< مزامیر 10 >
ای خداوند چرا دور ایستادهای و خودرا در وقت های تنگی پنهان میکنی؟ | ۱ 1 |
Kwa nini, Yahweh, unasimama mbali? Kwa nini unajificha wakati wa shida?
از تکبر شریران، فقیر سوخته میشود؛ درمشورت هایی که اندیشیدهاند، گرفتار میشوند. | ۲ 2 |
Kwa sababu ya majivuno yao, watu waovu waawakimbiza wanyonge; Basi tafadhari uwafanye waovu kunaswa kwa mipango yao wenyewe walioipanga.
زیرا که شریر به شهوات نفس خود فخر میکند، و آنکه میرباید شکر میگوید و خداوند را اهانت میکند. | ۳ 3 |
Kwa kuwa mtu mwovu hujivuna kwa tamaa yake ya ndani; yeye hufurahisha tamaa na kumtusi Yahweh.
شریر در غرور خود میگوید: «بازخواست نخواهد کرد.» همه فکرهای او اینست که خدایی نیست. | ۴ 4 |
Mtu mwovu ameinua uso wake; naye hamtafuti Mungu. Yeye hamfikilii Mungu kamwe kwa kuwa hamjali kabisa Mungu.
راههای او همیشه استوار است. احکام تو از او بلند و بعید است. همه دشمنان خود را به هیچ میشمارد. | ۵ 5 |
Yeye yuko salama wakati wote, amri zako za haki ziko juu sana kwake; naye huwadharau adui zake wote.
در دل خود گفته است: «هرگزجنبش نخواهم خورد، و دور به دور بدی رانخواهم دید.» | ۶ 6 |
Yeye husema moyoni mwake, “Siwezi kamwe kushindwa; katika kizazi chote sitakutana na shida.”
دهن او از لعنت و مکر و ظلم پر است؛ زیرزبانش مشقت و گناه است؛ | ۷ 7 |
Mdomoni mwake kumejaa kulaani na udanganyifu, maneno yenye sumu; ulimi wake unajeruhi na kuharibu.
در کمینهای دهات مینشیند؛ در جایهای مخفی بیگناه را میکشد؛ چشمانش برای مسکینان مراقب است؛ | ۸ 8 |
Yeye husubilia kwenye shambulio karibu na kijiji; mahali pa siri huwauwa watu wasio na hatia; macho yake huwatazama wasionahatia.
در جای مخفی مثل شیر در بیشه خود کمین میکند؛ به جهت گرفتن مسکین کمین میکند؛ فقیر را به دام خود کشیده، گرفتار میسازد. | ۹ 9 |
Hujibanza mahari pa siri kama simba katika kichaka; yeye hulala akisubiri kumkamata mnyonge. Humkamata pale anapokwisha mweka mtegoni mwake.
پس کوفته وزبون میشود؛ و مساکین در زیر جباران اومی افتند. | ۱۰ 10 |
Wanyonge wake hugandamizwa chini na kupigwa; wao huangukia katika mtego imara.
در دل خود گفت: «خدا فراموش کرده است؛ روی خود را پوشانیده و هرگزنخواهد دید.» | ۱۱ 11 |
Yeye husema katika moyo wake, “Mungu amesahau; huficha uso wake; hawezi kujishughulisha kutazama.”
ای خداوند برخیز! ای خدا دست خود رابرافراز! و مسکینان را فراموش مکن. | ۱۲ 12 |
Inuka, Yahweh! Inua mkono wako, Mungu! Usiwasahau wanyonge.
چراشریر خدا را اهانت کرده، در دل خود میگوید: «تو بازخواست نخواهی کرد؟» | ۱۳ 13 |
Kwa nini mtu mwovu anamkataa Mungu na kusema moyoni mwake, “Hautanipata katika hatia?”
البته دیدهای زیرا که تو بر مشقت و غم مینگری، تا بهدست خود مکافات برسانی. مسکین امر خویش را به توتسلیم کرده است. مددکار یتیمان، تو هستی. | ۱۴ 14 |
Umeona, maana mara zote unaangalia mtu aletaye madhara na jeuri. Mtu asiye na msaada hukuachia nafsi yake; maana wewe huwaokoa yatima.
بازوی گناهکار را بشکن. و اما شریر را ازشرارت او بازخواست کن تا آن را نیابی. | ۱۵ 15 |
vunja mkono wa mwovu lo na mtu mwovu. Umuajibishe kwa matendo yake maovu, ambayo kwayo alifikiri hautayagundua.
خداوند پادشاه است تا ابدالاباد. امتها اززمین او هلاک خواهند شد. | ۱۶ 16 |
Yahweh ni mfalme milele daima; mataifa yanaondolewa katika aridhi yake.
ای خداوندمسالت مسکینان را اجابت کردهای، دل ایشان رااستوار نمودهای و گوش خود را فراگرفتهای، | ۱۷ 17 |
Yahweh, umesikia uhitaji wa wanyonge; nawe umeitia nguvu mioyo yao, wewe unasikia maombi;
تایتیمان و کوفته شدگان را دادرسی کنی. انسانی که از زمین است، دیگر نترساند. | ۱۸ 18 |
Unawatetea yatima na wanyonge ili kusudi pasiwepo na mtu katika dunia hii atakaye leta hofu tena.