< luuka.h 6 >

1 acara nca parvva. no dvitiiyadinaat para. m prathamavi"sraamavaare "sasyak. setre. na yii"sorgamanakaale tasya "si. syaa. h ka. ni"sa. m chittvaa kare. su marddayitvaa khaaditumaarebhire|
Ikawa siku moja ya Sabato Yesu alikuwa akipita katika mashamba ya nafaka, nao wanafunzi wake wakaanza kuvunja masuke ya nafaka, wakayafikicha kwa mikono yao na kula punje zake.
2 tasmaat kiyanta. h phiruu"sinastaanavadan vi"sraamavaare yat karmma na karttavya. m tat kuta. h kurutha?
Baadhi ya Mafarisayo wakawauliza, “Mbona mnafanya mambo yasiyo halali kufanywa siku ya Sabato?”
3 yii"su. h pratyuvaaca daayuud tasya sa"ngina"sca k. sudhaarttaa. h ki. m cakru. h sa katham ii"svarasya mandira. m pravi"sya
Yesu akawajibu, “Je, ninyi hamjasoma kamwe alivyofanya Daudi wakati yeye na wenzake walikuwa na njaa?
4 ye dar"saniiyaa. h puupaa yaajakaan vinaanyasya kasyaapyabhojaniiyaastaanaaniiya svaya. m bubhaje sa"ngibhyopi dadau tat ki. m yu. smaabhi. h kadaapi naapaa. thi?
Aliingia ndani ya nyumba ya Mungu, akaichukua na kuila ile mikate iliyowekwa wakfu, ambayo ni halali kuliwa na makuhani peke yao. Naye pia akawapa wenzake.”
5 pa"scaat sa taanavadat manujasuto vi"sraamavaarasyaapi prabhu rbhavati|
Yesu akawaambia, “Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa Sabato.”
6 anantaram anyavi"sraamavaare sa bhajanageha. m pravi"sya samupadi"sati| tadaa tatsthaane "su. skadak. si. nakara eka. h pumaan upatasthivaan|
Ikawa siku nyingine ya Sabato, Yesu aliingia ndani ya sinagogi na akawa anafundisha. Huko palikuwa na mtu ambaye mkono wake wa kuume ulikuwa umepooza.
7 tasmaad adhyaapakaa. h phiruu"sina"sca tasmin do. samaaropayitu. m sa vi"sraamavaare tasya svaasthya. m karoti naveti pratiik. situmaarebhire|
Mafarisayo na walimu wa sheria walikuwa wakitafuta sababu ya kumshtaki Yesu. Kwa hivyo wakawa wanamwangalia sana ili waone kama ataponya katika siku ya Sabato.
8 tadaa yii"suste. saa. m cintaa. m viditvaa ta. m "su. skakara. m pumaa. msa. m provaaca, tvamutthaaya madhyasthaane ti. s.tha|
Lakini Yesu alijua mawazo yao, hivyo akamwambia yule mwenye mkono uliopooza, “Inuka usimame mbele ya watu wote.” Hivyo yule mtu akainuka, akasimama mbele yao wote.
9 tasmaat tasmin utthitavati yii"sustaan vyaajahaara, yu. smaan imaa. m kathaa. m p. rcchaami, vi"sraamavaare hitam ahita. m vaa, praa. narak. sa. na. m praa. nanaa"sana. m vaa, ete. saa. m ki. m karmmakara. niiyam?
Ndipo Yesu akawaambia wale walimu wa sheria na Mafarisayo, “Nawauliza ninyi, ni lipi lililo halali siku ya Sabato? Ni kutenda mema au kutenda mabaya? Ni kuokoa maisha au kuyaangamiza?”
10 pa"scaat caturdik. su sarvvaan vilokya ta. m maanava. m babhaa. se, nijakara. m prasaaraya; tatastena tathaa k. rta itarakaravat tasya hasta. h svasthobhavat|
Akawatazama watu wote waliokuwepo, kisha akamwambia yule aliyepooza mkono, “Nyoosha mkono wako!” Akaunyoosha na mkono wake ukaponywa kabisa.
11 tasmaat te praca. n.dakopaanvitaa yii"su. m ki. m kari. syantiiti paraspara. m pramantritaa. h|
Wale wakuu wakakasirika sana, wakashauriana wao kwa wao ni nini watakachomtendea Yesu.
12 tata. h para. m sa parvvatamaaruhye"svaramuddi"sya praarthayamaana. h k. rtsnaa. m raatri. m yaapitavaan|
Ikawa katika siku hizo Yesu alikwenda mlimani kuomba, akakesha usiku kucha akimwomba Mungu.
13 atha dine sati sa sarvvaan "si. syaan aahuutavaan te. saa. m madhye
Kulipopambazuka, akawaita wanafunzi wake, naye akachagua kumi na wawili, ambao pia aliwaita mitume:
14 pitaranaamnaa khyaata. h "simon tasya bhraataa aandriya"sca yaakuub yohan ca philip barthalamaya"sca
Simoni aliyemwita Petro, Andrea nduguye, Yakobo, Yohana, Filipo, Bartholomayo,
15 mathi. h thomaa aalphiiyasya putro yaakuub jvalantanaamnaa khyaata. h "simon
Mathayo, Tomaso, Yakobo mwana wa Alfayo, Simoni aliyeitwa Zelote,
16 ca yaakuubo bhraataa yihuudaa"sca ta. m ya. h parakare. su samarpayi. syati sa ii. skariiyotiiyayihuudaa"scaitaan dvaada"sa janaan manoniitaan k. rtvaa sa jagraaha tathaa prerita iti te. saa. m naama cakaara|
Yuda mwana wa Yakobo, na Yuda Iskariote ambaye alikuwa msaliti.
17 tata. h para. m sa tai. h saha parvvataadavaruhya upatyakaayaa. m tasthau tatastasya "si. syasa"ngho yihuudaade"saad yiruu"saalama"sca sora. h siidona"sca jaladhe rodhaso jananihaa"sca etya tasya kathaa"srava. naartha. m rogamuktyartha nca tasya samiipe tasthu. h|
Akashuka pamoja nao, akasimama mahali penye uwanja tambarare. Hapo palikuwa na idadi kubwa ya wanafunzi wake na umati mkubwa wa watu kutoka sehemu zote za Uyahudi, kutoka Yerusalemu, na kutoka pwani ya Tiro na Sidoni.
18 amedhyabhuutagrastaa"sca tannika. tamaagatya svaasthya. m praapu. h|
Walikuwa wamekuja kumsikiliza na kuponywa magonjwa yao. Wale waliokuwa wakiteswa na pepo wachafu akawaponya.
19 sarvve. saa. m svaasthyakara. naprabhaavasya prakaa"sitatvaat sarvve lokaa etya ta. m spra. s.tu. m yetire|
Watu wote walikuwa wanajitahidi kumgusa kwa sababu nguvu zilikuwa zikimtoka na kuwaponya wote.
20 pa"scaat sa "si. syaan prati d. r.s. ti. m kutvaa jagaada, he daridraa yuuya. m dhanyaa yata ii"svariiye raajye vo. adhikaarosti|
Akawatazama wanafunzi wake, akasema: “Mmebarikiwa ninyi mlio maskini, kwa sababu Ufalme wa Mungu ni wenu.
21 he adhunaa k. sudhitalokaa yuuya. m dhanyaa yato yuuya. m tarpsyatha; he iha rodino janaa yuuya. m dhanyaa yato yuuya. m hasi. syatha|
Mmebarikiwa ninyi mlio na njaa sasa, kwa sababu mtashibishwa. Mmebarikiwa ninyi mnaolia sasa, kwa sababu mtacheka.
22 yadaa lokaa manu. syasuuno rnaamaheto ryu. smaan. rtiiyi. syante p. rthak k. rtvaa nindi. syanti, adhamaaniva yu. smaan svasamiipaad duuriikari. syanti ca tadaa yuuya. m dhanyaa. h|
Mmebarikiwa ninyi, watu watakapowachukia, watakapowatenga na kuwatukana na kulikataa jina lenu kama neno ovu, kwa ajili ya Mwana wa Adamu.
23 svarge yu. smaaka. m yathe. s.ta. m phala. m bhavi. syati, etadartha. m tasmin dine prollasata aanandena n. rtyata ca, te. saa. m puurvvapuru. saa"sca bhavi. syadvaadina. h prati tathaiva vyavaaharan|
“Furahini na kurukaruka kwa shangwe, kwa sababu thawabu yenu ni kubwa mbinguni, kwa kuwa hivyo ndivyo baba zao walivyowatenda manabii.
24 kintu haa haa dhanavanto yuuya. m sukha. m praapnuta| hanta parit. rptaa yuuya. m k. sudhitaa bhavi. syatha;
“Lakini ole wenu ninyi mlio matajiri, kwa sababu mmekwisha kupokea faraja yenu.
25 iha hasanto yuuya. m vata yu. smaabhi. h "socitavya. m roditavya nca|
Ole wenu ninyi mlioshiba sasa, maana mtaona njaa. Ole wenu ninyi mnaocheka sasa, maana mtaomboleza na kulia.
26 sarvvailaakai ryu. smaaka. m sukhyaatau k. rtaayaa. m yu. smaaka. m durgati rbhavi. syati yu. smaaka. m puurvvapuru. saa m. r.saabhavi. syadvaadina. h prati tadvat k. rtavanta. h|
Ole wenu watu watakapowasifu, kwani ndivyo baba zao walivyowasifu manabii wa uongo.
27 he "srotaaro yu. smabhyamaha. m kathayaami, yuuya. m "satru. su priiyadhva. m ye ca yu. smaan dvi. santi te. saamapi hita. m kuruta|
“Lakini nawaambia ninyi mnaonisikia: Wapendeni adui zenu. Watendeeni mema wanaowachukia.
28 ye ca yu. smaan "sapanti tebhya aa"si. sa. m datta ye ca yu. smaan avamanyante te. saa. m ma"ngala. m praarthayadhva. m|
Wabarikini wale wanaowalaani, waombeeni wale wanaowatendea mabaya.
29 yadi ka"scit tava kapole cape. taaghaata. m karoti tarhi ta. m prati kapolam anya. m paraavarttya sammukhiikuru puna"sca yadi ka"scit tava gaatriiyavastra. m harati tarhi ta. m paridheyavastram api grahiitu. m maa vaaraya|
Kama mtu akikupiga shavu moja, mgeuzie na la pili pia. Mtu akikunyangʼanya koti lako, usimzuie kuchukua joho pia.
30 yastvaa. m yaacate tasmai dehi, ya"sca tava sampatti. m harati ta. m maa yaacasva|
Mpe kila akuombaye, na kama mtu akichukua mali yako usitake akurudishie.
31 parebhya. h svaan prati yathaacara. nam apek. sadhve paraan prati yuuyamapi tathaacarata|
Watendeeni wengine kama ambavyo mngetaka wawatendee ninyi.
32 ye janaa yu. smaasu priiyante kevala. m te. su priiyamaa. ne. su yu. smaaka. m ki. m phala. m? paapilokaa api sve. su priiyamaa. ne. su priiyante|
“Kama mkiwapenda tu wale wanaowapenda, mwapata sifa gani? Hata ‘wenye dhambi’ huwapenda wale wawapendao.
33 yadi hitakaari. na eva hita. m kurutha tarhi yu. smaaka. m ki. m phala. m? paapilokaa api tathaa kurvvanti|
Tena mkiwatendea mema wale tu wanaowatendea ninyi mema, mwapata sifa gani? Hata ‘wenye dhambi’ hufanya vivyo hivyo.
34 yebhya. r.napari"sodhasya praaptipratyaa"saaste kevala. m te. su. r.ne samarpite yu. smaaka. m ki. m phala. m? puna. h praaptyaa"sayaa paapiilokaa api paapijane. su. r.nam arpayanti|
Tena mnapowakopesha wale tu mnaotegemea wawalipe, mwapata sifa gani? Hata ‘wenye dhambi’ huwakopesha ‘wenye dhambi’ wenzao wakitarajia kulipwa mali yao yote.
35 ato yuuya. m ripu. svapi priiyadhva. m, parahita. m kuruta ca; puna. h praaptyaa"saa. m tyaktvaa. r.namarpayata, tathaa k. rte yu. smaaka. m mahaaphala. m bhavi. syati, yuuya nca sarvvapradhaanasya santaanaa iti khyaati. m praapsyatha, yato yu. smaaka. m pitaa k. rtaghnaanaa. m durv. tattaanaa nca hitamaacarati|
Lakini wapendeni adui zenu, watendeeni mema, wakopesheni bila kutegemea kurudishiwa mlichokopesha. Ndipo thawabu yenu itakapokuwa kubwa, nanyi mtakuwa wana wa Aliye Juu Sana, kwa sababu yeye ni mwema kwa watu wasio na shukrani na kwa wale waovu.
36 ata eva sa yathaa dayaalu ryuuyamapi taad. r"saa dayaalavo bhavata|
Kuweni na huruma, kama Baba yenu alivyo na huruma.
37 apara nca paraan do. si. no maa kuruta tasmaad yuuya. m do. siik. rtaa na bhavi. syatha; ada. n.dyaan maa da. n.dayata tasmaad yuuyamapi da. n.da. m na praapsyatha; pare. saa. m do. saan k. samadhva. m tasmaad yu. smaakamapi do. saa. h k. sami. syante|
“Msihukumu, nanyi hamtahukumiwa. Msilaumu, nanyi hamtalaumiwa. Sameheni, nanyi mtasamehewa.
38 daanaanidatta tasmaad yuuya. m daanaani praapsyatha, vara nca lokaa. h parimaa. napaatra. m pradalayya sa ncaalya pro ncaalya paripuuryya yu. smaaka. m kro. de. su samarpayi. syanti; yuuya. m yena parimaa. nena parimaatha tenaiva parimaa. nena yu. smatk. rte parimaasyate|
Wapeni watu vitu, nanyi mtapewa. Kipimo cha kujaa na kushindiliwa na kusukwasukwa hata kumwagika, ndicho watu watakachowapa vifuani mwenu. Kwa kuwa kipimo kile mpimacho, ndicho mtakachopimiwa.”
39 atha sa tebhyo d. r.s. taantakathaamakathayat, andho jana. h kimandha. m panthaana. m dar"sayitu. m "saknoti? tasmaad ubhaavapi ki. m gartte na pati. syata. h?
Pia akawapa mfano akasema, “Je, kipofu aweza kumwongoza kipofu? Je, wote wawili hawatatumbukia shimoni?
40 guro. h "si. syo na "sre. s.tha. h kintu "si. sye siddhe sati sa gurutulyo bhavitu. m "saknoti|
Mwanafunzi hawezi kumzidi mwalimu wake, ila yule aliyehitimu aweza kuwa kama mwalimu wake.
41 apara nca tva. m svacak. su. si naasaam ad. r.s. tvaa tava bhraatu"scak. su. si yatt. r.namasti tadeva kuta. h pa"syami?
“Mbona unatazama kibanzi kilicho ndani ya jicho la ndugu yako, wala huoni boriti iliyo ndani ya jicho lako mwenyewe?
42 svacak. su. si yaa naasaa vidyate taam aj naatvaa, bhraatastava netraat t. r.na. m bahi. h karomiiti vaakya. m bhraatara. m katha. m vaktu. m "sakno. si? he kapa. tin puurvva. m svanayanaat naasaa. m bahi. h kuru tato bhraatu"scak. su. sast. r.na. m bahi. h karttu. m sud. r.s. ti. m praapsyasi|
Utawezaje kumwambia ndugu yako, ‘Ndugu yangu, acha nitoe kibanzi kilicho ndani ya jicho lako,’ wakati wewe mwenyewe huoni boriti iliyo ndani ya jicho lako? Ewe mnafiki, ondoa boriti ndani ya jicho lako kwanza, ndipo utaweza kuona dhahiri jinsi ya kuondoa kibanzi kilicho ndani ya jicho la ndugu yako.
43 anya nca uttamastaru. h kadaapi phalamanuttama. m na phalati, anuttamataru"sca phalamuttama. m na phalati kaara. naadata. h phalaistaravo j naayante|
“Hakuna mti mzuri uzaao matunda mabaya, wala hakuna mti mbaya uzaao matunda mazuri.
44 ka. n.takipaadapaat kopi u. dumbaraphalaani na paatayati tathaa "s. rgaalakoliv. rk. saadapi kopi draak. saaphala. m na paatayati|
Kila mti hujulikana kwa matunda yake. Kwa maana watu hawachumi tini kwenye miiba, wala zabibu kwenye michongoma.
45 tadvat saadhuloko. anta. hkara. naruupaat subhaa. n.daagaaraad uttamaani dravyaa. ni bahi. h karoti, du. s.to loka"scaanta. hkara. naruupaat kubhaa. n.daagaaraat kutsitaani dravyaa. ni nirgamayati yato. anta. hkara. naanaa. m puur. nabhaavaanuruupaa. ni vacaa. msi mukhaannirgacchanti|
Vivyo hivyo mtu mwema hutoa mambo mema kutoka kwenye hazina ya moyo wake, naye mtu mwovu hutoa mambo maovu kutoka kwenye hazina ya moyo wake. Kwa kuwa mtu hunena kwa kinywa chake yale yaliyoujaza moyo wake.
46 apara nca mamaaj naanuruupa. m naacaritvaa kuto maa. m prabho prabho iti vadatha?
“Kwa nini mnaniita, ‘Bwana, Bwana,’ nanyi hamfanyi ninayowaambia?
47 ya. h ka"scin mama nika. tam aagatya mama kathaa ni"samya tadanuruupa. m karmma karoti sa kasya sad. r"so bhavati tadaha. m yu. smaan j naapayaami|
Nitawaonyesha jinsi alivyo mtu yule anayekuja kwangu na kusikia maneno yangu na kuyatenda.
48 yo jano gabhiira. m khanitvaa paa. saa. nasthale bhitti. m nirmmaaya svag. rha. m racayati tena saha tasyopamaa bhavati; yata aaplaavijalametya tasya muule vegena vahadapi tadgeha. m laa. dayitu. m na "saknoti yatastasya bhitti. h paa. saa. nopari ti. s.thati|
Yeye ni kama mtu aliyejenga nyumba, akachimba chini sana, na kuweka msingi kwenye mwamba. Mafuriko yalipokuja, maji ya ghafula yaliipiga ile nyumba, lakini haikutikisika, kwa sababu ilikuwa imejengwa vizuri.
49 kintu ya. h ka"scin mama kathaa. h "srutvaa tadanuruupa. m naacarati sa bhitti. m vinaa m. rdupari g. rhanirmmaatraa samaano bhavati; yata aaplaavijalamaagatya vegena yadaa vahati tadaa tadg. rha. m patati tasya mahat patana. m jaayate|
Lakini yeye anayesikia maneno yangu wala asiyatende, ni kama mtu aliyejenga nyumba juu ya ardhi bila kuweka msingi. Mafuriko yalipoikumba nyumba ile, ikaanguka mara na kubomoka kabisa.”

< luuka.h 6 >