुणदे तो रणे, पर समजणे नि और देखदे तो रणे, पर दिशणा नि।
Alisema, 'Nenda kwa watu hawa useme, “Kwa masikio yenu mtasikia, lakini hamtaelewa; Na kwa macho yenu mtaona lakini hamtatambua.
27 कऊँकि इना लोका रा मन मोटा और तिना रे कान पारी ऊईगे रे और तिने आपणी आखी बंद करी ती रिया, एड़ा नि ओ कि सेयो कदी आखी ते देखो और कानो ते सुणो और मनो ते समजो और फिरो और आऊँ तिना खे ठीक करुँ।
Kwa ajili ya mioyo ya watu hawa imekuwa dhaifu, masikio yao yamesikia kwa taabu, wamefumba macho yao; ili kwamba wasijekutambua kwa macho yao, na kusikia kwa masikio yao, na kuelewa kwa mioyo yao, na kugeuka tena, na ningeliwaponya.”'
28 “तेबे तुसे जाणो कि परमेशरो रे एस उद्धारो री कथा दुजिया जातिया गे पेजी ती री और तिना सुणनी।”
Kwa hiyo, mnapaswa kujua kwamba huu wokovu wa Mungu umepelekwa kwa watu wa Mataifa, na watasikiliza.” (Zingatia: Mstari huu
29 जेबे तिने ये बोलेया तो यहूदी आपू बीचे बऊत बईस करने लगे और तेथा ते चली गे।
“Wakati alipokuwa amesema mambo haya, wayahudi waliondoka, wakiwa na mashindano makubwa kati yao.,” haumo kwenye nakala bora za kale).
30 से पूरे दो साल तक आपणे खर्चे रे कअरो रे रया
Paulo alikaa katika nyumba yake ya kupanga kwa miaka yote miwili, na aliwakaribisha wote waliokuja kwake.
31 और जो तेसगे आओ थे, तिना सबी ते मिलदा रया और बिना रोका-टोका ते बऊत निडर ऊई की परमेशरो रे राज्य रा प्रचार करदा ऊआ और प्रभु यीशु मसीह री गल्ला सिखांदा रया।
Alikuwa akihubiri ufalme wa Mungu na alikuwa akifundisha mambo juu ya Bwana Yesu Kristo kwa ujasiri wote. Hakuna aliyemzuia.

< प्रेरितों के काम 28 >