< Matendo 25 >

1 Siku tatu baada ya Festo kuwasili Kaisaria kuchukua wajibu wake mpya, alipanda kwenda Yerusalemu,
Vuu ufesto ainghile mukhilungha khila watmile ifigono fidatu pwakhaluta khu kaisali akhafika khu yelusalemu.
2 ambako viongozi wa makuhani na viongozi wa Wayahudi walikuja mbele yake na kuleta mashtaka yao dhidi ya Paulo.
Untwa umbaha uva va yahudi undwanchiwa vakhang'elikhila inongwa iya pavuli khwa festo, pwu vakhanchova vakholehencha nchoninamakha khwa festo.
3 Wakamsihi sana Festo, kama upendeleo kwao, aamuru Paulo ahamishiwe Yerusalemu, kwa kuwa walikuwa wanaandaa kumvizia ili wamuue akiwa njiani.
Vakhandoova ufesto nikhisa khu mamenyu agha pavuli ukhuta amwielange khu yelusalemu ukhuva vinogwa ukhumbuuda upavuli munjiela.
4 Festo akawajibu, “Paulo amezuiliwa huko Kaisaria, nami mwenyewe ninakwenda huko hivi karibuni.
U Festo akhavavula akhata upavuli akhungiwe mukaisari, nukhuta navope ayivuya khukhukwa imbieve.
5 Baadhi ya viongozi wenu wafuatane nami na kutoa mashtaka dhidi ya mtu huyo huko, kama amekosa jambo lolote.”
Anchovile “ulwakhuva, vala aviwesya, ukhuluta ukwa nufwe. inave khukhile ikhinu ikhivivi khumunu uyuu, mlondiwa ukhung'iega.”
6 Baada ya Festo kukaa miongoni mwao kwa karibu siku nane au kumi, akashuka kwenda Kaisaria na siku iliyofuata akaitisha mahakama, akaketi penye kiti chake cha hukumu, akaamuru Paulo aletwe mbele yake.
Vuvatamile ifighono nane nukhulutila, akavuya ukaisari. ikhighono ikyankongile akhatama pakhighoda ikyavuhieghi nukhulamula ukhuta vandete upavuli khumwene.
7 Paulo alipotokea, wale Wayahudi waliokuwa wameteremka toka Yerusalemu wakasimama wakiwa wamemzunguka, wakileta mashtaka mengi mazito dhidi yake ambayo hawakuweza kuyathibitisha.
Avile afikhe avayahudi ukhuhuma khu yelusalemu vakhima pawipi, pwu vakhanchova imbombo inongw inchieluteilile inchakhumbikha mbuhiegi vvuvivi nchimanyile.
8 Ndipo Paulo akajitetea, akasema, “Mimi sikufanya jambo lolote kinyume cha sheria ya Wayahudi au dhidi ya Hekalu au kinyume cha Kaisari.”
Upavuli akhabela akhanchova, sanchakhulitawa ilya vayahudi, sanchakesari, nivombile imbivi.'
9 Festo, akitaka kuwapendeza Wayahudi, akamuuliza Paulo, “Je, ungependa kwenda Yerusalemu na kukabili mashtaka mbele yangu huko?”
Ulwakhuva ufesto anogwagwa ukhuta avoneeke inonu kuvayahudi, pwu akhamwanda upavuli akhata, nawigwa ukhuluta kuyelusalemu khuhiegiwa nune khumbombo inchi?
10 Paulo akasema, “Mimi sasa nimesimama mbele ya mahakama ya Kaisari, ambako ndiko ninakostahili kushtakiwa. Kama vile wewe mwenyewe ujuavyo vyema kabisa sijawatendea Wayahudi kosa lolote.
Upavuli akhanda akhanchova, “nikwiema pavulongolo pakhigoda ikyavuhieghi ikya kaisari upwupilondiwa une ukhuhighiwa. sanievakhosehinche avayahudi nduvulumanyile.
11 Basi kama mimi nina hatia ya kutenda kosa lolote linalostahili kifo, sikatai kufa. Lakini kama mashtaka yaliyoletwa dhidi yangu na hawa Wayahudi si kweli, hakuna yeyote aliye na haki ya kunikabidhi mikononi mwao. Naomba rufaa kwa Kaisari!”
Inave nielininongwa pwu ienghave nivombile nilondiwa ukhuhigiwa ukhufwa, sanibela ukhufwa. ulwakhuva uvuhieghi wa veine khulyune vusikhuli, asikhuli umunu uviwesya unkhunglielikakhuvene. nikhundova ukaisali.
12 Baada ya Festo kufanya shauri pamoja na baraza lake, akatangaza, “Wewe umeomba rufaa kwa Kaisari, nako kwa Kaisari utakwenda!”
Ufesto wa nchovile navahiegi akhamula, “vukhundova ukaisali, uyuwiluta khwa kaisari.”
13 Baada ya siku kadhaa Mfalme Agripa na Bernike wakapanda kuja Kaisaria kumsalimu Festo.
Vufilutile ifigoono, untwa uaglipa nu belnike vakhincha kukaisalia, ukhugeendela ufesto.
14 Kwa kuwa walikuwa wakae huko Kaisaria kwa siku nyingi, Festo alijadili shauri la Paulo na mfalme, akisema, “Kuna mtu mmoja hapa ambaye Feliksi alimwacha gerezani.
Vuvatamile apo ifigono fingi, ufesto akhahilikha inongwa ya pavuli khu ntwa, akhata, “umunu yuoma vakhandekhile apha pha feliki ndumunu uvakhungiwe.
15 Nilipokuwa huko Yerusalemu, viongozi wa makuhani na wazee wa Wayahudi walinijulisha habari zake na wakaomba hukumu dhidi yake.
Upwunikale khuyelusalemu avantwa avavaha na avaghogholo avakivu vayahudi vakhaleta inongwa incha munu ouyu khulyune, navene pwuvaliekhuvuncha ukhuhigiwa khumuuyu umuvahigiele.
16 “Lakini mimi nikawaambia kwamba si desturi ya Kirumi kumtoa mtu yeyote auawe kabla mshtakiwa kuonana uso kwa uso na washtaki wake, naye awe amepewa nafasi ya kujitetea kuhusu mashtaka anayoshutumiwa.
Une nikhavamula nikhata salulaghilelo ulya valoma ukhung'umya umunu vusapanogilele ukhung'umya.
17 Hivyo walipokutana hapa, sikukawia, kesho yake niliitisha baraza, nikaketi penye kiti changu cha hukumu, nikaagiza huyo mtu aletwe.
Pwu vavile vinchile apa pupaninie, saniekhawesye ukhupulikiela, apange ikhigono ikhikhankongile nikhatama pakhigoda ikyavuhiegi nukhulamula ukhuta umunu uywa vagheighe mughati.
18 Washtaki wake waliposimama, hawakushtaki kwa uhalifu wowote niliokuwa ninatarajia.
Unsiekhi avansitakhagha vuviemile nukhunchova, nikhasaga nikhata nchisikhuli inongwa imbaha inchakungliegha nchincho valetiele inchakhung'ega umunu uyu.
19 Badala yake walikuwa na vipengele fulani vya kutokukubaliana naye kuhusu dini yao na juu ya mtu mmoja aitwaye Yesu, ambaye alikufa, lakini yeye Paulo alidai kwamba yu hai.
Puvakava, nukhubenchana numwene khulwiedikho ulwavene ulwa yesu uviafwile, hange upavuli akhavavula ukhuta mwumi.
20 Kwa kuwa sikujua jinsi ya kupeleleza jambo hili, nilimuuliza kama angependa kwenda Yerusalemu na kuhojiwa huko kuhusu mashtaka haya.
Niekhale ninisisilile ukhunchinghahiencha ienongwa ieyi, nikhambuncha iengave ayiluta khu yelusalemu khuhiegiwa khunongwa inchi.
21 Lakini Paulo alipoomba afadhiliwe ili rufaa yake isikilizwe na Mfalme Agusto, nilimwamuru alindwe mpaka nitakapoweza kumpeleka kwa Kaisari.”
Upavuli vuielangiwa ukhuva vambikhe pavuloleili vuvipulikhila uvulamunchi wa ntwa.
22 Ndipo Agripa akamwambia Festo, “Ningependa kumsikiliza mtu huyo mimi mwenyewe.” Yeye akajibu, “Kesho utamsikia.”
Uaglipa akhanchova nu Festo “nikhanogilwa ukhumpulihiencha umunu uyu” ufesto akanchova, akhata “khilavo uyuvukhumulihincha”.
23 Siku iliyofuata Agripa na Bernike walifika kwa fahari kubwa wakaingia katika ukumbi wa mahakama, pamoja na majemadari wa jeshi na watu mashuhuri wa mji. Ndipo kwa amri ya Festo, Paulo akaletwa ndani.
pwu intondo, uaglipa nu belnike vakhincha nuluhekhelo lwingi; vakhafika khuliboma ilyavavaha avasikali avaligoha, na vanu avanyamakha pakhiluga. nu ufesto wahuminche ululagielo, ulwakhundeta upavuli khuvene.
24 Festo akasema, “Mfalme Agripa, nanyi nyote mlio hapa pamoja nasi, mnamwona mtu huyu! Jumuiya yote ya Kiyahudi wamenilalamikia kuhusu mtu huyu huko Yerusalemu na hapa Kaisaria, wakipiga kelele kwamba haimpasi kuendelea kuishi.
Ufesto akhanchova, “untwa uaglipa, na vanu voni vavo pwuvale apa pwupaninie nufwe, mukhumbona umunu uyu; ululundamano lwoni ulwa vayahudi ulya khu yelusalemu napa vanogile ukhuta nivatange, na vene pwu vakhatoncha ilimenyu ukhuta umunu uyu vakhufwa.
25 Sikuona kwamba ametenda jambo lolote linalostahili kifo, ila kwa kuwa alikuwa ameomba rufaa yake kwa mfalme, niliamua kumpeleka Rumi.
nikhavona sakhavombe khinu ikyakhunanga ukhuta nifwe; ulwakhuva amwilangi untwa, nikhalamwile ukhumbika khumwene.
26 Lakini mimi sina kitu maalum cha kumwandikia Bwana Mtukufu kumhusu mtu huyu. Kwa hiyo nimemleta mbele yenu ninyi nyote, hasa mbele yako, Mfalme Agripa, ili kutokana na matokeo ya uchunguzi huu, niweze kupata kitu cha kuandika.
Nilivuvule khitu ikyakwandika khuntwa. ulwakhuva une niendetile khulyuve uve, vintwa viegbipa, ukhuva nive nikhinu ikyakhusimba khunongwa ieyi.
27 Kwa kuwa naona hakuna sababu ya kumpeleka mfungwa bila kuainisha mashtaka dhidi yake.”
Ulwakhuva nilola nivona sakhulikhinu ikyakhuhilika unkungwa walivuvule inchakhung'iega ukhuhiegiwa.

< Matendo 25 >