< اعداد 30 >

و موسی سروران اسباط بنی‌اسرائیل راخطاب کرده، گفت: «این است کاری که خداوند امر فرموده است: ۱ 1
Musa aliwambia viongizi wote wa makabila ya watu wa Israeli. “Hiki ndicho ambacho BWANA ameamuru.
چون شخصی برای خداوند نذر کند یا قسم خورد تا جان خود را به تکلیفی الزام نماید، پس کلام خود را باطل نسازد، بلکه برحسب هر‌آنچه از دهانش برآمد، عمل نماید. ۲ 2
Mtu yeyote atakayefanya nadhiri kwa BWANA, au kuapa kwa kiapo ili kufunga nafsi yake kwa ahadi, asivunje neno lake. Atafanya sawa na ahadi yake imtokayo kinywani mwake.
«و اما چون زن برای خداوند نذر کرده، خودرا در خانه پدرش در جوانی‌اش به تکلیفی الزام نماید، ۳ 3
Na kama binti anaishi katika nyumba ya baba yake kwa atafanya nadhiri kwa BWANA na kuifunga nafsi yake kwa kiapo,
و پدرش نذر او و تکلیفی که خود را برآن الزام نموده، شنیده باشد، و پدرش درباره اوساکت باشد، آنگاه تمامی نذرهایش استوار، و هرتکلیفی که خود را به آن الزام نموده باشد، قایم خواهد بود. ۴ 4
na kama baba yake atasikia hiyo nadhirina ahadi ambayo ametumia kuifunga nafsi yake, naye asiseme kitu kumzuia, ndipo nadhiri zake zitakuwa na nguvu. Kila ahadi ambayo ameitumia kuifunga nafsi yake itabaki kuwa na nguvu.
اما اگر پدرش در روزی که شنید اورا منع کرد، آنگاه هیچ کدام از نذرهایش و ازتکالیفش که خود را به آن الزام نموده باشد، استوار نخواهد بود، و از این جهت که پدرش او رامنع نموده است، خداوند او را خواهد آمرزید. ۵ 5
Lakini kama baba yake atasikia nadhairi yake na ahadi zake, na kama hatasema chochote kwake, ndipo nadhiri zake zote na ahadi alizofanya zitakapokuwa na nguvu.
«و اگر به شوهری داده شود، و نذرهای او یاسخنی که از لبهایش جسته، و جان خود را به آن الزام نموده، بر او باشد، ۶ 6
Hata hivyo, kama baba yake atasikia nadhri zake zote alizofanya na ahadi zake makini ambazo ametumia kufunga nafsi yake, na kama atazitengua ndani ya siku hiyo, ndipo hizo nadhiri hazitakuwa na nguvu. BWANA atamsamehe kwa kuwa baba yake amemzuia.
و شوهرش شنید و درروز شنیدنش به وی هیچ نگفت، آنگاه نذرهایش استوار خواهد ماند. و تکلیفهایی که خویشتن را به آنها الزام نموده است، قایم خواهند ماند. ۷ 7
Kama ataolewa angali katika hivyo viapo, au kama atafanya ahadi za bila kufikiri ambazo atajifunga nazo, hivyo vifungo vitakuwa na nguvu.
لیکن اگر شوهرش در روزی که آن را شنید، او را منع نماید، و نذری را که بر او است یا سخنی را که ازلبهایش جسته، و خویشتن را به آن الزام نموده باشد، باطل سازد، پس خداوند او را خواهدآمرزید. ۸ 8
Lakini kama mume wake atamzuia siku hiyo hiyo ambayo atamskia akiapa, basi atabatailisha hicho kiapo alichokifanya, maneno yake ya midomo yaka ya bila kufikiri ambayo kwayo amefunga nafsi yake. BWANA atamfungua.
اما نذر زن بیوه یا مطلقه، در هر‌چه خود را به آن الزام نموده باشد، بر وی استوارخواهد ماند. ۹ 9
Lakini kwa mjane au kwa mwanamke aliyetalikiwa, kila kitu amabacho atakisema kufunga nafsi yake lazima kitabaki na nguvu kinyume na yeye.
و اما اگر زنی در خانه شوهرش نذر کند، یا خویشتن را با قسم به تکلیفی الزام نماید، ۱۰ 10
Na kama mwanamke atafanya kiapo katika nyumba ya mume wake au akijifunga mwenyewe kwa kufanaya kiapo,
و شوهرش بشنود و او را هیچ نگوید ومنع ننماید، پس تمامی نذرهایش استوار، و هرتکلیفی که خویشتن را به آن الزام نموده باشد، قایم خواهد بود. ۱۱ 11
na mume wake akakisikia hicho kiapo na hakusema chochote kwake na hakumpinga, basi viapo vyake vitasimama na vifungo alivyovifanaya vitabaki na nguvu.
و اما اگر شوهرش در روزی که بشنود، آنها را باطل سازد. پس هر‌چه ازلبهایش درآمده باشد درباره نذرهایش یا تکالیف خود، استوار نخواهد ماند. چونکه شوهرش آن راباطل نموده است، خداوند او را خواهد آمرزید. ۱۲ 12
Lakini kama mume wake atamzuilia katika siku hiyo ambayo atavisikia, basi chochote ambacho kitatoka katika kinywa chake kuhusu viapo vyake au ahadi zake havitabaki kuwa na nguvu. Mume wake atkuwa amevibatilisha. BWANA atamfungua.
هر نذری و هر قسم الزامی را برای ذلیل ساختن جان خود، شوهرش آن را استوار نماید، وشوهرش آن را باطل سازد. ۱۳ 13
Kila kiapo ambacho mwanamke anakifanya ambacho kinamfunga ili kujikana kianaweza kuthibitika au kubatilishwa na mume wake.
اما اگر شوهرش روز به روز به او هیچ نگوید، پس همه نذرهایش وهمه تکالیفش را که بر وی باشد استوار نموده باشد، چونکه در روزی که شنید به وی هیچ نگفت، پس آنها را استوار نموده است. ۱۴ 14
Lakini kama hatasema chochote kwake siku baada ya siku, basi atathibitisha nadhiri zake na ahadi zake zinazomfunga ambazo amefanya. Atakuwa amezithibitisha kwa sababu hakusema chochote wakati alipozisikia.
و اگربعد از شنیدن، آنها را باطل نمود، پس او گناه وی را متحمل خواهد بود.» ۱۵ 15
Na kama mume wake atajariibu kubatilisha kiapo cha mke wake baada ya kuzisikia kwa muda mrefu, basi ataajibika kwa dhambi zake.”
این است فرایضی که خداوند به موسی‌امرفرمود، در میان مرد و زنش و در میان پدر ودخترش، در زمان جوانی او در خانه پدر وی. ۱۶ 16
Hizi ndizo amri ambazo Mungu alimwamuru Musa kuzitangaza - amri ambazo ziko kati ya mume na mke wake na kati ya baba na binti yake wakati akiwa katika ujana wake katika familia ya baba yake.

< اعداد 30 >