< Apostolska dela 11 >

1 Slišali pa so aposteljni in bratje, kteri so bili v Judeji, da so tudi pogani sprejeli besedo Božjo.
Mitume na ndugu walioamini waliokuwa huko Uyahudi wakasikia kuwa watu wa Mataifa nao wamepokea neno la Mungu.
2 In ko je prišel Peter v Jeruzalem, prepirali so se z njim, kteri so bili iz obreze,
Hivyo Petro alipopanda Yerusalemu, wale wa tohara waliokuwa wameamini wakamshutumu,
3 Govoreč: K možém neobrezanim si šel, in jedel si ž njimi.
wakisema, “Ulikwenda kwa watu wasiotahiriwa na kula pamoja nao.”
4 Peter pa začne, in izkladal jim je po vrsti, govoreč:
Ndipo Petro akaanza kuwaeleza kuhusu mambo yote yalivyotokea hatua kwa hatua akisema,
5 Jaz sem v mestu Jopi molil, in videl sem v zamaknenji prikazen, da je shajala nekaka posoda, kakor velik prt, in se je za čvetere ogle spuščala z neba, in prišla noter do mene.
“Nilikuwa katika mji wa Yafa nikiomba, nami nikapitiwa na usingizi wa ghafula, nikaona maono. Kulikuwa na kitu kama nguo kubwa ikishuka kutoka mbinguni, ikishushwa kwa ncha zake nne, nayo ikanikaribia.
6 In pogledavši va-njo, opazim in ugledam štirinogate in divje in lazeče živali zemlje, in tice nebeške.
Nilipoangalia ndani yake kwa karibu niliona wanyama wenye miguu minne wa nchini, wanyama wa mwitu, watambaao na ndege wa angani.
7 In zaslišim glas, da mi pravi: Vstani, Peter, zakolji in jej!
Ndipo nikasikia sauti ikiniambia, ‘Petro, ondoka uchinje na ule.’
8 In rekel sem; Nikakor ne, Gospod! kajti nagnjusnega ali nečistega ni nikoli nič prišlo v usta moja.
“Nikajibu, ‘La hasha Bwana! Kitu chochote kilicho najisi hakijaingia kinywani mwangu.’
9 Odgovorí pa mi glas v drugo z neba: Kar je Bog očistil, ne imej ti za nagnjusno.
“Sauti ikasema kutoka mbinguni mara ya pili, ‘Usikiite najisi kitu chochote Mungu alichokitakasa.’
10 To pa se je zgodilo trikrat, in zopet se je potegnilo vse na nebo.
Jambo hili lilitokea mara tatu, ndipo kile kitu kikavutwa tena mbinguni.
11 In glej, precej se trije možjé postavijo pred hišo, v kterej sem bil, poslani iz Cezareje k meni.
“Wakati ule ule watu watatu, waliokuwa wametumwa kutoka Kaisaria waliwasili katika nyumba niliyokuwa nikikaa.
12 In reče mi Duh, naj grem brez pomišljevanja ž njimi. Prišlo je pa z menoj tudi tehle šest bratov, in vstopili smo v hišo moževo.
Roho Mtakatifu akaniambia niende nao bila kuwa na ubaguzi kati yao na sisi. Hawa ndugu sita pia walifuatana nami, nasi tukaingia nyumbani mwa huyo Kornelio.
13 In povedal nam je, kako je videl angelja v hiši svojej, da je pristopil in mu rekel: Pošlji v Jopo móž, in pokliči Simona s priimkom Petra,
Akatuambia jinsi alivyoona malaika aliyekuwa amesimama katika nyumba yake na kusema, ‘Tuma watu waende Yafa wakamlete Simoni aitwaye Petro.
14 Kteri ti bo govoril besede, po kterih se boš zveličal ti in vsa hiša tvoja.
Yeye atakupa ujumbe ambao kwa huo wewe na wa nyumbani mwako wote mtaokoka.’
15 Ko sem pa jel govoriti, pade sveti Duh na-nje, kakor tudi na nas v začetku.
“Nami nilipoanza kusema, Roho Mtakatifu akashuka juu yao kama vile alivyotushukia sisi hapo mwanzo.
16 Tedaj sem se spomenil besede Gospodove, kakor je povedal: "Janez sicer je krstil z vodo, ali vi se boste krstili z Duhom svetim."
Nami nikakumbuka neno la Bwana alivyosema, ‘Yohana alibatiza kwa maji, lakini ninyi mtabatizwa katika Roho Mtakatifu.’
17 Ko jim je torej Bog dal ravno ta dar, kakor tudi nam, kteri smo verovali v Gospoda Jezusa Kristusa: kdo pa sem bil jaz, da bi bil mogel Bogu zabraniti?
Basi ikiwa Mungu aliwapa hawa watu kipawa kile kile alichotupa sisi tuliomwamini Bwana Yesu Kristo, mimi ni nani hata nifikirie kuwa ningeweza kumpinga Mungu?”
18 Ko so pa to slišali, umolknili so, in slavili so Boga, govoreč: Torej tudi poganom je Bog dal pokoro za življenje.
Waliposikia haya hawakuwa na la kupinga zaidi. Nao wakamwadhimisha Mungu wakisema, “Basi, Mungu amewapa hata watu wa Mataifa toba iletayo uzima wa milele.”
19 Ti pa, kteri so se bili razkropili za voljo stiske, ktera je nastala za Štefana, prišli so noter do Fenicije, nikomur ne govoreč besede, razen samo Judom.
Basi wale waliotawanyika kwa ajili ya mateso yaliyotokana na kifo cha Stefano, wakasafiri hadi Foinike na Kipro na Antiokia. Nao hawakuhubiri lile Neno kwa mtu yeyote isipokuwa Wayahudi.
20 Bili so pa nekteri od njih možjé Ciprani in Cirenci, kteri so, ko so bili prišli v Antijohijo, govorili tudi Grkom, in oznanjevali Gospoda Jezusa.
Lakini baadhi yao walikuwepo watu wa Kipro na Kirene, ambao walipokuja Antiokia walinena na Wayunani pia wakiwahubiria habari njema za Bwana Yesu.
21 In bila je roka Gospodova ž njimi; in veliko število jih je verovalo in izpreobrnilo se h Gospodu.
Mkono wa Bwana ulikuwa pamoja nao, nayo idadi kubwa ya watu wakaamini na kumgeukia Bwana.
22 In prišel je glas o tem do ušes cerkve, ktera je bila v Jeruzalemu; in poslali so Barnaba, naj odide do Antijohije.
Habari hizi zilipofika masikioni mwa kanisa huko Yerusalemu, wakamtuma Barnaba aende Antiokia.
23 Ta, ko je prišel, in je videl milost Božjo, oveselil se je, in prosil je vse, naj s stanovitnim srcem ostanejo v Gospodu.
Alipofika na kuona madhihirisho ya neema ya Mungu, akafurahi na kuwatia moyo waendelee kuwa waaminifu kwa Bwana kwa mioyo yao yote.
24 Kajti bil je mož dober in poln Duha svetega in vere. In pridružilo se je veliko ljudstva Gospodu.
Barnaba alikuwa mtu mwema, aliyejaa Roho Mtakatifu, mwenye imani, nayo idadi kubwa ya watu wakaongezeka kwa Bwana.
25 Tedaj izide Barnaba v Tars iskat Savla; in ko ga je našel, pripelje ga v Antijohijo.
Kisha Barnaba akaenda Tarso kumtafuta Sauli,
26 In zbirala sta se celo leto v cerkvi, in učila sta dosti ljudstva, in imenovali so se učenci najprej v Antijohiji Kristjani.
naye alipompata akamleta Antiokia. Hivyo kwa mwaka mzima Barnaba na Sauli wakakutana na kanisa na kufundisha idadi kubwa ya watu. Ilikuwa ni katika kanisa la Antiokia kwa mara ya kwanza wanafunzi waliitwa Wakristo.
27 V te dní so pa prišli iz Jeruzalema preroki v Antijohijo.
Wakati huo manabii walishuka toka Yerusalemu hadi Antiokia.
28 In vstavši eden od njih po imenu Agab, oznani po Duhu, da bo lakota velika po vsem svetu; ktera je tudi bila za Klavdija cesarja.
Mmoja wao, jina lake Agabo, akasimama akatabiri kwa uweza wa Roho Mtakatifu kwamba njaa kubwa itaenea ulimwengu mzima. Njaa hiyo ilitokea wakati wa utawala wa Klaudio.
29 Tedaj učenci, vsak po zmožnosti svojej, sklenejo v pomoč poslati bratom, kteri so prebivali v Judeji;
Mitume wakaamua kwamba kila mtu, kulingana na uwezo alio nao, atoe msaada kwa ajili ya ndugu wanaoishi Uyahudi.
30 Kar so tudi storili, poslavši starešinam po roki Barnabovej in Savlovej.
Wakafanya hivyo, misaada yao ikapelekwa kwa wazee kwa mikono ya Barnaba na Sauli.

< Apostolska dela 11 >