< مزامیر 10 >

ای خداوند چرا دور ایستاده‌ای و خودرا در وقت های تنگی پنهان می‌کنی؟ ۱ 1
Kwa nini, Yahweh, unasimama mbali? Kwa nini unajificha wakati wa shida?
از تکبر شریران، فقیر سوخته می‌شود؛ درمشورت هایی که اندیشیده‌اند، گرفتار می‌شوند. ۲ 2
Kwa sababu ya majivuno yao, watu waovu waawakimbiza wanyonge; Basi tafadhari uwafanye waovu kunaswa kwa mipango yao wenyewe walioipanga.
زیرا که شریر به شهوات نفس خود فخر می‌کند، و آنکه می‌رباید شکر می‌گوید و خداوند را اهانت می‌کند. ۳ 3
Kwa kuwa mtu mwovu hujivuna kwa tamaa yake ya ndani; yeye hufurahisha tamaa na kumtusi Yahweh.
شریر در غرور خود می‌گوید: «بازخواست نخواهد کرد.» همه فکرهای او اینست که خدایی نیست. ۴ 4
Mtu mwovu ameinua uso wake; naye hamtafuti Mungu. Yeye hamfikilii Mungu kamwe kwa kuwa hamjali kabisa Mungu.
راههای او همیشه استوار است. احکام تو از او بلند و بعید است. همه دشمنان خود را به هیچ می‌شمارد. ۵ 5
Yeye yuko salama wakati wote, amri zako za haki ziko juu sana kwake; naye huwadharau adui zake wote.
در دل خود گفته است: «هرگزجنبش نخواهم خورد، و دور به دور بدی رانخواهم دید.» ۶ 6
Yeye husema moyoni mwake, “Siwezi kamwe kushindwa; katika kizazi chote sitakutana na shida.”
دهن او از لعنت و مکر و ظلم پر است؛ زیرزبانش مشقت و گناه است؛ ۷ 7
Mdomoni mwake kumejaa kulaani na udanganyifu, maneno yenye sumu; ulimi wake unajeruhi na kuharibu.
در کمینهای دهات می‌نشیند؛ در جایهای مخفی بی‌گناه را می‌کشد؛ چشمانش برای مسکینان مراقب است؛ ۸ 8
Yeye husubilia kwenye shambulio karibu na kijiji; mahali pa siri huwauwa watu wasio na hatia; macho yake huwatazama wasionahatia.
در جای مخفی مثل شیر در بیشه خود کمین می‌کند؛ به جهت گرفتن مسکین کمین می‌کند؛ فقیر را به دام خود کشیده، گرفتار می‌سازد. ۹ 9
Hujibanza mahari pa siri kama simba katika kichaka; yeye hulala akisubiri kumkamata mnyonge. Humkamata pale anapokwisha mweka mtegoni mwake.
پس کوفته وزبون می‌شود؛ و مساکین در زیر جباران اومی افتند. ۱۰ 10
Wanyonge wake hugandamizwa chini na kupigwa; wao huangukia katika mtego imara.
در دل خود گفت: «خدا فراموش کرده است؛ روی خود را پوشانیده و هرگزنخواهد دید.» ۱۱ 11
Yeye husema katika moyo wake, “Mungu amesahau; huficha uso wake; hawezi kujishughulisha kutazama.”
‌ای خداوند برخیز! ای خدا دست خود رابرافراز! و مسکینان را فراموش مکن. ۱۲ 12
Inuka, Yahweh! Inua mkono wako, Mungu! Usiwasahau wanyonge.
چراشریر خدا را اهانت کرده، در دل خود می‌گوید: «تو بازخواست نخواهی کرد؟» ۱۳ 13
Kwa nini mtu mwovu anamkataa Mungu na kusema moyoni mwake, “Hautanipata katika hatia?”
البته دیده‌ای زیرا که تو بر مشقت و غم می‌نگری، تا به‌دست خود مکافات برسانی. مسکین امر خویش را به توتسلیم کرده است. مددکار یتیمان، تو هستی. ۱۴ 14
Umeona, maana mara zote unaangalia mtu aletaye madhara na jeuri. Mtu asiye na msaada hukuachia nafsi yake; maana wewe huwaokoa yatima.
بازوی گناهکار را بشکن. و اما شریر را ازشرارت او بازخواست کن تا آن را نیابی. ۱۵ 15
vunja mkono wa mwovu lo na mtu mwovu. Umuajibishe kwa matendo yake maovu, ambayo kwayo alifikiri hautayagundua.
خداوند پادشاه است تا ابدالاباد. امت‌ها اززمین او هلاک خواهند شد. ۱۶ 16
Yahweh ni mfalme milele daima; mataifa yanaondolewa katika aridhi yake.
‌ای خداوندمسالت مسکینان را اجابت کرده‌ای، دل ایشان رااستوار نموده‌ای و گوش خود را فراگرفته‌ای، ۱۷ 17
Yahweh, umesikia uhitaji wa wanyonge; nawe umeitia nguvu mioyo yao, wewe unasikia maombi;
تایتیمان و کوفته شدگان را دادرسی کنی. انسانی که از زمین است، دیگر نترساند. ۱۸ 18
Unawatetea yatima na wanyonge ili kusudi pasiwepo na mtu katika dunia hii atakaye leta hofu tena.

< مزامیر 10 >