< Psalmów 146 >

1 Halleluja.
Msifuni Bwana! Ee nafsi yangu, umsifu Bwana,
2 Chwal, duszo moja! Pana. Chwalić będę Pana, pókim żyw; będę śpiewał Bogu memu, póki mię staje.
Nitamsifu Bwana maisha yangu yote; nitamwimbia Mungu wangu sifa wakati wote niishipo.
3 Nie ufajcie w książętach, ani w żadnym synu ludzkim, w którym nie masz wybawienia.
Usiweke tumaini lako kwa wakuu, kwa wanadamu ambao hufa, ambao hawawezi kuokoa.
4 Wynijdzie duch jego, i nawróci się do ziemi swojej; w onże dzień zginą wszystkie myśli jego.
Roho yao itokapo hurudi mavumbini, siku hiyo hiyo mipango yao yote hukoma.
5 Błogosławiony, którego Bóg Jakóbowy jest pomocnikiem, którego nadzieja jest w Panu, Bogu jego;
Heri yeye ambaye Mungu wa Yakobo ni msaada wake, ambaye tumaini lake ni katika Bwana, Mungu wake,
6 Który uczynił niebo, i ziemię, morze, i wszystko, co w nich jest, który przestrzega prawdy aż na wieki;
Muumba wa mbingu na nchi, na bahari na vyote vilivyomo ndani yake: Bwana anayedumu kuwa mwaminifu milele na milele.
7 Który czyni sprawiedliwość ukrzywdzonym, i daje chleb zgłodniałym; Pan rozwiązuje więźniów.
Naye huwapatia haki walioonewa na kuwapa wenye njaa chakula. Bwana huwaweka wafungwa huru,
8 Pan otwiera oczy ślepych; Pan podnosi upadłych; Pan miłuje sprawiedliwych.
Bwana huwafumbua vipofu macho, Bwana huwainua waliolemewa na mizigo yao, Bwana huwapenda wenye haki.
9 Pan strzeże przychodniów, sierotce i wdowie pomaga; ale drogę niepobożnych podwraca.
Bwana huwalinda wageni na kuwategemeza yatima na wajane, lakini hupinga njia za waovu.
10 Pan będzie królował na wieki; Bóg twój, o Syonie! od narodu do narodu. Halleluja.
Bwana atamiliki milele, Mungu wako, ee Sayuni, kwa vizazi vyote. Msifuni Bwana.

< Psalmów 146 >