< دوم تواریخ 3 >

و سلیمان شروع کرد به بنا نمودن خانه خداوند در اورشلیم بر کوه موریا، جایی که (خداوند) بر پدرش داود ظاهر شده بود، جایی که داود در خرمنگاه ارنون یبوسی تعیین کرده بود. ۱ 1
Ndipo Solomoni akaanza kujenga Hekalu la Bwana katika Yerusalemu juu ya Mlima Moria, pale ambapo Bwana alikuwa amemtokea Daudi baba yake. Ilikuwa katika kiwanja cha kupuria cha Arauna, Myebusi, mahali palipotolewa na Daudi.
و در روز دوم ماه دوم از سال چهارم سلطنت خود به بنا کردن شروع نمود. ۲ 2
Alianza kujenga siku ya pili ya mwezi wa pili katika mwaka wa nne wa utawala wake.
و این است اساس هایی که سلیمان برای بنا نمودن خانه خدا نهاد: طولش به ذراعها برحسب پیمایش اول شصت ذراع و عرضش بیست ذراع، ۳ 3
Msingi aliouweka Solomoni kwa ajili ya kulijenga Hekalu la Mungu ulikuwa urefu wa dhiraa sitini na upana dhiraa ishirini.
و طول رواقی که پیش خانه بود مطابق عرض خانه بیست ذراع، و بلندیش صد و بیست ذراع و اندرونش رابه طلای خالص پوشانید. ۴ 4
Ukumbi wa mbele wa Hekalu ulikuwa na urefu wa dhiraa ishirini, yaani, kuanzia upande mmoja hadi upande mwingine wa upana wa nyumba hiyo na kimo chake dhiraa thelathini. Akaufunika ndani kwa dhahabu safi.
و خانه بزرگ را به چوب صنوبر پوشانید و آن را به زر خالص پوشانید، و بر آن درختان خرما و رشته‌ها نقش نمود. ۵ 5
Akaufunika ukumbi mkuu kwa mbao za miberoshi na kufunikwa kwa dhahabu safi na kuupamba kwa miti ya mitende na kuifanyizia kwa minyororo.
و خانه را به سنگهای گرانبها برای زیبایی مرصع ساخت، و طلای آن طلای فروایم بود. ۶ 6
Alilipamba Hekalu kwa vito vya thamani. Hiyo dhahabu aliyotumia ilikuwa dhahabu ya Parvaimu.
وتیرها و آستانه‌ها و دیوارها و درهای خانه را به طلا پوشانید و بر دیوارها کروبیان نقش نمود. ۷ 7
Akazifunika boriti za dari, miimo na vizingiti vya milango, kuta na milango ya Hekalu kwa dhahabu, naye akatia nakshi ya makerubi kwenye kuta.
و خانه قدس‌الاقداس را ساخت که طولش موافق عرض خانه بیست ذراع، و عرضش بیست ذراع بود، و آن را به زر خالص به مقدار ششصدوزنه پوشانید. ۸ 8
Akajenga Patakatifu pa Patakatifu, urefu na upana wake ulikuwa dhiraa ishirini, sawasawa na upana wa Hekalu. Alifunika ndani kwa talanta 120 za dhahabu safi.
و وزن میخها پنجاه مثقال طلابود، و بالاخانه‌ها را به طلا پوشانید. ۹ 9
Misumari ya dhahabu ilikuwa na uzito wa shekeli hamsini. Alivifunika pia vyumba vya juu kwa dhahabu.
و در خانه قدس‌الاقداس دو کروبی مجسمه کاری ساخت و آنها را به طلا پوشانید. ۱۰ 10
Katika sehemu ya Patakatifu pa Patakatifu akafanyiza jozi moja ya makerubi ya kuchongwa na kuyafunika kwa dhahabu.
و طول بالهای کروبیان بیست ذراع بود که بال یکی پنج ذراع بوده، به دیوار خانه می‌رسید و بال دیگرش پنج ذراع بوده، به بال کروبی دیگربرمی خورد. ۱۱ 11
Urefu wa mabawa ya hao makerubi ulikuwa jumla ya dhiraa ishirini. Bawa moja la kerubi wa kwanza lilikuwa na urefu wa dhiraa tano, nalo liligusa ukuta wa Hekalu, bawa lake lingine, lilikuwa pia na urefu wa dhiraa tano, ambalo liligusa bawa la kerubi lingine.
و بال کروبی دیگر پنج ذراع بوده، به دیوار خانه می‌رسید وبال دیگرش پنج ذراع بوده، به بال کروبی دیگر ملصق می‌شد. ۱۲ 12
Vivyo hivyo bawa moja la kerubi wa pili lilikuwa na urefu wa dhiraa tano na liligusa ukuta mwingine wa pili wa Hekalu na bawa lake lingine, lilikuwa pia na urefu wa dhiraa tano nalo liligusa bawa la kerubi wa kwanza.
وبالهای این کروبیان به قدر بیست ذراع پهن می‌بودو آنها بر پایهای خود ایستاده بودند، و رویهای آنها به سوی اندرون خانه می‌بود. ۱۳ 13
Mabawa ya makerubi hawa yalitanda dhiraa ishirini. Walisimama kwa miguu yao, nyuso zao zikielekea ukumbi mkubwa.
و حجاب رااز آسمانجونی و ارغوان و قرمز و کتان نازک ساخت، و کروبیان بر آن نقش نمود. ۱۴ 14
Akatengeneza pazia la nyuzi za rangi ya buluu, zambarau na nyekundu, na za kitani safi, na kutarizi makerubi juu yake.
و پیش خانه دو ستون ساخت که طول آنهاسی و پنج ذراع بود و تاجی که بر سر هر یکی ازآنها بود پنج ذراع بود. ۱۵ 15
Mbele ya Hekalu Solomoni akatengeneza nguzo mbili, ambazo kwa pamoja zilikuwa na dhiraa thelathini na tano kwenda juu kwake, na urefu wa kila moja ilikuwa na taji juu yake yenye dhiraa tano.
و رشته‌ها مثل آنهایی که در محراب بود ساخته، آنها را بر سر ستونها نهاد وصد انار ساخته، بر رشته‌ها گذاشت. ۱۶ 16
Akatengeneza minyororo iliyosokotwa, na kuiweka juu ya zile nguzo. Pia akatengeneza makomamanga 100, na kuyashikamanisha kwenye minyororo.
و ستونهارا پیش هیکل یکی به‌دست راست، و دیگری به طرف چپ برپا نمود، و آن را که به طرف راست بود یاکین و آن را که به طرف چپ بود بوعز نام نهاد. ۱۷ 17
Akazisimamisha hizo nguzo mbele ya Hekalu, moja upande wa kusini na nyingine upande wa kaskazini. Ile moja ya upande wa kusini akaiita Yakini, na ya upande wa kaskazini akaiita Boazi.

< دوم تواریخ 3 >