< Danieli 4 >

1 Mfalme Nebukadneza, Kwa kabila za watu, mataifa na watu wa kila lugha, wanaoishi katika ulimwengu wote: Mafanikio yawe kwenu sana!
Król Nabuchodonozor do wszystkich ludzi, narodów i języków, którzy mieszkają w całej ziemi: Niech pokój się wam rozmnoży!
2 Ni furaha yangu kuwaambia kuhusu ishara za miujiza na maajabu ambayo Mungu Aliye Juu Sana amenifanyia.
Uważałem za stosowne opowiedzieć o znakach i cudach, które uczynił dla mnie Bóg Najwyższy.
3 Ishara zake ni kuu aje, na maajabu yake yana nguvu aje! Ufalme wake ni ufalme wa milele; enzi yake hudumu kutoka kizazi hadi kizazi.
Jakże wielkie [są] jego znaki i jak potężne jego cuda! Jego królestwo [jest] królestwem wiecznym i jego władza [trwa] z pokolenia na pokolenie.
4 Mimi, Nebukadneza, nilikuwa nyumbani katika jumba langu la kifalme, nikiwa ninaishi kwa raha na hali ya kufanikiwa.
Ja, Nabuchodonozor, żyłem spokojnie w swoim domu i rozkwitałem w swoim pałacu.
5 Niliota ndoto iliyoniogopesha. Nilipokuwa nimelala kitandani mwangu, njozi na maono yaliyopita mawazoni mwangu vilinitisha.
Miałem sen, który mnie przestraszył, a myśli, [które miałem] na swoim łożu, oraz widzenia w mojej głowie zatrwożyły mnie.
6 Hivyo nikaagiza kwamba watu wote wenye hekima wa Babeli waletwe mbele yangu kunifasiria ndoto yangu.
Wydałem więc dekret, aby przyprowadzano przede mnie wszystkich mędrców Babilonu, żeby oznajmili mi znaczenie tego snu.
7 Walipokuja waganga, wasihiri, wanajimu na waaguzi, niliwaambia ndoto yangu, lakini hawakuweza kunifasiria.
Wtedy przyszli magowie, astrologowie, Chaldejczycy i wróżbici; i opowiedziałem im sen, ale nie potrafili mi oznajmić jego znaczenia;
8 Mwishoni, Danieli alikuja mbele yangu nikamweleza hiyo ndoto. (Danieli anaitwa Belteshaza, kwa jina la mungu wangu, nayo roho ya miungu mitakatifu inakaa ndani yake.)
Aż w końcu przyszedł przede mnie Daniel, którego imię brzmi Belteszassar, zgodnie z imieniem mojego boga, a w którym [jest] duch świętych bogów, i przed nim opowiedziałem sen;
9 Nilisema, “Belteshaza, mkuu wa waganga, ninajua kuwa roho ya miungu mitakatifu iko ndani yako, wala hakuna siri iliyo ngumu kwako. Hii ndiyo ndoto yangu, nifasirie.
Belteszassarze, przełożony magów, wiem, że duch świętych bogów [jest] w tobie i że żadna tajemnica nie jest dla ciebie trudna. [Posłuchaj] widzenia z mojego snu, który miałem, i powiedz [mi] jego znaczenie.
10 Haya ndiyo maono niliyoona nilipokuwa nimelala kitandani mwangu: Nilitazama, na mbele yangu ulisimama mti katikati ya nchi. Ulikuwa mrefu sana.
Takie są widzenia w mojej głowie, jakie miałem na swoim łożu: Patrzyłem, a oto drzewo pośrodku ziemi, a jego wysokość była ogromna.
11 Mti ule ulikua, ukawa mkubwa na wenye nguvu, nayo ncha yake ikagusa anga; ulionekana mpaka miisho ya dunia.
Drzewo rosło i było potężne, a jego wysokość dosięgła nieba i było widoczne aż po krańce całej ziemi.
12 Majani yake yalikuwa ya kupendeza, matunda yake yalikuwa mengi, na juu yake kulikuwa na chakula kwa ajili ya wote. Chini ya kivuli chake wanyama wa kondeni walipata hifadhi, na ndege wa angani waliishi katika matawi yake. Kila kiumbe kililishwa kutokana na mti huo.
Jego liście były piękne, jego owoc obfity i na nim [był] pokarm dla wszystkich. Pod nim znajdowały cień zwierzęta polne, na jego gałęziach mieszkało ptactwo niebieskie i z niego miało pożywienie wszelkie ciało.
13 “Katika maono niliyoyaona nikiwa nimelala kitandani mwangu, nilitazama, na mbele yangu alikuwepo mlinzi, aliye mtakatifu, akishuka kutoka mbinguni.
Widziałem [jeszcze] w widzeniach w mojej głowie na swoim łożu: Oto stróż i święty zstąpił z nieba;
14 Akaita kwa sauti kubwa: ‘Kateni mti huu, myafyeke matawi yake; yaondoeni majani yake na kuyatawanya matunda yake. Wanyama na wakimbie kutoka chini yake na ndege waondoke kutoka matawi yake.
Zawołał ze wszystkich sił i tak powiedział: Wyrąbcie to drzewo i obetnijcie jego gałęzie, otrząśnijcie jego liście i rozrzućcie jego owoc. Niech zwierzę ucieknie spod niego i ptactwo z jego gałęzi.
15 Lakini acheni kisiki chake na mizizi, kikiwa kimefungwa kwa chuma na shaba, kibaki ardhini, kwenye majani ya kondeni. “‘Mwacheni aloweshwe na umande wa mbinguni, naye aachwe aishi pamoja na wanyama miongoni mwa mimea ya dunia.
Lecz pień jego korzenia zostawcie w ziemi i to w okowach żelaza i brązu na polnej trawie, aby był skrapiany rosą z nieba, a trawę ziemi niech dzieli ze zwierzętami.
16 Akili yake na ibadilishwe kutoka ile ya mwanadamu na apewe akili ya mnyama, mpaka nyakati saba zipite juu yake.
Niech się odmieni jego ludzkie serce i niech będzie mu dane serce zwierzęce, a niech przejdzie nad nim siedem czasów.
17 “‘Uamuzi huu umetangazwa na walinzi, hukumu imetangazwa na watakatifu, ili walio hai wajue kuwa Aliye Juu Sana ndiye anayetawala juu ya falme zote za wanadamu, naye humpa yeyote amtakaye na kumtawaza juu yake hata yeye aliye mnyonge sana miongoni mwa wanadamu.’
[Ta] sprawa jest według dekretu stróżów i to żądanie [jest] według słowa świętych po to, aby wszyscy żyjący poznali, że Najwyższy panuje nad królestwem ludzkim i daje je, komu chce, a najniższych z ludzi ustanawia nad nim.
18 “Hii ndiyo ndoto niliyoipata mimi, Mfalme Nebukadneza. Sasa Belteshaza, niambie maana yake, kwa maana hakuna hata mmoja wa wenye hekima katika ufalme wangu anayeweza kunifasiria. Bali wewe waweza, kwa sababu roho ya miungu mitakatifu imo ndani yako.”
Taki sen miałem ja, król Nabuchodonozor. A ty, Belteszassarze, powiedz jego znaczenie, gdyż wszyscy mędrcy mojego królestwa nie mogli mi oznajmić jego znaczenia. Ale ty możesz, bo duch świętych bogów [jest] w tobie.
19 Ndipo Danieli (aliyeitwa pia Belteshaza) alipofadhaika sana kwa muda, nayo mawazo yake yakamtia hofu. Basi mfalme akasema, “Belteshaza, usiruhusu ndoto wala maana yake kukutia hofu.” Belteshaza akamjibu, “Bwana wangu, laiti ndoto hii ingehusu adui zako, na maana yake iwahusu watesi wako!
Wtedy Daniel, który miał na imię Belteszassar, stał osłupiony przez jedną godzinę i jego myśli trwożyły go. Król odezwał się i powiedział: Belteszassarze, niech cię nie trwoży sen i jego znaczenie. Belteszassar odpowiedział: Mój panie, niech ten sen [spadnie] na tych, którzy cię nienawidzą, a jego znaczenie na twoich wrogów.
20 Mti uliouona, uliokua ukawa mkubwa na wenye nguvu, nayo ncha yake ikagusa anga na kuonekana duniani kote,
Drzewo, które widziałeś, które rosło i było potężne, jego wysokość dosięgła nieba, a było widoczne na całej ziemi;
21 ukiwa na majani ya kupendeza na matunda mengi, ukitoa chakula kwa wote, na ukiwapa hifadhi wanyama wa kondeni na kuwa mahali pa viota katika matawi yake kwa ajili ya ndege wa angani.
Którego liście [były] piękne, a owoc obfity, na którym był pokarm dla wszystkich, pod którym mieszkało zwierzę polne i na którego gałęziach przebywało ptactwo niebieskie;
22 Ee mfalme, wewe ndiwe ule mti! Umekuwa mkubwa na mwenye nguvu, nao ukuu wako umekua mpaka kufika juu angani, nayo mamlaka yako yameenea mpaka miisho ya dunia.
To ty, królu, który rosłeś i stałeś się potężny, twoja wielkość urosła i dosięgła nieba, a twoja władza – aż po krańce ziemi.
23 “Ee mfalme, wewe ulimwona mlinzi, aliye mtakatifu, akishuka kutoka mbinguni na kusema, ‘Ukateni mti na kuuangamiza, lakini kiacheni kisiki kikiwa kimefungwa kwa chuma na kwa shaba, kwenye majani ya kondeni, wakati mizizi yake inabaki ardhini. Mwacheni aloweshwe na umande wa mbinguni, mwacheni aishi kama wanyama pori mpaka nyakati saba zipite juu yake.’
A to, że król widział stróża i świętego zstępującego z nieba i mówiącego: Wyrąbcie to drzewo i zniszczcie je, lecz pień jego korzeni zostawcie w ziemi i to w okowach żelaza i brązu na polnej trawie, aby był skrapiany rosą z nieba; a trawę polną niech dzieli ze zwierzętami polnymi, aż wypełni się siedem czasów nad nim;
24 “Ee mfalme, hii ndiyo tafsiri, na hii ni amri ya Aliye Juu Sana aliyoitoa dhidi ya bwana wangu mfalme:
Takie jest znaczenie, o królu, i dekret Najwyższego, który przyszedł na króla, mego pana;
25 Wewe utafukuzwa mbali na wanadamu, nawe utaishi pamoja na wanyama pori; utakula manyasi kama ngʼombe, na kuloana kwa umande wa mbinguni. Nyakati saba zitapita juu yako, mpaka utakapokubali kuwa Yeye Aliye Juu Sana ndiye anayetawala juu ya falme za wanadamu, naye humtawaza yeyote amtakaye.
Wypędzą cię spośród ludzi, będziesz mieszkał ze zwierzętami polnymi, będą cię żywić trawą jak woły, będziesz skrapiany rosą z nieba i wypełni się nad tobą siedem czasów, aż poznasz, że Najwyższy panuje nad królestwem ludzkim i daje je, komu chce.
26 Amri ya kuacha kisiki pamoja na mizizi yake inamaanisha kwamba ufalme wako utarejezwa kwako utakapokubali kwamba Mbingu ndizo zitawalazo.
A to, że rozkazano zostawić pień korzeni tego drzewa, [oznacza], że twoje królestwo zostanie przy tobie, gdy poznasz, że niebiosa sprawują władzę.
27 Kwa hiyo, ee mfalme, uwe radhi kupokea shauri langu: Acha dhambi zako kwa kutenda yaliyo haki, ukaache uovu wako, na uwe na huruma kwa walioonewa. Hivyo itawezekana baada ya hayo, mafanikio yako yakaendelea.”
Dlatego, królu, niech ci się spodoba moja rada i przerwij swoje grzechy sprawiedliwością, a swoje nieprawości miłosierdziem nad biednymi; może przedłuży się twój pokój.
28 Haya yote yalimpata Mfalme Nebukadneza.
To wszystko przyszło na króla Nabuchodonozora.
29 Miezi kumi na miwili baadaye, mfalme alipokuwa akitembea juu ya paa la jumba la kifalme la Babeli,
Po upływie dwunastu miesięcy, gdy przechadzał się w pałacu królewskim w Babilonie;
30 alisema, “Je, huu si Babeli mji mkuu nilioujenga kama makao ya kifalme, kwa uwezo wangu mkubwa, na kwa ajili ya utukufu wa enzi yangu?”
Król zaczął mówić: Czy to nie jest ten wielki Babilon, który ja, w sile swej potęgi, zbudowałem jako siedzibę królestwa i dla chwały swojego majestatu?
31 Maneno hayo yalikuwa bado katika midomo yake wakati sauti ilipokuja kutoka mbinguni, ikisema, “Mfalme Nebukadneza, hiki ndicho kilichoamriwa kwa ajili yako: Mamlaka yako ya ufalme yameondolewa kutoka kwako.
[A gdy] słowo to jeszcze było w ustach króla, [oto] spadł głos z nieba: Do ciebie się mówi, królu Nabuchodonozorze. [Twoje] królestwo odeszło od ciebie.
32 Utafukuzwa mbali na wanadamu, ukaishi pamoja na wanyama pori, na utakula manyasi kama ngʼombe. Nyakati saba zitapita juu yako, mpaka utakapokubali kuwa Yeye Aliye Juu Sana ndiye anayetawala juu ya falme za wanadamu, naye humtawaza yeyote amtakaye.”
Wypędzą cię spośród ludzi, będziesz mieszkał ze zwierzętami polnymi, będą cię żywić trawą jak woły i wypełni się nad tobą siedem czasów, aż poznasz, że Najwyższy panuje nad królestwem ludzkim i daje je, komu chce.
33 Papo hapo yale yaliyokuwa yamesemwa kuhusu Nebukadneza yakatimia. Alifukuzwa mbali na wanadamu, akala majani kama ngʼombe. Mwili wake uliloweshwa kwa umande wa mbinguni mpaka nywele zake zikakua kama manyoya ya tai na kucha zake kama makucha ya ndege.
Tej godziny wypełniło się to słowo nad Nabuchodonozorem: Wypędzono go spośród ludzi, jadł trawę jak woły i jego ciało było skrapiane rosą z nieba, aż jego włosy urosły jak [pióra] orłów, a jego paznokcie jak [szpony] ptaków.
34 Mwisho wa huo wakati, mimi Nebukadneza, niliinua macho yangu kuelekea mbinguni, nazo fahamu zangu zikanirudia. Ndipo nikamsifu Yeye Aliye Juu Sana, nikamheshimu na kumhimidi yeye aishiye milele. Utawala wake ni utawala wa milele; ufalme wake hudumu kutoka kizazi na kizazi.
Pod koniec tych dni, ja, Nabuchodonozor, podniosłem swoje oczy do nieba i wrócił mi mój rozum. Wtedy błogosławiłem Najwyższego i chwaliłem [go], i wysławiałem Żyjącego na wieki, bo jego władza to władza wieczna, a jego królestwo [trwa] z pokolenia na pokolenie.
35 Mataifa yote ya dunia yanahesabiwa kuwa si kitu. Hufanya kama atakavyo kwa majeshi ya mbinguni, na kwa mataifa ya dunia. Hakuna anayeweza kuuzuia mkono wake au kumwambia, “Umefanya nini wewe?”
Wszyscy mieszkańcy ziemi są uważani za nic. Według swojej woli postępuje z wojskiem niebieskim i z mieszkańcami ziemi, a nie ma nikogo, kto by wstrzymał jego rękę lub powiedział mu: Co czynisz?
36 Wakati huo huo fahamu zangu ziliponirudia, nikarudishiwa heshima yangu na fahari yangu kwa ajili ya utukufu wa ufalme wangu. Washauri wangu na wakuu wangu walikuja kunitafuta, nami nikarudishwa kwenye kiti changu cha ufalme hata nikawa mkuu kuliko mwanzoni.
W tym czasie wrócił mi mój rozum i ku chwale mego królestwa wróciła do mnie moja dostojność i mój blask. Ponadto moi doradcy i książęta szukali mnie, zostałem umocniony w swoim królestwie i dano mi jeszcze większy majestat.
37 Basi mimi, Nebukadneza, humhimidi, na humtukuza na kumsifu Mfalme wa mbinguni, kwa sababu kila kitu afanyacho ni haki, na njia zake zote ni adili. Nao waendao kwa kiburi anaweza kuwashusha.
[A] teraz ja, Nabuchodonozor, chwalę, wywyższam i wysławiam Króla niebios, którego wszystkie dzieła [są] prawdą, a jego ścieżki sprawiedliwością, a tych, którzy postępują w pysze, może on poniżyć.

< Danieli 4 >