< II Kronik 31 >

1 A gdy się to wszystko odprawiło, wyszedł wszystek lud Izraelski, który się znajdował w miastach Judzkich, i połamali słupy, a wyrąbali gaje, i poburzyli wyżyny i ołtarze po wszystkim Judzie i Benjaminie, i w Efraimie, i w Manasesie, aż do szczę tu; a potem się wrócili wszyscy synowie Izraelscy, każdy do osiadłości swojej, i do miasta swego.
Sasa wakati haya yote yalipokwisha, watu wote wa Israeli waliokuwepo pale wakaenda huko kwenye mji wa Yuda na wakazivunja vipande vipande nguzo za mawe na wakazikata nchi za maashera, na wakazibomoa sehemu za juu na madhabahu katika Yuda yote na Benyamini, na katika Efraimu na Manase, hadi walipoziharibu zote. Kisha watu wote wa Israeli wakarudi, kila mtu kwenye mali zake na kwenye mji wake.
2 I postanowił Ezechyjasz porządki kapłanów i Lewitów według rozdziałów ich, każdego według powinności urzędu jego, kapłanów i Lewitów do całopalenia i ofiar spokojnych, aby służyli i wysławiali i chwalili Pana w bramach obozu jego.
Hezekia akayapanga makundi ya makuhani na Walawi wakajipanaga kwa makundi yao, kila mtu akapangwa katika kazi yake, wote makuhani na Walawi. Aliwapanga wafanye sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani, kuhudumu, kutoa shukrani, na kusifu katika malango ya hekalu la Yahwe.
3 Także dział z królewskiej majętności ku sprawowaniu całopalenia rano i w wieczór, także całopalenia w sabaty, i na nowiu miesiąca, i w uroczyste święta, jako napisane w zakonie Pańskim.
Pia akawapanga katika sehemu ya mfalme kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa kutoka katika mali zake, hiyo ni kwa ajili ya, sadaka za kuteketezwa za asubuhi na jioni, na sadaka za kuteketezwa kwa ajili ya siku za Sabato, mwezi mpya, na sikukuu zisizobadilika, kama ilivyokuwa imeandikwa katika sheria ya Yahwe.
4 Rozkazał też ludowi mieszkającemu w Jeruzalemie, aby oddawali dział kapłanom i Lewitom, aby byli tem pilniejszymi w zakonie Pańskim.
Vilevile, akawaamuru watu walioishi Yerusalemu kutoa fungu kwa ajili ya makuhani na Walawi, ili kwamba wawe makini katika kuitii sheria ya Yahwe.
5 A gdy się ta rzecz rozgłosiła, znieśli synowie Izraelscy wiele pierwocin zboża, moszczu i oliwy, i owocu palmowego, i wszystkich urodzajów polnych, i dziesięciny ze wszystkiego bardzo wiele przynosili.
Mapema mara baada ya amri kutolewa, watu wa Israeli kwa ukarimu wakatoa malimbuko ya nafaka, divai mpya, mafuta. asali, na kila kitu kutoka kwenye mavuno ya shamba. Wakaleta ndani fungu la kumi la kila kitu; ambavyo vilikuwa kiasi kikubwa sana.
6 Nadto synowie Izraelscy i Judzcy, którzy mieszkali w miastach Judzkich, i oni dziesięcinę z wołów i z owiec, i dziesięcinę z rzeczy świętych, poświęconych Panu, Bogu ich, zniósłszy składli na gromady.
Watu wa Israeli na Yuda ambao waliishi katika mji wa Yuda pia wakaleta zaka za ng'ombe na kondoo, na zaka za vitu vitakatifu amabavyo vilikuwa vimewekwa wakfu kwa Yahwe Mungu wao, na wakavifunga katika marundo.
7 Trzeciego miesiąca poczęli zakładać te gromady, a miesiąca siódmego dokonali.
Ilikuwa mwezi wa tatu wakati walipoanza kufunga michango yao katika marundo, na wakamaliza mwezi wa saba.
8 Tedy przyszedłszy Ezechyjasz z książętami, obaczył one gromady, i błogosławili Panu i ludowi jego Izraelskiemu.
Hezekia na viongozi walipokuja na kuyaona marundo, wakambariki Yahwe na watu wake Israeli.
9 Zatem wywiadywał się Ezechyjasz od kapłanów i Lewitów o onych gromadach.
Kisha Hezekia akawauliza makuhani na Walawi kuhusu marundo.
10 Któremu odpowiedział Azaryjasz kapłan najwyższy z domu Sadokowego, mówiąc: Jako poczęto te ofiary znaszać do domu Pańskiego, jedliśmy, i byliśmy nasyceni, a jeszcze zostało bardzo wiele: bo Pan błogosławił ludowi swemu, i tej wielkości, która jeszcze została.
Azaria, kuhani mkuu, wa nyumba ya Zadoki, akamjibu na akasema, “Tangu watu walipoanza kuleta matoleo katika nyumba ya Yahwe, tumekula na tulikuwa navyo vya kutosha, tulibakiza vingi, kwa maana Yahwe amewabariki watu wake. kilichokuwa kimebaki ni kiasi kikubwa hiki hapa.”
11 I rozkazał Ezechyjasz, aby sprawiono szpichlerze przy domu Pańskim. I sprawiono je.
Kisha Hezekia akaagiza vyumba vya kuhifadhia viandaliwe katika nyumba ya Yahwe, na wakaviandaa.
12 A zniesiono tam wiernie ofiary podnoszenia, i dziesięciny, i rzeczy poświęcone; a nad nimi był przełożonym Kienanijasz Lewita, i Symchy, brat jego wtóry.
Kisha kwa uaminifu wakayaleta ndani matoleo, zaka, na vitu ambavyo ni vya Yahwe. Konania, Mlawi, alikuwa meneja mkuu wa hivyo vitu, na Shimei, ndu yake, alikuwa wa pili kwake.
13 Jehijel także, i Azaryjasz, i Nahat, i Asael, i Jerymot, i Josabad, i Elijel, i Ismachyjasz, i Machat, i Benajasz, byli szafarzami przy ręce Kienanijasza, i Symchy, brata jego, z rozkazania Ezechyjasza króla, i Azaryjasza, przedniejszego w domu Bożym.
Yehieli, Azaria, Nahathi, Asaheli, na Yerimothi, Yazabadi, Elieli, Ismakia, Mahathi, na Benania walikuwa wasimamizi chini ya mkono wa Konania na Shimei ndu yake, kwa uteuzi wa Hezekia, mfalme, na Azaria mwanagalizi mkuu wa nyumba ya Mungu.
14 Kore też, syn Jemny, Lewita, odźwierny bramy na wschód słońca, był nad rzeczami dobrowolnie ofiarowanemi Bogu, aby rozdzielał ofiary Panu i rzeczy najświętsze.
Kore mwana wa Imna Mlawi, bawabu katika mlango wa mashariki, alikuwa juu ya sadaka za hiari za Mungu, msimamizi wa kugawa sadaka kwa Yahwe na sadaka takatifu kuliko zote.
15 A byli mu na pomoc Eden, i Minjamin, i Jesua, i Semejasz, Amaryjasz, i Sechanijasz po miastach kapłańskich, mężowie wierni, aby rozdawali braciom swym działy, tak wielkiemu jako i małemu:
Chini yake walikuwepo Edeni, Miniamini, Yoshua, Shemai, Amaaria, na Shekania, katika miji ya makuhani. Wakazijaza ofisi za uaminifu, ili kutoa sadaka hizi kwa ndugu zao fungu kwa fungu, kwa wote walio muhimu na wasiomuhimu.
16 Tak z narodu ich mężczyźnie we trzech latach i wyżej, jako każdemu wchodzącemu do domu Pańskiego, do powinności każdodziennej, według urzędów ich, i według usług ich, i według podziałów ich;
Pia wakatoa kwa wale wanaume wenye umri wa miaka mitatu na kuendelea, amabao walikuwa wameandikwa kataika kaitatu cha babu zao walioiingia nyumba ya Yahwe, kwa mujibu wa ratiba ya kila siku, kuifanya kazi katika ofisi zao na zamu zao. (Mandishi ya kale yanasema hivi: “badala ya wanaume wa umri wa miaka mitatu na kuendelea”, wanaume wa mika thelathini na kuendelea.”).
17 I tym, którzy byli policzeni w narodzie kapłańskim według domów ojców ich, i Lewitom od tego, który miał dwadzieścia lat i wyżej, według posług i podziałów ich;
Waliwaganya makuhani kwa mujibu wa kumbu kumbu za babu zao, na hivyo hivyo kwa Walawi wenye umri wa miaka ishirini na zaidi, kwa mujibu wa ofisi zao na zamu zao.
18 I narodowi ich, wszystkim dziatkom ich, i żonom ich, i synom ich, i córkom ich, owa wszystkiemu zgromadzeniu; bo się oni wiernie poświęcili na urząd świętobliwością.
Waliwajumuisha watoto wao wadogo wote, wake zao, wana wao, na binti zao, katika jamii yote, kwa maana walikuwa waaminifu katika kujitunza wenye watakatifu.
19 Synom także Aaronowym, kapłanom, na polach przedmiejskich miast ich, po wszystkich miastach, ci mężowie, którzy z imienia mianowani są, oddawali działy, każdemu mężczyźnie z kapłanów, i każdemu urodzonemu z Lewitów.
Kwa maana makuhani, uzao wa Haruni, amabao walikuwa katika mashamba ya vijiji wakimilikiwa na miji yao, au katika kila mji, palikuwa na watu walioteuliwa kwa majina kutoa mafungu kwa ajili ya wanaume miongoni mwa makuhani, na kwa wote waliokuwa wameorodheshwa katika kumbukumbu za babu zao kuwa miongoni mwa Walawi.
20 I uczynił tak Ezechyjasz po wszystkiem Judztwie; i czynił, co było dobrego i prawego i prawdziwego przed obliczem Pana Boga swego.
Hezekia alifanya haya katika Yuda yote. Akakamilisha kilichokuwa chema, haki, na uaminifu mbele za Yahwe Mungu wake.
21 I w każdej sprawie, którą zaczął około usługi domu Bożego, i w zakonie i w przykazaniu, szukając Boga swego, wszystko czynił z całego serca swego, i szczęściło mu się.
Katika kila jambo ambalo alianzisha katika ibada ya nyumba ya Mungu, sheria, na zile amri, kumtafuta Mungu, alikifanya kwa moyo wake wote, na alifanikiwa.

< II Kronik 31 >