< 1 Nyakati 6 >

1 Wana wa Lawi walikuwa: Gershoni, Kohathi na Merari.
Sønerne hans Levi var Gerson, Kehat og Merari.
2 Wana wa Kohathi walikuwa: Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli.
Sønerne hans Kahat var Amram og Jishar og Hebron og Uzziel.
3 Amramu alikuwa na wana: Aroni, Mose, na Miriamu. Aroni alikuwa na wana: Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari.
Og borni hans Amram var Aron og Moses og Mirjam. Og sønerne åt Aron var Nadab og Abihu, Eleazar og Itamar.
4 Eleazari akamzaa Finehasi, Finehasi akamzaa Abishua,
Eleazar fekk sonen Pinehas; Pinehas fekk sonen Abisua,
5 Abishua akamzaa Buki, Buki akamzaa Uzi,
og Abisua fekk sonen Bukki, og Bukki fekk sonen Uzzi,
6 Uzi akamzaa Zerahia, Zerahia akamzaa Merayothi,
og Uzzi fekk sonen Zerahja, og Zerahja fekk sonen Merajot;
7 Merayothi akamzaa Amaria, Amaria akamzaa Ahitubu,
Merajot fekk sonen Amarja, og Amarja fekk sonen Ahitub,
8 Ahitubu akamzaa Sadoki, Sadoki akamzaa Ahimaasi,
og Ahitub fekk sonen Sadok, og Sadok fekk sonen Ahima’as,
9 Ahimaasi akamzaa Azaria, Azaria akamzaa Yohanani,
og Ahima’as fekk sonen Azarja, og Azarja fekk sonen Johanan;
10 Yohanani akamzaa Azaria (ndiye alifanya kazi ya ukuhani katika Hekalu alilojenga Mfalme Solomoni huko Yerusalemu),
Johanan fekk sonen Azarja; det var han som var prest i det huset Salomo bygde i Jerusalem.
11 Azaria akamzaa Amaria, Amaria akamzaa Ahitubu,
Og Azarja fekk sonen Amarja, og Amarja fekk sonen Ahitub,
12 Ahitubu akamzaa Sadoki, Sadoki akamzaa Shalumu,
og Ahitub fekk sonen Sadok, og Sadok fekk sonen Sallum,
13 Shalumu akamzaa Hilkia, Hilkia akamzaa Azaria,
og Sallum fekk sonen Hilkia, og Hilkia fekk sonen Azarja,
14 Azaria akamzaa Seraya, Seraya akamzaa Yehosadaki.
og Azarja fekk sonen Seraja, og Seraja fekk sonen Josadak.
15 Yehosadaki alihamishwa wakati Bwana aliwapeleka uhamishoni watu wa Yuda na Yerusalemu kwa mkono wa Mfalme Nebukadneza.
Men Josadak laut ganga med då Herren let Nebukadnessar føra Juda og Jerusalem i utlægd.
16 Wana wa Lawi walikuwa: Gershoni, Kohathi na Merari.
Sønerne åt Levi var Gerson, Kahat og Merari.
17 Haya ndiyo majina ya wana wa Gershoni: Libni na Shimei.
Og dette var namni på sønerne hans Gersom: Libni og Sime’i.
18 Wana wa Kohathi walikuwa: Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli.
Og sønerne hans Kahat var Amram og Jishar og Hebron og Uzziel.
19 Wana wa Merari walikuwa: Mahli na Mushi. Zifuatazo ni koo za Walawi zilizoorodheshwa kufuatana na baba zao:
Sønerne hans Merari var Mahli og Musi. Dette var levitætterne etter federne deira.
20 Wazao wa Gershoni: Gershoni akamzaa Libni, Libni akamzaa Yahathi, Yahathi akamzaa Zima,
Frå Gersom var Libni, son hans, ætta; hans son var Jahat, hans son Zimma,
21 Zima akamzaa Yoa, Yoa akamzaa Ido, Ido akamzaa Zera, Zera akamzaa Yeatherai.
hans son Joah, hans son Iddo, hans son Zerah, hans son Jeatrai.
22 Wazao wa Kohathi: Kohathi akamzaa Aminadabu, Aminadabu akamzaa Kora, Kora akamzaa Asiri,
Sønerne åt Kahat var: Amminadab, son hans; hans son var Korah; hans son Assir;
23 Asiri akamzaa Elikana, Elikana akamzaa Ebiasafu, Ebiasafu akamzaa Asiri,
hans son Elkana, hans son Ebjasaf, hans son Assir;
24 Asiri akamzaa Tahathi, Tahathi akamzaa Urieli, Urieli akamzaa Uzia, Uzia akamzaa Shauli.
hans son Tahat, hans son Uriel, hans son Uzzia, og hans son Saul.
25 Wazao wa Elikana walikuwa: Amasai na Ahimothi,
Sønerne hans Elkana var Amasai og Ahimot.
26 Ahimothi akamzaa Elikana, Elikana akamzaa Sofai, Sofai akamzaa Nahathi,
Elkana - hans son var Elkana; hans son var Elkana-Sofai; hans son Nahat;
27 Nahathi akamzaa Eliabu, Eliabu akamzaa Yerohamu, Yerohamu akamzaa Elikana, Elikana akamzaa Samweli.
hans son Eliab; hans son Jeroham; hans son var Elkana.
28 Wana wa Samweli walikuwa: Yoeli mzaliwa wake wa kwanza, na Abiya mwanawe wa pili.
Sønerne hans Samuel var Vasni, som var eldst, og Abia.
29 Wafuatao ndio wazao wa Merari: Merari akamzaa Mahli, Mahli akamzaa Libni, Libni akamzaa Shimei, Shimei akamzaa Uza,
Son hans Merari var Mahli; hans son var Libni; hans son Sime’i; hans son Uzza;
30 Uza akamzaa Shimea, Shimea akamzaa Hagia, Hagia akamzaa Asaya.
hans son Simea; hans son Haggia; hans son Asaja.
31 Hawa ndio watu ambao Daudi aliwaweka kuwa viongozi wa uimbaji katika nyumba ya Bwana, baada ya Sanduku la Agano kuletwa ili kukaa huko.
So var det dei som David sette til å greida med songen i Herrens hus, etter at kista hadde fenge ein kvilestad.
32 Walihudumu kwa kuimba mbele ya Maskani, Hema la Kukutania, mpaka hapo Mfalme Solomoni alipojenga Hekalu la Bwana huko Yerusalemu. Walitimiza wajibu wao kulingana na taratibu walizokuwa wamewekewa.
Dei gjorde tenesta med song framfor møtetjeldhuset, alt til Salomo bygde Herrens hus i Jerusalem; dei stod der og gjorde sitt arbeid etter dei fyresegner dei hadde fenge.
33 Wafuatao ni watu waliohudumu pamoja na wana wao: Kutoka ukoo wa Kohathi walikuwa: Hemani, mpiga kinanda, alikuwa mwana wa Yoeli, mwana wa Samweli,
Dei som gjorde denne tenesta, og sønerne deira, var desse: Av kahatitsønerne: Heman, songaren, son åt Joel, son åt Samuel,
34 mwana wa Elikana, mwana wa Yerohamu, mwana wa Elieli, mwana wa Toa,
son åt Elkana, son åt Jeroham, son åt Eliel, son åt Toah,
35 mwana wa Sufu, mwana wa Elikana, mwana wa Mahathi, mwana wa Amasai,
son åt Sif, son åt Elkana, son åt Mahat, son åt Amasai,
36 mwana wa Elikana, mwana wa Yoeli, mwana wa Azaria, mwana wa Sefania,
son åt Elkana, son åt Joel, son åt Azarja, son åt Sefanja,
37 mwana wa Tahathi, mwana wa Asiri, mwana wa Ebiasafu, mwana wa Kora,
son åt Tahat, son åt Assir, son åt Ebjasaf, son åt Korah,
38 mwana wa Ishari, mwana wa Kohathi, mwana wa Lawi, mwana wa Israeli;
son åt Jishar, son åt Kahat, son åt Levi, son åt Israel.
39 na msaidizi wa Hemani alikuwa Asafu, aliyesimama mkono wa kuume: Asafu mwana wa Berekia, mwana wa Shimea,
Dinæst Asaf, bror hans, som stod på høgre sida hans, Asaf, son åt Berekja, son åt Simea,
40 mwana wa Mikaeli, mwana wa Baaseya, mwana wa Malkiya,
son åt Mikael, son åt Ba’aseja, son åt Malkia,
41 mwana wa Ethni, mwana wa Zera, mwana wa Adaya,
son åt Etni, son åt Zerah, son åt Adaja,
42 mwana wa Ethani, mwana wa Zima, mwana wa Shimei,
son åt Etan, son åt Zimma, son åt Sime’i,
43 mwana wa Yahathi, mwana wa Gershoni, mwana wa Lawi.
son åt Jahat, son åt Gersom, son åt Levi.
44 Na kutoka kwa walioshirikiana nao, Wamerari, mkono wake wa kushoto: Ethani mwana wa Kishi, mwana wa Abdi, mwana wa Maluki,
Og brørne deira, Merari-sønerne, stod på den vinstre sida: Etan, son åt Kisi, son åt Abdi, son åt Malluk,
45 mwana wa Hashabia, mwana wa Amazia, mwana wa Hilkia,
son åt Hasabja, son åt Amasja, son åt Hilkia,
46 mwana wa Amsi, mwana wa Bani, mwana wa Shemeri,
son åt Amsi, son åt Bani, son åt Semer,
47 mwana wa Mahli, mwana wa Mushi, mwana wa Merari, mwana wa Lawi.
son åt Mahli, son åt Musi, son åt Merari, son åt Levi.
48 Ndugu zao wengine Walawi walipewa huduma nyingine za kuhudumia hema takatifu, nyumba ya Mungu.
Og brørne deira, levitarne, var sette til alt slag tenesta i huset, Guds hus.
49 Lakini Aroni na uzao wake ndio waliokuwa na wajibu wa kutoa sadaka katika madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa na kwenye madhabahu ya kufukizia uvumba pamoja na yote yaliyofanyika pa Patakatifu, wakifanya upatanisho kwa ajili ya Israeli, sawasawa na yale yote aliyoagiza Mose mtumishi wa Mungu.
Men Aron og sønerne hans ofra på brennofferaltaret og på røykjelsealtaret og skulde greida alle gjeremål i det høgheilage romet og gjera soning for Israel, i alle måtar so som Moses, Guds tenar, hadde sagt fyre.
50 Hawa ndio waliokuwa wazao wa Aroni: Aroni akamzaa Eleazari, Eleazari akamzaa Finehasi, Finehasi akamzaa Abishua,
Desse var sønerne åt Aron: Eleazar, son hans; son hans var Pinehas; hans son var Abisua;
51 Abishua akamzaa Buki, Buki akamzaa Uzi, Uzi akamzaa Zerahia,
hans son var Bukki; hans son var Uzzi; hans son var Zerahja;
52 Zerahia akamzaa Merayothi, Merayothi akamzaa Amaria, Amaria akamzaa Ahitubu,
hans son var Merajot; hans son var Amarja; hans son var Ahitub;
53 Ahitubu akamzaa Sadoki, Sadoki akamzaa Ahimaasi.
hans son var Sadok; hans son var Ahima’as.
54 Zifuatazo ni sehemu walizopewa ziwe nchi yao kwa ajili ya makazi yao (walipewa wazao wa Aroni waliotoka katika ukoo wa Wakohathi, kwa sababu kura ya kwanza iliwaangukia):
Og bustaderne deira, etter tjeldlægri innanfor umkverven deira, var dei som her kjem. Dei gav Arons-sønerne av kahatitætti - som fyrste luten fall på -
55 Walipewa Hebroni katika nchi ya Yuda pamoja na sehemu ya malisho inayouzunguka.
Hebron i Judalandet, og utmarki som låg ikring.
56 Lakini mashamba pamoja na vijiji vilivyouzunguka mji alipewa Kalebu mwana wa Yefune.
Men åkerlandet og gardarne som høyrde til byen, gav dei Kaleb Jefunneson.
57 Kwa hiyo wazao wa Aroni walipewa miji ifuatayo pamoja na eneo la malisho: Hebroni (mji wa makimbilio), Libna, Yatiri, Eshtemoa,
Arons-sønerne gav dei soleis fredsstaderne Hebron og Libna, og Jattir og Estemoa
58 Hileni, Debiri,
og Hilen og Debir
59 Ashani, Yuta na Beth-Shemeshi pamoja na maeneo yake ya malisho.
og Asan og Bet-Semes, alle desse byarne med bumarki som høyrde til,
60 Kutoka kabila la Benyamini walipewa Gibeoni, Geba, Alemethi na Anathothi, pamoja na maeneo yake ya malisho. Miji hii kumi na mitatu iligawanywa miongoni mwa koo za Wakohathi.
og i Benjaminsfylket Geba og Allemet og Anatot med bumarki som høyrde til; det var i alt trettan byar etter ætterne deira.
61 Wazao waliobaki wa Wakohathi walipewa miji kumi kutoka koo za nusu ya kabila la Manase.
Og dei andre Kehats-sønerne gav dei ti byar i det eine halve Manassefylket, og let deim draga strå um deim.
62 Wazao wa Gershoni, ukoo kwa ukoo, walipewa miji kumi na mitatu kutoka kwa makabila ya Isakari, Asheri na Naftali kutoka sehemu ya kabila la Manase huko Bashani.
Og Gersoms-sønerne og ættgreinene deira fekk trettan byar hjå Issakars-ætti, Assers-ætti, Naftali-ætti, og Manasse-ætti i Basan.
63 Wazao wa Merari, ukoo kwa ukoo walipewa miji kumi na miwili kutoka makabila ya Reubeni, Gadi na Zabuloni.
Merari-sønerne og ættgreinene deira fekk tolv byar hjå Rubens-ætti og Gads-ætti og Sebulons-ætti, og let deim draga strå um deim.
64 Kwa hiyo Waisraeli waliwapa Walawi miji hii pamoja na maeneo yake ya malisho.
Dess byarne med bumarki som høyrde til, gav Israels-sønerne åt levitarne.
65 Kutoka makabila ya Yuda, Simeoni na Benyamini walipewa miji iliyotajwa hapo juu.
Dei gav deim desse byarne, som dei nemde på namn, i Judafylket, Simeonsfylket og i Benjaminsfylket, og let deim draga strå um deim.
66 Baadhi ya koo za Wakohathi walipewa kama nchi yao miji kutoka kabila la Efraimu.
Og nokre av greinerne i Kahats-ætti fekk desse byarne i Efraimsfylket:
67 Katika nchi ya vilima ya Efraimu walipewa Shekemu (mji wa makimbilio) na Gezeri,
Fredstaderne Sikem på Efraimsfjellet og Gezer
68 Yokmeamu, Beth-Horoni,
og Jokmeam og Bet-Horon
69 Aiyaloni na Gath-Rimoni, pamoja na maeneo yake ya malisho.
og Ajjalon og Gat-Rimmon,
70 Kutoka nusu ya kabila la Manase, Waisraeli waliwapa koo za Wakohathi waliobaki miji ya Aneri na Bileamu pamoja na maeneo yake ya malisho.
og i det eine halve Manassefylket Aner og Bileam, med bumarki som høyrde kvar by til. Dette fekk dei hine greinerne av Kahats-ætti.
71 Wagershoni walipokea miji ifuatayo pamoja na maeneo yake ya malisho: Katika nusu ya kabila la Manase: walipewa Golani katika Bashani na pia Ashtarothi.
Gersoms-sønerne fekk i det andre halve Manassefylket Golan i Basan og Astarot, med bumarki som høyrde til,
72 Kutoka kabila la Isakari walipokea Kedeshi, Daberathi,
og i Issakarsfylket Kedes og Dobrat
73 Ramothi na Anemu, pamoja na maeneo yake ya malisho.
og Ramot og Anem, med bumarki som høyrde til,
74 Kutoka kabila la Asheri walipokea Mashali, Abdoni,
og i Assersfylket Masal og Abdon
75 Hukoki na Rehobu, pamoja na maeneo yake ya malisho.
og Hukok og Rehob, med bumarki som høyrde til,
76 Kutoka kabila la Naftali walipokea Kedeshi katika Galilaya, Hamoni na Kiriathaimu pamoja na maeneo yake ya malisho.
og i Naftalifylket Kedes i Galilæa, og Hammon og Kirjatajim, med bumarki som høyrde kvar by til.
77 Wamerari (Walawi waliobakia) walipokea miji ifuatayo: kutoka kabila la Zabuloni walipokea Yokneamu, Karta, Rimoni na Tabori pamoja na maeneo yake ya malisho.
Dei hine Merari-sønerne fekk i Sebulonsfylket Rimmono og Tabor, med bumarki som høyrde til,
78 Kutoka kabila la Reubeni, ngʼambo ya Yordani mashariki mwa Yeriko walipokea Bezeri ulioko jangwani, Yahasa,
og på hi sida Jordan ved Jeriko, austanfor Jordan, fekk dei i Rubensfylket Beser i øydemarki og Jahsa
79 Kedemothi na Mefaathi pamoja na maeneo yake ya malisho.
og Kedemot og Mefa’at, med bumarki som høyrde til,
80 Na kutoka kabila la Gadi walipokea Ramothi huko Gileadi, Mahanaimu,
og i Gadsfylket Ramot i Gilead og Mahanajim
81 Heshboni na Yazeri, pamoja na maeneo yake ya malisho.
og Hesbon og Jazer, med bumarki som høyrde til.

< 1 Nyakati 6 >