< Salmos 81 >

1 Salmo de Asafe, para o regente, conforme “Gitite”: Cantai de alegria a Deus, [que é] nossa força; mostrai alegria ao Deus de Jacó.
Mwimbieni Mungu aliye nguvu yetu kwa sauti; pigeni kelele za furaha kwa Mungu wa Yakobo.
2 Levantai uma canção, e dai-nos o tamborim; a agradável harpa com a lira.
Imbeni wimbo na pigeni matari, kinubi chenye sauti nzuri pamoja na kinanda.
3 Tocai trombeta na lua nova; e na lua cheia, no dia de nossa celebração.
Pigeni panda mwandamo wa mwezi, katika siku ya mbalamwezi, mwanzoni mwa sikukuu.
4 Porque [isto] é um estatuto em Israel, e uma ordem do Deus de Jacó.
Kwa kuwa ni agizo kwa Israeli, amri iliyotolewa na Mungu wa Yakobo.
5 Ele o pôs como testemunho em José, quando tinha saído contra a terra do Egito, [onde] ouvi uma língua que eu não entendia:
Aliitoa kama maelekezo kwa Yusufu alipoenda katika nchi ya Misri, ambako nilisikia sauti ambayo sikuweza kuitambua:
6 Tirei seus ombros de debaixo da carga; suas mãos foram livrados dos cestos.
“Niliutua mzigo kutoka mabegani mwake; mikono yake ilipumzishwa kubeba kikapu.
7 Na angústia clamaste, e livrei-te dela; te respondi no esconderijo dos trovões; provei a ti nas águas de Meribá. (Selá)
Katika dhiki yako uliniita, nami nikakusaidia; nilikujibu kutoka katika wingu jeusi la radi. Nilikujaribu kwenye maji ya Meriba. (Selah)
8 Ouve [-me], povo meu, e eu te darei testemunho; ó Israel, se tu me ouvisses!
Sikilizeni, watu wangu, nami nitawaonya, Israeli, kama tu ugalinisikiliza!
9 Não haverá entre ti deus estranho, e não te prostrarás a um deus estrangeiro.
Lazima kati yenu kusiwepo na mungu wa kigeni; haupaswi kumwabudu mungu wa kigeni.
10 Eu sou o SENHOR teu Deus, que te fiz subir da terra do Egito; abre tua boca por completo, e eu a encherei.
Mimi ni Yahwe niliyekutoa katika nchi ya Misri, fungua sana kinywa chako, nami nitakijaza.
11 Mas meu povo não ouviu minha voz, e Israel não me quis.
Lakini watu wangu hawakusikiliza maneno yangu; Israeli hawakunitii.
12 Por isso eu os entreguei ao desejo de seus próprios corações, e andaram conforme seus próprios conselhos.
Nikawaacha waende katika katika njia yao wenyewe ya ukaidi ili kwamba waweze kufanya kinachoonekana sahihi kwao.
13 Ah, se meu povo me ouvisse, se Israel andasse em meus caminhos!
Oh, laiti watu wangu wangenisikiliza mimi; oh, watu wangu wangelitembea katika njia yangu.
14 Em pouco tempo eu derrotaria seus inimigos, e viraria minha mão contra seus adversários.
Kisha ningewatiisha adui zao haraka na kugeuzia mkono wangu dhidi ya watesi wao.
15 Os que odeiam ao SENHOR, a ele se submeteriam, e o tempo [da punição] deles seria eterno.
Wale wanaomchukia Yahwe katika hofu na waanguke chini mbele zake! Wawe wanyonge milele.
16 E ele sustentaria [Israel] com a abundância de trigo; e eu te fartaria com o mel da rocha.
Ningewalisha Israeli kwa ngano bora; Ningewatosheleza kwa asali itokayo mwambani.”

< Salmos 81 >